JAMANI NIPE CHANCE KIDOGO Chapter 13 Alitamani kuongea jambo lakini aliamua kunyamaza ili asiharubu siku yao muhimu
Walifika hotelini na kupelekwa kwenye chumba chako ambacho kilikuwa kimeandaliwa rasmi kwajili yao maharusi wapya. Kitandani kumwagwa mauwa na kuandikwa herufi za mwanzo za majina yao.
"Hii inavutia sana na kuamsha hisia na upendo. Aliongea Leyna huku akiwa anamuangalia Abisai usoni.
"Hiki ndio maana ya Fungate.
Leyna alikuwa hayupo sawa lakini hali ya chumba ilimfanya atulize moyo wake hisia za mahaba zilijaa.
Alimsogelea Abisai na kuushika tai yake huku macho yao yakiwa yanasngaliana.
Mume wangu naomba usiviruge akili yangu kwa wivu nipe nafasi tuziachie nafsi zetu ufurahie..... Kabla hajamaliza kuongea midomo ya Abisai uligusa midomo ya Leyna na kuanza kukiss. Baada ya hapo Abisai alimbeba mke wake na kumlaza kitandani.
Siku hiyo kweli ilikuwa rasmi kwa uzinduzi wa penzi lao, japokuwa waliwahi kukutana huko nyuma lakini ilikuwa kama ndio kwanza wamekutana siku hiyo.
Wakifurahia usiku wa kwanza wa ndoa yao huku wakiongea kuhusu maisha yao mapya ya ndoa, kila mmoja alimuahidu mwenzake mambo mazuri.
Mke wangu Leyna, nafahamu unaniona mimi kama kikwazo kwenye maisha yako lakini kiukweli ni kwamba nakupenda sana na nakulinda kutokana na watu wenye tamaa.
nilikuwa nahodha sana kunyang'anywa na watu wasiothamini mapenzi ya watu.
"Sasa ondoa shaka mume wangu nimeshakuwa mke wako, tumekuwa ya mini hakuna wa kunichukua kwako.
"Asante mke wangu.
Usiku huo waliongea sana mpaka kukaribia kukucha wakapitiwa na usingizi.
Kesho yake kwenye majira ya wanne asubuhi waliondoka na kwenda kupanda boti kwaajili ya kwenda kisiwani kumalizia Fungate yao.
Walifika kisiwani walipokelewa na hali ya hewa safi yenye kupendeza na kuvutia mwanana ukiwauliza. upepo
Mume wangu hii ni sehemu nzuri sana, sikutegemea kama tungekuwa Fungate kwenye Mashali ya kuvutia kama haya.
"Umependa? "Yani ni zaidi ya kupenda.
Najua viti anavyopenda mke wangu ndio maana nikachagua Fungate yetu iwe hapa.
"Jamani mume wangu, asante. "Basi twende chumba kwanza
. Walishikana mikono kwa mahaba wakawa
wanaelekea kwenye chumba chao cha fungate huku muhudumu akiwa amewabeba mabegi yao Walipofika kwenye chumba chao leyna alibaki
mdomo wazi jinsi chumba lilivyokuwa kizuri. "Waoooo! Abisai ndio umeamua kumshangaza hivi?
Abisai aliachia tabasamu akamsogelea na kupitisha mkono wake wa kushoto kwenye kiuno cha Leyna.
"Ukiiniita mume wangu nitafurahi zaidi.
"Sawa mume wangu.
Alisema Leyna na abusal amtunukia busu kwenye paji la uso.
Abusai alipiga hatua kusogea mbele
akafuvutacpazia moja kubwa na kubakia mlango mkubwa wa kioo ambao ulikuwa unaonyesha nje. Ilionekana bahari na watu waliokuwa wakiongelea baharini. Alifungua mlango wakatoka nje ya kibaraza kulikuwa na meza ndogo pamoja na viti viwili, upepo mwanana ulikuwa ukiwapuliza.
Hapa ndipo tutakuwa tukikaa na kupunga upepo.
Baada ya hapo walienda bafuni kuoga walipotoka wakiagiza chakula, walikula kwa mahaba mazito Leyna alianza kuifurahia ndoa ambayo alihisi itakuwa ni kifungo.
Fungate yao ilienda vizuri huku wakipeana mahaba moto moto Abisai hakuwa yule wa zamani wa kumbana Leyna Kila alipokuwa
layna na Abisai alikuwepo.
Siku moja usiku wakiwa kitandani Leyna akiwa kajilaza kifuani kwa mume wake mara simu ya Leyna iliita.
"Baby ni nani anapiga simu saizi? Sijui. Alijibu Leyna kisha akanyanyuka
kuchukua simu. Kabla hajapokea Abisai alichukua na kuangalia akakuta ni namba haina jina.aliamua kupokea na kukutana na sauti ya
mwanaume.
"Hallow.
Abisai alitulia kidogo huku akimuangalia Leyna usoni.
* Wewe ni nani unapiga simu muda huu, kwani hujui unaempigia ni mke wa mtu na saizi Kalala na mume wake?
Naitwa Erick nilikuwa nataka kuongea na Leyna.
"Wewe ni nani kwake? "Rafiki ya...... Kabla hata hajamaliza kuongea
Abisai alimkazia.
"Sikiliza wewe mtu unaejiita Erick, Leyna sasa ni mke wa mtu haitaji marafiki zaidi ya mimi mume wake. Kina kupiga tena hii namba.....
"Leyna aliposikia jina la Erick alikuwa na shauku ya kutaka kuongea nae, alijaribu kuomba simu lakini Abisai alikataa alichofanya ni kukata ile.
Full 1000
Whatsp 0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi


Maoni