Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 20
Gonga94 · Stories

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


0742133100

Tuliongea sana na kupanga mambo mengi yamaisha yetu,  hakika nilifurahi mno kwa upande wangu,   siku iliisha na siku iliyofuata wale washenga walikuja na kupewa majibu,   wakaondoka tukaanza kujiandaa kupokea mahari,    hatimae siku ilifika ya kupokea mahari,   mahari walileta wale wale wazee na ikapangwa tarehe ya  harusi,   ilikuwa haraka haraka Ethane hakutaka kuchelewa tena,  tukiwa kwenye maadalizi ya harusi,  Ethane aliona ipo haja ya kumjulisha sasa mamaake,  mama yake hakufurahi kabisa,  aliamua kuwataarifu baba mkubwa na shangazi zake Ethane,  aliwaambia kwa namna ya yofauti mno,  kiasi kwamba siku moja Ethane akiwa na hekaheka ya maandalizi ya harusi,   alipigiwa simu na  babamkubwa wake,  na akiwa anahitaji kuonana nae,   hivyo alimuambia yupo njiani anakuja alipo waonane,  hivyo Ethane aliacha kilakitu kwa furaha na kumsubili bamkubwa wake, na alinipigia simu na mimi akanitaarifu,  nilifurahi sana na kumtakia mazungumzo mema na baba mkubwa,  alikaa kwenye hotel  moja hapo mjini nzuri ya kifahari  akimsubilia bamkubwa wake,  nakweli baada ya muda mchache alifika bamkumbwa,  Ethane alimkaribisha vizuri japo kuwa bamkubwa alikuwa wa tofauti kabisa,  alionekana nimwenye hasira sana,  kisha Ethane alimuita muhudumu na kumuambia:



"Haya msikilize anachotaka"


Bamkubwa alijibu kwa hasira:


"Sipo hapa kupata kinyaji chako  nipo hapa kwa jambo moja tu,  kukuweka wazi"


Ethane alitoa macho kwa mshangao mkubwa,   kisha akamuambia:


"Sawa  bamkubwa lakini kwanza tuliza munkari kisha tutaongea kwanini upo hivyo?


Kisha Ethane alimuambia muhudumu:


"Nenda ulete juice ya matunda gras mbili  na maji"


Kisha muhudumu aliondoka,  na  Ethane akamgeukia  bamkubwa na kumuambia kwa heshima:


"Haya  babaangu ninakusikiliza"


"Hivi Ethane ndio tuseme umekuwa,  au ndio cheo cha u General kinachokupa kiburi hadi kumzarau mamaako"


"Kwanini bamkubwa?


"Umemdharau mamaako"


"Kivipi bamkubwa?


"Mama yako alinipigia simu na kuniambia kuwa,  unamdharau sana kila anachokuambia humsikilizi,  na alikukataza kumuoa huyo binti unaetaka  kumuoa,  ila hutaki kumsikiliza na ukaendelea na taratibu zako za kumchumbi,  unajua alipofariki babayako ulipewa ukuu wa familia,  na kuwa kama kiongozi katika ukoo sasa unawezaje kuwa kiongozi  mwenye kiburi  namna hii"


Kiukweli Ethane alisikitika sana kusikia taarifa hizo  kutoka kwa bamkubwa wake na mbaya zaidi zilitoka kwa mama yake mwenyewe,  hivyo aliamua kumuelezea  kilakitu bamkubwa wake,  na kisha akamuambia vile anavyonipenda alimuomba ridhaa ya kuja kunioa bamkubwa alimuelewa Ethane na kisha akamuambia


"Usihofu mwanangu tupo nyuma yako,   na kwakuwa tupo hai bado tuta muwakilisha babayako vyema kabisa,  hivyo wewe malizia maadalizi nitawaelewesha wote walielewa vibaya kuhusu wewe,   na kisha tutakaa na mamayako kumsahihisha atatuelewa tuu,  usihofu na msalimie sana mkwe wangu mtarajiwa"


Kiukweli Ethane alifurahi sana,  na  walipo maliza mazungumzo bamkubwa aliondoka,   na  Ethane aliamua kuenda kumalizia maadalizi yake ya harusi.

Hatimae siku ilifika nilivaa na kupambwa vizuri sana,  nilipendeza mno  mithiri ya binti mfalme,  na mjomba ndio alinishika mkono na kunipeleka hadi  madhabuni,   kisha alinikabidhi kwa Ethane,    na baada ya hapo taratibu ziliendelea ,  watu walikuja wengi sana hadi wafanya kazi wenzetu walikuja na ndugu jamaa na marafiki pia walikuwepo,   tuliapishwa kuwa mke na mume kisha tulielekea ukumbini,  ilikuwa ni harusi yakipekee ilivutia sana kwani mumewangu Ethane na wenzie wakaenda kuvaa mavazi ya kijeshi ukumbini,  nilifurahi mno sherehe ziliendelea  watu walifurahishwa sana na vitu vilivyoendelea ukumbini,   tulicheza mziki na kunywa vinywaji mbali mbali, nilitambulishwa kwa viongozi wote ndugu jamaa na marafiki,  kilamtu alikuwa na furaha na sisi,   muda ulienda sana mwisho  tulimaza sherehe,  na tulienda  fungate iliakuwa zanziba,  tulikodiwa boti na ofisini kama zawadi na wafanyakazi,   wenzetu walitupa zawadi nyingi sana,   tulipofika hotelini kiukweli nikiwa na shauku sana ya kumkumbatia mumewangu,  kisha  nikamuambia :


"Haya sasa hembu njoo hapa,  kwani tayari siogopi tena,  umesha kuwa wangu mimi wapekeangu"


Ethane alicheka na kuniambia:


"Huogopi sio"


"Ndio siogopi kwani nitapigana na mwanamke yeyote atakae kuchekea,   kwani wewe niwangu mimi tuu"

Tulifurahi sana,  kisha akanifungua zipu ya gauni niliyokuwa nimevaa,   na kunisaidia kutoa urembo niliokuwa nao,   nami  nilimsaidia pia kuvua nguo nae,  na baada ya hapo tulienda kioga bafuni pamoja,   ilikuwa niraha sana asikuambie mtu,   nilifungulia  maji ya bomba la mvua yakawa yanatumwakigia,   tukiwa tunatizamana kisha Ethane akanisogerea na kunimbia:


"Siombi ruhusa kukubusu tena,   nakubusu kilanikiwa na hamu ya kukubusu nitakavyo,  haya   hembu njoo hapa"


Alianza kunichum chum kisha akauzamisha mdomo,   na kuzinyonya vizuri rips zangu vizuri kabisa kimahaba,   kisha nilianza kuvurugwa namimi taratibu,   baada ya hapo nikajikuta namimi natoa sapoti taratibuu,   nilimnyonya vizuri rips zake,   na kisha Ethane  alishuka na kuanza kunyonya vizuri  chuchu zangu,  chuchu zilizo simama  mithiri ya embe sindano,  alizifyonza vizuri huku akiuguruma kwa raha,  na mimi pia nilikuwa nahema kwa shauku,   kisha alinigeuza  na kunishikisha ukuta,    hapo sasa  nilikibinua kikalio changu,   na kutanua kidogo miguu kisha aliingiza taratibu mashine,  kisha  kuanza kazi ya kupampu ilikuwa raha sana,   nilikuwa natoa sauti tamu za mahaba tuu,   yaani pia Ethane nae alikuwa akiunguruma kama simba mwenye njaa na kaona nyama hiyoapo,  tulikuwa na wakati mzuri mno hakika nikajikuta namuambia Ethane:


"Mimi niwako,   mali yako pekeako General  Ethane,  fanya vile unaweza,   nipe hadi nichanga nyikiwe,  kwani nakupenda sana Ethane"


"Mmmh! Asante Laura,   mmmh! Ooh yeah! Nipe yoote mkewangu ooooh! sssh mmmh!


Hadi ana pee ilikuwa raha jamani nilijihisi nipo dunia ya pekeetu kiukweli, tulipomaliza tulioga na kwenda kitandani kulala,  tulilala tukiwa tumekumbatiana hadi asubuhi ilipofika,  ilikuwa nzuri sana fungate yetu ya wiki nzima,  ilipoisha tulirudi nyumbani na kuendelea na taratibu za maisha yetu, mama yake Ethane aliamua kunikubali tuu atafanyaje ndio tayari nimeolewa na mwanae dada yake Ethane alitutumia zawadi kutoka nje ya nchi,  mimi alinitumia gari nzuri sana na ni mpya kabisa,  Ethane alitumiwa simu pamoja na laptop nzuri sana,  nilimsamehe mamaangu mzazi na kuendelea na maisha  mengine,    mungu ametujaalia mtoto wa kike mrembo sana jina lake ni Paula,familia yetu sasa imeongezeka na itazidi kuongezeka kwa uwezo wa mwenyezi Mungu..

Namshukuru Mungu kwa kunipa mume wa ndoto zangu kiukweli nina furaha sana..

MWISHO.
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 20



0742133100

Tuliongea sana na kupanga mambo mengi yamaisha yetu,  hakika nilifurahi mno kwa upande wangu,   siku iliisha na siku iliyofuata wale washenga walikuja na kupewa majibu,   wakaondoka tukaanza kujiandaa kupokea mahari,    hatimae siku ilifika ya kupokea mahari,   mahari walileta wale wale wazee na ikapangwa tarehe ya  harusi,   ilikuwa haraka haraka Ethane hakutaka kuchelewa tena,  tukiwa kwenye maadalizi ya harusi,  Ethane aliona ipo haja ya kumjulisha sasa mamaake,  mama yake hakufurahi kabisa,  aliamua kuwataarifu baba mkubwa na shangazi zake Ethane,  aliwaambia kwa namna ya yofauti mno,  kiasi kwamba siku moja Ethane akiwa na hekaheka ya maandalizi ya harusi,   alipigiwa simu na  babamkubwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya-20

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi general-sili-silali-juu-yako-sehemu-ya
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 13    Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 13 Nilikurupuka na kuinuka nikaifunga suruali yangu na kukaa kisha General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 15
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 05  Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 05 Hatimae nilifika  kwa General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO         SEHEMU YA 09    Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 09 Kisha niliinuka taratibu na kuondoka zangu
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO       SEHEMU YA 08  Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI  SILALI   JUU YAKO SEHEMU YA 08 Nilimtizama sana nilikuwa natamani niipore simu,  lakini nikajisemea kama kweli
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 12   Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 12 Nilipoweka vocha  kisha nilienda chumbani kwangu,  nikachukua kadi ya General
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO  SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 14
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO     SEHEMU YA 10  Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 10 Nilipo mkumbatia kwa nyuma alishtuka na kunishika mikono
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 04  Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 04 Kulipokucha tena alfajiri namapema,   filimbi ilipigwa,  wote tuliamka na kwenda mazoezi
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 19
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO    SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 17 na 18 0742133100
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 03  Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 03 Walipo fika Catrine alikuwa chini na mimi nilikuwa juu nampiga Catrine
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO   SEHEMU YA 02  Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
GENERAL SILI SILALI JUU YAKO SEHEMU YA 02 Asikuambie mtu nilijisikia vibaya kweli kufokewa mbele
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67

643
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65

578
MY WANGU❤️ sehemu ya 68

MY WANGU❤️ sehemu ya 68

497
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘

430
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20

353
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70

293
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘

222
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20

92
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13

85
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11

70

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.79K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.65K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.01K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.43K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.4K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.27K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.25K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.24K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.14K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 19 MPAKA 20
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 19 Daah nikasema.mwanangu iyo chupi.nimemnunulia fatuma.natka nikampelekee si unjaua bado week 3 tunaenda likizo. Lemi akaniangalia akasema mh . Aya bwana hkuna noma.mi nikaivuta ile chupi. Nikaweka chini...

MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 16 MPAKA 18
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 16 Basi nikapata kaumarufu kweli kweli pale chooni. Yani ata wadada wakawa wananishobokea sana. Naomba unifundishe nifundishe kama zote. Wadada full shobo na mimi. Ata washikaji wakawa...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 46💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 46💘💘
@majario LIVE

Moyo wangu ulianza kudata juu yaHemed🥹🥹 nilijaribu kuongea nao lakini wala haukunisikia niliuambia moyo tulia hukuhuku kwa boo tayari tushasolve tatizo lililokuwepo Acha kuhamahama😟😟 lakini moyo bado ulizidi kung'ang'ania kwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 69 na 70
@majario LIVE

Basi nilipata kafuraha mno. Nikachukua pesa yangu .nikarudi darasani kuendelea na ratiba zangu. Uwiiiiii nilifurahi sana. Yani sana tu. Na prepo ilivyoisha tukarudi darasani. Mie nikampa tu yule mwanafunzi...

MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 14 MPAKA 15
@majario LIVE

🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Sehemu ya 14 Aseee mi nilimuangalia sana uyu demu. Nikamuona jau . Yani yupo very serious ananitongoza .mnajua kuna jinsi nilimdharau . Nikaona uyu demu daaah. Alivyoona namshangaa na sijamjibu...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 12 na 13
@majario LIVE

12 MPAKA 13 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Nikasema vp mbona huniachii mkono. Akanmbia ahaa sory haji. Kisha akaachia mkono wangu. Na mda uo uo ndo lemi akawa analudi pale. Akasema ahaaa mrembo upo...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 10 na 11
@majario LIVE

10 MPAKA 11 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Aseeeee uyu demu ni mzuri bwana. Mi. Mwenyewe nilikubali. Ila sio kwamba nilimtamani no. Mi ni mwanaime ninayejielewa sana. Wanaume tuna tamani mno. Ila unakuwa na msimamo wako...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 7 na 8
@majario LIVE

7 MPAKA 9 🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡🟡 Basi bwana tukivyotoka kula sasa. Mi nikaludi ndani ila lemi akanmbia kuna mtu anakutana nae kidogo nikasema powa so nikamuacha mimi nikaludi hostel.aseeee chuo kimechangamka iki sana. Yani...

MY WANGU❤️ sehemu ya 68 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 68
@majario LIVE

Basi akashuka. Akamsalimia mama pale. Mama akamuitikia. Akaniuliza. Ushakuwa tayari. Mie nikasema ndio . Akanmbia kachukue nilivyokwambia tupakie. Nikasema sawa. Kweli nikaenda kuchukua. Vilikuwa vidogo. Kweli. Vyengine niliviona kashanunua yeye...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 45💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love Niliipokea ile simu huku nikiwa natetemeka kwa uoga..... hello daddy.... pendo what's going on 🤷‍♂️ taarifa gani hizi nazoambiwa kwani hamkumaliza tofauti zenu inatakiwa muache drama mtakuja kunitesea...

MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

Aseeee nilikuwa na maumivu kwa kila sehemu ya mwili wangu. Nilikuwa na maumivu makali mnoo. Asa mkono . Yani sikuwa sawa kabisa. Namsikia mlige akiwa ndani .anasema yani nikitoka njeee...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA  SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

Nilikuwa najilazimisha hata kucheka mama aliniona ila akajua labda ni uoga tuu akaniambia mwanangu usijali bhana Kila kitu kutakuwa sawa na ndoa yako itapita vizuri tu nikawa namjibu kwakichwa saw,...

MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 64 na 65
@majario LIVE

Basi mie nikaingia chumbani nikajilaza kitandani.nikalia mnoo .niklia aswaaa.mana mi.mwenyewe mlige nampenda.nampenda sana.na kweli nimemkosea ila hataki ata kuongea na mie ni ananifanyia hasira tu. Basi shoga yenu nikawa nalia...

PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
PILOT SITAKI INANIOGOPESHA SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

Sasa wakati uo nimeenda nikaja kufunguliwa mlango na Kendrick, na ilikuwa inaonekana nyumbani walibaki wao wawili tu na wafanya kazi, Alivonifungulia mlango mie nikapita moja Kwa moja mpaka ndani sikutaka...

MY WANGU❤️ sehemu ya 63 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 63
@majario LIVE

Basi bwna tumefika nyumbani . Mama akaja akasema eeh baba jamani pole kwa usumbufu wote. Mlige akasema usijali mma kuwa na amani kabisa mma akauliza shida nn wamesema.....

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest