Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

 KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI🥰 Chapter 4
Gonga94 · Stories

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI🥰 Chapter 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Safari ilikuwa ndefu kidogo ilichukua takribani dakika 30, mwishowe walifika kwenye jumba

moja la kifahan Deo alldimamisha pikipiki kisha akashuka na kumuamulu Prisca ashuke Walisomea karibu na geti la ile nyumba Deo

okabonyeza kengere. Baada ya sekunde mlinzi alifungua "Boss wako yupo? Deo aliuliza bila hata salamu "Una miadi nae?

Hapana.

Subiri kwanza alisema mlinzi na kutaka kufunga geti lakini Deo alizuia geti kwa mkono wake na kusukuma kisha wakaingia huku akiwa ameshika mkono Prisca.

"Vipi mbona unaleta ubabe?

Kijana tulla mimi mwenyewe huko kwenye maeneo yangu ya kujidai ni boss kwahiyo jiheshimu kama unavyomuheshimu boss wako. Deo aliendelea kuongea huku akienda kwenye

mlango wa kuingilla ndani

Kelele za nje zilimfanya Jimny atoke nje Alipofungua mlango alikutana na sura ya Prisca. Prisca

"Ndio ni yeye nimekuletea mke wako.

Prisca nini kinaendelea hapa? Prisca hakuwa na jibu alimuachia Deo aongee. Wewe kiume unaejua kuowa watoto wawatu

billa taarifa za wazazi sasa leo nimekuletea mke wako.

Prisca huyu ni nani?

Kaka Deo naomba unisikilize nikwambie kitu.

Nyamaza utaniambia nini wewe, mimi hapa

nilipo damu inachemka naweza kuchinja mtu hapa. Wewe utampokwa huyu karna mke wako au unataka nikakushitaki kwa kuowa

mwanafunzi tena kwaajili ya manufaa yako.

Jimmy aliona hali inaweza kuwa mbaya kwa upande wake na mambo yanaweza kuhanbika Ilimbidi akubali kumpokea Prisca. Ok, sawa atakaa hapa naomba achana

mambo ya kushitaki. Huyu ni mke wako wa ndoa kisheria.

Sawa

Na hili bado hajaisha unatakiwa kujipanga kwaajili ya ndoa ya kabisa ni yani kufa na kuzikana. Deo alimgeukia tena Prisca

Wewe tulia kwenye ndoa yako huyu ndio

mumeo chaguo lako

Kuishi kwa amani

Deo alimaliza kuongea kisha akaondoka.

Jimmy alimgeukia Prisca na kumuuliza

Hiki ni nini? Mimi na wewe tulishamalizana. "Kama ulivyoona kaka yangu ni mikali sana na anajua kila kitu kilichotokea jana. Kwahiyo?

Kwahiyo nini sasa?

"Unatakiwa kwenda kutafuta suluhu na ndugu

zako

Wewe mbona umeshindwa kutafuta suluruhu

alipokuwepo hapa?

Uliona alishika panga ningesema nini? Basi kama ukiogopa panga hata mimi naogopa

vile vile na hapa ndio nimefika.

Oooh my God! Alisema jimmy huku akishika

kichwa chake na Prisca ndio kwanza alienda

kukaa kwenye kochi akawa anaangalia TV.

Jimmy alikuwa hajatulia alihisi kuchanganyikiwa. alienda kuchukua simu yake akampigia Patrick na kumuelezea tukio zima lililotokea.

Baada ya dakika kadhaa Patrick alifika па

kuwakuta wamekas sebleni huku kila mmoja

akiwa na mawazo yake.

Vipi nini kinaendelea hapa ? Patrick alimuuliza

prisca

Huyu mmarekani wenu ndio alitaka mambo yaharibike asubuhi tulimaliza kila kitu na mambo

yanaenda sawa sasa yeye akaja na mambo ya

sherehe hayo ndio yaliyoponza nyumbani kwetu

wanajua kila kitu nimefukuzwa ndio maana nipo

hapa

Prisca umeshindwa kuongea na kaka yako

ukamuelewesha?

Patrick naweza kukutanisha nae ila mkae mkijikua anaweza kuharibu mipango mizima ya

ile ndoa.

Patrick alitulia kwa muda Baada ya muda

almsogelea Jimmy na kumshika begani

Kwasababu ya usalama wako unatakiwa

kukubaliana na hãi

Jimmy alikubali kuishi nyumba moja na Prisca

alimpatia chumba cha kulala

Siku ya kwanza tu, Jimmy aliweka sheria kali.

Aliita Prisca sebuleni na kuanza kumwambia

sheria za kufuata

"Hebu kaa hapo."

Princa alikaa akawa anamuangalia kwa makini.

"Sikiliza, hapa siyo nyumbani kwako, Hapa

unapita tu Na sitaki mchanganyiko wa kihisia au hisia za

ovyo

Orusca alimuangalia na kuuliza.

Unamaana gani kusema hivyo?

Jimmy hakumfadanukia aliendelea kusema

"Kwanza, hakuna kulazimishana kuongea Kila

mtu awe na shughuli zake. Pili, hakuna kuulizana uko wapi, umetoka saa

ngapi, au urudi saa ngapi

"Tatu...hakutakuwa na uhusiano wowote

kimapenzi kati yetu. Umenielewa?

Nimekuelewa mmarekani mweusi kwani hata

mimi sina Shobo siku shobokei hata kidogo. Wate walinyamaza na kuangaliana kama chui na

paka

'Bado sijamaliza Jimmy aliinua kidole chake kama mwalimu, Sebuleni tutakaa wote

Chumba chako ni chako pekee yako, Ukimaliza

shughuli zako usizunguke zunguke bila sababu

Ukiona wageni wangu pitia mlango wa nyuma.

Hata kama itakuchukiza vumilia maana si mimi

niliyekuleta hapa.

Prisca alijibu kwa sauti ya chint

"Na mimi sikujileta.

Jimmy akacheka kwa dharau

"Sawa basi, tuelewane hivyo.

Jimmy aliondoka akamuacha Prisca akiwa

amekaa

Pumbavu kumbe huyu mwanaume ni jeuri klassi

hiki na hana hata huruma ila hata mimi

janiharibua akinileztea ujinga wake wa kimarekani na mimi nitakuonyeaha jeuri ya watanzania shubamit,

Siku zilienda maisha yalikuwa ya kimnya pake

ndani kila mtu alifanya mambo yake mwenyewe

hakuna aliemuuliza mwenzie.

Siku Prisca alipokuwa nyumbani, alikaa

chumbani kwake ajisomea, kuangalia TV au

kupika chakula kidogo kwajili yake. Hakuwahi

kumwambia Jimmy chochote, hata kama

chakula kolipokuwa mezani alikula pekee yake.

Jimmy kwa upande wake, aliendelea na maisha yake kama kawaida ya kifahari, raha, na

wanawake

Kila mara alikua akipiga simu

kimapenzi,

hakuona aibu Alisikika akiongea mbele ya

prisca

"Baby wangu, usiku wa leo niko available. Usilete rafiks kama yule wa jana, si mzuri kama wewe si

unajua mini napenda watoto wazuri.

Prisca alijisikia vibaya lakini hakutaka

kuonyesha alimkazia macho kwenye TV kama

vile hasiksi chochote.

Mambo yalizidi kuwa mabaya

Siku moja Jimmy alirudi usiku wa manane akiwa

na wanawake wawill Walikuwa walicheka

cheka, wamevaa nguo za ajabu mmoja akiwa amemshika bega na mwingine amemkumbatia

walipofika sebuleni, alikuta Prisca amekaa kwenye kochi akitazama tamthilia Aliwaangalia

kisha akatingisha kichwa Jimmy alimuangalia Priaca kwa jicho la dharau,

"Hujalala bado? Unangoja nani?"

Prisca alijibu bila hasira wala woga:

"Inafikiri nilikuwa hakusubiri wewe?

Sasa ulikuwa unasubiriwa

nani?

Nilishakwambia fanya mambo yako mimi sia

mume wako.

Alafu Leo kuna wageni kwahiyo tupishe nenda chumbani kwako,

Prisca alinyanyuka polepole akapita kati yao bila hata kuwaangalia usoni. Allingia chumbani kwake akajifungia na kuzima taa

Ndani ya moyo wake, alihisi kitu kikimsokota

siyo sababu ya upendo, bali ni zile dharau za

mwisho kutoka kwa Jimmy hakujua kwanini

Jimmy anamfanyia vituko na kumdhalilisha

mbele ya wanawake zake

Asubuhi aliamka mapema na kwenda jikoni

akaandaa kikombe cha chai kisha akakaa

mezani na kuanza kunywa.

Jimmy alishuka kutoka chumbani kwake akamuona Prisca akiwa na kikombe kimoja.

"Nahitaji chal

Kawaamble wanawake zako wakupikle.

Jimmy alinyamaza, akatabasamu kwa dharau. "Nakuona unajifunza misimamo, Lakini

kumbuka, hapa bado ni kwangu"

Lakini tulikubaliana tuwe kwenye misimamo

Jimmy alivuta kiti skokas na kumkazia macho usoni, Prisca hakujali macho ya jimmy aliendelea kunywa chai yake taratibu

Hivi ndivyo mke anapaswa kuishi na mume

wake?

Prisca akicheka lodógo

Mume? Unazungumzia mume aina gani

wewe?

Kama upo kwangu upo kama nani? Mahirika mwenzangu kibiashara, rafiki, mfanyakazi au

mke?

Katika hicho hakuna hata kimoja. Sisi ni watu

tusiojuana ndio maana kila mtu anafuata

maisha yake bila kumshirikisha mwenzie.

Alijibu Prisca kisha akasimama na kuchukua

mkoba wake ili aondoke kwenda chuo. ile

anataka kuondoka Jimmy walimshika mkono na

kumvutia kwake, Prisca alienda kutulia kwenye

kifua cha Jimmy na jimmy alitingisha mikono

yake kwenye kiuno cha Prisca.

Unataka nini kwangu? Wake wanawake wawill

hawajakutosheleza?

Hivi hujui kama kila mmoja anaradha yake?

Sasa nataka kuonja ya kwako mke wangu

bandia

Prisca aliachia tabasamu la kejeli kisha.

akasema

Nenda kaichore ya kufanana na yangu alafu kamalizane nayo ya kwangu abadani hizi kuiona

wala kuitumia.

Jimmy alimkazia macho na kujiuliza huyu binti

anajiamini vipi kumjibu vile.

Prisca aljitoa kwa nguvu kwenye mwili wa Jimmy kisha akaondoka.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Elton John - Sacrifice
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI🥰 Chapter 4



Safari ilikuwa ndefu kidogo ilichukua takribani dakika 30, mwishowe walifika kwenye jumba

moja la kifahan Deo alldimamisha pikipiki kisha akashuka na kumuamulu Prisca ashuke Walisomea karibu na geti la ile nyumba Deo

okabonyeza kengere. Baada ya sekunde mlinzi alifungua "Boss wako yupo? Deo aliuliza bila hata salamu "Una miadi nae?

Hapana.

Subiri kwanza alisema mlinzi na kutaka kufunga geti lakini Deo alizuia geti kwa mkono wake na kusukuma kisha wakaingia huku akiwa ameshika mkono Prisca.

"Vipi mbona unaleta ubabe?

Kijana tulla mimi mwenyewe huko kwenye maeneo yangu ya kujidai ni boss kwahiyo jiheshimu kama unavyomuheshimu boss wako. Deo aliendelea kuongea huku akienda kwenye

mlango wa kuingilla ndani

Kelele...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/kiutani-tu-nimeingizwa-ukubwani-chapter-4

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi kiutani-tu-nimeingizwa-ukubwani-chapter
 KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5
KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANI Chapter 5
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

MY WANGU❤️ sehemu ya 111 na 112

1.15K
AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS💘💘 N0 70...71💘💘

603
MY WANGU❤️ sehemu ya 113

MY WANGU❤️ sehemu ya 113

539
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*

513
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9

203
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 8

177
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4

114
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7

87
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6

79
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8

54

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.22K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.96K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.7K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.11K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.43K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.33K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.32K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.19K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15* Post Mpya
*UTANIITA SHEMEJI* *11-15*
@majario LIVE

*____________________________________* *SEHEMU YA 11* SONGA NAYO.................... Ilituchukua karibu lisaa hadi kufika kituo tunachoshukia , tukashuka Alvin akalipa na kunishikia begi langu la nguo haoo tukashika kichochoro kuelekea huko anakojua yeye. Mda huo tunatembea alikuwa...

WEWE NI WANGU  SEHEMU YA 10 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 10
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Nilipomuona Lizy hasira zote zikaniisha, nikabaki naona aibu yani aibu harafu sasa hapa mbele palikuwa pametuna hivyo Nafahamu Lizy alikuwa ameniona So nikabaki najikanyanga kanyaga kama mtoto wa kike "Umepajuaje hapa..??" Nilimuuliza...

Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING  #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶 Post Mpya
Movie: Do Deewane Seher Mein Rating: ⭐⭐⭐⭐ Review: SOOTHING #SiddhantChaturvedi & #MrunalThakur shine in this raw &realistic love story 🫶
@majario LIVE

#DoDeewaneSeherMein #DoDeewaneSeherMeinReview Ravi Udyawar handles the film with maturity and restraint. The screenplay avoids melodrama. The strength lies in its emotional authenticity. The dialogues are organic & socially relevant without...

BLACK BUTTERFLY 🦋 1 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 1
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Anzaaaa “ Hello guys nataka umakin zaidi katika hoteli hii nadhan kila mmoja anajua wajibu wakee kwa wateja okay ...?!?” Aliongeaa msichana mmoja matata sana alionyeshaa yeye...

Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni Post Mpya
Rohan Kapoor and Farah Naaz made their Bollywood debut with Faasle, directed by Yash Chopra. They were introduced as the lead pair — Rohan played Vijay, and Farah played Chandni
@majario LIVE

. The film told a simple, emotional love story. Vijay and Chandni fall in love, but their relationship faces strong opposition from her family. It had that classic “rich girl, poor...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 8
@majario LIVE

Nikaliwa kwenye gari ya bwana wangu na ushirikiano nikatoaa mwanzo mwisho kama chizii vilee. Kama lisaa hivii ndo anamaliza nipo hoii yupo hoiii akavaa nguo zake kimya kimya, mie uso umenishuka...

MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115* Post Mpya
MY WANGU❤️ *sehemu ya 114 na 115*
@majario LIVE

Aseeeee nimekuja kustuka namuona mama yangu pembeni na nipo hospital. Nyieee cha kwanza nikashika tumbo langu. Ooh lipo . Mi mwenyewe nilikuwa nataka.kuzaa ssana na mlige najua mema alonifanyia mm...

MY WANGU❤️ sehemu ya 113 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 113
@majario LIVE

Basi bibi mie nilipomaliza kusuka.nikaenda kwangu kupumzika kabisa. Basi siku iyo mlige kanipigia akanmbia njoooo nyakanazi. Mh nikajua anataka mzigo. Mie nikajiandaa mpaka nyakanaza. Akaningiza kwenye gari . Heeee safari...

*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️*   *SEHEMU YA 01 & 4 Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO 💍❤️* *SEHEMU YA 01 & 4
@majario LIVE

ANZA NAYO…… “Wewe sikiliza umu Ndani teshachoka kukulea sasa, Kazi utaki kufanya, unataka kukaa tu, unataka tukulishe na kukuvisha Binti akili zako Zipo Sawa au ? Sasa...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 7
@majario LIVE

Wale wadada wakanyamaza kidogo, wakaniangalia kuanzia kichwani mpaka miguuni. Mmoja akauliza “Huyu ni nani tena?” Nikavuta pumzi ndefu, nikajikaza. “Sikujua kama leo ni sherehe, , mie ni mke wake” nikasema kwa sauti ya...

mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu Post Mpya
mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo ya San Diego akizungumza kuhusu
@majario LIVE

Ukurasa wa kutazama wa YouTube unaangazia upakiaji wa kwanza kabisa unaoitwa "Me at the zoo," ikionyesha mwanzilishi mwenza wa YouTube Karim mwenye umri wa miaka 25 wakati huo katika Zoo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 6
@majario LIVE

Maneno ya Boda boda yalikuwa yananifikirisha sana, nikafika nyumbani sina hata rahaa, kila nikapiga sana simu ya D hakuwa anapokea nilipiga sanaaa hata hapokeii .. Usingizi hauji yaani kila nikikumbuka wale...

Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov Post Mpya
Ghana released the passport of the Russian guy accused of filming African women without consent. They named him as 36-year-old Vladislav Liulkov
@majario LIVE

after talks with the Russian ambassador as it tries to extradite him back to face charges. “Working with the Ghana Police CID, we have activated international legal action through INTERPOL...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 9
@majario LIVE

SONGA NAYO...... "Uwiiiii mamaaa, sir nisamehe.." Alilalamika yule mwanafunzi. ( yani unaongea hivyo na mtu ambaye ananifanya nikose usingizi, nishindwe kula harafu unaongea unavyojisikia na mimi nikiwa hapa kabisa, pokea na hicho..) Nikamshushia kingine...

AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo Post Mpya
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
@majario LIVE

utakaopigwa Machi 01, 2026 kuhamishiwa katika uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar badala ya Benjamin Mkapa kama ilivyopangwa awali na kubainisha kwamba kanuni zinaruhusu. Akizungumza na chombo kimoja cha Habari...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest