MREMBO YATIMA NA KIJANA TAJIRI *SEHEMU YA 32* Nilimsikiliza Romy maneno yake badae nikamwambia lakini haujawahi kunitongoza kumbuka nilikwambia ile post ya siku ile haikumaanisha kitu chochote🥺🥺
Romy aliniambia hata kama ile post haikumaanisha chochote yeye tayari alishanipenda tangu mara ya kwanza tumeonana pale hotel..
Jiulize kwanini nilikuchagua wewe nikawaacha wengine Bella🥺🥺hii inadhihirisha kila kitu wazi..kwani bado huoni kama ninakupenda??.
Romy aliniuliza hilo swali nikakaa kimya badae nikamwambia naona lakini nahitaji kujiridhisha juu ya hilo😞😞.. Romy hakuwa na shida yoyote juu ya hilo aliniambia muda wowote nitakapokuwa tayari tutaanza mahusiano..
Sikuamini nilihisi huenda ananidenda denda then anibake kama nilivoota siku ile Arusha 🥺🥺🥺..
Wakati nayawaza yote hayo Romy aliniambia unaruhusiwa kuniamini Bella😊😊tena ikiwezekana niamini hata zaidi ya vile unavojiamini..
Really?.. akasema i am right 😊😊😊 wow nilitabasamu kisha nikamwambia asante nitaanza kukwamini sasa..
You are welcome 😊❤️ tulikumbatiana kisha tukaendelea kuwatch movie..
Mida hiyo tayari tulikuwa tumeshamaliza kula tupo zetu tunawatch movie fulani hivi la kikorea🥰🥰..
Mida ilipozidi kusonga Romy alianza kusinzia...nilimwamsha ili aende akalale aliniomba twende tukalale wote😳
Unamaanisha chumba kimoja??? Akasema yes Bella tunaweza kulala tu kama kaka na dada🥰❤️ huh kweli??? Akasema ndiyo let's go..
Alizima TV akanishika mkono tukaelekea chumbani...Romy alijitupia kitandani kisha akanyoosha mikono yake akiashilia nijilaze kifuani kwake🥰
Nilijirusha kifuani kwake🥰 usihofie chochote aliniambia hivo huku akivuta duvet ili tujifunike..
Alinifunika vizuri kisha akanikiss...alipomaliza alinitakia usiku mwema namimi nikamtakia usiku mwema tukalala..
Yani hiyo siku nilisinzia kuliko siku zingine zote🤣🤣nililala kwa amani kabisa bila kuhofia chochote..
Nilitokea kumwamini sana Romy 🙈🙈..isitoshe tulilala tukiwa tumevaa nguo tulilala mpaka asubuhi bila kufanya kitu chochote🙈🙈..
Yani mtu angetukuta tunatokea chumba kimoja alafu tumwambie hatujafanya chochote wala asingeamini🤣🤣🤣🙌
Mimi na Romy tuliamka asubuhi tukaswaki pamoja tukanawa uso baada ya hapo tukasaidiana kutandika kitanda kisha tukaenda kufanya usafi🥰🥰🥰🥰jamani alinisaidia kila kazi..
Tulideki pamoja tuliosha vyombo wote ye anaosha mi nasuuza tulipomaliza Ye alipika chai mi nikapika chapati🥰🥰🥰nilianza kuvutiwa na yule mshikaji..
Kwanza hakeri si mtu wa kufoka wala mihasira Romy is very humble 🥰🥰 tulipomaliza kupika tulikwenda kuoga hahahaa mnasubilia msikie kuwa tulioga pamoja🤣🤣
Alianza yeye kuoga muda huo nikawa napanga panga nguo zake vizuri kabatini alipotoka bafuni alikuta nimeshamwandalia nguo kisha nami nilienda kuoga..
Baada ya kuoga tulikwenda kula breakfast😋🥰🥰 tulipomaliza Romy akaniuliza kama ninahitaji any shopping..?
Nikamwambia lbda unipeleke saloon nikasuke alikubali akaniambia let's go 🥰🥰🥰 nilipelekwa saloon nikaosha nywele nikabandika wig baada ya hapo tulikwenda tukahemea vitu vya ndani tukarudi nyumbani..
Nilikaa pale kwa Romy kama week mbili hivi tukiwa tunaishi tu kirafiki bila kufanya sex..
Nakumbuka siku moja jioni tulitoka mimi na Romy that day Romy aliniambia anataka kwenda Beach so akaomba nimsindikize..
Tumefika pale Beach Romy akaingia kuogelea mi sijuagi kuogelea kwanza ni muoga wa maji nilibaki zangu nimekaa nakunywa cocktail🍸
Wakati niko pale kwa upande wa pili nikaona watu wanapamba pamba mapambo kama ya engagement 💍♥️
mmhhh nikavutiwa kwa sababu walipamba vizuri basi nikaendelea kuangalia..
Kichwani nikawa najiambia namimi siku nikivishwa Pete nataka nije nivishwe katika mazingira kama haya ya Beach 🥰
Basi bwana Romy aliendelea kuchezea maji mimi nikaja nikamuomba mdada alikuwa pale anipige picha...
Nimepiga picha badae na yule dada akaniomba namimi nimpige picha basi tukajikeep bize na picha badae tunakuja kumaliza swala la picha nikashangaaa😳
Akashangaa nini...?. Nini kimetokea???. Itaendeleaaaaaaa...
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi





Maoni