Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

Marijani Rajabu, akirekebisha mambo studio
Gonga94 ยท Stories

Marijani Rajabu, akirekebisha mambo studio

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
UZI: Pichani ni Marijani Rajabu, akirekebisha mambo studio. Huyu ni mmoja wa wanamuziki mahiri nchini aliyezaliwa mtaa wa Somali, Kariakoo, jijini Dar mwaka 1954 na alilelewa kwa misingi ya dini ya Kiislamu.

Alipokuwa Tambaza Secondary school alikuwa akicheza mpira nafasi ya ugolikipa, na alikuwa anadaka sana. Lakini alipenda sana muziki, hasa wa Tabu Ley wa Kongo na Sorry Kandia wa Guinea.

Akaanza safari yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 18 na STC Jazz Band, chini ya Raphael Sabuni, na kufanikiwa kurekodi nyimbo kadhaa nchini Kenya kupitia lebo ya Phillips.

Mwaka 1972, alijiunga na Safari Trippers, ambapo kipaji chake kilionekana zaidi, akiinyanyua bendi hiyo kuwa maarufu kwa vibao kama Rosa Nenda Shule, Georgina, na Mkuki Moyoni.

Hata hivyo, migogoro ya wanahisa iliizima Safari Trippers, na Marijani akajiunga na Dar International, ambako walipata umaarufu kupitia vibao kama "Mwana mpotevu au Mzee Saidi" "Zuena" , "Mwanameka" na vingine kibao.

Hata hivyo, changamoto za kifedha na ukosefu wa haki za wasanii ziliathiri kazi yao, nyimbo zao tisa zikiuzwa kwa Polygram bila ridhaa yao.

Baadaye, Marijani alishiriki Tanzania All Stars, kikundi kilichorekodi nyimbo za Kizalendo zenye ubora wa hali ya juu.

Alipitia bendi kadhaa, ikiwa ni pamoja na Mwenge Jazz na Kurugenzi Jazz ya Arusha, kabla ya kuanzisha Africulture, ambayo ilikumbwa na changamoto za kifedha.

Kufikia 1992, hali yake ilikuwa duni, akiwa hapigi muziki na huku akiishi kwa kuuza kanda zake.

Jabali la Muziki liliaga dunia Machi 23, 1995 na kuzikwa kesho yake machi 24 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam, akihitimisha tena utamaduni wetu wa wanamuziki kufa masikini.
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Marijani Rajabu, akirekebisha mambo studio

UZI: Pichani ni Marijani Rajabu, akirekebisha mambo studio. Huyu ni mmoja wa wanamuziki mahiri nchini aliyezaliwa mtaa wa Somali, Kariakoo, jijini Dar mwaka 1954 na alilelewa kwa misingi ya dini ya Kiislamu.

Alipokuwa Tambaza Secondary school alikuwa akicheza mpira nafasi ya ugolikipa, na alikuwa anadaka sana. Lakini alipenda sana muziki, hasa wa Tabu Ley wa Kongo na Sorry Kandia wa Guinea.

Akaanza safari yake ya muziki akiwa na umri wa miaka 18 na STC Jazz Band, chini ya Raphael Sabuni, na kufanikiwa kurekodi nyimbo kadhaa nchini Kenya kupitia lebo ya Phillips.

Mwaka 1972, alijiunga na Safari Trippers, ambapo kipaji chake kilionekana zaidi, akiinyanyua...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/marijani-rajabu-akirekebisha-mambo-studio

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi marijani-rajabu-akirekebisha-mambo-studio
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.57K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.12K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest