Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya kwanza.  Mke wangu amka basi ukaniweke maji nioge nataka niwai kazini.  " Nenda tu chooni maji yapo tayali nishamtumia sms hawa kashaweka maji tayali.
Gonga94 ยท Stories

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya kwanza. Mke wangu amka basi ukaniweke maji nioge nataka niwai kazini. " Nenda tu chooni maji yapo tayali nishamtumia sms hawa kashaweka maji tayali.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


" Samahani mke wangu hawa ni mtoto tu humu ndani kazi zake zipo sio kuniwekea mimi maji Jana nimeona umempa nguo zangu afue nikajua unaumwa labla Leo unamwambia akaweke maji.

" Mume wangu angekuwa mtoto wa mtu Sawa ni mwanangu kwanini niogope kumtuma mwanangu.

" Kwaiyo ni mwanao.

" Ndio mwanangu.

( Neno lilimuuzi sana mumewe...mama hawa amesisitiza ni mwanawe na ndio maana limetokea jina la simulizi mtoto wa mke wangu....karibu sana usome simulizi hii ni chombezo kama kawaida chombezo ni burudani yenye ujumbe na kusisimua mwili na akili...Samahani kwa wale wateja wangu napenda kuwafahamisha nimebadili namba ya MALIPO...zamani ilikuwa 0657774735....sasa ivi namba iyo itapatikana WhatsApp tu ila ukitaka kulipia utalipia kwa namba 0656666734...jina awadh...mtandao ni TIGO.....tuendele na simulizi yetu)

" Mke wangu mimi sipendi na kinachoendelea humu ndani kama vipi tafuta mfanyakazi awe anafanya kazi izi wewe uwezi.

" Naijua iyo kaoge uwende kazini.

( Mume akatoka akaenda kuoga anarudi anamuona mtoto wa mkewe ndio ananyosha shati la kuvaa yeye...Moyoni anaumia yeye kuandaliwa vitu na mtoto wa kufikia...akachukua Shati lile akaenda kuvaa akamaliza akamwita hawa)

" Hawa.

" Abee baba.

" Shika pesa hii wewe ndio utapanga humu ndani tule nini Leo.

( Mkewe pasipo aibu wala kumweshimu mumewe alitoa neno zito)

" Koma wewe mume wangu yani mtoto ndio umpe pesa ya kula humu ndani yeye ndio apange tule nini?

" Mke wangu kama kila kitu humu ndani anafanya yeye kwanini na hili asifanye.

" Unikome.

" Mke wangu mala ya kwanza nilijua limekutoka bahati mbaya unarudia tena neno hilo hilo nikukome.

" Tena ukomae marufuku kumpa pesa huyu yeye atafanya kazi uyu sio mdogo Atakuja kuolewa nionekane mimi sikumlea vizuri.

( Mume wake aliondoka kumuepusha shetani ila swala lile la kuambiwa koma lilimuuma sana...alifanya kazi bila kuomba ushauri popote ila anawaza ameoa mwanamke wa aina gani amekosa adabu...usiku amerudi kwake mkewe yupo kwenye sofa alafu mke anamwambia mwanawe)

" Mpoke baba yako.

" Sawa.

( Kweli akapokelewa...mume anamwangalia tu mkewe yupo bize na simu anacheka uku na yeye anachati alafu anamsikia anamwambia mtoto wake)

" Muweke chakula baba yako mezani ale alafu katandike shuka kitandani maji uliyoniwekea mimi ataenda kuoga yeye yani hapa Leo kwenye group kumedamshi.

( Mume mtu akutaka ata kumuuliza mke wangu unashindwa kunisalimia unashindwa kunipokea yeye akawa kimya alienda kuoga akarudi akala chakula sasa anaingia chumbani kwake ndio anamkuta hawa anatandika shuka)

" Hawa acha nitatandika mimi.

" Mama akikuona atanipiga mimi acha nitandike tu shuka.

" Sawa.

( Hawa akatandika shuka vizuri...uku mume wa mama yake yupo pembeni alipomaliza kutandika akatoka nje...jamaa akalala mpaka saa Saba usiku mkewe ajaja kitandani...akatoka akamuona yupo sebuleni yeye na kuchati kuchati na yeye kwenye group jamaa akamfanyia makusudi)

" Mke wangu Samahani naomba unilete maji ya kunywa.

( Jamaa akashangaa sasa mkewe anamwamsha hawa ampeleke maji ya kunywa yeye)

" Hawa hawa amka umpe baba yako maji ya kunywa.

( Jamaa akarudi ndani anawaza simu ni Bora kuliko yeye...hawa anachukua maji kwenye fliji anampelekea mume wa mama yake chumbani kweli akamkuta amekaa kitandani akampa maji...alikaa pembeni anasubili kikombe mama yake akaingia akamwambia mwanawe)

" Lala hapo kwenye sofa uyo akiamka tena akutume anachotaka mimi nipo sebuleni yani Wi-fi inaisha Kesho muda wake nataka nimalize mambo yangu Leo leo.

" Mke wangu kwa hili aliwezekani muache mtoto akalale chumbani kwake na wewe nenda kamalizie ilo Bando.

" Sawa.

( Jamaa akawa anamwangalia mkewe anavyoondoka pale chumbani uku anaongea mwenyewe...uyu mke au mkeka...hawa akaenda kulala chumbani kwake...jamaa akalala mpaka asubuhi...alijikuta peke yake kitandani akaamka akutaka kumsumbua hawa alijiwekea mwenyewe maji alioga akavaa nguo zake akaondoka kazini alimuacha mkewe kalala kwenye sofa...alifanya kazi kama kawaida kimya kimya ajamshirikisha mtu anayopitia kwenye ndoa yake...sasa jioni anarudi kwake ndio akaumia zaidi alipoona hawa anafua boxsa yake Alishika mdomo kwanza kwa mshangao)

" Mke wangu kweli akili hana kiasi hiki amempa hawa boxsa yangu afue nguo yangu ya ndani.

( Hawa yeye ajui chochote ndio kwanza anaifikicha pale katikati zinapokaa 1200)

Dah yani..

ITAENDELEA
Kama kawaida ukiona uku ujue ipo FULL kwani unazani mwisho wa picha hili itakuwaje?.

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya kwanza. Mke wangu amka basi ukaniweke maji nioge nataka niwai kazini. " Nenda tu chooni maji yapo tayali nishamtumia sms hawa kashaweka maji tayali.



" Samahani mke wangu hawa ni mtoto tu humu ndani kazi zake zipo sio kuniwekea mimi maji Jana nimeona umempa nguo zangu afue nikajua unaumwa labla Leo unamwambia akaweke maji.

" Mume wangu angekuwa mtoto wa mtu Sawa ni mwanangu kwanini niogope kumtuma mwanangu.

" Kwaiyo ni mwanao.

" Ndio mwanangu.

( Neno lilimuuzi sana mumewe...mama hawa amesisitiza ni mwanawe na ndio maana limetokea jina la simulizi mtoto wa mke wangu....karibu sana usome simulizi hii ni chombezo kama kawaida chombezo ni burudani yenye ujumbe na kusisimua mwili na akili...Samahani kwa wale wateja wangu napenda kuwafahamisha nimebadili namba ya MALIPO...zamani ilikuwa 0657774735....sasa ivi namba iyo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mtoto-wa-mke-wangu-sehemu-ya-kwanza-mke-wangu-amka-basi-ukaniweke-maji-nioge-nataka-niwai-kazini-nen

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mtoto-wa-mke-wangu-sehemu-ya-kwanza-mke-wangu-amka-basi-ukaniweke-maji-nioge-nataka-niwai-kazini-nen
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

789
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19

680
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20

513
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

478
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21

303
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4

51
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

2

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.47K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.76K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.61K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.56K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.47K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.45K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.45K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.44K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers โ€” but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY ๐Ÿฆ‹ 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee โ€œ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. Heโ€™s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. Itโ€™s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest