Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES)
Gonga94 · Stories

KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES)

1. Usimdhuru mwanamke kwa njia yoyote ile – hasa kingono.

2. Mwanaume halazimiki kupika vyakula vitamu kila mara, lakini siyo kosa kujifunza.

3. Ni vyema wanaume wawili kutokuwa uchi pamoja – heshimu mipaka ya mwili.

4. Mwanaume wa kweli huogelea kwa maji ya baridi; anaulinda uzalendo wake.

5. Mwanaume wa kweli hujua muda wa kuondoka bila kuambiwa.

6. Usimuulize Mwanaume jina lake kila mara – mkiitana “Bro,Chef, Kiongozi inatosha

7. Nguo zako zikitoa harufu kali, unapaswa kujijali – usitumie hilo kama sifa, Mwanaume hasifiwi kwa uchafu

8. Ukiona mpenzi wa Mwanaume mwenzako yupo, jiondoe bila kusubiri kuambiwa.

9. Usimchekelee Mwanaume mwenzako ili kuwapendeza wanawake.

10. Mwanaume wa kweli halipi pesa ili kupata mapenzi , kamwe.

11. Mpenzi wa Mshikaji wako wa zamani, nawe ni wa zamani – ni mwiko kumtamani , acha kabisa hii tabia chafu.

12. Mwanaume Tafuta hela kwanza kabla ya kutafuta mapenzi.

13. Mwanaume wa kweli hakikisha Kama hupendi filamu fulani, ni sawa – lakini usiwadharau wanaoziangalia.

14. Dada wa Mshikaji wako ni kama dada yako pia – Muheshimu sana.

15. Tazama maudhui yenye maana, lakini usihukumu wanachokitazama wengine . ( Mfano kama unatazama movie nzuri inayoelimisha wengine wanatazama katuni pembeni yako achana nao usihahukumu )

16. Ukifanikiwa, Usimtupe yule aliyekuwa nawe – mbadilike pamoja kimaisha wote mfanikiwe.

17. Usifanye majukumu ya mume kama mwanamke huyo bado ni demu wako tu wa kawaida ( hujamuoa ).

18. Mwanaume wa kweli hakati tamaa – anapumzika na kuendelea kupambana.

19. Ukiambiwa na mwanamke wewe ni dunia yake, kumbuka dunia inazunguka – usijisahau.

20. Mwanaume Usichukulie mapenzi kwa uzito kuliko maendeleo yako binafsi.

21. Usisaliti Mwanaume mwenzako kwa mwanamke wake – uaminifu ni msingi.

22. Mwanaume Ukipewa siri, iwe siri milele.

23. Mwanaume wa kweli hujali usafi na muonekano wake.

24. Usibishane na Mwanaume mwenzako hadharani – mzungumze faraghani myamalize kiume.

25. Mwanaume huinua Mwanaume mwingine – si kumporomosha.

26. Usimtangazie kila mtu matatizo ya Mwanaume mwenzako– mlindie heshima.

27. Mwanaume wa kweli huomba msaada, haoni aibu kusema “sina” au “nisaidie”.

28. Msichana akimkataa Mwanaume mwenzako, wewe pia huna nafasi – ni heshima.

29. Usivunje uhusiano wa Mshikaji wako kwa umbea au fitina.

30. Mwanaume mwenzako si adui, hata mkikosana – mshikamane bado.

31. Kuwa Mwanaume wa kweli si jina, ni matendo.

Kama unakubaliana na hizi kanuni react hapa wewe ni Mwanaume wa nguvu 👊💪
Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES)

KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES)

1. Usimdhuru mwanamke kwa njia yoyote ile – hasa kingono.

2. Mwanaume halazimiki kupika vyakula vitamu kila mara, lakini siyo kosa kujifunza.

3. Ni vyema wanaume wawili kutokuwa uchi pamoja – heshimu mipaka ya mwili.

4. Mwanaume wa kweli huogelea kwa maji ya baridi; anaulinda uzalendo wake.

5. Mwanaume wa kweli hujua muda wa kuondoka bila kuambiwa.

6. Usimuulize Mwanaume jina lake kila mara – mkiitana “Bro,Chef, Kiongozi inatosha

7. Nguo zako zikitoa harufu kali, unapaswa kujijali – usitumie hilo kama sifa, Mwanaume hasifiwi kwa uchafu

8. Ukiona mpenzi wa Mwanaume mwenzako yupo, jiondoe bila kusubiri kuambiwa.

9. Usimchekelee Mwanaume mwenzako ili...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kanuni-31-takatifu-bro-codes

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kanuni
🚨 CAF imetangaza kanuni kuu kabla ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho msimu wa 2025/26:
🚨 CAF imetangaza kanuni kuu kabla ya mashindano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho msimu wa 2025/26:
Kanuni za soka la mtaani enzi zile:
Kanuni za soka la mtaani enzi zile:
KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES)  1. Usimdhuru mwanamke
KANUNI 31 TAKATIFU (BRO CODES) 1. Usimdhuru mwanamke
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.12K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest