Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *21--222 *__________*  *SEHEMU YA 21*  Tulipoishia msimu wa kwanza... mama Kingston aliniletea dawa za tumbo chumbani kwangu...
Gonga94 · Stories

MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *21--222 *__________* *SEHEMU YA 21* Tulipoishia msimu wa kwanza... mama Kingston aliniletea dawa za tumbo chumbani kwangu...

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Na wakati huo kijana wake alishahisi huenda nikawa na ujauzito wasiwasi mzito ulimvaa Kingston akaamua kuja chumbani kwangu kuniuliza what's going on.

Kabla hatujasemezana chochote tulisikia mama Kingston anakuja hivyo ikabidi Kingston ajifiche kwenye pazia😰😰

Mama ni kama kuna kitu ameshaanza kukihisi mwilini mwangu🥹🥹nilitetemeka sana pale aliponigusa mapigo yangu ya moyo na kuniuliza kama kuna kitu ninamficha..

Hapo ndipo nilipotizama upande ule alipojificha Kingston ili niweze kumwonyesha ishara ya kuwa kwa hapa nilipofikia uyanisamehe lakini siwezi kudanganya tena🥹

Kabla sijafanya hivyo Kingston akaniwahi akaniambia please zarina niko chini ya miguu yako usiongee chochote na mama..

Nilibaki njia panda nifanya nini😰😰ilibidi kidanganye tena kwa ajili ya Kingston yani ukimpenda mtu bwana unakuwa kama mtumwa😂

Nilikuwa tayari kufanya chochote ilimradi nimuweke Kingston sehemu salama..

Mama aliniomba ninywe zile dawa mmmhh nilizishika mkononi zile dawa kichwani nikawa nawaza kama kweli nina mimba basi sitakiwi kuzinywa hizi dawa zinaeza kuniharibia ujauzito wangu..

Hata kama Kingston asipoukubali huu ujauzito mimi sitautoa nitahangaika nao mwenyewe mpaka nijifungue...

Wakati nayawaza hayo mama akawa anazidi tu kunishangaa😳😳😳wewe binti hebu kunywa dawa hizo..

Hapana mama kwa sasa tumbo haliumi we nenda ukalale niachie hizi dawa tumbo likianza kuuma nitazinywa🙏🙏

Mama alinielewa na akaniambia siku inayofuata kama hali yangu itakuwa mbaya basi nisiamke mapema kama ninavyoamka siku zote..

Aliniambia yeye atawahi kuamka afanye kazi zote baada ya hapo atanipeleka hospitalini kwenye vipimo..

Asante kwa kujali mama🥹🥹 mwenyezi Mungu akubariki🙏🙏it's okay zarina kuwa na usiku mwema..

Aliniaga na kuondoka zake bila kujua pale chumbani kuna Kingston🥱🥱..

Baada ya mama kuondoka Kingston alitoka pale alipojificha akanisogelea pale kitandani nilipokaa..

Aliniangalia sana huku mapigo yake ya moyo yakiwa yanamuenda mbio kuliko kawaida ..

Mwisho wa siku aliamua kunisemesha... aliniambia zarina nina imani siyo mimba😰😰..

Unamaanisha nini Kingston🥹🥹inamaana ikiwa ni mimba utaikataa???

Niliongea kwa sauti ya juu iliyojaa wasiwasi mwingi sana🙌🙌asikwambie mtu linapokuja swala kama hili utatamani ardhi ipasuke uingie😰😰

Hakuna mwanamke anayependa kutelekezewa mimba😓😓maisha ya usingo maza nimekua nikiyaona kwa mama yangu ni magumu hayaelezeki kuna muda mpaka mama yangu alikuwa analala bila kuoga wala kula kwa sababu ya mambo mengi kumtinga kichwani..

Itakuwaje Kwa upande wangu🥹🥹🥹...machozi ndo kitu pekee kilikuwa kinatiririka bila breki..

Wakati huo Kingston alikuwa ameniziba mdomo ili nisiendelee kushauti kwa sauti wazazi wakatusikia..

Nisikilize zarina..hakikisha mama na baba huwambii chochote kuhusu mimi na wala usiwambie chochote kilichotokea kati yetu..

Kesho ukiamka jifanye mzima kabisa ili mama asikupeleke hospital wakishaondoka mi nitakupeleka mwenyewe ukapime please mamaa..

Jamaa alishuka chini akapiga magoti alinisemesha kwa sauti ya chini ya kunibembeleza mimi nikawa nalia tu na moyo ukawa unazidi kuzama in love💔💔..

Kingston aliniomba kesho niamke muda kama niliozoea kuamka nifanye kazi zangu zote na mama akiniuliza nimwambie niko sawa haina haja ya kwenda hospital..

Nilikubaliana naye maskini ndo nishapenda nguvu ya kumpinga jamaa sikuwa nayo😔😔..

Baada ya kumkubalia alinikumbatia kisha akanibusu nyieeee niling'ang'ania kifuani kwake nikawa sitaki kumuachilia😣😣

Aliniomba nipumzike na nifanye kama tulivyokubaliana...

Nini kitafuata??...

*SEHEMU YA 22*

Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..

Nilibakia peke yangu kule chumbani kusema kweli sikupata usingizi😓😓 nilikuwa nawaza tu nikikutwa na mimba itakuwaje??..
Niligala gala kitandani mpaka mida ya saa 11 alfajili nikaamka... nilinawa nikamaliza nikatoka kwenda kufanya usafi..

Wakati niko jikoni nakosha vyombo mama naye aliamka kumbuka aliniahidi kufanya kazi zote siku hiyo..

Hee zarina umeamka??.

Ndiyo mama😊😊we nenda tu ukaendelee kulala mimi nitafanya kazi zangu mwenyewe..

Huh lakini unaumwa wewe😳😳 hapana mama niko sawa tumbo haliumi tena yani najisikia vizuri kabisa..

Kwa hiyo hospital huendi tena???. Hahahaa mama sa hospital nifuate nini na wakati sijisikii vibaya...

Lbda ikitokea nimezidiwa ndo nitaenda hospital but for now I'm okay😊😊... hahahaa utakuwa muoga wa sindano wewe mi nishakugundua😂😂

Hahahaa tuliishia kucheka pale nikamuuliza mama yani kama vile ulikuwepo yani mimi na sindano ni maji na mafuta😂😂😂

Basi masikini mama wa watu aliniambia kwa vile nimeshaamka siwezi kurudi kulala hebu ngoja japo nikusaidiepo hivo vyombo we nenda ukasafishe huko hapa jikoni niachie mimi nishughulike napo..

Basi mamaa mi nilienda kufanya usafi ndani nikamuachia mama amalizie vile vyombo..

Kusema kweli siyo kwamba nilikuwa sawa hapana nilijikaza tu nisimkwaze Kingston...

Nyote mliozaa mnazijua tabia za mimba haswa mida kama hiyo zinakuwa kama zimepandwa na kuchaa😂

Nilianzia kudeki chini kupanda juu... wakati wote nahangaika na dekio kwenye flo ya chini kumbe Kingston alikuwa kajibanza sehemu ananichabo tu maskini🙈🙈

Nimedeki zangu chini nilipomaliza nikapanda juu wakati huo kushaanza kupambazuka...

Nilikuwa natembea nayumba kizungu zungu kama chote..

Vyote hivyo Kingston alikuwa anajionea tu...basi bwana nilipopanda juu nikashangaa nakutana na Kingston kwenye ngazi akanipokea ile ndoo ya kudekia nikashangaa😳

Nimatie mimi hii ndoo...nilimuachia ile ndoo lakini natetemeka kupita maelezo🙌..jamaa aliniangalia kwa macho ya huruma sana🥹🥹

Aliniuliza kwa sauti ya chini vipi unaendeleaje??. Polee unaonekana hauko sawa🙂 nilikaa tu kimya sikuweza kumjibu chochote😔😔

Kingston aliniambia nimuachie kazi iliyobakia ye ataimalizia wazazi wakiondoka nikamwambia sawa..

Alipitisha dekio zile sehemu zinazoonekana ili wazazi wakipita wajue tayari usafi ushafanyika kote..

Kwa ile hali ya kujali kidogo nikawa na matumaini juu ya Kingston 🙂🙂🙂..

Nilirudi chumbani kwangu nikapata na nguvu ya kutandika kitanda baada ya hapo nikaenda kuoga kidogo nikapata nguvu..

Ilipofika saa moja kuelekea saa mbili wazazi wa Kingston walitoka kuelekea kazini wakanisisitiza hali yangu ikibadilika nisisite kuwapigia simu..

Basi baada ya wazazi kusepa Kingston alikuja akanimiminia chai maskini akanipatia na vitafunwa akaniomba nile maana usiku wa jana sikula ndo maana kuzungu zungu kinanisumbua..

Lol mshikaji alionekana kujali vibaya mno🥹🥹alinisisitiza sana naomba ule zarina usijali kila kitu niachie mimi I'm a Man nitajua namna ya kufanya kikubwa tu uniamini..

Baada ya Kingston kuniambia hivyo aliondoka kwenda kumalizia usafi zile sehemu zilizobakia mimi nikabaki nakunywa chai..

Alifanya usafi akamaliza akaja kuniangalia... aliniuliza nilichoongea na mama nikamwelezea kila kitu akanishukuru kwa kuendelea kumfichia siri zake na akaniahidi kila kitu kitakaa sawa😰😰..

Aliniomba nikapumzike kidogo baada ya hapo tutaenda hospital kufanya vipimo😓😓yani kila niliposikia neno vipimo kimoyo kilikuwa kinafanya paaah😂😂😂

Mshikaji alinishikilia mkono mpaka chumbani kwangu akaniomba nijilaze pale nipumzike🤗🤗🤗..

Usingizi nilikuwa nao wa kufa mtu kumbuka usiku wa jana wote sikulala💔kwa ile hali ya kujali aliyonionyesha Kingston kidogo nikajikuta napata na amani ya kulala..

Nililala usingizi fofofo😴😴 nilikuja shituka saa nane mchana nimeloa jasho mwili mzima😺

Ilibidi nikoge tena baada ya hapo nikatoka kuelekea jikoni kwa ajili ya kupika..

Wakati nataka kuanza kupika Kingston alinifuata akaniambia nijiandae tutoke tutakula huko tunakoenda..

Nilimwambia sawaa... nilijiandaa chapu nikavaa nguo nzuri aloninunulia siku ile🙈🙈nayeye akajiandaa alipomaliza akaja kunigongea tuondoke..
Nilitoka kingston aliponiona nilivyotupia kwa mara ya kwanza akanisifiaaa🤗🤗🤗aliniambia wow you look good😽😽..

Nikamwambia thank youu🙈 ukisifiwa na wewe sifia😂😂nami nilimsifia The Boy maana lol Mungu alijua kumuumba kwa kweli🥰

Tulitoka mpaka parking familia ina kila aina ya magari jamani😴🙌 wakitaka kutoka wanajichagulia tu leo tutoke na ipi🤗🤗

Kingston alichagua gari moja wapo pale akaniambia nipande tukaondoka kuelekea hospital...

Nini kitafuata baada ya vipimo?.?fuatilia sehemu inayofuata...

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *21--222 *__________* *SEHEMU YA 21* Tulipoishia msimu wa kwanza... mama Kingston aliniletea dawa za tumbo chumbani kwangu...



Na wakati huo kijana wake alishahisi huenda nikawa na ujauzito wasiwasi mzito ulimvaa Kingston akaamua kuja chumbani kwangu kuniuliza what's going on.

Kabla hatujasemezana chochote tulisikia mama Kingston anakuja hivyo ikabidi Kingston ajifiche kwenye pazia😰😰

Mama ni kama kuna kitu ameshaanza kukihisi mwilini mwangu🥹🥹nilitetemeka sana pale aliponigusa mapigo yangu ya moyo na kuniuliza kama kuna kitu ninamficha..

Hapo ndipo nilipotizama upande ule alipojificha Kingston ili niweze kumwonyesha ishara ya kuwa kwa hapa nilipofikia uyanisamehe lakini siwezi kudanganya tena🥹

Kabla sijafanya hivyo Kingston akaniwahi akaniambia please zarina niko chini ya miguu yako usiongee chochote na mama..

Nilibaki njia panda nifanya nini😰😰ilibidi kidanganye tena kwa ajili ya...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two-21-222-__________-sehemu-ya-21-tulipoishia-msimu-wa-kw

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mmmm-daddy-nikikupa-utaniowa-kweli-season-two
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35*  Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 35* Baada ya mama kufika mjini nilimpigia baba Kingston
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*      *SEHEMU YA 40*  Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 40* Mipango niliyokuwa nayo ni kumuondoa Kingston mikononi mwa lulu aje tulee watoto..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *36--40* *______________________________________*  *SEHEMU YA 36*  Kiswahili cha mama si kizuri sana ila kinaeleweka🤣🤣🤣
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *36--40* *______________________________________* *SEHEMU YA 36* Kiswahili cha mama si kizuri sana ila kinaeleweka🤣🤣🤣
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38*  Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 38* Basi bwana siku hiyo ya ufunguzi wa restaurant yangu wateja walifurika mpaka wengine walikosa nafasi wakaondoka🥳..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39*  Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 39* Baada ya kuiandika hiyo barua pale mwishoni nikaweka kanamba kangu ka simu🙈🙈🙈
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*   *SEHEMU YA 33*  Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 33* Baada ya kutuma tu msg Baba alinipigia🥰🥰🥰akanijulia hali kisha akaniuliza niliko nikamwambia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*     *SEHEMU YA 28*  Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 28* Siku hiyo Kingston alioga akajiandaa akaondoka pale nyumbani aliniachia pesa kiasi fulani kwa ajili ya...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37*  Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 37* Mama Kingston bwana alikuja shituka nikiwa nimeshakabidhiwa lile jumba la ghorofa
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*  *SEHEMU YA 31*  Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🤗🤗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 31* Nilifika getini kwao Kingston palikuwa kimya sana ilikuwa ni jioni saa 11 kuelekea saa 12🤗🤗..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34*  Nilipiga simu ya mama  ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 34* Nilipiga simu ya mama ikaita na kupokelewa🥹🥹🥹
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32*  How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 32* How??... inawezekanaje?.. wazazi walinihoji hawakuamini ilibidi nianze kuwasimulia kila kitu..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30*  Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 30* Zilipita kama week moja hivi Tristan akanifuata akaniambia kazi imepataikana na kwa kipindi chote hicho yeye ndo alikuwa anatuhudumia...
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 27*  Baada ya kumuomba Kingston abaki na mimi usiku ule alinikatalia akaniambia
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 27* Baada ya kumuomba Kingston abaki na mimi usiku ule alinikatalia akaniambia
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26*  Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 26* Nilishikwa na hofu nyingi moyoni lakini nikaweka imani nilifika nyumbani kwetu salama salmin..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 29*  Nilishangaa kumuona Dada na lile rundo la pesa nikamuuliza mbona umeomba pesa nyingi hivo???..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 29* Nilishangaa kumuona Dada na lile rundo la pesa nikamuuliza mbona umeomba pesa nyingi hivo???..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 24*  Weee niliogopaa😂😂😂sijui anataka kusema nini Mungu wangu😔😔..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 24* Weee niliogopaa😂😂😂sijui anataka kusema nini Mungu wangu😔😔..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO*     *SEHEMU YA 23*  Tulienda kwenye hospital moja hivi iliyoko nje kidogo  ya jiji la Arusha..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 23* Tulienda kwenye hospital moja hivi iliyoko nje kidogo ya jiji la Arusha..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 22*  Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..
*MMMM DADDY NIKIKUPA UTANIOWA KWELI?!* *SEASON TWO* *SEHEMU YA 22* Nilimwambia sawa nitafanya hivyo... alinitakia usiku mwema kisha akaondoka zake..
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15

668
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19

626
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

545
FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18

535
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

393
BLACK BUTTERFLY 🦋 3

BLACK BUTTERFLY 🦋 3

119
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja

100
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia

8

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.46K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.23K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.75K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.21K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.54K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.45K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.4K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 13
@majario LIVE

Basi nikaingia ndani, dohh nilipashangaa, yani uyu dada hakuwa na chochote cha maana cha ndani zaidi ya godoro tu, amabalo nalo wala halikuwa linalizisha kabisa,mabegi ya nguo, na ndoo za...

Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh Post Mpya
Zayed Khan has always been a total family man at heart. He’s married to his high school sweetheart, Malaika Parekh
@majario LIVE

. They met as teenagers at Kodaikanal International School, became close friends, and eventually fell in love. After years of being together, they got married on November 20, 2005. It’s...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

SONGA NAYO. Ila nyie mapenzi konyo Walahi, Yaani ukimuona mtu unayempenda lazima tu Ka moyo kashtuke na kapate amani Fulani hivi Kitendo cha kumuona Enzo nilifurahi lakini pia nilijikaza tu na kumuuliza...

This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest