GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20
0742133100
Tuliongea sana na kupanga mambo mengi yamaisha yetu, hakika nilifurahi mno kwa upande wangu, siku iliisha na siku iliyofuata wale washenga walikuja na kupewa majibu, wakaondoka tukaanza kujiandaa kupokea mahari, hatimae siku ilifika ya kupokea mahari, mahari walileta wale wale wazee na ikapangwa tarehe ya harusi, ilikuwa haraka haraka Ethane hakutaka kuchelewa tena, tukiwa kwenye maadalizi ya harusi, Ethane aliona ipo haja ya kumjulisha sasa mamaake, mama yake hakufurahi kabisa, aliamua kuwataarifu baba mkubwa na shangazi zake Ethane, aliwaambia kwa namna ya yofauti mno, kiasi kwamba siku moja Ethane akiwa na hekaheka ya maandalizi ya harusi, alipigiwa simu na babamkubwa wake, na akiwa anahitaji kuonana nae, hivyo alimuambia yupo njiani anakuja alipo waonane, hivyo Ethane aliacha kilakitu kwa furaha na kumsubili bamkubwa wake, na alinipigia simu na mimi akanitaarifu, nilifurahi sana na kumtakia mazungumzo mema na baba mkubwa, alikaa kwenye hotel moja hapo mjini nzuri ya kifahari akimsubilia bamkubwa wake, nakweli baada ya muda mchache alifika bamkumbwa, Ethane alimkaribisha vizuri japo kuwa bamkubwa alikuwa wa tofauti kabisa, alionekana nimwenye hasira sana, kisha Ethane alimuita muhudumu na kumuambia:
"Haya msikilize anachotaka"
Bamkubwa alijibu kwa hasira:
"Sipo hapa kupata kinyaji chako nipo hapa kwa jambo moja tu, kukuweka wazi"
Ethane alitoa macho kwa mshangao mkubwa, kisha akamuambia:
"Sawa bamkubwa lakini kwanza tuliza munkari kisha tutaongea kwanini upo hivyo?
Kisha Ethane alimuambia muhudumu:
"Nenda ulete juice ya matunda gras mbili na maji"
Kisha muhudumu aliondoka, na Ethane akamgeukia bamkubwa na kumuambia kwa heshima:
"Haya babaangu ninakusikiliza"
"Hivi Ethane ndio tuseme umekuwa, au ndio cheo cha u General kinachokupa kiburi hadi kumzarau mamaako"
"Kwanini bamkubwa?
"Umemdharau mamaako"
"Kivipi bamkubwa?
"Mama yako alinipigia simu na kuniambia kuwa, unamdharau sana kila anachokuambia humsikilizi, na alikukataza kumuoa huyo binti unaetaka kumuoa, ila hutaki kumsikiliza na ukaendelea na taratibu zako za kumchumbi, unajua alipofariki babayako ulipewa ukuu wa familia, na kuwa kama kiongozi katika ukoo sasa unawezaje kuwa kiongozi mwenye kiburi namna hii"
Kiukweli Ethane alisikitika sana kusikia taarifa hizo kutoka kwa bamkubwa wake na mbaya zaidi zilitoka kwa mama yake mwenyewe, hivyo aliamua kumuelezea kilakitu bamkubwa wake, na kisha akamuambia vile anavyonipenda alimuomba ridhaa ya kuja kunioa bamkubwa alimuelewa Ethane na kisha akamuambia
"Usihofu mwanangu tupo nyuma yako, na kwakuwa tupo hai bado tuta muwakilisha babayako vyema kabisa, hivyo wewe malizia maadalizi nitawaelewesha wote walielewa vibaya kuhusu wewe, na kisha tutakaa na mamayako kumsahihisha atatuelewa tuu, usihofu na msalimie sana mkwe wangu mtarajiwa"
Kiukweli Ethane alifurahi sana, na walipo maliza mazungumzo bamkubwa aliondoka, na Ethane aliamua kuenda kumalizia maadalizi yake ya harusi.
Hatimae siku ilifika nilivaa na kupambwa vizuri sana, nilipendeza mno mithiri ya binti mfalme, na mjomba ndio alinishika mkono na kunipeleka hadi madhabuni, kisha alinikabidhi kwa Ethane, na baada ya hapo taratibu ziliendelea , watu walikuja wengi sana hadi wafanya kazi wenzetu walikuja na ndugu jamaa na marafiki pia walikuwepo, tuliapishwa kuwa mke na mume kisha tulielekea ukumbini, ilikuwa ni harusi yakipekee ilivutia sana kwani mumewangu Ethane na wenzie wakaenda kuvaa mavazi ya kijeshi ukumbini, nilifurahi mno sherehe ziliendelea watu walifurahishwa sana na vitu vilivyoendelea ukumbini, tulicheza mziki na kunywa vinywaji mbali mbali, nilitambulishwa kwa viongozi wote ndugu jamaa na marafiki, kilamtu alikuwa na furaha na sisi, muda ulienda sana mwisho tulimaza sherehe, na tulienda fungate iliakuwa zanziba, tulikodiwa boti na ofisini kama zawadi na wafanyakazi, wenzetu walitupa zawadi nyingi sana, tulipofika hotelini kiukweli nikiwa na shauku sana ya kumkumbatia mumewangu, kisha nikamuambia :
"Haya sasa hembu njoo hapa, kwani tayari siogopi tena, umesha kuwa wangu mimi wapekeangu"
Ethane alicheka na kuniambia:
"Huogopi sio"
"Ndio siogopi kwani nitapigana na mwanamke yeyote atakae kuchekea, kwani wewe niwangu mimi tuu"
Tulifurahi sana, kisha akanifungua zipu ya gauni niliyokuwa nimevaa, na kunisaidia kutoa urembo niliokuwa nao, nami nilimsaidia pia kuvua nguo nae, na baada ya hapo tulienda kioga bafuni pamoja, ilikuwa niraha sana asikuambie mtu, nilifungulia maji ya bomba la mvua yakawa yanatumwakigia, tukiwa tunatizamana kisha Ethane akanisogerea na kunimbia:
"Siombi ruhusa kukubusu tena, nakubusu kilanikiwa na hamu ya kukubusu nitakavyo, haya hembu njoo hapa"
Alianza kunichum chum kisha akauzamisha mdomo, na kuzinyonya vizuri rips zangu vizuri kabisa kimahaba, kisha nilianza kuvurugwa namimi taratibu, baada ya hapo nikajikuta namimi natoa sapoti taratibuu, nilimnyonya vizuri rips zake, na kisha Ethane alishuka na kuanza kunyonya vizuri chuchu zangu, chuchu zilizo simama mithiri ya embe sindano, alizifyonza vizuri huku akiuguruma kwa raha, na mimi pia nilikuwa nahema kwa shauku, kisha alinigeuza na kunishikisha ukuta, hapo sasa nilikibinua kikalio changu, na kutanua kidogo miguu kisha aliingiza taratibu mashine, kisha kuanza kazi ya kupampu ilikuwa raha sana, nilikuwa natoa sauti tamu za mahaba tuu, yaani pia Ethane nae alikuwa akiunguruma kama simba mwenye njaa na kaona nyama hiyoapo, tulikuwa na wakati mzuri mno hakika nikajikuta namuambia Ethane:
"Mimi niwako, mali yako pekeako General Ethane, fanya vile unaweza, nipe hadi nichanga nyikiwe, kwani nakupenda sana Ethane"
"Mmmh! Asante Laura, mmmh! Ooh yeah! Nipe yoote mkewangu ooooh! sssh mmmh!
Hadi ana pee ilikuwa raha jamani nilijihisi nipo dunia ya pekeetu kiukweli, tulipomaliza tulioga na kwenda kitandani kulala, tulilala tukiwa tumekumbatiana hadi asubuhi ilipofika, ilikuwa nzuri sana fungate yetu ya wiki nzima, ilipoisha tulirudi nyumbani na kuendelea na taratibu za maisha yetu, mama yake Ethane aliamua kunikubali tuu atafanyaje ndio tayari nimeolewa na mwanae dada yake Ethane alitutumia zawadi kutoka nje ya nchi, mimi alinitumia gari nzuri sana na ni mpya kabisa, Ethane alitumiwa simu pamoja na laptop nzuri sana, nilimsamehe mamaangu mzazi na kuendelea na maisha mengine, mungu ametujaalia mtoto wa kike mrembo sana jina lake ni Paula,familia yetu sasa imeongezeka na itazidi kuongezeka kwa uwezo wa mwenyezi Mungu..
Namshukuru Mungu kwa kunipa mume wa ndoto zangu kiukweli nina furaha sana..
MWISHO.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi