Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
21 Aug 2025
334 views
VYOTE NDANI GONGA94
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 8
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Taratibu zingine ziliendelea huku ndugu wa kutoka maeneo mbali mbali wali wasili akiwemo shangazi mkubwa kutoka Mtwara muda huo nae alikuwa anawasili msibani
Shangazi mkubwa huwa nampenda sana na huwa anajali sana kiufupi roho yake nzuri mcheshi sana nilimpokea na kumkumbatia ndipo uchungu ulimjaa na kuanza kulia kwa sauti kubwa nikajikuta na mimi namsapoti kulia ππππππππππππππ
Ulipita muda kidogo na hapo watu walikuwa wamejaa sana nnje sauti za dua na vilio vilitawala ,π Msiba ulijaza watu wengi sana wakutoka Mtakanini,Rumecha,Hanga,Mawa,Mliyayoyo,na vijiji vyote vya jilani na Msindo
Hatimae saa saba mchana ilifika na muda wa kuswalia maiti ulifika Sheikh alitangaza anae taka kuswalia maiti akatie udhu na swala ikaanza
Tulikuwa tumekaa chumba cha wafiwa ni jirani kabisa na uwanja ambako ibada iliendelea baada ya kumaliza ibada ya kuswalia maiti taratibu zingine zilifuata kwa dakika chache na hapo ndipo tulipo anza tena kulia kwani muda huo jeneza lililobeba mwili likainuliwa na kuanza kuondoka ππππππ mama mama mama ,shangazi shangazi,wifi wifiiii ahaaaa haaaaaΓ haaaaaa mmmmmh vilio vilitawala sana kila mtu alitaja jina la marehemu vile anavyo mwita ,Inamana umetuacha kweli inamana hauta rudi tena kwa nini lakini hivi sisi tulikosea nini mbona hukutuaga , Maneno yalikuwa mengi sana ya uchungu mkubwa huku sauti za dua zikiwa tayali zinapotelea kwa mbali hadi zikawa hazisikiki tena ,ππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππππ
πππππππ
πππππππ
ππππππ
ππππππππ
ππππππ
ππππππ
ππππππππ
ππππππ
πππππ
ππππππππ
ππππππππ
ππππππ
πππππ
ππππ
"Baada ya kufika makaburi taratibu ziliendelea na muda huo huo vijana wakaanza kufukia haikupita muda kazi ya kufukia kaburi ilimalizika Sheikh alisoma dua ya kumalizia kwamba sisi ni wa mungu na kwake tutarejea Amin,
Kitendo cha kumaliza tu kusoma dua ziliibuka nyuki kusiko julikana na kuanza kushambulia watu kila mtu aliokoa nafsi yake wengine walikimbilia kwenye makaburi ya wakristo na kupalamia misaraba na kuvunja vunja bila ya wao kujua
"
Sauti kali zilianza kusikika kutokea mbali nyuki nyuki nyukiiii
haukupita muda mlefu watu wakiwa wanakimbia walianza kuja na kupitiliza ndani bila hodi milango yote ikawa inabamizwa kubaaa baaaaaah
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sik...
*PENZI LA OCTOBER (29)* *SEHEMU YA 01----03* Mpyaaaaaaπ₯π₯ ******* Nadhani hakuna mtu asiyekumbuka siku hii kubwa na ya muhimu sana ambayo kumbukumbu
zake hazitokaa zifutike kwenye akili za watu, kulikuwa na Uchaguzi mkuu kwa wengine na wengine ilikuwa ni siku iliyopan...
Tangazo - from bangi to baby fully stories 1 to 21
from bangi to baby fully stories 1 to 21
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 8
Taratibu zingine ziliendelea huku ndugu wa kutoka maeneo mbali mbali wali wasili akiwemo shangazi mkubwa kutoka Mtwara muda huo nae alikuwa anawasili msibani
Shangazi mkubwa huwa nampenda sana na huwa anajali sana kiufupi roho yake nzuri mcheshi sana nilimpokea na kumkumbatia ndipo uchungu ulimjaa na kuanza kulia kwa sauti kubwa nikajikuta na mimi namsapoti kulia ππππππππππππππ
Ulipita muda kidogo na hapo watu walikuwa wamejaa sana nnje sauti za dua na vilio vilitawala ,π Msiba ulijaza watu wengi sana wakutoka Mtakanini,Rumecha,Hanga,Mawa,Mliyayoyo,na vijiji vyote vya jilani na Msindo
Hatimae saa saba mchana ilifika na muda wa kuswalia maiti ulifika Sheikh alitangaza anae taka kuswalia...
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/haku-huko-mi-siwezi-part-8
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi haku-huko-mi-siwezi-part
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 5
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 9 (hali mbaya kijini leo nyukiii)πππππ
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 2
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 6
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 3
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 7
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 4
HAKU HUKO MI SIWEZI ππππ₯π₯π₯ Part 10 (Moshi mkubwa juu ya anga) wananchi wenzangu hali hii ni ngeni hapa kijiji kwetu toka kuzaliwa kwangu hadi umri huu sijawahi shuhudia...
Maoni