Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
Gonga94 · Stories

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2

Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu🙈🔥

Nilipomaliza kuandaa chakula mezani nilienda mpaka kwenye mlango wa chumba cha shemeji nakisha nilimuita

Akaitika nikamuambia shemeji chakula tayari kipo mezani

Aliitikia sawa na kuniuliza Valentino ameshaenda shuleni??

Nilimjibu ndio kaenda

Akaniambia sawa nakuja

Niliondoka nikaenda dining kumsubiri aje nimnawishe mikono niishie zangu..

Baada ya muda alikuja na kuvuta kiti alikaa na kuniambia kaa nawewe ule

Nilimjibu usijali kwa sasa niko sawa ila nitakula badae wewe endelea

Akaniambia nawezaje kula mwenyewe wakati wewe upo hebu njoo tule wote bwana..

Niliona sawa tu nilikaa na kumwagilia maji mkono akanawa kisha nilijinawisha namimi tukaanza kula

Chaajabu shemeji alikuwa muda mwingi ananitizama mimi tuu 😩

Nikimtizama anajifanya kupotezea hivyo nilikuwa simuelewi kabisa namimi nilizarau na kuachana nayo

Nilipomaliza kula nilitoa vyombo na kupeleka jikoni kisha nilitoka na kuenda chumbani kwangu kupumzika

Nikiwa nimepumzika nilihisi kunamtu alikuwa anachungulia mlangoni kwangu

Nikainuka na kutizama ila sikumuona mtu hivyo niliufunga mlango na kurudi kitandani kupumzika

Nilipumzika mpaka ilipofika saa kumi na moja niliamka na kuoga kisha nilienda jikoni kuandaa chakula cha usiku

Nilipika wali na rost ya maini kisha niliandaa juice yamatunda

Mtoto wakatihuo alikuwa tayari kaisharudi nilipika fasta nikamaliza nikamtuma mtoto akamuite baba yake chumbani aje kula..

Tulikula kwa pamoja nakisha niliondoa vyombo na baada ya hapo nilisafisha meza then nikaelekea jikoni kuosha vyombo..

Shughuli zote huwa napenda kuzifanya usiku maana asubuhi huwa ninaenda kazini..

Nilimaliza shughuli zote nikaelekea chumbani kwangu kujipumzisha muda huo wanafamilia wengine walikuwa tyr wameshalala..

Nikiwa nimelala nilihisi kunamtu ananipapasa mgongoni akawa anatelemsha mkono mpaka kwenye kiu no na kusogea maka lion

Nilishituka na kuinuka kulikuwa na giza kwa ile hofu nilianza kupiga kelele ghafla nikazibwa mdomo

Huyo mtu alinishika na kuniambia tulia acha usipige kelele Sasha nimimi shemeji yako..

Nilijikunyata ukutani huku nikitetemeka aliinuka na kuwasha taa

Wakati huo anawasha taa Valentino alikuja na kufungua mlango huku akiita mamdogo kunanini kimetokea??

Shemeji nae akajifanya tuambie utakuwa umeota ndoto mbaya sana shemeji au kuna mapepo??

Nilishindwa kujibu na kumuambia Valentino kuwa huwezi amini kulikuwa namjusi mkubwa ulinitambalia mgongoni nimeulusha huko ndio maana nilipiga kelele

Siunajua ninavo waogopa mijusi??

Shemeji akajibu basi sasa kuwa na amani kwani tumesha kuja wanaume wawili huyo mjusi tutamponda ponda

Valentino nae alijibu kweli mamdogo kuwa na amani sasa lala ila usizime taa ili asije tena

Nilimjibu sawa mwanangu ngoja sasa nilale mnaweza kwenda nisameheni kwa kuwakatisha usingizi wenu

Shemeji alijibu hapana usiogope sawa shemeji yangu kisha alinitizama na kunibinyia kijicho

Kisha akaondoka Valentino akaniambia chochote niite mala moja nakuja mamdogo sawa

Nilimjibu sawa nakuamini sana mwanangu haya kalale sasa aliondoka namimi niliinuka nikafunga mlango wangu

Nilibaki na maswali mengi sana hivi huyu shemeji anamaanisha nini kuja na kuanza kunipapasa vile unajua simuelewi kabisa

Niliwaza sana kwakweli yaani sikupata majibu kisha nililala tuu

Hatimae kulikucha tena siku mpya niliamka na kujiandaa nilimsaidia na Valentino kisha tulitoka na shemeji wote kwenye gari lake

Tukiwa kwenye gari na shemeji pamoja na Valentino nilikuwa nimekaa nyuma shemeji na Valentino walikuwa wamekaa mbele

Wakati tunatembea shemeji alikuwa ananitizama kupitia kwenye kioo cha pale mbele

Nilipoinua uso tulikutana wote kwenye kioo uso kwa uso

Alinitizama na kisha aliniminyia kijicho huku akionyesha jicho furani hivi la mahaba

Nilishindwa kumuangalia niliinamisha usowangu chini nikawa naibia kumtizama kwenye kioo still alikuwa bado ananitizama kupitia kwenye kioo

Alikuwa ananitizama kwa mahaba sana tulifika shuleni kwa Valentino akashuka nasisi tuliendelea na safari

Nilikuwa natamani nishuke kwani nilikuwa namuogopa sana shemeji pia nilikuwa sina amani

Tukiwa tunaendelea na safari shemeji alilock milango ya gari akaniuliza sasha kwanini huwezi kunitizama usoni??

Niliinama na kumjibu hapana shemeji niko sawa tuu

Akaniambia nitizame usione aibu sogea unishike sasha kwani cha ajabu nini..

Nilimjibu hapana

Akaniambia sasa shida ni nini niambie

Nilimjibu wala hakuna tatizo

Aliniambia tafadhari ukiwa namimi jiachie ujue napenda sana jicho lako Sasha

Nilimjibu mmh sawa ila nilikuwa natetemeka sana

Gari ilikuwa inaenda taratibu kama inataka kusimama na vitu anavyoviongea shemeji mmmhhhh 😩

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2

Aliondoka Valentino nikabaki mimi na shemeji ndani wawili tu🙈🔥

Nilipomaliza kuandaa chakula mezani nilienda mpaka kwenye mlango wa chumba cha shemeji nakisha nilimuita

Akaitika nikamuambia shemeji chakula tayari kipo mezani

Aliitikia sawa na kuniuliza Valentino ameshaenda shuleni??

Nilimjibu ndio kaenda

Akaniambia sawa nakuja

Niliondoka nikaenda dining kumsubiri aje nimnawishe mikono niishie zangu..

Baada ya muda alikuja na kuvuta kiti alikaa na kuniambia kaa nawewe ule

Nilimjibu usijali kwa sasa niko sawa ila nitakula badae wewe endelea

Akaniambia nawezaje kula mwenyewe wakati wewe upo hebu njoo tule wote bwana..

Niliona sawa tu nilikaa na kumwagilia maji mkono akanawa kisha nilijinawisha namimi tukaanza...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-2

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemu-wangu-mtamuu
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8  Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

664
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

625
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13

587
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

535
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

508
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

385
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest