Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


0742133100

Aliendesha  na kuanza safari yakurudi dar,  japo kuwa muda ulikuwa umeenda lakini hakujali,  alifika dar mida ya saa saba ya usiku,  na kwenda moja kwa moja kwake alilala hadi palipokucha asubuhi na mapema,  alitoka na kwenda kwa General mstaafu anamuheshimu kama babaaka,  alienda kuongea nae na kumuomba jioni ya leo akamsaidie kupeleka barua ya kunichumia mimi,  yule mbaba alikubali na kufurahi sana, kwani amekuwa akimsisitiza kupata mwenza wa maisha sasa ndio kamfurahisha sana,  hatimae muda ulipofika nikiwa nyumbani mimi na shangazi yangu pamoja na mjomba, tulisikia kunawageni wamekuja  hivyo mjomba alimuambia dada wa kazi awakaribishe ndani,  alifanya kama alivyo ambiwa hivyo wageni waliingia ndani,   wakasalimia na kisha walijitambulisha mimi nilikuwa tayari nimeenda chumbani kwangu muda huo, 



"Mimi naitwa Mr Donald John ni General mstaafu,  nipo namwenzangu nae ni kanali  mstaafu anaitwa Mr Luis,  sisi niwageni wa binti yenu  Laura"


Mjomba alijua wamekuja kikazi hivyo akafurahi kuwaona na kuwaambia:



"Ooh! Kumbe  karibuni sana Laura yupo chumbani kwake ngoja tuwaitie"



"Hapana bado hatujaelewana vizuri,  sisi tumekuja kuleta barua ya kumchumbia binti yako Laura,   kijana wetu Ethane  kamuona na kavutiwa nae tunaomba kuunganisha undugu"


"Ok  sawa hakuna shida karibuni sana,   namimi nimjomba na huyu ni shangazi yake,   ndio walezi wake  tunaipokea barua kwa mikono miwili,   msijali tutawaambia siku mje kuchukua majibu"


"Sawa tunashuka na tunaomba tuwaache,   kwani tumewavamia tuu bila kuwaanda,   mlikuwa na ratiba zenu tusizivuruge"


"Hamna shaka mnakaribishwa sana hapa ninyumbani"



Kisha waliaga na kuondoka,   mjomba aliwasindikiza hadi getini,  kisha akarudi ndani,  na kumuambia shangazi:


"Ulikuwa unajua kama kunaugeni unakuja?


"Hapana sikuwa najua"

"Muite Laura"


Alikuja mdada wa kazi na kuniambia:


"Mjomba wako anakuita"


Niliinuka na kwenda sebreni nikiwa kawaida tuu,  kwanj tangu jana nimeizima simu yangu,   baada ya kufika dar na sijawasiliana kabisa na Ethane kiukweli,   sikuwa na raha kabisa nilipofika sebreni nilimuambia mjomba:


"Mjomba umeniita?


"Ndio"

Shangazi akanishika mkono nakuniambia :


"Haya kaa hapa kipenzi changu"


Nilikaa na kuwasikiliza wameniitia nini, mjomba akaanza kuongea:


"Kunawageni wako walikuwa hapa  Mr Donald na mr Luis,   wanadai   wao ni washenga wa Mr Ethane,  je unamjua Mr Ethane?


Nilishtuka kusikia nilibaki nikiwa nimetoa macho tuu,  mjomba akaniita"


"Laura,  nimekuuliza swali mama?


Nilijikuta najisikia vibaya sana,  baada ya kukumbuka nilichokisikia kutoka kwa mamaake,   mwisho niliinuka na kukimbilia chumbani tena huku nikilia, shangazi alimuambia mjomba :


"Ngoja nikaongee nae ukiona hivyo hayupo sawa"


Mjomba alibaki akisubili,   na shangazi aliinuka na kuja chumbani nilipokua,  akanikuta nimejilaza kitandandani huku nikilia,  kisha alikaa pembeni yangu na kuniuliza:


"Laura kwani huyu sindio Ethane wako yule General eeh!?


Nilimuitikua kwa kichwa,   kumaanisha ndio yeye,  kisha shangazi akaniambia:


"Sasa siulipaswa kusherekea,  kwani unaenda kuolewa na mwanaume ulie mpenda,  sasa kulikoni hembu naomba ufute machozi na uniambie nini tatizo?


Shangazi alinifuta machozi na kunituliza kisha aliniambia:


"Niambie nini tatizo nitamfuata nikamzubue makofi mimi,  wewe niambie tuu kakufanya nini?


"Mama wewe achatuu  tulipoenda dodoma kwa mamaake ili akanitambulishe,  kumbe mamaake alishamuandalia mchumba mwanae mwingine anaemtaka yeye,  sasa tangu nipo hapo nyumbani yule mamaake hakuwa hata anataka kupiga story namimi,  sikuwa namjua nilijua ndiontabia yake,  kumbe hakuwa ananipenda,  jana alikuja mmama mmoja na binti yake hapo nyumbani,   tena niliitwa niwape vinywaji  mimi huyuu,  baada ya kuwapa vinywaji niliwaacha wenyewe,  muda sio mrefu nae Ethane alipofika alitumwa dada wakazi kumuita,    akaenda sasa niliona kakaa sana nikasema niende namimi,  kwani labda wanapiga tu story namimi kukaa pekeangu  nilikuwa tayari nimeboreka,  nilipokuwa nakaribia hapo sebreni nilikuwa namsikia mamaake akiongea,   mama huwezi amini maneno aliyokuwa anamuambia mwanae,  na huku akijua  mimi nipo na ninani yake mwanae,  nilihisi kumchukia na kuamua kuondoka kurudi dar"


"Nimaneno gani hayo ndio nataka kuyasikia"


"Alikuwa anamuambia yule binti aliekuja na mamaake ndio mchumba aliemchumbilia yeye,  na hataki kuona hao wengine  aliowaleta yeye"


"Vipi,   Ethane nae alijibu nini"


"Hakujibu kitu,  ndio mnanishangaza kusema kuwa kaleta washenga"


"Sasa ndio uelewe kuwa Ethane hakukubaliana na uamuzi wa mamaake,  na kama angekuwa kaukubali asingekutumia barua yakuomba kukuchumbia,   upo kipenzi haya mpigie mchumba wako sasahivi na umuunge mkono anahangaika kwaajili yako wewe"


"Sawa mama"


"Fanya haraka"


Kisha mama aliinuka na kwenda sebreni akamsimulia mjomba kilakitu,  kisha  mjomba aliamua kumkubali Ethane,  aliona kuwa  huyu ndio mwanaume anaestahili kunioa mimi,  kwani ni mwanaume   mwenye msimamo na maamuzi pia,  anaweza kunilinda kwa chochote kile hata kukabiliana na ndugu zake,  kisha akasema:


"Tuwaambie waje wachukuwe majibu yao kesho kutwa,  sawa mkewangu sitaki kuwa chelewesha,    kwani nimwanaume anaestahili tusije kumpoteza"


Shangazi  alicheka sana na kisha aliniita mimi,   nilikuwa chumbani nikatoka na shangazi akaniuliza:


"Vipi umesha ongea na Ethane?


"Bado mama nimempigia simuyake inaitatuu"


"Usiogope  uenda akawa yupo bize au kalala,  akiwa sawa atapokea tuu kipenzi  sawa?


"Sawa mama"


Kisha mjomba alinivuta na kunikumbatia hapo,   tukiwa tumekaa kwenye kochi na huku akiniambia:


"Ethane ni mwanaume bora kipenzi sawa?

Nilibaki nikitabasam tuu,  wakati tunaongea mala simu yangu ikaita,   na mjomba akaichukua na kuipokea yeye,  kisha akamuambia:


"Hallow "


"Ethane wewe ni mwanaume wakweli,  haya watume hao washenga wako kesho,   waje wachukue majibu ya barua uliyowatuma sawa?


"Sawa mjomba,  Shikamoo mjomba"


"Marhabaah, haya ongea na mwanangu  nisimsubilishe  sana"


Tulifurahi sana,   nikachukua simu na kwenda chumbani kwangu,  huku tukiwa tunaongea  na Ethane,   nifuraha isiyo na kifani kwakweli,  





Je nikweli Ethane atamuoa Laura ambae mamaake hamtaki au atabadili maamuzi endelea kuifuatilia ilikujua..........
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19



0742133100

Aliendesha  na kuanza safari yakurudi dar,  japo kuwa muda ulikuwa umeenda lakini hakujali,  alifika dar mida ya saa saba ya usiku,  na kwenda moja kwa moja kwake alilala hadi palipokucha asubuhi na mapema,  alitoka na kwenda kwa General mstaafu anamuheshimu kama babaaka,  alienda kuongea nae na kumuomba jioni ya leo akamsaidie kupeleka barua ya kunichumia mimi,  yule mbaba alikubali na kufurahi sana, kwani amekuwa akimsisitiza kupata mwenza wa maisha sasa ndio kamfurahisha sana,  hatimae muda ulipofika nikiwa nyumbani mimi na shangazi yangu pamoja na mjomba, tulisikia kunawageni wamekuja  hivyo mjomba alimuambia dada wa kazi awakaribishe ndani,  alifanya kama alivyo ambiwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-19

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

595
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

499
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

323
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

229
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

75

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest