Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
Gonga94 · Stories

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1

wakati najiandaa kwenda sokoni nikiwa chumbani nabadili nguo nilikuwa sijajua kama mlango wa chumbani kwangu ulikuwa umejifungua

Nilikuwa na pich tuu nilivua zote siunajua tena mtu ukiwa chumbani kwako unakuwa huru

Navile ninakaumbo furani hivii kauchokozi chch konzi kijishpu mashallah

Nilikuwa nimeu mbika kiukweli na karangi mungu kanijalia

Kumbe wakati nabadili nguo nilikuwa nimejisahau mlango nilijua nimeubana kumbe sikuwa nimeubana

Wakati huo shemeji alikuwa anatoka chumbani kwake anaenda sebreni alipita mlangoni kwangu aligeuka na kunitizama

Alivutiwa sana na mimi hivyo alijikuta anaganda karibu na mlango

Nilikuwa nimempa mgongo hivyo sikujua kama kunamtu alikuwa ananitizama

Nilipo geuka niliona kama kunamtu kapita lakini nilihisi ni shemeji maana alikuwa yeye na Valentino na Valentino wangu alikuwa anajisomea chumbani kwake

Shemeji alipoona nimegeuka na vile nilisha muona aliamua kwenda sebreni

Na kujifanya kama hakuna kitu kilichotokea yaani ni kama hakuwa ameona kitu kabisaa

Nilipomaliza kuvaa tuu nikatoka na kupita sebreni nilivaa kigauni changu cha mpila kifupi kinacho nichonga shepyangu nilipomuona shemeji nilimsalimia kisha niliondoka

Alinitizama sana ila sikumuelewa kwanini kwani huwa sina mazoea nae kifupi huwa namuogopa na kumuheshimu yeye ni mkubwa kidogo

Nilienda kufanya manunuzi ya vitu vya jikoni kisha nililudi na kuanza kuvipanga kwenye frig

Dadaangu wakati huwo hayupo nyumbani yeye nimfanya biashara mara nyingi huwa anasafili kibiashara

Na hupenda kunikabizi majukumu yoote ya nyumbani pamoja nakuwa namajukumu ya nyumba pia nafanya kazi za ofisini

Nilimaliza kupanga vitu kwenye frij na kisha kuweka kwenye makontena nafaka nilihakikisha kila kitu kipo mahali pake ndipo nilielekea chumbani kwangu

Wakati mimi nipo chumbani shemeji aliinuka na kutoka nje

Nilibadili nguo tena huwa napenda kushinda na dera nyumbani huwa najiona na kuwa huru sibanwi banwi nilipo maliza nilitoka na kuelekea jikoni

Nikiwa napika nilisikia simu yangu inaita nikaichukua na kuitazama alikuwa dada nikaipokea

Niliitikia haloo dada

Alijibu haloo hujambo

Nilijibu sijambo sijui wewe huko

Alijibu mimi sijambo kabisa vipi wazima wote

Nilimjibu wote huku tuwazima kabisaa

Aliniuliza vipi shemeji yako yupo nyumbani

Nilimjibu hata sijui nilipotoka sokoni nilimuona sebreni mimi baada ya kumaliza kupanga vitu jikoni nilienda zangu chumbani

Nakuja kutoka sijamuona sijui atakuwa chumbani kwake au nje sijui au mpigie kwenye simu yake

Alijibu ok usijali nitamtafuta Valentino je

Nilimjibu alikuwa chumbani kwakenilikuwa namalizia kupika ili nikamuamshe aje kula

Dada akaniambia basi sawa ila leo si utakuwepo tuu nyumbni

Nilimjibu leo siondoki nisiku yangu yamapumziko hivyo nitakuwepo tuu nyumbani dada

dada alijibu vizuri haya nitakupigia baadae sawa

Nilimjibu ok sawa kisha tulikata sim

Nilimalizia kupika chakula na kwenda chumbani kwa mtoto wa dada alikuwa kakaa kwenye meza yake anajisomea

Nilipoingia nilimwambia hakika wewe ni msomi haswaa hujaoga umeamkia vitabu tuu mwanangu

Alinisalimia na kisha alijibu mamdogo leo naenda kwenye dibeit hivyo najiandaa nikifika hapo niwe na poit kibao

Kisha tulicheka kwa pamoja nikamuambia nakuaminia wewe utawanyoosha wewe ndio kiboko yao

Alicheka na kisha akanikumbatia na kuniambia asante mamdogo

Nilimjibu karibu kipenzi changu alafu nikamuambia nenda uoge kisha uje nimepika kitu kitamu sana unachopendaga

Alifurahi na kuniambia ndio maana nakupendaga sana unanijulia mamdogo haya naenda bafuni sasa nakuja sio muda

Nilitabasam na kisha niliondoka na yeye alikuwa tayari kaenda bafuni kwake

Baada ya muda nikiwa chumbani kwangu nilimsikia Valentino akiniita mamdogo nipo tayari sasa

Niliinuka na kwenda kumuandalia chakula huwa anapenda sana makange ya nyama ya ng'ombe na ndizi za kukaanga

Alipoona alifurahi sana na kukaa kuanza kula nilimuacha na kwenda kumalizia kazi zangu jikoni

Nilikuwa nasafisha vyombo na kupanga panga vitu sawa

Nilimaliza kila kitu nikaenda zangu chumbani kwangu kuweka sawa maana muda ulikuwa umeenda

Wakati niko chumbani mara nilisikia gari inaingia kwenye geti nikachungulia niliona ilikuwa nigari ya shemeji

Hivyo niliona nitoke ilinikampokee nilienda hadi mpaka nje nikampokea mfuko huku nikimsalimia

Shemeji aliitikia na kisha aliingia ndani alielekea chumbani kwake

Nikauweka ule mfuko alikuwa kaleta maziwa yaani yogati kisha nilielekea sebreni sikumuona nikamuita Valentino na kumuagiza

Nenda chumbani kwa baba umuulize kuwa nimuandalie chakula atakula

Valentino alienda na kisha aliludi na kuniambia kasema muandalie kwani ananjaa sana

Nilimuitikia sawa kisha nilienda jikoni kuanza kuandaa chakula cha shemeji

Valentino alitoka na kunikuta naandaa mezani chakula akaniambia kuwa yeye anaenda kwenye dibeit atarudi baadae

Nilimuambia ok sawa mwambie tuu dereva atakupeleka kipenzi changu

Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu nyieeeee🫦🔥🔥

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1

wakati najiandaa kwenda sokoni nikiwa chumbani nabadili nguo nilikuwa sijajua kama mlango wa chumbani kwangu ulikuwa umejifungua

Nilikuwa na pich tuu nilivua zote siunajua tena mtu ukiwa chumbani kwako unakuwa huru

Navile ninakaumbo furani hivii kauchokozi chch konzi kijishpu mashallah

Nilikuwa nimeu mbika kiukweli na karangi mungu kanijalia

Kumbe wakati nabadili nguo nilikuwa nimejisahau mlango nilijua nimeubana kumbe sikuwa nimeubana

Wakati huo shemeji alikuwa anatoka chumbani kwake anaenda sebreni alipita mlangoni kwangu aligeuka na kunitizama

Alivutiwa sana na mimi hivyo alijikuta anaganda karibu na mlango

Nilikuwa nimempa mgongo hivyo sikujua kama kunamtu alikuwa ananitizama

Nilipo geuka niliona kama kunamtu kapita...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-1

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemu-wangu-mtamuu
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8  Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

676
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

288
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

287
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

230
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

129
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

43
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest