Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)
Gonga94 ยท Stories

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


ILIPOISHIA...,

nimekuwa nikikuchunguza muda mrefu Sana toka nilipotoka mjini, maana niliwaambia familia yangu wanitafutie mke mwenye utu, heshima na upendo, wakanitajia wewe,
na nimefanya hivi makusudi tu ili nipime yaliyosemwa,

Lakini, nimegundua,wewe ni mtu wa pekee sana katika hii dunia ya leo,
kwahiyo, hapa tunaelekea mjiniii, toa hofu kabisa ".

Maneno hayo, yalimfanya Turi akapata nguvu mpya, ingawa hakujua hali harisi ya maisha ya kijana huyo,

ila, kujitambua tu kwa Kijana huyo ilikuwa tosha kwa Turi,
maana, swali alilokuwa akijiuliza sana Turi ni kwamba angeishije na Kijana huyo, ambaye Kila mtu kijijini anamjua kama ni chizi!.

Waliongozana mpaka nyumbani kwa Kijana huyo ili kufanya maandalizi ya ndoa ili waelekee mjini,ambako Kijana anaishi .

watu wengi mtaani walishangaa sana kumuona Kijana huyo ambaye alikuwa chizi, akiwa ameongozana na Binti Turi, tena akiwa anaongea kama mtu mwenye akiri timamu kuriko kawaida!,

Kijana huyo akawmambia Turi kwamba, " waache wanishangae hivyo hivyo, ili wapate somo kwenye maisha la kitomdharau Kila mtu, tena nitazidi kuwashangaza!, aah! ,Turi!, nilitaka kusahau,Mimi ninaitwa Amani".

Turi naye akamjibu Amani akisema,
" ooh!, na mimi ninaitwa Turi ".

Amani akamalizia kwa kusema," ninakufahamu mrembo wangu, nimekuchunguza muda mrefu sana bila wewe mwenyewe kujijua ,
ila,
ninachokusifu!, hukuwahi kubadili mwenendo na tabia Yako,

jambo ambalo watu wengi huwashinda haswa wanapokutana na watu ambao Kila wanapojitahidi kuwafanyia mema,
wao wakawalipa mabaya,
wengi hulipiza ubaya pia, ila wewe umekuwa na heshima mpaka siku unaondoka!".

Baada ya siku kupita, utaratibu wa sherehe kubwa ya harusi ulifanyika na watu wengi kijijini waliarikwa katika sherehe hiyo!.

Mama Vero alipewa taarifa na mmoja wa majirani juu ya utimamu wa Amani,
lakini hakukubari juu ya taarifa hiyo,
" mama Vero, nina ubuyu shoga yangu!, yani!,
juzi nimekutana na Amani yule chizi wa Kijiji ,akiwa anaendesha gari nzuriii!!, akiwa na Binti yako Turi sijaaminiii!!".

Mama Vero akajibu kwa kejeri na kufoka kama kawaida yake,
" mmh!, yani inawezekana hata wewe mwenyewe ni kichaa, huna akili sawa sawa,
maana, hizo taarifa unazonipa haziwezekani!,
ebu toka toka nyumbani kwangu mchawi mkubwa wewe!".

Kisha, mama Vero akamvuta jirani yake huyo kwa maneno makali akimtaka aondoke nyumbani kwake!.

Lakini! , siku iliyofuata asubuhi na mapema, Mama Vero alisikia honi ya gari ikipoga nje ya nyumba yake, akatoka upesi ili kuangalia,

maana tangu azaliwe hajawahi kupigiwa honi ya gari,
tena nje ya nyumba yake, labda zile za barabarani zinazomtaka apishe ili gari ipite tu!.

Toubaaa weeeh!, alipotoka nje Mama Vero alishikwa na butwaa ,akawa kama mtu aliyegandishwa kwa dakika moja mzima,
huku akikodoa mimacho yake kama mjusi aliyebanwa na mlango!.

Baada ya kumuona Amani akishuka kwenye gari nzuri mno kuwahi kuonekana kijijini, huku akimshika mkono Turi wakiwa na mshenga wao!.

Mama Vero akaanza kumfokea mwanaye Vero akisema,
" we veroo!,
inamaana wageni huwaoni au, mtoto unadharau wewe, ebu leta viti ,mwanangu kipenzi Turi kaja huyoooo!" .

Turi akabaki kushangaa tu ,maana mama huyo alikuwa na unafiki wa wazi wazi kabisa,

hadi mshenga akajisemea kimoyo moyo,
" mmh!, hapa kweli kazi ipo,loooh!, yani halina haya hata kidogo...!

ITAENDELEA...,
Tangazo - Jiunge sasa upate bonasi ya 500%
Jiunge sasa upate bonasi ya 500%
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 3)



ILIPOISHIA...,

nimekuwa nikikuchunguza muda mrefu Sana toka nilipotoka mjini, maana niliwaambia familia yangu wanitafutie mke mwenye utu, heshima na upendo, wakanitajia wewe,
na nimefanya hivi makusudi tu ili nipime yaliyosemwa,

Lakini, nimegundua,wewe ni mtu wa pekee sana katika hii dunia ya leo,
kwahiyo, hapa tunaelekea mjiniii, toa hofu kabisa ".

Maneno hayo, yalimfanya Turi akapata nguvu mpya, ingawa hakujua hali harisi ya maisha ya kijana huyo,

ila, kujitambua tu kwa Kijana huyo ilikuwa tosha kwa Turi,
maana, swali alilokuwa akijiuliza sana Turi ni kwamba angeishije na Kijana huyo, ambaye Kila mtu kijijini anamjua kama ni chizi!.

Waliongozana mpaka nyumbani kwa Kijana huyo...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi walimwozesha-na-chizi-kumbe-ni-tajiri-part
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 5)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI!(Part 4)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part1)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธ WALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! ( Part 6)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
๐ŸŽ™๏ธWALIMWOZESHA NA CHIZI KUMBE NI TAJIRI! (Part 2)
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

8.9K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

5.53K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.24K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.18K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

1.93K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

1.91K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

1.65K
RUNGU LA KIPOFU 21.

RUNGU LA KIPOFU 21.

1.65K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.64K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest