Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

‎KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  ‎Episode 25
Gonga94 · Stories

‎KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA ‎Episode 25

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


‎Basi baada ya kutaka kuingia ndani nilikutaka na kelvin siyo kulutana naye tu nilikutana naye kanitolea macho kama fundi saa aliyepoteza nati muda huo tayari nimeshajilia vya kujilia sasa mwepesi kama karatasi ...
‎" ulikuwa wapi lucy?
‎" nilikuwa nje kwani vipi?
‎" nilikwamhia nini?
‎" kuhusu nini tena mbona kama unaniendesha hivo?
‎" nachojali ni maisha yako shemeji"
‎" hebi we kaa kimya maisha gani ? Kuhusu nini? Shemeji kwanani? Kwa marehemu au ? Aliyekufa kafa ....

‎Nilikuwa nimeshaanza kuona kama anaanza kunichoreshea maisha sasa ngoja kidogo ajuwe kuwa mimi ni chizi mi kila siku namuomnba hataki katokea mtu ambaye matawi anayotua na mimi natua kwanini Nisiruke naye ?
‎" unamjua kaka yule uliyefanya naye hako kamchezo?
‎," hapana simjuwi kasema anakaaa nyumba ya jirani hapa
‎" hapa! Mmmmh hapana hapa anayekaa yupo nje ya nchi na ni mzungu sasa huyu sio wa hapa "

‎NIlishtuka sana na akanambia niingie ndani huyu jamaa ni mpelezi.niliogopa mapigo ya moyo yakaanza kwenda mbio nikajua tayari nimeyakanyaga rasmi na sasa hakuna jinsi zaidi ya kukubali kuwa ujinga wangu ndio umeniponza....

‎Nilitulia ndani yeye akiwa anatoka nje kwenye kutazama tazma mazingira kama yako sawa nilitulia tuli huku natetemeka sana.Uoga umenishika mpaka kucha zinatetemeka mmmmmh yaani sio powa ........

‎Mara ghafla zikasikika sauti ya vin'gora vya polisi eneo ambalo tulilokuwa tunaishi zilionekana gari nyingi sana eneo la tukio nilijawa na mawazo sana nikajua kutokana na uzembe wangu sasa naenda jela kuja kuchungulia dirisha la pili yule jamaa ambaye alijifanya anafanya kazi za maua ....kumbe ni askari mpelelezi na mission yake ilikuwa ni kunitafuta mimi na sasa kanipata na kajua napo ishi .....

‎Basi waliizunguka nyumba haraka lakini nilishtuka baada ya kuona kelvin hayupo na nyumbani kanisusia . Kumbe lelvin baada ya kuona kwamba siwezi kuwa msaada kwake kwa tabia yangu ya umalaya sasa hakuwa na muda tena na mimi aliamua achore yaani akimbie alijuwa wote tutaenda jela


‎Mimi kwa kosa la kuwatorosha wafungwa wawili na yeye kunitorosha mimi na kunihifadhi kwa makusudi.pia kwa kuua askari wengi sana kutokana na kutaka kunikomboa mimi aliacha barua chini ya meza
‎" pambana ujiokoe lucy mimi nimeshindwa kutokana na tabia zako nenda kaoze jela byeeee"

‎Nilianza kulia huko nje polisi wanataka nitoke nje mwenyewe niliona sasa hakuna namna hakuna mtu wa kunisaidia nilipiga hatua mikono ipo kichwani kwangu sina namna nishajikatia tamaa na sina uamuzi mwingine . Kweli nilikamatwa na kupelekwa mahakamani

‎Huko nikahukumiwa kifungo cha miaka 30 kwa makosa ya uhaini mpaka navoongia hivi niko jela naomba wanawake wenzangu muyaache haya mtaishi vizuri mwenye masikio amesikia mwenye macho ameona .jifunze vitu hivi

‎1. UREMBO WAKO HAUPASWI KUWA TIKETI YA KUTUMIKA

‎Wanawake wengi huamini kuwa urembo ni silaha ya kupata mapenzi au hata pesa pia , lakini kwa baadhi ya wanaume hususani matajiri na wenye mali nyingi huwa tumia wanawake kama chombo cha starehe na wanawake tumekubali hilo ndio maana tuko tayari kufanya chochote ilimradi tu tupata tunachotaka mwisho wa siku tunaishia kudhalilika hamuoni connection mitandao au mambo mengine ambayo wanawake wanayafanya na kujidhalilisha wenyewe tuishi kwenye misimamo , urembo si fursa ya kujidhalilisha tubadilike ......

‎2. Pesa kwa sasa ndio fimbo inayotumika kwa wanaume wengi kutuadhibu .....

‎Mimi ni lucy lakini kuna lucy wengi sana nchi hii ambao tunawaona mitandaoni mara oh sijuwi nauza nini sijuwi nafanya nini .wengine wanaanika picha zao za utupu mitandao yaani kukaa uchi kwao ni ajila thamani ya mwanamke sasa haipo yaani tunaonekana ni wadhaifu sana hususani linapokuja suala la pesa tuko tayari kufanya chochote kile tuzipate nipo jela ila nimeyashuhudia mengi mwisho wa umalaya ni aibu,magonjwa na hata kifo na kupotezea wale watu muhimu kwenye maisha yetu


‎3. USIKUBALI MAPENZI KWA KUHURUMIWA AU KUSAIDIWA

‎Mwanaume akikutendea jambo zuri au kukusaidia, haitakiwi iwe sababu ya kumlipa kwa mapenzi. Wanawake wengi huingia kwenye uhusiano kwa kulazimishwa na hisia za shukrani. Hilo ni kosa kubwa – usitoe moyo wako kama zawadi kwa mtu aliyekupa msaada wa muda. Na hiki huwakuta wengi penda kujiheshimu na kutunza utu wako sio kila mtu lazima uweke nguo zako za ndani pembeni jiheshimu

‎KWAKO WEWE MWANAUME ...🥺🥺🥺

‎4. Siyo Mwanamke Kila Anayekuja Maishani Mwako Anakupenda Wengi Wanakutumia

‎Wanaume wengi huingia kwenye mahusiano wakiamini wanapendwa, lakini ukweli ni kwamba baadhi ya wanawake huingia kwenye maisha yako kwa sababu una pesa, umaarufu, au vitu vya thamani. Wanajifanya kukujali, lakini wanatazama fursa wanayoweza kupata. Ukikosa hizo "fursa", wanageuka ghafla na kukuacha.Na kibaya zaidi wanaume wengi wamejikuta wakinasa kwenye huo mtego wa wanawake na kutumia pesa nyingi na mwanamke ambaye mwenyeqe ukimuona hana future yoyote na wewe unashindwa hata kusaidia familia yako na hata wadogo zako
‎👉 Jiulize kila wakati: kama singekuwa navyo, huyu angekuwepo kweli?


‎5 Usimwonyeshe Mwanamke Kila Kitu Ulichonacho –Mwanamke Anapaswa Kuaminiwa Kwa Majaribio, Siyo Mapenzi ya Ghafula

‎Wanaume wengi wanapopata mwanamke mrembo, hujisahau na kufungua kila milango ya mali zao, faragha, hata mipango yao ya mbele. Hii ni hatari, kwani mwanamke ambaye hajathibitishwa kwa vitendo, hawezi kuaminiwa kwa maneno matamu tu.Na huwa kuta watu wengi sana hujikuta wanaangukia pua na kujikuta kila kitu hakiendi wakahisi wamelogwa kumbe ni aina ya watu wanaowashirikisha mambo yao ni sawa na wewe kupanga tofali za msingi wa nyumba mwingine anaondoa j hapo nyumba haiwezi kukamilika ......
‎👉 Mwanamke mwenye nia njema atakupenda hata kama hujamwonyesha kila kitu ila mwenye tamaa ataanza kuhesabu unavyomiliki.


‎6. Usiwahi Kuwekeza Hisia Kubwa Kwa Mtu Ambaye Hajawekeza Japo Chembe Ya Ukweli Kwako

‎Mapenzi ya upande mmoja ni chanzo cha maumivu makubwa kwa wanaume wengi. Unampenda, unamjali, unamtumikia lakini yeye hayuko tayari hata kubeba nusu ya uzito wa mapenzi hayo. na kingine wanaume kuwa na wanawake wengi sio sifa au umaarufu zaidi zaidi ni mzigo au mateso tu leo huku kesho kule mnajizolea magonjwa yasiyo na maana kitanda sio maisha maisha nikupambana unakuta mvuvi anakesha siku nzima baharini au ziwani lakini hela zote anahonga mchimba madini ,daktari,mwalimu nk maisha sio kitanda tu usikubali kuwa dhaifu kwa kiumbe anayeitwa mwanaume wakunielewa kanielewa

‎"Asante sana mwandishi kelvin mlowe kwa kuiandika hadithi yangu na kuwapa hadhira natumaini kuna vingi wamejifunza, nakuombea kwa mungu akusimamie kwenye kazi yako ya uandishi unajitoa sana "

‎Haya yalikuwa ni maneno ya mwisho ya lucy kabla muda wetu wa mazungumzo haujaisha na sasa karudi tena mahabusu na hapa ndio mwisho wa hadithi hii nzuri natumai wengi mmejifunza asante kwa muda wenu kwa upendo wenu na kwa kila kitu hasa hasa support yenu

‎Naitwa kelvin mlowe ........

‎Hili ni onyo:
‎👉 Kama mwanamke haonyeshi juhudi wala kujali, usijilazimishe kumpenda. Mapenzi ni usawa sio mzigo upande mmoja.

‎XXXXXXXXX MWISHO XXXXXXXXXXXXXXXXX

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

‎KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA ‎Episode 25



‎Basi baada ya kutaka kuingia ndani nilikutaka na kelvin siyo kulutana naye tu nilikutana naye kanitolea macho kama fundi saa aliyepoteza nati muda huo tayari nimeshajilia vya kujilia sasa mwepesi kama karatasi ...
‎" ulikuwa wapi lucy?
‎" nilikuwa nje kwani vipi?
‎" nilikwamhia nini?
‎" kuhusu nini tena mbona kama unaniendesha hivo?
‎" nachojali ni maisha yako shemeji"
‎" hebi we kaa kimya maisha gani ? Kuhusu nini? Shemeji kwanani? Kwa marehemu au ? Aliyekufa kafa ....

‎Nilikuwa nimeshaanza kuona kama anaanza kunichoreshea maisha sasa ngoja kidogo ajuwe kuwa mimi ni chizi mi kila siku namuomnba hataki katokea mtu ambaye matawi anayotua na mimi natua...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kazi-ya-jela-ilinifanya-niwe-malaya-episode-25

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kazi-ya-jela-ilinifanya-niwe-malaya-episode
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  EPISODE 2 BASED ON TRUE STORY
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA EPISODE 2 BASED ON TRUE STORY
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  EPISODE 5 📌 Based on True Story
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA EPISODE 5 📌 Based on True Story
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA  ‎EPISODE 7
KAZI YA JELA ILINIFANYA NIWE MALAYA ‎EPISODE 7
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

938
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

763
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

626
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

596
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

136
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

85
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.5K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.49K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest