Mwandishi; maramoja the great
Simulizi za john
@topfans
0789 824 178
1000
Akasema ndio anakuja madam akasema una uwakika akasema ndio akasema sasa kayla akifeli tena mtiani ujao ili somo nakuchapa ww akanyamaza kimy madam akatoka tukaendelea na ratiba zetu mda wa mchana nipo na shoga zangu tunapiga stry dining 1uku tunakula mala akaja peter akanambia kayla naomba tuongee nkamwambia si uongeee apa apa ama akanambia kayla unajua mm sipend shida na walimu naomba uje nikuelekeze hesabu kila ikifika saa 2 usiku prepo ntakua nakufundisha mana bado kama week 3 tunafanya mtiani wa kufunga shule nkamwambia we vp unanipangia maisha unalazimisha kunifundisha unanitaka nn akanyamaza kimya nkamwambia babu mm nasoma kutimiza wajibu sisomi kama wee kwenu njaa maisha magumu si umedhaminiwa na shule apa ata ada amuna ya kulipa asa mm kwetu wa kishua sitegemei elimu kama ww so usinifatilie mm akabaki kimya ananiangalia tu ana sula ya uluma uyu kaka jamani basa mm nilikua namchamba akanyanyuka aja tia neno uyo akaondoka zake ney akanambia kayla kwa nn umemwambia vile sio vizuli bwana nkasema wee akome nifatilia yeye ni nani sharon akasema amekufata atak kupigwa yule madam hana mchezo kweli nikasema achaneni nae basi tukala tukaendlea na ratiba zangu asubuh nipo class akaja mwanafunzi akanambia kayla madam anakuita nkastuka nkasema mh yule madam tena kwema uko kweli au peter kaenda nisemea nikaangalia darani ata sikumuona peter nkaenda sasa ile naingia ofisin we nilistuka namkuta peter kakaa na madam wee madam akanambia unastuka nn we zero brain nkasema amna akanambia njoo ukae apa nkakaa akaniuliza ww unaendaga kusoma kwa peter nkanyamaza akanambia huna majibu eeh sasa ngoja akachukua bakora nkasema madam sikuenda ila nilipanga leo ndo niende akasema nyoosha mikono nkaanza kulia sijachapwa nilikua muoga kupigwa akanambia nyosha alinichapa jamani nililia mm mpka nkasema ntamwambia baba aniamishe akanambia ww ni mjinga kumbe kwa nn umfati peter kusoma ww mjinga eeh unataka upate 0 tena sio nililia jamani akasema sasa ole wako usimfate nawaambia wazazi wako utaki shule akanmbia toka uko nimelud darasan mikono imevimba kina ney wananiuliza kayla umefanya nn ata sikueleza nilikua nalia tu basi mda wa kwenda dom nkaenda zangu kulala nilipoamka nkakuta kina ney wakaniletea chakula nkala wakaniuliza shida nn apo asila zilipungua kidogo nkawaelezea wakanambia mfate bwana kwan nn kwwanza anakusudia nkasema sawa ila sijuh nilionaje yani sikuwa nampenda tu peter basi usiku saa 2 nkaenda kukaa pembeni yake nkamwambia aya ww cha umbea nimekuja unifundishe sasa akanmbia sawa usijali nkatoa daftr akaanza nifundisha anafundisha vzur anaonekana anajua mambo mengi na ana akili mno ila namnyali atali yeye wala ajali ndo kwanza ananiuliza kayla unaelewa namwambia fundisha bana basi anaendelea kufundisha tu basi mala kaja riz akamwambia peter dogo mfundishe tu ila mali yangu uyu peter akasema sawa akawa anaendelea nkachukia nkamwambia alafu ww riz unanizoea vibaya eeh asa endelea basi riz akasema ww ni wangu tu kayla alafu uyo akaondoka peter akanambia ndo mana una feli kayla kumbe ushaanza na mahusiano ya mapenzi wee nkamwambia na ww unikome tena unikome ww ni nani adi unauliza kuhusu maisha yangu ww si umeambuwa unifundishe mengine yanakuhusu nn akabaki kimya nkamsonya nkachukua daftar zangu uyo dom
.............................
🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁kanyamaza🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁🍁
KAYLA
Sehemu ya 7
Mwandishi; maramoja the great
Basi nimefika zangu nkalal kina ney wameludi wakakuta nshalala zangu mie asubuh tukaamka ilikua ni week end so tunafanya shughuli zetu tu basi mm kufua siwez kina ney na sharon ndo wananisaidia nawapa pesa yani sina kazi nilikua naweza zaidi ya kupiga pasi nguo zangu basi wao wanafua mm nawapigisha stry tu mala akaja mwanafunzi akanambia kayla unaitwa na peter nkasema ili nalo nn nkasema aya nikawa naendelea na stry kina ney wakanambia ww si umeitwa nkasema siendi wakanambia nenda bwana kamsiliza ticha wako uku wanacheka nkasema ata siendi basi sikwenda ata nkawa zangu busy na mashoste usku mda wa prepo kama kawaida nkaenda alipokaa peter pembeni nkatoa daftari zangu nkasema aya nifundishe akaniangalia jicho kali asee sikuwa muona na ile sula mpka nkastuka nkamwambia ww vp akanmbia hukupata salamu zangu mchana nkasema heee we vp nikipata ndo nije apo apo m nipo busy na mambo yangu sema sasa hv ulikua unasemaje akanambia lete daftari nkampa akaanza nifundisha kama kawaida yangu namnyali atali namuona ananishobokea tu akanielekeza sna akinipa maswali nafany makusi nakosa ila nakua nimeelewa ili mladi nimkwaze basi achoki ananielekeza tena akawa ananielekeza kila siku namfanyia dharau zote namchamba ila wala hajali ananielekeza tu mpka ikifikia mitiani tukamaliza akanifata akaniuliza kayla sitegemi kama utapata tena 0 mtiani wa hesabu mana nimekuelekeza vzr mno na maswali mengi yametoka nkamwambia ww ebu kwenda bwana kwani mi nilikuomba unifundishe si shobo zako mwanyewe akakaa kimya peter si mtu wa kuongea sana ni mkimya sana basi nkaondoka zangu dom iyo siku usiku nikaenda zangu prepo kama kawaida nkaenda kaaa pembeni kwa peter nkamwambia aya ww maskini nifundishe akasema sikufundishi alafu alikazia sula na yupo serious ananiangalia mpka nkaogopa nkasema wee vp kwan madam sindo kasema akanambia ukijifunza adabu na heshima ndo ntakufundisha alafu akanambia aya toka apa nkasema sitoki aliongea kwa nguvu na hasila nimesema tokaa apa aseee niliogopa darasa zima wakawa wananiangalia nkanyanyuka nkaanza ondoka darasani kwa aibu watu walinicheka niliona aibuu mno nkaenda dom nikaka nkasema yani yule maskini ndo wa kuniaibisha mm nkaka adi mda we prepo umeisha sharon na ney wamekuja wakanambia shoga lakin umezid kumnynyasa yule kaka hiv unajua anakusaidia mno alafu mbona yule kaka mpole acha kumjibu vibaya bwana kayla unaona mpka leo kachoka kakuvumilia sana acha bwana nkaona aibu nkasema sawa basi nkalala zangu asubuh class nkamuangalia nakuta kanikazia macho uyo nkasema heee ebu mie kwani ananilisha nkaachana nae bas akaacha nifundisha nikawa nasoma mwenyewe tu iyo siku nkasema ngoja nkamjalibu nkajifanya swali limenishanda nkamfata nkameambia peter ili swali mi sielew akanmbia ebu toa daftari lako apa nikasema sitoi adi unielekeze akanambia ntakuja kukupiga wewe demu asee aliongea serious mno nkasema mh kumbe uyu kaka nae kichwa ngumu mala steve akanambia kayla nenda bwana muache mshikaji mbona unapenda muonea sana nkasema aya msemaji wa peter uyo nkachukua daftar langu basi matokeo yakatoka hesabu nkapata 60 we nilifurah madam akasema umejitahid sana yani kutoka 0 mpka 60 asee nimefurah sana sikuwa nakuchapa kwamba sikupendi nilitaka ufauli nilifurah jaman lnkasema kumbe kufaulu raha hvi basi mwalimu akampongeza peter akasema umefanya kazi nzuli akasema asante madam basi tukafunga shule na iyo likizo mi nikawa nimelud home nikala likizo yangu na wazazi wangu cha kudeka mm uku tunawasiliana na mashost zangu shule ilipofunguliwa sasa ilikiua form 4 mam alinisihi kweli apo nisicheze mana ndo mwaka wa mwisho
Nkasema sawa mama basi kweli tukaludi shule nkakutana na shoga zangu tukaanza ratiba za shule asa ikapita week peter akawa bado ajaja nkasema mh mbona peter aji shule nkasema ngoja nkamfata steve nkamwambie steve mambo akasema powa kayla vp nkamuuliza mbona peter aji shule akanmbia ooh mshikaji mbona kaama shule wee nilistuka alafu nkaona naumia
.............................