Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO
Gonga94 ยท Stories

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
......

Mimi Ni binti wa miaka 25 na Ni mtoto wa kwanza kwenye familia ya watoto wawili, nilikuwa na mdogo wangu ambaye kwa Sasa alitakiwa kuwa na miaka 18 mdogo wangu alijulikana Kama kamili, lakini kamili alizaliwa na ugonjwa wa ukoma wa ngozi na alikuwa mlemavu alikuwa na mikono tu lakini haujaaliwa miguu na hi ndio ilikuwa sababu kubwa ya baba kutuacha na kutelekeza familia.

Kamili alizaliwa nikiwa na umri wa miaka saba na nilikuwa darasa la kwanza, tulikuwa tukiishi kwenye nyumba yetu ambayo ilikuwa na vyumba viwili mjini dar es salaam maeneo ya mbagala rangi tatu, mama alikuwa muuza mboga mboga mtaani na baba alikuwa Ni muajiliwa katika kampuni kubwa Sana hapa dar es salaam na Kaz hiyo alipata mwezi mmoja kabla kamili kuzaliwa hivyo hatukuwai kula mshahara wake kwani baba aliondoka nyumbani pale tu alipogundua kuwa mama amejifungua mtoto mwenye kasoro.

Maisha yalianza kuwa mabaya kwani biashara ya mama haikuweza kukidhi maitaji yetu, ukizingatia Yuko na mtoto mdogo na anayeitaji uangalizi wa hali ya juu, muda ulienda nilisimama shule, lakini sio kuwa mama alitaka hapana niliacha mwenyewe kwakuwa sikuwa nikipenda kusoma, yaani nilikuwa bozongwa la mwisho kabisa, nashukuru Mungu nimeubwa nimeumbika๐Ÿฅฐ.

Maisha yaliendelea ingawa shida ndio zilikuwa zikiongezeka siku baada ya siku hata majilani walitutenga kwa kudai mama mchawi, ndio maana amepata mtoto wa namna hiyo, kipindi hiko mbagala sio Kama ya sasa hivi jamani, mama hakujali aliangaika Sana kwaajili yetu.

Nakumbuka Kuna siku nilicheza na watoto wenzangu lakini njaa ilikuwa ikiniuma sana na nyumbani hakuna kitu na mama alienda mtaani kutembeza mboga akiwa na kamili Kuna mmama nakumbuka alimfata meanae kwaajili ya kupata chakula Cha mchana niliamua kumfata ili nipate kula SI unajua utoto Tena

" Na Mimi naomba kula njaa inaniuma Sana na mama hayupo "

Yule dada aliniangalia Sana akacheka

" Kumbe Hadi watoto wa wachawi wanakuwaga na njaa"

Alizungumza hivyo dada huyo lakini sikuwa nimemuelewa akanisogelea karibu na kunifinya mashavu, kisha akasema

"Chakula nakupa lakini Kama utakubali kufanya kila ninachokuambia "

Haraka haraka nikakubali , Basi nikapewa ukoko na maharage nilikula Sana niliona kabisa huyu Dada amenisaidia maana njaa ilikuwa kali sana, nilimshukuru na kuondoka.

Kesho asubuhi na mapema mama akaondoka nikiwa nimeshakunywa uji akaniambia Kama nitasikia njaa ameniwekea uji mwingine ndani nilifurahi na kuondoka kucheza, yule dada aliyekuwa amenipa chakula akanifuata na kuniambia nimsafishie vyombk vyake, nilisafisha vizuri kabisa kwani mama alinifundisha kufanya Kazi nikiwa mdogo Sana

" Kumbe unajua kuosha eeeeh vipi chakula leo hautaki...??"

Nikamjibu

" Mama ameniwekea uji leo "

" Sikia mtoto mzuri mama yako hakupendi wewe anampenda kamili ndio maana anakuachia uji halafu wao wanakula ubwabwa, nitakupa chakula ule sawa..."

Nilikubali nikala pale ugali na dagaa nilifurahi sana

Mama aliporudi majila ya saa 10 akiwa amerudi na mboga zake ilionesha kuwa biashara ilikuwa mbaya akaniuliza

" Mbona uji ujanywa....??"

Nikamjibu kuwa nimeshiba

"Umekula wapi....??"

" Kwa mama side alinipa ugali"

"Saada mwanangu nilikuambiaje usile kwa watu ndio maana nilikuwekea chakula chako hapa mbona uelewi"

Nikakumbuka maneno ya yule dada

" Usimwambie mama ako kama umekula kwangu sawa maana uoimwambia tu ataougombeza kwasababu akupendi "

Hapo niliona kabisa mama anipendi nikamwambia

" Kumbe unipendi "

Mama alistuka Sana na mtu mzima Ni mtu mzima tu alijua kabisa Kama nimemezeshwa sumu akamfata mama side

" Mmenitenga mtaa mzima hapa kisa Nina mtoto mlemavu Basi niachieni wanangu, unataka niwe na upweke wa kiasi gani eeeh... ? Mnataka niishije nakuomba Sana Sana "

Kisha maama akaondoka na kumuacha mama side na akicheka.

Siku iliyofuata mama hakutaka kabisa kuniacha nikaingia nae mtaani alikuwa akipiga kelele za kuuza mboga njia nzima lakini hakukuwa na wateja hata kidogo, njaw iliniuma na kamili alikuwa akilia Sana kutokana na njaa ja kuchoka baada ya kuchomwa na jua kali

" Lakini mama mbona watu awanunui kwasababu umembeba mtoto ambaye Hana miguu....??"

Nilimuuliza mama akujibu kitu Zaidi tuliingia kwa mama ntilie akanunua chakula Cha 1000 tukala kisha tukaendelea kuuza mboga, nilibaki nikifurahi baada ya mama kuninunulia chakula.

Siku zilienda na miaka kukatika lakini nilitokea Sana kumchukia mama baada ya kulishwa maneno ya sumu na majilani na walionesha kunijali sana

Hatimaye nikatimiza miaka 18 hapo mzuri Sasa najionaa Mimi tu, nataka kuvaa kisasa Zaidi nataka kuvaa mavazi ya ghali, na nilishaanza michezo ya hivyo nilipata mashoga wa hovyo sana ambao ndio niliwaamini Sana , na muda huo kamili alikuwa na umri wa miaka 11 lakini ndio alikuwa akisota baada ya kukosa miguu mama alikuwa akimpa uangalizi wa hali ya juu..

Nakumbuka ilikuwa Ni weekend majila ya saa 1 usiku nilijiandaa kwaajili ya kwenda club na marafiki zangu ambao wengi walinipita umri, sema nilikuwa na mwili mkubwa ukizingatia mshepu na jinsi nilivyokuwa najiweka nikaonekana na Mimi mkubwa.

"Saada mwanangu unaenda wapi mda huu eeeh si nilishakuambia sitaki matembezi ya usiku jamani angalia na mavazi uliyovaa jamani eeeh umekuwaje wewe"

" Shida yako unataka nionekane kibibi Kama ulivyo wewe si ndio....??"

Nilijibu Kisha nikainua pochi yangu kutaka kuondoka lakini alinishika mkono na akitaka kunizuia, niligeuka kwa hasira na kumsukuma alianguka chini lakini sikujali nikaondoka zangu mie"

Nilikula raha zangu za kila aina uko, na kulejea nyumbani saa 2 asubuhi pombe zikiwa Bado azijaniisha kabisa kichwani, nilimkuta mama akiwa amelala pale pale chini nipiokuwa nimemuacha, na kamili pia alikua amelala juu ya mama, moyo wa uwoga uliniingia na kumuangalia mama nilishika kila pande nilishtuka Sana baada ya..............

ITAENDELEA....

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 01 ANZA NAYO

......

Mimi Ni binti wa miaka 25 na Ni mtoto wa kwanza kwenye familia ya watoto wawili, nilikuwa na mdogo wangu ambaye kwa Sasa alitakiwa kuwa na miaka 18 mdogo wangu alijulikana Kama kamili, lakini kamili alizaliwa na ugonjwa wa ukoma wa ngozi na alikuwa mlemavu alikuwa na mikono tu lakini haujaaliwa miguu na hi ndio ilikuwa sababu kubwa ya baba kutuacha na kutelekeza familia.

Kamili alizaliwa nikiwa na umri wa miaka saba na nilikuwa darasa la kwanza, tulikuwa tukiishi kwenye nyumba yetu ambayo ilikuwa na vyumba viwili mjini dar es salaam maeneo ya mbagala rangi tatu, mama alikuwa muuza mboga mboga...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nisamehe-mama-sehemu-ya-01-anza-nayo

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nisamehe-mama-sehemu-ya
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 12
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 19
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 20
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 21
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 24
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 23
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 10
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 22
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 15
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 17
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 13
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 06
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama  SEHEMU YA: 07
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ nisamehe mama SEHEMU YA: 07
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 18
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 14
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA  SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 09
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 08
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
FORGIVE ME, MOM ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ NISAMEHE MAMA SEHEMU YA: 11
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ  SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 02
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 5
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 03
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
NISAMEHE MAMA ๐Ÿ˜ญ SEHEMU YA: 04
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45

1.1K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43

1.07K
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*

472
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15

242
MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20

233
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16

230
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18

226
SHAMIRA 44 kwa 45

SHAMIRA 44 kwa 45

127
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5

110
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*

102

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.67K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.39K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.81K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.3K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.9K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.82K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.68K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.67K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.63K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 19 - 20 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 19 - 20
@majario LIVE

SONGA NAYO......... miezi kama miwili ilipita huku nikiishi Tanzania pamoja na wifi yangu kipenzi BLESS ๐Ÿฅฐ yes amekuwa wifi yangu badala ya mtoto wangu lakini nimemfanya kama bjnti yangu nampenda huyu...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 17 - 18
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Mdada mie nikaanza kupiga ukelele wa furaha na bila kujigikiria mara mbili mbili nilimkumbatia Anfrey mwamba naye ni kama alitegemea hivyo maana alinipokea tena kwa hamu kubwa "Anfrey asante asante...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 16
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Basi ikabidi waniache, nikaingia ndani nikawa nimeloa chepechepe na binti angu nae vile vile hakunibanduka kabisa mikononi mwangu "Karibu sana baba karibi, jisikie upo nyumbani.." Nikiwa chumbani navaa niliweza kumsikia mama...

mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu Post Mpya
mke wangu kaniambia mtoto sio wangu nifanyaje ndugu zangu
@majario LIVE

Mimi naitwa Baba Derick, Leo asubuhi mapema sana, kama kawaida yangu niliamka kwenda kutafuta riziki. Kabla sijaondoka nyumbani, niliweka shilingi elfu mbili mezani. Nilimwambia mke wangu wazi kabisa kwamba pesa...

Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown), Post Mpya
Mwandishi wa BBC Kasra Naji amekiri hali ni mbaya ndani ya Israel ameripoti akisema "Israel ipo katika hali ya kufungwa (lockdown),
@majario LIVE

mitaa ipo tupu hakuna watu nje kutokana na hali ya hofu ya mashambulizi ya Iran, maduka yamefungwa na hali inazidi kuwa ngumu kuvumilika kwa watu" "Hata makombora makubwa ya Hezbollah yanaanguka...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 44 na 45
@majario LIVE

Basi bwana tumefika kwake, ikabidi niwaache kisha nikatoka nikaenda super market kuwachukulia mahitaji, aseee nikawabebea kila kitu cha kula, sijuh unga ,mchele, kuku , nyama, maziwa ya mtoto mana bado...

Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU! Post Mpya
Taarifa hii haijathibitishwa lakini watu wanaulizana itakuaje kama kweli ubalozi wa huyu bwana utakuwa umeguswa? SIO KULIPULIWA UGUSWE TU!
@majario LIVE

Wataalamu wanahofia kuwa Kim Jong Un anaweza kutumia tukio hilo kama kisingizio cha kupanua uungaji mkono wake kwa Tehran, jambo litakaloleta tafarani kubwa duniani. Korea Kaskazini ina ubalozi wake jijini Tehran,...

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3  to 5 Post Mpya
ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 to 5
@majario LIVE

ACHA NIKUPENDE โค๏ธ 3 MTUNZI uhuru media Karibu WhatsApp 0794810082 Kwa jicho aliloangaliwa na Nicky ilimbidi aondoke haraka haraka akaenda jikoni huku akiwa kachukia na machozi yalimtoka bila kutegemea. Alipofika...

*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4* Post Mpya
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜ญ. *1-4*
@majario LIVE

*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa Wanasubiri Majibu Ya vipimo ambavyo Tayari walikuwa wamepima. "Hivi Sindele kwa mfano ikatokea Mimi nimekutwa nimeathirika utanioa au utaniacha!?" "Uuuuu...

๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali Post Mpya
๐ŸšฉRais wa klabu ya Al Ahly, Mahmoud El-Khatib, ametangaza maamuzi makali
@majario LIVE

ili kujaribu kubadilisha mwenendo wa timu katika Ligi ya Misri na CAF Champions League. ๐Ÿ”ด Maamuzi yaliyotangazwa: ๐Ÿ’ต Kupunguzwa mishahara: Wachezaji wote wa kikosi cha kwanza watakatwa 30% ya mishahara yao,...

MIRANDA (Binti Yangu)   SEHEMU YA 15 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 15
@majario LIVE

SONGA NAYO....... Mira mie nikaanza kupiga maombi ya kuteketeza roho ya umauti niliomba sana, jasho lilikuwa likinitililika na kulowanisha kifua Changu Nilikuwa nimezama kwenye ulimwengu wa roho nikifanya maombi, ni sauti ya...

Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi..  FOOTBALL โšฝ. Post Mpya
Victor Osimhen alishindwa kujizuia na kutoa machozi.. FOOTBALL โšฝ.
@majario LIVE

Napoli walimchukulia kama takataka na kumfanyia ubaguzi, lakini Galatasaray wanamchukulia kama familia yao .. Hadithi ipi ni yenye huzuni kwa Victor Osimhen kwenye maisha yake , hadithi yenye huzuni ni kuhusu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 43
@majario LIVE

Mi sikufanya ajizi, nikamuuliza kwani apa majirani zako hawapo, akanmbia mmoja alisafiri na mwengine kaenda kwao leo, wote hawapo, nikaona kazi leo, nisingekuja sijuh ingekuajee, ni mungu tu aliniongoza nije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest