Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8
Gonga94 ยท Stories

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Macho ya Leon na Jasmine yalikuwa yamefungwa kana kwamba kuna sumaku iliyokuwa ikivutana. Pumzi zao zilikutana, joto la miili yao likawa karibu mno. Leon alinyosha mkono wake kana kwamba anataka kugusa shavu la Jasmine, lakini kabla hajafanya hivyo mlango ulifunguliwa kwa kwa nguvu na kufanya washituke na kila mtu akarudi nyuma.
โ€œ samahani Boss!โ€ alijitokeza Paul, mmoja wa wafanyakazi wa kampuni . Leon alimuangalia huku akiwa kakunja sura yake .
โ€œSamahani, kuna dharura ya mikataba inahitaji sahihi yako haraka.
Kwa sauti kali Leon alijibu:
โ€œPaul! Wewe huna adabu? Huoni niko busy? Toka nje nitakuita!
" Samahani boss...
Paul alijifuta jasho, akatoka haraka huku akionekana kuchanganyikiwa.

Baada ya mlango kufungwa tena, kimya kilitawala. Jasmine akamuangalia Leon kwa macho ya kejeli, akasema kwa sauti ya utani:
โ€œKwa hiyo Boss, ndiyo unaona suluhisho la kila kitu ni kufoka?
" Na wewe hebu kaa hapo umalize kazi , au chukua nenda kamalizie huko maana hapa unanichanganya tu kwa maneno yako ya kijinga.
"Ungekuwa umenibusu sasa hivi tusingekuwa tunafukuzana hivi?

Leon akashituka paji lake la uso .
" Jasmine sitaki ujichanganya na wala sikuwa na nia ya kukubusu .
Jasmine alicheka kicheko kidogo cha kuvutia.
โ€œNdiyo maana unasema hutashindwa, lakini moyo wako umeshajisalimisha zamani boss Wewe ni jeuri kwa ulimi, lakini moyo wako ni mfungwa wangu.
Leon akamsogea karibu tena, safari hii akimwangalia kwa macho makali lakini yenye kitu kisichoweza kufichika.
โ€œJasmine, usinipe sababu ya kukufukuza kazi. Sijazoea mtu kunizungumzia hivi. Naamini hakuna mwanamke anayeweza kunichanganya mimi.
" Itakuwa vizuri kama unanifukuza ili niondoke na ushindi wangu.

Kwa sekunde kadhaa ukimnya ulitawala ,Leon akageuka kwa ghafla, akachukua koti lake, akasema kwa sauti kali:
โ€œKesho utaripoti kazini saa moja kamili asubuhi. Na usithubutu kuchelewa kuna kazi muhimu ya kufanya.
Leon aliondoka , Jasmine alicheka kimoyomoyo huku akipumua kwa nguvu.
โ€œNimekushika, Leon. Na siwezi kukuachia mpaka nikushinde kwa moyo hili jaribio zuri sana kwangu.

Kesho yake, majira ya asubuhi Jasmine aliwahi kazini mapema kama alivyoamriwa na Leon. Alikuwa amevaa gauni la rangi ya baby yellow lililokuwa limeshika mwili wake mzuri na kuacha shingo yake nyembamba ikionekana vizuri.
Alijua kabisa leo kuna kitu kipya kitakachotokea, na aliahidi moyoni mwake atamshinda Leon katika mchezo wa hisia.

Alipokaribia karibu na jengo la ofisi Ghafla gari dogo lililokuwa linaingia kwa kasi halikujali hata alama za usalama, likapita karibu mno na Jasmine. Wakati anakwepa Aliteleza akajikuta anataka kuanguka. Mara akasikia
โ€œkuwa muangalifu. sauti kali ya kiume ilisikika alafu kwa sekunde moja alihisi kushikwa kiunoni. Alipogeuka kuangalia alimuona Leon.
Waliangalia huku bado Mikono yake ilikuwa imezunguka kiuno cha Jasmine, pumzi zao zikakutana tena. Jasmine macho yake yakatazama macho ya Leon, moyo wake ukadunda kwa kasi lakini hakutaka kuonyesha udhaifu huo.
Wakati huo baadhi ya wafanyakazi walikuwa wameduwaa wakiangalia kama vile wanaangalia tamthilia.
โ€œBoss, sasa umeanza kazi mpya ya kuwa โ€˜bodyguardโ€™ wangu?โ€ Jasmine alisema kwa sauti ndogo lakini ya kudhihaki.
Leon hakujibu alishusha pumzi kwa nguvu, macho yake yakiwa bado yameganda kwa sura ya Jasmine. Kisha taratibu akamnyanyua na kumweka vizuri kando.
โ€œHuna akili kabisa, Wewe unadhani maisha ni mchezo? Kama sio mimi ungekuwa chini sasa hivi!โ€ alisema kwa ukali, lakini sauti yake haikuwa na mkali kama siku zote kulikuwa na kitu cha upole kisichoweza kufichika.
Jasmine akajifanya kama vile anaumia, akashika mguu wake kwa makusudi.
โ€œAhโ€ฆ nafikiri nimejiumiza kidogo,โ€ alisema kwa sauti dhaifu, akinyanyua macho yake kwa ulegevu kumuangalia Leon.
" Wewe si jeuri ninekusaidia ukaanza maneno yako ya ajabu pambana na hali yako.
Leon aliondoka na kumuacha akiwa kasimama.
" Patrick samahani naomba msaada wako tafadhali.
Kabla Patrick hajafika alipo Leon aligeuka kuangalia.
" Hey Patrick hebu nimfuate haraka achana na huyu msichana asiyekuwa na shukurani.
Patrick waliachana na Jasmine akamfuata boss.
Jasmine akatabasamu huku akisema:
Huu ndio mwanzo wa mtego wangu. Nitakufanya uingie kwenye hisia zako mwenyewe Leon.

Jioni Jasmine alikaa na Sasha wanacheza karata lakini akili yake ilikuwa mbali sana .
" Jasmine nasubiri ucheze kama huna ramba. Jasmine alitupa karata mezani.
" Aaaaah mchezo wenyewe hata sikuelewi.
" Wewe mjinga nini umeona nataka kukufunga unajishauwa huelewi.
" Sasha mwenzio akili yangu haipo sawa unajua namuwaza sana Leon.
" Unamuwaua kivipi?
Yani ile ujeuri wake imenivitia mpaka nimejikuta naanza kumpenda.
Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž ๐Ÿ”ฅ 8



Macho ya Leon na Jasmine yalikuwa yamefungwa kana kwamba kuna sumaku iliyokuwa ikivutana. Pumzi zao zilikutana, joto la miili yao likawa karibu mno. Leon alinyosha mkono wake kana kwamba anataka kugusa shavu la Jasmine, lakini kabla hajafanya hivyo mlango ulifunguliwa kwa kwa nguvu na kufanya washituke na kila mtu akarudi nyuma.
โ€œ samahani Boss!โ€ alijitokeza Paul, mmoja wa wafanyakazi wa kampuni . Leon alimuangalia huku akiwa kakunja sura yake .
โ€œSamahani, kuna dharura ya mikataba inahitaji sahihi yako haraka.
Kwa sauti kali Leon alijibu:
โ€œPaul! Wewe huna adabu? Huoni niko busy? Toka nje nitakuita!
" Samahani boss...
Paul alijifuta jasho, akatoka haraka huku akionekana kuchanganyikiwa.

Baada ya...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mr-arrogant-8

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mr-arrogant
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT SEHEMU YA KUMI NA TATU*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ*  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 17&18*
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 9
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________*  *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* ______________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA SITA*
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ* *1----2* *
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR. ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ 3
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT ๐Ÿ’Ž๐Ÿ”ฅ10
MR ARROGANT 14&15*
MR ARROGANT 14&15*
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

496
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

226
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

223
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

208
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

132
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.72K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.55K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.43K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.34K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, ๐Ÿฅฐ nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba ๐Ÿฅฐ๐Ÿ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY ๐Ÿ’ž๐Ÿ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest