Ingia

Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
  gonga94 official track

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANIπŸ₯° Chapter 4

13th Sep, 2025 Views 37



Safari ilikuwa ndefu kidogo ilichukua takribani dakika 30, mwishowe walifika kwenye jumba

moja la kifahan Deo alldimamisha pikipiki kisha akashuka na kumuamulu Prisca ashuke Walisomea karibu na geti la ile nyumba Deo

okabonyeza kengere. Baada ya sekunde mlinzi alifungua "Boss wako yupo? Deo aliuliza bila hata salamu "Una miadi nae?

Hapana.

Subiri kwanza alisema mlinzi na kutaka kufunga geti lakini Deo alizuia geti kwa mkono wake na kusukuma kisha wakaingia huku akiwa ameshika mkono Prisca.

"Vipi mbona unaleta ubabe?

Kijana tulla mimi mwenyewe huko kwenye maeneo yangu ya kujidai ni boss kwahiyo jiheshimu kama unavyomuheshimu boss wako. Deo aliendelea kuongea huku akienda kwenye

mlango wa kuingilla ndani

Kelele za nje zilimfanya Jimny atoke nje Alipofungua mlango alikutana na sura ya Prisca. Prisca

"Ndio ni yeye nimekuletea mke wako.

Prisca nini kinaendelea hapa? Prisca hakuwa na jibu alimuachia Deo aongee. Wewe kiume unaejua kuowa watoto wawatu

billa taarifa za wazazi sasa leo nimekuletea mke wako.

Prisca huyu ni nani?

Kaka Deo naomba unisikilize nikwambie kitu.

Nyamaza utaniambia nini wewe, mimi hapa

nilipo damu inachemka naweza kuchinja mtu hapa. Wewe utampokwa huyu karna mke wako au unataka nikakushitaki kwa kuowa

mwanafunzi tena kwaajili ya manufaa yako.

Jimmy aliona hali inaweza kuwa mbaya kwa upande wake na mambo yanaweza kuhanbika Ilimbidi akubali kumpokea Prisca. Ok, sawa atakaa hapa naomba achana

mambo ya kushitaki. Huyu ni mke wako wa ndoa kisheria.

Sawa

Na hili bado hajaisha unatakiwa kujipanga kwaajili ya ndoa ya kabisa ni yani kufa na kuzikana. Deo alimgeukia tena Prisca

Wewe tulia kwenye ndoa yako huyu ndio

mumeo chaguo lako

Kuishi kwa amani

Deo alimaliza kuongea kisha akaondoka.

Jimmy alimgeukia Prisca na kumuuliza

Hiki ni nini? Mimi na wewe tulishamalizana. "Kama ulivyoona kaka yangu ni mikali sana na anajua kila kitu kilichotokea jana. Kwahiyo?

Kwahiyo nini sasa?

"Unatakiwa kwenda kutafuta suluhu na ndugu

zako

Wewe mbona umeshindwa kutafuta suluruhu

alipokuwepo hapa?

Uliona alishika panga ningesema nini? Basi kama ukiogopa panga hata mimi naogopa

vile vile na hapa ndio nimefika.

Oooh my God! Alisema jimmy huku akishika

kichwa chake na Prisca ndio kwanza alienda

kukaa kwenye kochi akawa anaangalia TV.

Jimmy alikuwa hajatulia alihisi kuchanganyikiwa. alienda kuchukua simu yake akampigia Patrick na kumuelezea tukio zima lililotokea.

Baada ya dakika kadhaa Patrick alifika ΠΏΠ°

kuwakuta wamekas sebleni huku kila mmoja

akiwa na mawazo yake.

Vipi nini kinaendelea hapa ? Patrick alimuuliza

prisca

Huyu mmarekani wenu ndio alitaka mambo yaharibike asubuhi tulimaliza kila kitu na mambo

yanaenda sawa sasa yeye akaja na mambo ya

sherehe hayo ndio yaliyoponza nyumbani kwetu

wanajua kila kitu nimefukuzwa ndio maana nipo

hapa

Prisca umeshindwa kuongea na kaka yako

ukamuelewesha?

Patrick naweza kukutanisha nae ila mkae mkijikua anaweza kuharibu mipango mizima ya

ile ndoa.

Patrick alitulia kwa muda Baada ya muda

almsogelea Jimmy na kumshika begani

Kwasababu ya usalama wako unatakiwa

kukubaliana na hΓ£i

Jimmy alikubali kuishi nyumba moja na Prisca

alimpatia chumba cha kulala

Siku ya kwanza tu, Jimmy aliweka sheria kali.

Aliita Prisca sebuleni na kuanza kumwambia

sheria za kufuata

"Hebu kaa hapo."

Princa alikaa akawa anamuangalia kwa makini.

"Sikiliza, hapa siyo nyumbani kwako, Hapa

unapita tu Na sitaki mchanganyiko wa kihisia au hisia za

ovyo

Orusca alimuangalia na kuuliza.

Unamaana gani kusema hivyo?

Jimmy hakumfadanukia aliendelea kusema

"Kwanza, hakuna kulazimishana kuongea Kila

mtu awe na shughuli zake. Pili, hakuna kuulizana uko wapi, umetoka saa

ngapi, au urudi saa ngapi

"Tatu...hakutakuwa na uhusiano wowote

kimapenzi kati yetu. Umenielewa?

Nimekuelewa mmarekani mweusi kwani hata

mimi sina Shobo siku shobokei hata kidogo. Wate walinyamaza na kuangaliana kama chui na

paka

'Bado sijamaliza Jimmy aliinua kidole chake kama mwalimu, Sebuleni tutakaa wote

Chumba chako ni chako pekee yako, Ukimaliza

shughuli zako usizunguke zunguke bila sababu

Ukiona wageni wangu pitia mlango wa nyuma.

Hata kama itakuchukiza vumilia maana si mimi

niliyekuleta hapa.

Prisca alijibu kwa sauti ya chint

"Na mimi sikujileta.

Jimmy akacheka kwa dharau

"Sawa basi, tuelewane hivyo.

Jimmy aliondoka akamuacha Prisca akiwa

amekaa

Pumbavu kumbe huyu mwanaume ni jeuri klassi

hiki na hana hata huruma ila hata mimi

janiharibua akinileztea ujinga wake wa kimarekani na mimi nitakuonyeaha jeuri ya watanzania shubamit,

Siku zilienda maisha yalikuwa ya kimnya pake

ndani kila mtu alifanya mambo yake mwenyewe

hakuna aliemuuliza mwenzie.

Siku Prisca alipokuwa nyumbani, alikaa

chumbani kwake ajisomea, kuangalia TV au

kupika chakula kidogo kwajili yake. Hakuwahi

kumwambia Jimmy chochote, hata kama

chakula kolipokuwa mezani alikula pekee yake.

Jimmy kwa upande wake, aliendelea na maisha yake kama kawaida ya kifahari, raha, na

wanawake

Kila mara alikua akipiga simu

kimapenzi,

hakuona aibu Alisikika akiongea mbele ya

prisca

"Baby wangu, usiku wa leo niko available. Usilete rafiks kama yule wa jana, si mzuri kama wewe si

unajua mini napenda watoto wazuri.

Prisca alijisikia vibaya lakini hakutaka

kuonyesha alimkazia macho kwenye TV kama

vile hasiksi chochote.

Mambo yalizidi kuwa mabaya

Siku moja Jimmy alirudi usiku wa manane akiwa

na wanawake wawill Walikuwa walicheka

cheka, wamevaa nguo za ajabu mmoja akiwa amemshika bega na mwingine amemkumbatia

walipofika sebuleni, alikuta Prisca amekaa kwenye kochi akitazama tamthilia Aliwaangalia

kisha akatingisha kichwa Jimmy alimuangalia Priaca kwa jicho la dharau,

"Hujalala bado? Unangoja nani?"

Prisca alijibu bila hasira wala woga:

"Inafikiri nilikuwa hakusubiri wewe?

Sasa ulikuwa unasubiriwa

nani?

Nilishakwambia fanya mambo yako mimi sia

mume wako.

Alafu Leo kuna wageni kwahiyo tupishe nenda chumbani kwako,

Prisca alinyanyuka polepole akapita kati yao bila hata kuwaangalia usoni. Allingia chumbani kwake akajifungia na kuzima taa

Ndani ya moyo wake, alihisi kitu kikimsokota

siyo sababu ya upendo, bali ni zile dharau za

mwisho kutoka kwa Jimmy hakujua kwanini

Jimmy anamfanyia vituko na kumdhalilisha

mbele ya wanawake zake

Asubuhi aliamka mapema na kwenda jikoni

akaandaa kikombe cha chai kisha akakaa

mezani na kuanza kunywa.

Jimmy alishuka kutoka chumbani kwake akamuona Prisca akiwa na kikombe kimoja.

"Nahitaji chal

Kawaamble wanawake zako wakupikle.

Jimmy alinyamaza, akatabasamu kwa dharau. "Nakuona unajifunza misimamo, Lakini

kumbuka, hapa bado ni kwangu"

Lakini tulikubaliana tuwe kwenye misimamo

Jimmy alivuta kiti skokas na kumkazia macho usoni, Prisca hakujali macho ya jimmy aliendelea kunywa chai yake taratibu

Hivi ndivyo mke anapaswa kuishi na mume

wake?

Prisca akicheka lodΓ³go

Mume? Unazungumzia mume aina gani

wewe?

Kama upo kwangu upo kama nani? Mahirika mwenzangu kibiashara, rafiki, mfanyakazi au

mke?

Katika hicho hakuna hata kimoja. Sisi ni watu

tusiojuana ndio maana kila mtu anafuata

maisha yake bila kumshirikisha mwenzie.

Alijibu Prisca kisha akasimama na kuchukua

mkoba wake ili aondoke kwenda chuo. ile

anataka kuondoka Jimmy walimshika mkono na

kumvutia kwake, Prisca alienda kutulia kwenye

kifua cha Jimmy na jimmy alitingisha mikono

yake kwenye kiuno cha Prisca.

Unataka nini kwangu? Wake wanawake wawill

hawajakutosheleza?

Hivi hujui kama kila mmoja anaradha yake?

Sasa nataka kuonja ya kwako mke wangu

bandia

Prisca aliachia tabasamu la kejeli kisha.

akasema

Nenda kaichore ya kufanana na yangu alafu kamalizane nayo ya kwangu abadani hizi kuiona

wala kuitumia.

Jimmy alimkazia macho na kujiuliza huyu binti

anajiamini vipi kumjibu vile.

Prisca aljitoa kwa nguvu kwenye mwili wa Jimmy kisha akaondoka.

Full 1000
Whatsp 0784468229.
   

X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

KIUTANI TU NIMEINGIZWA UKUBWANIπŸ₯° Chapter 4  >>> https://gonga94.com/semajambo/kiutani-tu-nimeingizwa-ukubwani-chapter-4

#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #israel #iran #war 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 

Maoni

You're not logged in
Click here to login and comments
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
gonga94 official track
ZETU
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
gonga94ads - The Best Popunder Adnetwork
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Popular Contact us
Terms & Conditions About us Latest