Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
Gonga94 · Stories

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Tulikaribia ofisini kwetu nilimwambia shemeji nishushe hapa hapa nitatembea

Shemeji aliniambia Sasha naomba jioni ya leo kuzungumza nawewe

Nilimuitikia sawa haya naomba nitolee lock ya mlango nishuke

Shemeji alinitolea lock na kisha akaniambia kazi njema kuwa makini

Nilimuitikia asante nawewe pia kisha nilitoka na kufunga mlango nilianza kutembea pembeni mwa barabara

Akawa anaendesha gari taratibu akiwa sambamba na mimi akaniambia nitakutumia pesa ya kula mchana

Nilimjibu sawa ila nilishindwa kumuelewa kwakweli alikuwa kama sio shemeji yule niliemzoea

Aliniaga kisha aliongeza spidi na kuondoka zake namimi nilikuwa bado natembea huku nikijiuliza

Hakika ameshakuwa waajabu sana sijui nini hiki nikimwambia dada jee atanielewa ila mmmh

Niligunatuu nilikuwa tayari nimefika ofisini kwetu niliingia na kuanza kufanya kazi zangu

Nikiwa hapo nafanya kazi nilihisi simu imeingia msg

Nikaifungua kutizama ilikuwa ni msg ya hela ilikuwa ni shilingi laki moja na nusu

Nilibaki nashangaa mbona laki na nusu zanini zote hizi niliona nimpigie simu nilimpigia shemeji

Kisha alipokea na kuniuliza umepokea mzigo wako

Nilimjibu nimeupata ila mbona hela nyingi hivi yanini nyingine

Alinijibu wewe ni binti utakua unamahitaji yako yamuhimu utanunua

Nilimuambia hapana shemeji sina uhitaji wapesa mimi kwani nina mshahara wangu mwenyewe tafadhari sihitaji hii pesa nairudisha

Shemeji alijibu usiwe hivyo Sasha tumia hiyo hela kwani kunaubaya gani shemeji yako nikikuhudumia

Nilijibu sawa lakini sio kwa sasa tafadhari shemeji naomba uache hiyo tabia

Nakisha niliikatasimu na kuelekea washing room maana nilikuwa najiuliza mengi sana nakosa majibu

Niliirudisha hela yoote kwa shemeji haraka sana kwani niliona sasa shemeji ni kama anataka kuvuka mipaka yake

Na nilipoirudisha niliizima simu yangu na kujiambia kuwa hivi huu ujinga kweli dadaangu akiujua itakuwaje

Na jee taarifa zitakapo wafikia ndugu mjomba na shangazi kuwa mimi nimevuruga ndoa ya binti yao watanielewaje

Watanichukia sana hapana hapanaa sitaki napenda amani muda wote hivyo sitomuambia dada na nitajitahidi kukaa mbali na shemeji ili kujiepusha na haya matatizo

Nilinawa uso nakisha nikajifuta nikaludi kwenye meza yangu yakazi nikaendelea na kazi zangu

Muda wa chakula cha mchana ulipofika nilikuwa sina pesa hata ya chakula sikuhiyo hivyo niliamua kukaa na kuendelea na kazi zangu

Lakini cha ajabu nililetewa chakula na kuambiwa hii nioda yako

Niliuliza nani kanipa yule alieniletea akajibu mimi nimeagizwa tuu na bosi

Niliposikia nioda kutoka kwa bosi nilivuta pumzi na kusema asante mungu kama nibosi wacha nile maana namjua bosi wangu

Nimtu mwenye huruma sana na anaupendo na wafanyakazi wake hivyo nilinawa na kuanza kula chakula

Baada ya chakula niliendelea na majukumu yangu ya kiofisi hadi muda wa kutoka ulifika tulitoka nilielekea kupanda daladala na kuondoka hadi nyumbani

Nilipofika nilimkuta Valentino alikuwa tayari kaludi niliingia ndani na kwenda kuoga kisha nilibadili nguo na kutoka nikaenda jikoni kuandaa mapishi

Valentino aliposikia nimeingia jikoni alikuja na kunisalimia kisha aliniuliza vipi mama atakuja lini naona siku zinaenda

Nilicheka na kumtania mtoto wa mama huyo umemkumbuka kudeka kwa mama sindio eeh

Valentino alinijibu hamna mamdogo bwana mimi nimemzoea tuu bwana mama naona kama akikaa mbali muda nahisi upweke

Nilicheka tena na kumuambia kwani mimi hunipendi mpaka umkumbuke yeye tuu mimi pia nimamaako tena ninae kupenda sana

Valentino alijibu haya basi mamdogo nakupenda pia nakupenda sana

Nikamuambia ok sawa haya utakula nini leo mwanangu kipenzi

Valentino akajibu unajua mamdogo napenda vitu gani wewe fanya mpango wakueleweka

Nilicheka kisha nikamuambia sawa nenda nisubilie nitakuita uje ule sawa kipenzi

Valentino alijibu ok sawa nipo chumbani kwangu najisomea tuu

Niliendelea na kuandaa andaa chakupika jioni hiyo wakatihuo naanda andaa nilisikia gari inaingia katika geti

Nilitoka na kwenda kutizama ninani karudi kutizama lilikuwa ni gari la shemeji nililudi zangu jikoni na kuendelea na mapishi yangu

Shemeji alipaki gari na kisha akashuka na kuja ndani alikuja moja kwa moja jikoni nilipokuwa mimi

Akaniita Sasha

Niliitikia naam shemeji

Akaniuliza umeshindaje na kazi

Nilimjibu salama

Akaniuliza jee ulikula chakula chako

Nikamuuliza chakula gani hicho

Alijibu hukuletewa leo mchana chakula

Nilijibu ndio nililetewa ila sio chakula kutoka kwako kimetoka kwa bosi wangu

Shemeji alitabasam nakisha akaniambia nilimuagiza mimi akuletee

Niliposikia nilielewa na kumuambia kwanini lakini huelewi shemeji

Alinijibu nataka utambue kuwa mimi nakupenda tena sana tuu kuliko unavyo dhania

Na nakuahidi penzi hili hakuna wakulizima nakupenda mno naomba sana kuwa wangu utafurahia

Shemeji alielekea chumbani kwake na kwenda kuoga

Nilitoka na kwenda zangu jikoni kuendelea kupika chakula

Nilimaliza kupika na kuandaa mezani kisha nilienda kumuambia Valentino aje kula nilimuambia aende kumuita na babaake

Tulikaa na kula chakula cha jioni pamoja na baada ya chakula niliweka sawa meza na kusafisha vyombo na jiko

Nilipomaliza nilienda kumtakia usiku mwema Valentino kisha nilienda chumbani kwangu kulala

Shemeji alikuwa bado kabaki sebreni pekeake hivyo alinitumia msg kwenye sim na kuniambia Sasha naomba njoo sebreni tuongee au nije huko chumbani??

Utamu utamuuuuuuuuuuu😋💋😍😋💞😘🫦

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Tulikaribia ofisini kwetu nilimwambia shemeji nishushe hapa hapa nitatembea

Shemeji aliniambia Sasha naomba jioni ya leo kuzungumza nawewe

Nilimuitikia sawa haya naomba nitolee lock ya mlango nishuke

Shemeji alinitolea lock na kisha akaniambia kazi njema kuwa makini

Nilimuitikia asante nawewe pia kisha nilitoka na kufunga mlango nilianza kutembea pembeni mwa barabara

Akawa anaendesha gari taratibu akiwa sambamba na mimi akaniambia nitakutumia pesa ya kula mchana

Nilimjibu sawa ila nilishindwa kumuelewa kwakweli alikuwa kama sio shemeji yule niliemzoea

Aliniaga kisha aliongeza spidi na kuondoka zake namimi nilikuwa bado natembea huku nikijiuliza

Hakika ameshakuwa waajabu sana sijui nini hiki nikimwambia dada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemu-wangu-mtamuu
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8  Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

533
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

402
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

179
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

44

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest