Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3
Gonga94 · Stories

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Tulikaribia ofisini kwetu nilimwambia shemeji nishushe hapa hapa nitatembea

Shemeji aliniambia Sasha naomba jioni ya leo kuzungumza nawewe

Nilimuitikia sawa haya naomba nitolee lock ya mlango nishuke

Shemeji alinitolea lock na kisha akaniambia kazi njema kuwa makini

Nilimuitikia asante nawewe pia kisha nilitoka na kufunga mlango nilianza kutembea pembeni mwa barabara

Akawa anaendesha gari taratibu akiwa sambamba na mimi akaniambia nitakutumia pesa ya kula mchana

Nilimjibu sawa ila nilishindwa kumuelewa kwakweli alikuwa kama sio shemeji yule niliemzoea

Aliniaga kisha aliongeza spidi na kuondoka zake namimi nilikuwa bado natembea huku nikijiuliza

Hakika ameshakuwa waajabu sana sijui nini hiki nikimwambia dada jee atanielewa ila mmmh

Niligunatuu nilikuwa tayari nimefika ofisini kwetu niliingia na kuanza kufanya kazi zangu

Nikiwa hapo nafanya kazi nilihisi simu imeingia msg

Nikaifungua kutizama ilikuwa ni msg ya hela ilikuwa ni shilingi laki moja na nusu

Nilibaki nashangaa mbona laki na nusu zanini zote hizi niliona nimpigie simu nilimpigia shemeji

Kisha alipokea na kuniuliza umepokea mzigo wako

Nilimjibu nimeupata ila mbona hela nyingi hivi yanini nyingine

Alinijibu wewe ni binti utakua unamahitaji yako yamuhimu utanunua

Nilimuambia hapana shemeji sina uhitaji wapesa mimi kwani nina mshahara wangu mwenyewe tafadhari sihitaji hii pesa nairudisha

Shemeji alijibu usiwe hivyo Sasha tumia hiyo hela kwani kunaubaya gani shemeji yako nikikuhudumia

Nilijibu sawa lakini sio kwa sasa tafadhari shemeji naomba uache hiyo tabia

Nakisha niliikatasimu na kuelekea washing room maana nilikuwa najiuliza mengi sana nakosa majibu

Niliirudisha hela yoote kwa shemeji haraka sana kwani niliona sasa shemeji ni kama anataka kuvuka mipaka yake

Na nilipoirudisha niliizima simu yangu na kujiambia kuwa hivi huu ujinga kweli dadaangu akiujua itakuwaje

Na jee taarifa zitakapo wafikia ndugu mjomba na shangazi kuwa mimi nimevuruga ndoa ya binti yao watanielewaje

Watanichukia sana hapana hapanaa sitaki napenda amani muda wote hivyo sitomuambia dada na nitajitahidi kukaa mbali na shemeji ili kujiepusha na haya matatizo

Nilinawa uso nakisha nikajifuta nikaludi kwenye meza yangu yakazi nikaendelea na kazi zangu

Muda wa chakula cha mchana ulipofika nilikuwa sina pesa hata ya chakula sikuhiyo hivyo niliamua kukaa na kuendelea na kazi zangu

Lakini cha ajabu nililetewa chakula na kuambiwa hii nioda yako

Niliuliza nani kanipa yule alieniletea akajibu mimi nimeagizwa tuu na bosi

Niliposikia nioda kutoka kwa bosi nilivuta pumzi na kusema asante mungu kama nibosi wacha nile maana namjua bosi wangu

Nimtu mwenye huruma sana na anaupendo na wafanyakazi wake hivyo nilinawa na kuanza kula chakula

Baada ya chakula niliendelea na majukumu yangu ya kiofisi hadi muda wa kutoka ulifika tulitoka nilielekea kupanda daladala na kuondoka hadi nyumbani

Nilipofika nilimkuta Valentino alikuwa tayari kaludi niliingia ndani na kwenda kuoga kisha nilibadili nguo na kutoka nikaenda jikoni kuandaa mapishi

Valentino aliposikia nimeingia jikoni alikuja na kunisalimia kisha aliniuliza vipi mama atakuja lini naona siku zinaenda

Nilicheka na kumtania mtoto wa mama huyo umemkumbuka kudeka kwa mama sindio eeh

Valentino alinijibu hamna mamdogo bwana mimi nimemzoea tuu bwana mama naona kama akikaa mbali muda nahisi upweke

Nilicheka tena na kumuambia kwani mimi hunipendi mpaka umkumbuke yeye tuu mimi pia nimamaako tena ninae kupenda sana

Valentino alijibu haya basi mamdogo nakupenda pia nakupenda sana

Nikamuambia ok sawa haya utakula nini leo mwanangu kipenzi

Valentino akajibu unajua mamdogo napenda vitu gani wewe fanya mpango wakueleweka

Nilicheka kisha nikamuambia sawa nenda nisubilie nitakuita uje ule sawa kipenzi

Valentino alijibu ok sawa nipo chumbani kwangu najisomea tuu

Niliendelea na kuandaa andaa chakupika jioni hiyo wakatihuo naanda andaa nilisikia gari inaingia katika geti

Nilitoka na kwenda kutizama ninani karudi kutizama lilikuwa ni gari la shemeji nililudi zangu jikoni na kuendelea na mapishi yangu

Shemeji alipaki gari na kisha akashuka na kuja ndani alikuja moja kwa moja jikoni nilipokuwa mimi

Akaniita Sasha

Niliitikia naam shemeji

Akaniuliza umeshindaje na kazi

Nilimjibu salama

Akaniuliza jee ulikula chakula chako

Nikamuuliza chakula gani hicho

Alijibu hukuletewa leo mchana chakula

Nilijibu ndio nililetewa ila sio chakula kutoka kwako kimetoka kwa bosi wangu

Shemeji alitabasam nakisha akaniambia nilimuagiza mimi akuletee

Niliposikia nilielewa na kumuambia kwanini lakini huelewi shemeji

Alinijibu nataka utambue kuwa mimi nakupenda tena sana tuu kuliko unavyo dhania

Na nakuahidi penzi hili hakuna wakulizima nakupenda mno naomba sana kuwa wangu utafurahia

Shemeji alielekea chumbani kwake na kwenda kuoga

Nilitoka na kwenda zangu jikoni kuendelea kupika chakula

Nilimaliza kupika na kuandaa mezani kisha nilienda kumuambia Valentino aje kula nilimuambia aende kumuita na babaake

Tulikaa na kula chakula cha jioni pamoja na baada ya chakula niliweka sawa meza na kusafisha vyombo na jiko

Nilipomaliza nilienda kumtakia usiku mwema Valentino kisha nilienda chumbani kwangu kulala

Shemeji alikuwa bado kabaki sebreni pekeake hivyo alinitumia msg kwenye sim na kuniambia Sasha naomba njoo sebreni tuongee au nije huko chumbani??

Utamu utamuuuuuuuuuuu😋💋😍😋💞😘🫦

Itaendeleaaaaaa

Full 1000

WhatsApp 0742133100
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥3

Tulikaribia ofisini kwetu nilimwambia shemeji nishushe hapa hapa nitatembea

Shemeji aliniambia Sasha naomba jioni ya leo kuzungumza nawewe

Nilimuitikia sawa haya naomba nitolee lock ya mlango nishuke

Shemeji alinitolea lock na kisha akaniambia kazi njema kuwa makini

Nilimuitikia asante nawewe pia kisha nilitoka na kufunga mlango nilianza kutembea pembeni mwa barabara

Akawa anaendesha gari taratibu akiwa sambamba na mimi akaniambia nitakutumia pesa ya kula mchana

Nilimjibu sawa ila nilishindwa kumuelewa kwakweli alikuwa kama sio shemeji yule niliemzoea

Aliniaga kisha aliongeza spidi na kuondoka zake namimi nilikuwa bado natembea huku nikijiuliza

Hakika ameshakuwa waajabu sana sijui nini hiki nikimwambia dada...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/shemu-wangu-mtamuu-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi shemu-wangu-mtamuu
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
SHEMU WANGU MTAMUU 🫦🔥5
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
*SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥* *SEHEMU YA 14~16* Katikati ya usiku shemeji alitaka mambo nikiwa nimelala alianza na kuzinyonya
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8  Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥8 Shem Alex alipoingi
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥2
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥07
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥4
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥6
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
SHEMU WANGU MTAMUU🫦🔥1
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.12K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest