Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake  *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?
Gonga94 · Stories

ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Sisi tupo salama ila baba yako alipigwa na

mabapa ya panga.

Walimlazimisha baba yako akafungua shelfu wakachukua document za muhumu sijui itakuwaje kila kitu chetu kipo mule.

Ni mwana haramu gani kafanya haya?

Wamechukua nini?

Huu ni mpango kuna mtu yupo nyuma ya hili.

Baada ya kuongea na mama yake alienda kumchukua salsa kwenye gari na kumpeleka kwa mama yake. *Shikamoo mama.

*Marahaba.

*Mama huyu ndio mkwe wako nae kwa upande wake mambo hayapo sawa ndio maana nimekuja nae hapa.

Karibu nyumbani mwanangu.

* Usijali mwanangu, umefanya jambo la maana.

*Asante mama, poleni kwa matatizo.

Asante.

Wakiwa bado wanaongea walipata taarifa nyumbani kwa Romex kumevamiwa.

Hall ilikuwa ngumu sana kila mmoja alichanganyikiwa. Romex alitaka kwenda lakini baba yake alimzuia.

Baada ya polisi kuondoka waliingia ndani. Kila

Mara familia ya Lilian walifika kwaajili ya kuwapa pole. Romex alipomuona Lilian alimchukua salsa na kumpeleka chumbani.

Salsa kaa hapa

mtu alikuwa kimnya akitafakari tukio lililotokea.

"Nikae hapa mwenyewe?

*Usiogope ni salama kwa sasa.

Salsa alikubali kubaki Romex alitoka kwenda kuungana na wazazi wake.

Wakiwa pale sebleni mara kwa mara Lilian alikuwa akipigiwa simu na kwenda kuongea pembeni.

Siku zilienda hatimae wiki ikapita huku salsa akiwa nyumbani kwakina Romex.

Mama yake Romex alimpokea na kumuangalia vizuri lakini Kimbembe kilikuwa kwa baba yake Romex hakuwa anamtaka Salsa.

Siku moja mama Romex alikaa na mume wake. *Huyu binti sitaki kumuona hapa ndani.

*Sawa mume wangu lakini angalia na hali yake ni mjamzito yule na isitoshe amechoka.

Hayo hayakuhusu aende akakalie huko kwao Kwanza una uhakika gani kama yule mtoto ni

mtoto wa Romex?

Yeye muhusika akubali vipi wewe baba utie mashaka?

nimeshasema simtaki na hivi karibuni tutaanza taratibu za harusi.

"Mume wangu na haya matatizo bado unataka kuharakisha ndoa ?

*Kumbuka sasa hivi hatuna kitu mr Ferix ndio msaada wetu hivyo lazima Romex amuowe

Lilian haraka sana ili tupate msaada. Mama Romex hakuafikiana na wazo la mume

wake.

*Huo sio utu mume wangu.

*Wewe hall utu mimi naangalia kitu.

Wakati maongezi yanaendelea kumbe Salsa alikuwa anasikia. Alijisikia vibaya, alikuwa

mnyonge taratibu alienda chumbani akachukua kilichokuwa chake na kutaka kuondoka.

Wakati akielekea mlangoni akakutana na mama

Romex.

*Vipi Salsa mbona na pochi unaenda wapi? *Mama acha niondoke

Unaenda wapi sasa?

Nyumbani kwangu.

Lakini Romex amekuleta hapa kwaajili ya usalama wako na sasa unaondoka akiwa hayupo.

Usijali mama nitampigia simu.

Mara baba Romex aliingia

Mama Romex utambembeleza nini muache

aende hata hivyo nilikuwa namvutia kasi nilikuwa na mpango wa kumtimua.

*Baba Romex...

Shhhhh... Binti mlango ule pale ondoka kama utashindwa kulea mtoto basi mlete tu tutalea.

Salsa aliondoka huku nyuma mama Romex

alikuwa akilalamika.

Huo sio uungwana.

Sawa lakini ndio nimeshamtimua. Aliongea baba Romex huku akielekea chumbani kwake. Sijui imekuwaje siku hizi, roho mbaya tu

huangalli hata hali ya mtoto wa watu.

Mama Romex alitoka haraka kumfuata Salsa.

*Salsa mwanangu. Aliita na Salsa akasimama kumsubiri.

Siwezi kukuacha uende ukiwa hivyo lolote likikupata mtoto wangu ataumia sana na

kunilaumu. *Usijali mama mimi nitakuwa salama.

Hapana tutaenda pamoja nyumbani kwa Romex.

Wakiwa njiani mama Romex alimpigia simu na kumwambia wakutane nyumbani kwake

Offer offer
Soma yote kwa sh 500

Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

ONE NIGHT ONE MISTAKE 17&18* Romex hakuwa sawa kabisa alimkagua mama yake *Vipi wewe na baba hajajeruhiwa?



Sisi tupo salama ila baba yako alipigwa na

mabapa ya panga.

Walimlazimisha baba yako akafungua shelfu wakachukua document za muhumu sijui itakuwaje kila kitu chetu kipo mule.

Ni mwana haramu gani kafanya haya?

Wamechukua nini?

Huu ni mpango kuna mtu yupo nyuma ya hili.

Baada ya kuongea na mama yake alienda kumchukua salsa kwenye gari na kumpeleka kwa mama yake. *Shikamoo mama.

*Marahaba.

*Mama huyu ndio mkwe wako nae kwa upande wake mambo hayapo sawa ndio maana nimekuja nae hapa.

Karibu nyumbani mwanangu.

* Usijali mwanangu, umefanya jambo la maana.

*Asante mama, poleni kwa matatizo.

Asante.

Wakiwa bado wanaongea walipata taarifa nyumbani kwa Romex kumevamiwa.

Hall ilikuwa ngumu sana kila mmoja alichanganyikiwa. Romex alitaka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/one-night-one-mistake-17-18-romex-hakuwa-sawa-kabisa-alimkagua-mama-yake-vipi-wewe-na-baba-hajajeruh

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi one-night-one-mistake
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni.  Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 12 Romex alibaki kaduwaa huku macho yake yakiwa kwenye zile hereni. Hili linawezekana vipi? Kwahiyo salsa ndio
ONE NIGHT ONE MISTAKE _____________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Siku ya pili yake Saisa na Romex walikuwa madukani wakifanya manunuzi ya vitu vya mtoto wao ikiwemo nguo, midoli...
ONE NIGHT ONE MISTAKE _____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA* Siku ya pili yake Saisa na Romex walikuwa madukani wakifanya manunuzi ya vitu vya mtoto wao ikiwemo nguo, midoli...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13  Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 13 Romex alikuwa na wasiwasi alihisi huenda Lilian akawa amesikia
 ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.
ONE NIGHT ONE MISTAKE 07****08 Rose alienda kununua vitu vyote akivyoagiziwa na kupeleka ofisini kwa Boss.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 10 Baada ya dakika kadhaa Romex aliwasha gari akaondoka na kuelekea mgahawani. Alimkuta
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake.  *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 9 Baba Ake Romex alikubali na ombi la mtoto wake. *Sawa acha tukupe muda wa kuzoeana nae.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15  Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 15 Baada ya sauti nzito ya baba yake Romex kimnya kilitawala, Mama yake alikuwa bado ameshikilia kanga yake mkononi.
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa  Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ Chapter 5 Ukali wa Romex ulimfanya achanganyikiwe, Salsa Romex alimshika mkono na kumuangalia usoni kwa macho ya hasira lakini Salsa alikuwa na wasiwasi sana
 ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE❤ chapter 4 Siku zilienda na kazi ziliendelea kama kawaida Salsa alijua Romex kaamua kupotezea nae hakuona haja ya kujielezea
ONE NIGHT ONE MISTAKE ____________________________________*  *SEHEMU YA SITA*  Siku Iliyofuata Salsa alienda kazini akiwa na shauku ya kusema
ONE NIGHT ONE MISTAKE ____________________________________* *SEHEMU YA SITA* Siku Iliyofuata Salsa alienda kazini akiwa na shauku ya kusema
 ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3   Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
ONE NIGHT ONE MISTAKE🍎 Chapter 3 Salsa hakuwa na furaha ya kukaa kwenye sherehe moja kwa moja alielekea getini kwaajili ya kuondoka, alipofika nje ya hotel alichukua...
 ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE Chapter 14 Maswali yote aliyoulizwa Romex hakuna hata moja ambalo salsa alijibu. Romex walinyoosha mkono wake akamgusa
ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________*  *SEHEMU YA KWANZA*  Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo
ONE NIGHT ONE MISTAKE*❤ *1---2* *_____________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Kulikuwa na maandalizi ya ukumbi ambao kulikuwa na maonyesho ya kibiashara. Salsabil msichana mrembo
ONE NIGHT ONE MISTAKE* *11 *_______________________________________*  Meena aliwapigia simu wazazi wake na kuwaelezea hali ya Salsa hizo habari
ONE NIGHT ONE MISTAKE* *11 *_______________________________________* Meena aliwapigia simu wazazi wake na kuwaelezea hali ya Salsa hizo habari
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

818
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

813
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

681
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

556
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

427
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

380
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

177
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

99
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

96
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

57

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.53K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.72K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest