SHEMU WANGU MTAMUUπ«¦π₯6
Mambo yalimkolea shemeji alikuwa anatokwa sana maneno kama mtu alievurugwa
Alisema Sasha unajua sana una katika vizuri hadi nahisi utm mwl mzima..
Nilimjibu asante sana una.... vizuri shemeji asanteee
Oooh ssssssss mmmmmm shemejiii
Shemeji aliunguruma kidogo akasema niambie mama unajisikiaje
Nilimjibu utm ni.....hapohapo..
Shemeji alinikamatilia vizuri akaendelea kulima shamba huku mvua za rasha rasha zikiendelea kunyesha katikati ya tnd..
Tuli..... sana usikuhuo na dada alikuwa amelala na uchovu wa safari hivyo hadi tulivokuwa tunananiliu yeye walaaa hakuwa anajua
Tulipo maliza tuliinuka na kuingia bafuni kuoga na kisha tulijifuta maji na shemeji alikuwa anataka kuondoaka
Alipofika mlangoni aliludi tena na kuniπ«π« na kuniπππ
Nilibaki namshangaa kwani alikuwa tayari kaanza kuniteka kiisia
Nilibaki kimya nikiwa na furaha sana kwakweli nilijikuta nampnda sana shemeji
Sikutamani kumkosa hata dakika kwa vitu alivonipa asikuambie mtu anayaweza hatari
Nilipitiwa usingizi nikiwa na furaha sana usiku huo
Siku nyingine tena kulikucha niliamka na kuoga kisha nilitoka niende kuandaa kifungua kinywa
Nilimkuta dada tayari kaisha andaa na akaniambia nenda vaa kabisa kisha njoo tunywe chai sasa nipo mimi umefanya sana kazi hizi wacha nikusaidie
Niliondoka chumbani kwangu nikavaa na kujiweka sawa kisha nilitoka kwenda kupata kifungua kinywa
Niliwakuta shemeji na Valentino pamoja na dada wote wamesha kaa mezani wanapata kifungua kinywa
Namimi nilikaa shemeji alinibinyia kijicho baada ya kuniona
Niliinama tuu kichwa chini na kukaa mezani kisha nilianza kula chakula pamoja na dada shemeji pamoja na Valentino
Tulipomaliza kupata kifungua kinywa tuliondoka kwenye gari ya shemeji mimi Valentino na shemeji
Dada yeye alisema atatoka baadae anaenda kwenye biashara zake
Tuliagana na kisha sisi tuliondoka zetu na kwenda ofisini
Kwanza tulimpitisha Valentino shule kisha tulibaki mimi na shemeji kwenye gari
Shemeji aliniambia Sasha wangu niambie
Nilimjibu ninalo sasa
Alinijibu shemeji Alex nakupnda sana
Nilimjibu asante nakupnda pia
Kisha aliniambia niambie chochote nitakufanyia
Nilimjibu hakika najua hushindwi shemeji
Aliniambia usiniite shemeji niite Alex tuu inatosha tukiwa pekeetu niite mpnz
Nilitabasam na kumjibu ok sawa nitafanya hivyo mpnz
Kisha aliuchukua mkono wangu akaππ
Nilihisi kitu cha utofauti sana asikuambie mtuu
Nikamuuliza Alex unanifanya nini mbona najihisi hivi mimi
Shemeji Alex alijibu sio mimi nimoyo mpnz wangu
Moyo hufata isia zake ambazo nisahihii
Nilibaki nikiwa nimeduwaa kisha nilimuambia Alex najikuta nakpnda sana sijui itakuwaje
Ninaaza kuhisi wivu sijui kwanini sitaki hata ukae mbali nami
Alex alipaki gari na kuni.... kisha akaniambai asante hakika nitakulinda
Je hutaniweka mbali na maisha yako??
Shemeji Alex alijibu thubutu nawezaje huwezi amini hadi natamani mama Valentino aondoke halaka kwenye hizo biashara zake
Nilimjibu lakini tunacho kifanya sio sawa kwani hata ndugu wakijua watanitenga mimi
Shemeji Alex alijibu nipo radhi hata kutengwa na dunia nzima ila sio wewe Sasha nitakuf
Nilimkmbtia na kumuambia sio rahisi mimi kukutenga wewe amini hivyo
Tuliongea sana hapo kisha aliwasha gari tukaondoka na kwenda zetu ofisini
Alinishusha ofisini kwangu kisha aliondoka zake ofisini kwake
Nilipoingia niliandaa vitu vyangu na kuanza kazi ila akili yangu inamuawaza shem Alex tuu pekeake
Nikiwa nafanya kazi iliingia msg kutoka kwa shem aliniambia
Sasha najiona kama nimevurugwa huwezi amini nashindwa hata kujicontroo nahisi kuwa karibu yako
Nilimjibu mimi pia huwezi amini nimeganda hata sijui nianzie wapi nahisi kukumis sana
Alex alinijibu nipo nawewe muda wote usihofu nakupenda sana haya fanya kazi zako nikitoka tuu nakuja hapo
Nilimjibu asante nawewe jitahidi basi kisha tukitoka tutakuwa pamoja ila jitahidi dada asigundue kitu
Shemeji alijibu usihofu nitalizingatia hilo ila natamani niwe nallnawewe usiku mzima
Nilimjibu mimi pia natamani sana iwe hivyo
Shem Alex alijibu basi usijali kwanza dadaako hakai sana atasafili tena tutakuwa pamoja
Tuliagana na kuendelea na kazi maana tupo ofisini
Hadi mida ya kutoka inafika nilikuwa naona kama siku nimwaka mzima kwani nilikuwa nimemmic sana shemeji
Nilipotoka tuu nikawa natembea kuelekea getini nilijikuta nasikia raha sana baada ya kumuona shemeji akiwa kapaki gari getini ananisubili
Aliponiona alitoka na mimi nilijikuta namkimbilia kisha nilimkmbtia na kumuambia nimekumic sana
Alinijibu nimekumic pia mpnz nakpnd sana haya tuingie kwenye gari watu wasije kutuona
Tuliingia kwenye gari na kutoka maeneo ya ofisini tulienda sehem za ufukweni mwa bahari
Shem Aliniambia Sasha yaani natamani dunia nzima tungebaki mimi nawewe tuu kwani naona wananibana sana
Nilimjibu hakika kipnz changu mimi pia kwani natamani nipige kelele dunia nzima ijue jinsi gani ninavyo kpnd naona nimejaa raha juu yako hasa ninapokuona mbele yangu
Tuliongea mengi huku tuki.....
Hakika ilikuwa raha sana tuliambiana maneno yoote mtm lakini bado hatukuisha hm
Basi bwana muda ulikuwa umeenda sana tuliinuka na kuingia kwenye gari tukaanza safari yakurudi nyumbani
Tukiwa njiani Alex aliona duka la mauwa hivyo alipaki gari na kwenda kununua mauwa kisha aliniletea
Nilifurahi sana kwakweli asikuambie mtu nilijiona ninathamani ya juu sana kwenye moyo wa Alex safari iliendelea mpk nyumbani
Tulipofika tulishuka shemeji aliingia kivyake mimi pia nilienda kivyangu niliingia moja kwa moja chumbani kwangu
Nilichukuwa chupa ya kuhifazia mauwa nikayaweka mauwa yangu kwani yalikuwa mauwa freshi kabisaa
Nilimaliza nikaingia kuoga nikabadili nguo na baada ya hapo nilienda sebreni kumsalimia dada
Nilimkuta dada anaandaa meza kwaajili ya chakula cha jioni
Nilimuambia dada naomba niachie nikusaidie utakuwa umechoka
Alijibu kuwa hapana mdogoangu nimefika mapema nilisha pumzika wewe kaa ule ngoja niandae utakuwa umechoka sana
Nikamuambia basi ngoja nimuite Valentino chumbani kwake
Dada alijibu sawa muite aje
Niliinuka na kuelekea chumbani kwa mtoto nilipofika kwenye kordo mara nikakutana na shem Alex akanivuta kifππ ani kwakeπππakaanza kuni
Endelea kufuatilia.....
Full 1000
WhatsApp 0742133100.