Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MAPENZI  NI  HISIA TAAM  1-----2 epsd 1.
Gonga94 · Stories

MAPENZI NI HISIA TAAM 1-----2 epsd 1.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 1.

Tukiwa bwenini shuleni nilikuwa najiandaa niende darasani kujisomea na wenzangu

Alikuja Chris na kuingia moja kwa moja bwenini kwetu kwa wasichana

Nilibaki nikishangaa kwani huyu kapitia wapi jamani

Tena kaingia hadi huku ndani

Nikaanza kumgombeza wewe umefuata nini huku au unataka nikusemee

Chris alinijibu nimekufua wewe Irene kunajambo nataka nikuambie maana kila nikitafuta muda nakosa

Nikamuuliza hilo jambo nijambo gani unalo kosa muda wakunieleza Chris

Alimjibu kuwa Irene nakupenda sana hasa nikikuona huwa nakosa hadi kujiamini ila leo nimeona nijipe ujasili na niongee mbele yako

Nikamwambia kuwa hivi unanini wewe haya ondoka haraka sana hapa mimi sitaki nipo hapa kusoma sio kuwa namahusiano

Chris alinisogelea na kunishika mkono akitaka kunibusu

Niliuputa na kumsukuma kisha nilikimbia mbio nilichukia sana

Chris aliona aondoke zake kwenye bweni lao

Siku iliisha siku iliyofuata asubuhi tupo darasani kwetu tunasoma alikuja Chris kwenye meza yangu na kuniachia karatasi

Niliichukua na kuisoma iliandikwa nifuate

Nilichukua ila nilitaka kujua nini anataka kuniambia tena maana nahasira na tabia yake

Alielekea nyuma ya vyoo nilimkuta huko nikamuuliza nini unataka jamani Chris

Chris alijibu ninachokitaka niwewe tuu sio kingine

Nilimjibu kuwa jua kuwa sikupendi hata usemeje umesikia Chris

Nikaondoka zangu nikaludi darasani nilichukia nikawa najiongelea mwenyewe

Hivi watu wengine sijui wakoje hawaelewi kabisaa mimi sipo hivyo angetatuta wahivyo

Mapenzi na mimi nitofauti kabisaa mimi kwanza ni shele sitaki kujihusisha na hayo mambo

Aliniona rafikiangu kipenzi Najma akaniuliza vipi Irene mbona unaongea pekeako kipenzi

Nilimjibu wewe acha tuu nitakuelezea baadae tukiwa bweni nimechukizwa sana

Tulipotoka darasani tulienda bwenini kuoga na kwenda kula

Nilipokuwa bweni na rafikiangu Najma nilimuelezea unajua huyu kijana anaitwa Chris ananiudhi sana

Najma akauliza kafanyaje kwani kipenzi

Nikamwelezea jinsi alivyo msumbufu yaana hadi bweni lawasichana anaingia eti anadai kuwa ananipenda

Najma akashangaa wee! usiniambie Chris huyu ninae mjua mtoto wa wazili

Nikastuka unasema Chris nimtoto wa wazili?

Najma akajibu ndio nimtoto wawazili

Endelea kufuatilia................

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 2.

Nilibaki kimya kidogo kisha nikakibu lakini hatakama ndio anisumbue

Mimi sijali kwasababu sijaja hapa kufanya mzaha nipo hapa kusoma tuu kwanza maisha ya nyumbani kwetu nayajua

Nikifeli naenda kuozeshwa sasa sitaki kuchezea maisha yangu hata kwanini

Yeye nimtoto wawazili maisha yeye nikama mchezo tayari yamefunguka

Mimi kwetu nimezaliwa wakike pekeangu kakazangu watatu na kusomeshwa nimefanyiwa hisanituu yaani baba hakutaka kabisa

Najma mmmh pole kipenzi ila ndio hivyo maana namjua huyo Chris huwa hakatariwi na mabinti

Nikamjibu basi mimi leo ndio nimemkataa

Najma aka guns mmh! Haya kipenzi

Tukaenda zetu kuoga na baada ya hapo tulienda kuchukuwa chakula

Tulikaa tunakula mala alikuja kijana mwengine akanipa kikaratasi

Nikakifungua kilikuwa kimeandikwa nakuhitaji nje nataka kuzungumza nawewe mwisho kiliwekwa sain ya Chris

Nilizidi kuchukia nikatoka hadi alipokuwa amekaa nikamwambia mbele ya wenzie Chris sitaki sitaki huu usumbufu wako umenielewa

Kisha nilitoka kwa hasira nikaenda zangu darasa lakujisomea nawenzangu

Alichukia sana kumfuata pale na kumkataa mbele ya wenzie

Alikuwa nikijana handsome mrefu mweupe ana body nzuri yakuvutia sana na alikuwa anaubabe sana kwa watoto wakike mkali kuwadhalilisha

Na kuwatumia anawapa rushwa viongozi wa pale boding kwenye mabweni akitaka lake lazima lifanikiwe

Hivyo aliinuka nakwenda nje alikuwa na hasira sana aliegemea ukuta kwamuda

Marafikizake walimfuata na kumuuliza tukamfanye nini Chris yule dada sema

Walipoona hajibu wakaanza kwenda darasani nipo akawaambia muacheni

Wakaludi ilikuwa ni ajabu kuacha kufanya jambo wakati anahasira

Huwa anapenda kuzui hasira kwa kufanya mazoezi alienda kukimbia na kupiga pushup

Muda wakuingia kwenda kulala ulifika tulienda kulala

Siku nyingine ilifuata alikuwa anajizui sana Chris lakini ningumu anaumia

Anatamani kunifanya nielewe lakini sitaki kumuelewa

Marafi zake wakamfuata Chris na kumuuliza kweli hili unaliacha lipite kweli

Chris akawajibu huyo sitaki aguswe namtu yoyote

Marafikizake woote wakaelewa kwa mala yakwanza Chris amependa mmmh nihatali

Alikuwa mtu asiniguse nisitake kitu yaani alikuwa kasimama nyuma yangu kama kimvuli nisiungue na jua nila mimi kujua

Nilikuwa nashangaa kunavitu vinatokea tuu nikihoji sipati jibu ndio hivyo na watu woote walikatazwa kuniambia chochote

Sikumoja nilipatwa na homa shuleni nilikuwa nahoma kali sana

Chris alitoa yeye helazake nipate huduma nzuri japokuawa tuna dispensary

Na alikuwa ananiagizia matunda na chakula chakunitia nguvu

Alikuwa hana raha kabisa alikuwa anaumia yeye mpaka wenzie wakajua sasa tulikuwa tunahisi tuu tumepata uhakika

Nilipopona alifurahi sana akanifuata darasani na kuniuliza Irene unaendeleaje sasa

Nikamjibu sio muhimu wewe kujua kwanini unajali kuhusu mimi nimekuambia ukae mbali namimi

Aliondoka zake na kuniacha nilimuambia Najma najisikia vibaya niagie kwa mwalim nitakuwa bwenini nimejipumzisha

Endelea kufuatilia.............

Full 1000
0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM 1-----2 epsd 1.


MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 1.

Tukiwa bwenini shuleni nilikuwa najiandaa niende darasani kujisomea na wenzangu

Alikuja Chris na kuingia moja kwa moja bwenini kwetu kwa wasichana

Nilibaki nikishangaa kwani huyu kapitia wapi jamani

Tena kaingia hadi huku ndani

Nikaanza kumgombeza wewe umefuata nini huku au unataka nikusemee

Chris alinijibu nimekufua wewe Irene kunajambo nataka nikuambie maana kila nikitafuta muda nakosa

Nikamuuliza hilo jambo nijambo gani unalo kosa muda wakunieleza Chris

Alimjibu kuwa Irene nakupenda sana hasa nikikuona huwa nakosa hadi kujiamini ila leo nimeona nijipe ujasili na niongee mbele yako

Nikamwambia kuwa hivi unanini wewe haya ondoka haraka sana hapa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-1-2-epsd-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 5.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 6.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????  NO: 03
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 03
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??  NO: 04
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 04
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 8.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA   NO: 15
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA NO: 15
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA Epsd 12.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????  NO: 18
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 18
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 14.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 7.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??  NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 9
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA  NO: 17
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA NO: 17
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 11.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 10.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA epsd 13.
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37

1.14K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39

711
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16

275
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18

143
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20

50
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18

44
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇

31
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14

11
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.62K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.37K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.8K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.28K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.86K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.66K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.61K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.55K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇 Post Mpya
AINA ZA MIZUNGUKO YA HEDHI KWA MWANAMKE NA SIKU ZAKE ZA HATARI.👇
@majario LIVE

Kila mwanamke ana mzunguko wake lakini hii ndiyo mizunguko ambayo kila mwanamke lazima awe na mzunguko mmoja kati ya hizi:👇 1. MZUNGUKO WA SIKU 22. Huu ndo mzunguko mfupi kuliko mizunguko yote...

Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC Post Mpya
Mashabiki wa Kaizer Chiefs waumizwa na Kitendo Cha Rushine kusalia Simba SC
@majario LIVE

Baada ya jana klabu ya Simba kutangaza kumuongezea mkataba mpya wa mwaka mmoja beki wao kitasa Rushine De Reuck, baadhi ya mashabiki wa soka nchini 🇿🇦Afrika Kusini haswa wa Kaizer...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

ENDELEA....... Madame Yustar alitoa amri mimba itolewe ili kuepusha laana kwenye ukoo wao. "Hapana siwezi kutoa mimba hata iweje" Mellisa alimvimbia mama yake. Saa ngapi asilukiwe akaanza kutembezewa kichapo. Nae hakukubali apigwe kilahisi,...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

ENDELEA......... Mipango yangu iliendelea kwenda vizuri. Nilifanikiwa kufungua duka langu la spea za magari mke wangu alikuwa nsimamizi mzuri. Japo hakuwa na elimu ila alikuwa na akili ya biashara sana na...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 14
@majario LIVE

SONGA NAYO.... Niliwaona mama na baba yangu wakiwa wanamshangaa sana yani walishangaa mpaka wakanisahau mtoto wao kama naumwa 😂 Basi mimi niipomuona Anfrey nilinyanyuka na kwenda kumkumbatia " Nasrat wangu, yupo wapi mtoto...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Siku iliyofuata, Noela alipofika chuoni alihisi hali si ya kawaida. Watu walikuwa wanamuangalia kwa macho ya ajabu, wengine wakinong’ona pembeni yake. Alijaribu kupuuza lakini hali ilikuwa mbaya zaidi alipoingia darasani😭. Mwishowe,...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 16
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Salmon alisimama pale akimtazama Noela na baba yake kwa macho yaliyojaa hasira na maumivu. Hakutegemea kabisa kumuona Noela akiwa kwenye dinner ya kimapenzi na baba yake mwenyewe. Iris yeye alisimama pembeni,...

Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie) Post Mpya
Nadhani katika jitihada za kuhakikisha tunapeleka mbele kiwanda cha filamu Tanzania (Bongo Movie)
@majario LIVE

lazima baadhi ya mambo tuambiane ukweli mchungu hili uwe tiba kwa vizazi vijavyo pamoja na wasanii chipukizi. Hili swala la Chado Masta kuzaa na Kidemu Jau kuna namna sio salama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 39
@majario LIVE

Daaah unajua mtoto alibaki kashangaaa ,et akasogea nyuma yangu akajificha, aseeee zena akainuka kwa kwa hasira ,akaja akamvuta mtoto, akamipiga konde moja la mgongo zito kwei kweli ,yani hii siku...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi nikasema ummy upo mama, ummya kanmbia ndio baba nimekumiss, kila siku niktaka kuongea na wewe mama ananikatazia, nikasema ooh sawa mama ndo mana leo nimekuja kukuona mama sawa, basi...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi zena akanmbia ni sawa pia, nikasema powa ibraa twenzetu, ibra akanmbia mh millan usipanic bwana ,uyu mwanamke alafu sa hizi ana hasira, ebu tulia tuongee vizuri kaka, mbona...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 16
@majario LIVE

ENDELEA......... Tuliingia room tulifanya yetu baada ya hapo tulitoka mie nililudi kazini na Mellisa aliludi nyumbani. Majira ya jioni nilimpitia Madame Yustar kazini kwake. Aiseeee nae akataka yaani nilikuwa nachoka kinouma asikwambia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE   SEHEMU YA 15 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 15
@majario LIVE

ENDELEA.......... Ndani ya masaa kadhaaa niliingiza mkwanja wa milioni tatu na nusu kutoka kwa jimama la mjini. "Hata Madame Yustar hajawaibkunipa pesa nyingi hivi kwa muda mchache. Huyu nimkubalie nini?" Nilijiuliza mwenyewe....

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 14
@majario LIVE

ENDELEA.......... Mellisa nae alibana nje ya mlango wa chumbani kwa mama yake alitaka kujua nini kinaendelea. "Hapana mazingira ni hatarishi sana" "Unamuhofia nani na tupo nyumbani kwangu, kwanza nataka dunia yote ijue kuwa...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE SEHEMU YA 13
@majario LIVE

ENDELEA........... Watu pombe ziliwakolea mie sio mnywaji wa pombe nilikuwa naangalia tu maujinga wanayoyafanya. Mkojo ulinibana nilienda chooni ile natoa tu dudu mlango ulifumguliwa aliingia mshangazi mmoja kati ya wale waliokuwa wananisifia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest