Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 02  ENDELEA...... "Hajambo kabisa"   "Na mipango mengine si inaenda vizuri?"  "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"  "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum
Gonga94 ยท Stories

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
BINAMU WEWE UNGEWEZA?

SEHEMU 02

ENDELEA......
"Hajambo kabisa"

"Na mipango mengine si inaenda vizuri?"

"Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"

"Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tumbo lionekane ndo uniambie kama ni mjamzito" Mama aliongea hayo mie huyo nisiangue kicheko.

"Mama bhana umeanza mambo yako. Tangu lini nikakuficha mambo yangu na wewe ndo msiri wangu"

"Sasa mbona hili umenificha ndo maana nasema labda unasubiri tumbo likuwe"

"Ndo kwamba unamaanisha mimi huyu ni mjamzito?, mama bhana"

"Una kichaa wewe?, hujui kama una mimba au unanizuga mbwa wewe. Mtu mzima dawa popote anapokuwa mimi nimekuzaa wewe na ndo wa kwanza kuona jua unanificha mimba jinga kabisa wewe"

Nilifikiria kwa dakika chache huku nikipiga mahesabu kwenye kichwa changu.

"Inaweza kuwa kweli mbona sijaingia kwenye siku zangu karibia miezi miwili" niliongea hayo kwa sauti.

"Yaani Nice na utuuzima huo hujui hata dalili za mimba?"

"Mama nina tabia ya kupitiliza siku zangu ni ngumu kujua mapema kama nina mimba". Nilijitetee ila ni uongo mtupu.

Hata sikuamini kama ni kweli ni mjamzito. Majira ya jioni niliondoka nyumbani nilitaka nihakikishe kama kweli nina mimba. Moja kwa moja nilienda hospitali.

Nafika tu hospitali kwa mbali niliwaona Manka na Sony wanaelekea parking huku Sony akiwa amemshika Manka kwa uangalifu sana. Wivu wa mapenzi ulinikaba haswaaa! Niliendelea kuwatazama mpaka walipoondoka eneo hilo na wao wala hawakuniona.

Nilienda kuonana na doctor alinifanyia vipimo ni kweli nilikuwa mjamzito tena wa miezi miwili.

Nilifurahi sana maana ni matamanio yetu mimi na Sony kupata mtoto hasa Sony alikuwa na hamu sana ya kuitwa baba.

Niliondoka hospitali kwa mbwembwe zote. Nilijua muda huo Sony atakuwa nyumbani kwangu tu. Maana hawezi kuondoka akamuacha mgonjwa peke yake.

Nilifika nyumbani ile naingia ndani nikamkuta Manka amekaa kwemye sofa alafu miguu kainyoosha mezani. Mkononi kwake ana kipande cha rimao.

"Unaendeleaje?" Nilimuuliza kiroho safi.

"Salama" Alinijibu kwa mkato tu.

Sikutaka kumjali sana tena nina furaha zangu mwenyewe nilamuuliza kuhusu Sony.

"Ni muhimu kuliko mimi binamu yako?, Ok yupo jikoni ananiandalia supu" Sikutaka mambo yawe mengi nilielekea jikoni moja kwa moja.

Ni kweli nilimkuta Sony anaandaa supu. Nilimkumbatia nyuma ya mgongo kwa mahaba kama yote ila niliishiwa pawa kwa maneno aliyonitamkia. Wacha nilie kwanza ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ........ITAPENDEZA.........
Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 02 ENDELEA...... "Hajambo kabisa" "Na mipango mengine si inaenda vizuri?" "Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni" "Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tum

BINAMU WEWE UNGEWEZA?

SEHEMU 02

ENDELEA......
"Hajambo kabisa"

"Na mipango mengine si inaenda vizuri?"

"Kabisa mama, tegemeeni mambo mazuri hivi karibuni"

"Hata mimi naona Japo unanificha mama yako kwa jambo kubwa kama hili labda unasubili mpaka tumbo lionekane ndo uniambie kama ni mjamzito" Mama aliongea hayo mie huyo nisiangue kicheko.

"Mama bhana umeanza mambo yako. Tangu lini nikakuficha mambo yangu na wewe ndo msiri wangu"

"Sasa mbona hili umenificha ndo maana nasema labda unasubiri tumbo likuwe"

"Ndo kwamba unamaanisha mimi huyu ni mjamzito?, mama bhana"

"Una kichaa wewe?, hujui kama una mimba au unanizuga mbwa wewe. Mtu mzima dawa popote anapokuwa mimi nimekuzaa wewe na ndo wa kwanza kuona...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/binamu-wewe-ungeweza-sehemu-02-endelea-hajambo-kabisa-na-mipango-mengine-si-inaenda-vizuri-kabisa-ma

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi binamu-wewe-ungeweza-sehemu
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 05
BINAMU WEWE UNGEWEZA?  SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 03
BINAMU WEWE UNGEWEZA?    SEHEMU 04
BINAMU WEWE UNGEWEZA? SEHEMU 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.87K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.5K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.23K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.18K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.91K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.72K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.64K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.63K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest