Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA TANO*
Gonga94 · Stories

KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA TANO*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Shahidi alinyamaza kidogo.

Nilmekuuliza nataka jibu Shahid.

Mama naomba kesho nije tuongee kwenye simu hatutaelewana.

Nataka kesho mapema kabisa uje, yani kabla haujaenda kazini. Baba yako anahitaji kujua hili kwa kina

Sawa mama. Shahid alikata simu na kuendelea kucheza na Shania.

Kesho yake Shahid aliamka mapema sana huku Shania akiwa Kalala pembeni Akimuangalia na kujisemea. yake

Hakuna mtu wa kuvunja upendo wetu Shania, nitapambana, nitakupigania wewe na mtoto wangu sitakubali uwende mbali na mimi.

Baada ya kufikiria alinyanyuka akaenda jikoni, alimkuta Tessy anaanza kufanya usafi.

*Habari Tessy.

*Salama baba kijacho mmeamkaje?

Shahidi alitabasamu

Salama, vipi umeandaa kifungua kinywa?

Bado nafanya kwanza usafi ndipo niandae.

Achana na mambo ya usafi nilikwambia

ukitamka tu anza kuandaa kifungua kinywa

unajua Shania huwa anaamka na njaa sana.

Sawa Boss naandaa sasa hivi. *Fanya haraka tafadhali.

Sawa.

Ilipofika Mida ya saa tano Shahid aliondoka na kuelekea nyumbani kwao kwaajili ya kuongea na

wazazi wake.

Alifika nyumbani kwao na kusalimiana nao baada ya hapo kikao kilianza.

Shahid kuna kitu gani cha ajabu umefanya ? Mama yake aliuliza.

"Hakuna kitu cha ajabu nilichofanya.

Kwahiyo unataka kusema kuishi na kichaa ni

kitu cha kawaida? Baba yake alidakia.

Wazazi wangu naombeni mnipe muda kidogo. niweze kujielezea.

*Utatuambia nini tukuelewe wakati unatusibisha

na kushusha heshima yetu? *Sio kweli wazazi wangu kumbukeni hata kichaa

nae ni mtu anatakiwa kupendwa na

kuthaminiwa. *Toa maneno yako ya kipuuzi hapa huyo kichaa

wako sitaki kumsikia. Mtanisamehe wazazi wangu nampenda sana

Shania na yeye ni mama wa mtoto wangu anayetarajiwa kuzaliwa mwezi ujao tu. Shahid mwanangu hivi kwa wadhifa wako ni

wakiwa na mwanamke kichaa kweli? Mama nilipokuwa na Aisha ulikuwa uliniambia ni mwanamke jeuri, hana heshima, ufujaji wa

pesa hafikirli maendeleo yeye ni anasa na starehe. Na mimi niliona hilo na nikakubali tabia

zake japo kuwa nilikuwa nakupa muda nikidhani atabadilika lakini kabla sijasikia nilipokuwa natarajia kufika ikatokea bahati mbaya kwa

Shania na akapata ujauzito.

*Hivi mwanangu watu si watasema Ulimboka kichaa kwasababu ya kupata pesa. *Wacha waseme mama ukweli najua mimi.

*Sisi hatumtaki.

"Wazazi wangu siwezi kumuacha.

Sikiliza wewe kama huwezi kumuacha huyo

kichaa wako basi hatutafikia kwako. Aliongea baba yao kwa hasira kisha akanyanyuka na

kuingia ndani.

Shahidi umeona baba yako kakasirika shauri yako upate radhi ya baba yako.

*Mama hakuna radhi ya aina hiyo.

Sasa kaa na ubishi wako litakalo tokea na huyo kichaa wako sisi hatupo. Ngoja siku moja ukiwa

usingizini akunyonge mpaka ufe.

Shania ni kichaa kweli lakini sio mkorofi. Hakuna kichaa ambae sio mkorofi nyie ndio

wale mnaambiwa mke wako kipofu unasema hapana ni chongo, sasa endelea kumlea huyo chizi wako likikukuta ndio utaelewa tulikuwa tunaongea nini.

*Lakini atakuwa mama wa mtoto wangu. Hiyo sio sababu ya wewe kung'ang'ania nae akijifungua tunamnyang'anya mtoto

anaenda zake mtaani.

Haiwezekani hatuwezi kufanya dhuruma atamlea mtoto wake kwanza vichaa wanajua

malezi.

"Eeeee... Sasa kaa na ujinga wako pumbavu. Mama yake pia aliondoka na kumuacha akiwa amekaa.

Shahidi alikaa kwa muda huku akiwa anafikiria ni

jinsi gani atamsaidia Shania na kurudi kwenye hali ya kawaida maana maneno ya wazazi wake yalimuumiza sana alipamani kuibuka mshindi

kwenye swala la Shania. Baada ya muda alinyanyuka akaenda kupanda kwenye gari lake na kuondoka.

Alielekea moja kwa moja kwa shangazi yake Shania.

Shikamoo shangazi.

*Marahaba. Shahidi kuna usalama kweli, mbona asubuhi asubuhi?

Ni salama shangazi ila kuna baadhi ya mambo kuhusu Shania nataka kuyajua ili yaweze

kuwawakilisha kwa daktari kabla ya kuanza matibabu yake.

Eheee unataka kujua nini?

*Kuna sababu iliyosababisha Shania kuwa vile? Ndio kuna sababu iliyofanya Shania kuchanganyikiwa na kuwa kichaa.

Itaendelea....

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KICHAA NA MIMBA YA BOSS SEHEMU YA KUMI NA TANO*



Shahidi alinyamaza kidogo.

Nilmekuuliza nataka jibu Shahid.

Mama naomba kesho nije tuongee kwenye simu hatutaelewana.

Nataka kesho mapema kabisa uje, yani kabla haujaenda kazini. Baba yako anahitaji kujua hili kwa kina

Sawa mama. Shahid alikata simu na kuendelea kucheza na Shania.

Kesho yake Shahid aliamka mapema sana huku Shania akiwa Kalala pembeni Akimuangalia na kujisemea. yake

Hakuna mtu wa kuvunja upendo wetu Shania, nitapambana, nitakupigania wewe na mtoto wangu sitakubali uwende mbali na mimi.

Baada ya kufikiria alinyanyuka akaenda jikoni, alimkuta Tessy anaanza kufanya usafi.

*Habari Tessy.

*Salama baba kijacho mmeamkaje?

Shahidi alitabasamu

Salama, vipi umeandaa kifungua kinywa?

Bado nafanya kwanza usafi ndipo niandae.

Achana na mambo ya usafi nilikwambia

ukitamka tu anza kuandaa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kichaa-na-mimba-ya-boss-sehemu-ya-kumi-na-tano

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kichaa-na-mimba-ya-boss-sehemu-ya-kumi-na-tano
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

299
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

205
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

86

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest