Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA 11&12
Gonga94 ยท Stories

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 11&12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 11&12

Nilinyanyua shoka nikataka kumpiga nalo yule jamaa , yule jamaa akalidaka lile shoka na kunipokonya halafu akanisukuma nikaanguka pembeni, mke wangu akawa anacheka tu na kusema mtu mwenyewe huna nguvu halafu unataka kupigana hahahaaa, nilikasirika nikanyanyua jiwe yule jamaa akaniwahi na kunizaba makofi akanipokonya jiwe na kulitupa ,niliumia sana kwani nilikuwa nanyanyasika mbele ya mke wangu halafu mke wangu anacheka tu,
Nikaingia ndani huku nimejiinamia tu maana ingekuwa mchana watu wangeniona sijui ingekuwaje , lakini sikufika ndani nikajiona mjinga kuingia na kumuacha mke wangu nje tena akiwa na mwanaume mwingine , nikatoka tena nje nakumwambia mke wangu plz nakuomba usinifanyie hivyo plz , mke wangu akajibu kwani mi nimekufanyaje ,? Mi nawewe tulishaachana na talaka umeandika sasa mbona tunafuatana ,? Kwanza wewe si unamalaya zako wenye magari si uwafuate ,mke wangu bado aliniuliza huku akinikejeli akamkumbatia yule jamaa yake na kupeana mabusu mbele yangu ,
Nilihisi moyo unapasuka ikabidi nijiegemeze kwenye ukuta , nilimuona mke wangu mkatili sana maana mbele yangu ananyonywa mate na mwanaume mwingine , nikaingia ndani tena chumbani kwangu nikajifunika shuka nikalia sana nilimlaumu mungu kwa kumwambia kwanini unaruhusu niumie ,nililia sana na Nakumbuka siku hiyo usiku sijui saa ngapi nilihisi miguno ya mapenzi chumbani anakolala mke wangu yaani kwamala nyingine mke wangu aliingiza yule mwanaume ndani na wanafanya mapenzi , nikasikiliza kwa makini nikamsikia mke wangu anamsifu yule jamaa kwa kumpa penzi tamu kuliko mimi , nilitoka chumbani nikaenda kugonga mlango kwa nguvu huku nikimwambia mke wangu, nilikudanganya tu kuwa nimefukuzwa kazi ili nione uvumilivu wako ,lakini umenilipa maumivu makali sana , basi nakuomba usiendelee kuniumiza , nilimwambia mke wangu huku nikigonga mlango , ni kama mke wangu alifanya kusudi ili niumie maana hakujali nnavyosema ndo kwanza alizidisha kelele za mapenzi huku akimsifu jamaa ,
Nilirudi chumbani kwangu na nikaweka manguo kichwani nisisikie kelele zao , nilijiuliza huyu mwanamke nimempendea nini au alikuwa hanipendi alikuwa anaishi namimi ilimradi tu,
Walimaliza kufanya yao nikashangaa mke wangu anakuja chumbani kwangu nakuanza kuniambia ,sitaki usumbufu ninapokuwa kwenye starehe zangu sawa ,? Naona unachanganyikiwa kila siku maneno ni hayo hayo tu eti umenidanganya eti hujafukuzwa kazi wakati mwezi wa pili huu unaenda watatu umekalisha makende yako tu ndani ,tena sipendi kabisa unifatefate subilia siku zako za kuishi hapa ziishe uondoke zako usinichoshe kabisa ,aliongea mke wangu na hakunipa hata nafasi ya kujibu akaondoka zake ,
Asubuhi niliamka nikamuona mke wangu anamuandaa mtoto kwa ajili ya shule huku akipika maziwa na chapat , nikajisemea ngoja leo Nile chakula cha mke wangu nikamimina maziwa kwenye kikombe na kuchukua chapati kama mbili, mke wangu alikuja mbio akanipokonya na kuniambia we huoni aibu yaani mwanaume mwenzako atoe pesa apikiwe we uje ule hebu achiaaa , aliongea mke wangu huku akinipokonya yale maziwa na chapati , nikamuuliza inamaana huyo mwanaume yupo ndani ,? Akanijibu ndio , tena alinijibu kwa dharau huku anaondoka , nilikaa nimejiinamia tu nisijue la kufanya , wakati wanaendelea kunywa maziwa yao na machapati nikasikia kelele huko nje nilipotoka nikashangaa kuona wafanyakazi wenzangu tena wakiwa na bosi wangu , wakishangilia huku wananiita jina langu , nilishangaa sana bosi wangu alishuka nakuniambia aisee tumekustukiza lakini ndio sapraiz yenyewe huu ufunguo wa gari yako hiyo hapo na utaitumia kuja nayo kazini tumekuletea mapema ili uizoee , daah aisee ilikuwa ni V8 New model ile ya wabunge , sikuamini nilifurahi sana sasa wakati naikagua ile gari mke wangu si akatoka nje wafanyakazi wote wakashangilia na kuimba sheeemu shemu ,,, shemuuuuu ,,! Shemu huyo shemuuu shemu huyo shemuuu shemu huyo shemuuu shemu wetu wee ,,!
Nikamuona mke wangu anashangaa tu huku akiwa haamini anachokiona , kumbuka mwanaume wake yupo ndani ,

Hayaaaa nomanomaa nomaaa ,,!!!????????

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 12

Nikamuona mke wangu anashangaa tu huku akiwa haamini anachokiona, kumbuka mwanaume wake yupo ndani,
Yule bosi wangu akamfuata nakumpa hongera eti kwa kunitunza na kuniamsha asubuhi niwahi kazini , haya mafanikio ni wewe ndo umesababisha hongera sana shemeji na ofisi imekuzawadia shilingi milion 1 lakini hii milioni moja hatukupi sisi ,bali atapewa mumeo nae atakupa yeye kwa mikono yake, muda wote huo mke wangu alikuwa ananiangalia tu huku akiwa kama mtu mwenye maswali mengi yasiyo na majibu , weee shemejiiiii ,, yule bosi akamstua mke wangu baada ya kumuona yupo kwenye dimbwi la mawazo , mke wangu akastuka na kusema Asante jamani nilikuwa kwenye mawazo sana unajua siamini kama mume wangu amepata gari kama hili , bosi akamwambia basi ndo uwamini sasa ,
Wafanyakazi walinipa hongera huku hawajui kinachoendelea mimi na mke wangu waliona tupo sawa tu yaani tunafuraha tele kumbe moyoni moto unawaka ,
Zawadi ya wafanyakazi ikaletwa ubavu wa mbuzi akakabidhiwa mke wangu huku wafanyakazi wakisema mtengenezee shemeji ale ashibe , tulifirahi sana na tukawashukuru , na wakaaga wakaondoka nikabaki na li V8 langu nikiwa siamini kabisa kama ni lakwangu, mke wangu alisimama tu pale mlangoni akiniangalia ,niliingia kwenye gari hilo na kuwasha mziki nikaanza kucheza mwenyewe, yaani ilikuwa ni furaha Sana ,
Niliingia ndani nikachukua mkaa na kuwasha jiko la nyama kisha nikatoa ule ubavu wa mbuzi nikauchoma huku mziki unapiga kwenye gari ,mke wangu alijikaza akaniuliza vp nije nikusaidie kuchoma nyama ,? Nikamjibu hapana nenda kamuhudumie mumeo huko chumbani , jibu hilo likamchoma mke wangu nikamuona amekaa kimya tu ananiangalia nnchokifanya ,
Nilichoma nyama nikawa nakata pande moja nakuja nalo mpaka pale kwenye V8 langu nikawa nalitafuna huku napiga yope maana nilifungulia mziki nyimbo ya diamond, yaani ungebahatika kuniona ungecheka maana nilikuwa kama chizi , niliingia ndani kuchukua sahani nilipotoka nikamuona mke wangu amechukua kisu eti anakata kipande cha nyama , nikajikuta namwambia ,eeeeh ebu toka hapo na uwache unachokifanya ,yaani nyama yangu unataka kumpelekea bwana ako ,,? Mke wangu alihuzunika sana maana aliona kama namkejeli, alikuwa amekata kakipande kadogo tu yaani kama ka kuonja nikampokonya nikakitumbukiza mdomoni nikakitafuna , nikamwambia atoke hapa karibu yangu bwana ake asije akaniona akanivunja sehemu, nilimuona nikama machozi yanamlenga lenga na mimi sikujali nikaendelea zangu kuchoma nyama huku nacheza zangu mziki , usoni nilimchukia Sana ila moyoni nikama upendo bado ulikuwepo maana kuna muda nilikuwa namuonea huruma,
Mke wangu aliingia mule chumbani alikokuwa yule bwana ake , nikasikia kama wanagombana maana walikuwa kama wanafokeana , sikuwajali mi nikaingia zangu ndani nikajiandaa nikaweka ile nyama nyuma ya buti ya gari maana nilikula nyama ikanishinda nikaona kuliko nimuachie mke wangu si bora nikawape wale mafundi wangu, nikawasha gari huyooo mpaka kule kwenye nyumba yangu nikawakuta mafundi wanapiga kazi si mchezo kweli ukiwa napesa kila kitu kinakwenda fasta tu,
Niliwapa ule upande wa mbuzi na mchana wakapiga bonge la ugali tukala pamoja ,
Nyumba ilikuwa wanaiezeka mabati ya msauz na ndani walikuwa wanaendelea na prasta pamoja na nyiru ,
Ilifika muda kama wa jion nikawaaga mafundi na kuwaachia posho kidogo, nikaenda kupanda kwenye V8 langu lakini wakati nafunga mlango nikashangaa mtu amefungua mlango wa kushoto akaingia ,alikuwa ni mke wangu, sikusubiri hata aongee nikamwambia SHUKA CHINI,,! akajifanya anajibalaguza na kuongea eti mi nnamaongez nawewe,,, nikamwambia SHUUUKA CHINIII ,,,!!



Kumekuchaaa

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 11&12

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 11&12

Nilinyanyua shoka nikataka kumpiga nalo yule jamaa , yule jamaa akalidaka lile shoka na kunipokonya halafu akanisukuma nikaanguka pembeni, mke wangu akawa anacheka tu na kusema mtu mwenyewe huna nguvu halafu unataka kupigana hahahaaa, nilikasirika nikanyanyua jiwe yule jamaa akaniwahi na kunizaba makofi akanipokonya jiwe na kulitupa ,niliumia sana kwani nilikuwa nanyanyasika mbele ya mke wangu halafu mke wangu anacheka tu,
Nikaingia ndani huku nimejiinamia tu maana ingekuwa mchana watu wangeniona sijui ingekuwaje , lakini sikufika ndani nikajiona mjinga kuingia...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilimdanganya-mke-wangu-nimefukuzwa-kazi-kumbe-nnalikizo-miezi-3-sehemu-ya-11-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilimdanganya-mke-wangu-nimefukuzwa-kazi-kumbe-nnalikizo-miezi
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3  SEHEMU YA    15
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 15
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3          SEHEMU YA  17
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 17
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3            SEHEMU YA  18      ...
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 18 ...
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3     SEHEMU YA   16
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 16
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       Sehemu ya 03
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 03
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3  Sehemu ya  04&05
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 04&05
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA 06
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 06
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA   10
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 10
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3                SEHEMU YA   07&08
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 07&08
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI,     KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI, KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       SEHEMU  YA 13
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 13
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3      SEHEMU YA   09
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 09
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA   14
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68

1.18K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67

1.03K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69

637
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final

393
SHAMIRA 94 Hadi 96

SHAMIRA 94 Hadi 96

322
SHAMIRA 99 na 101

SHAMIRA 99 na 101

310
SHAMIRA 102 kwa 104

SHAMIRA 102 kwa 104

267
SHAMIRA 92 kwa 93

SHAMIRA 92 kwa 93

241
SHAMIRA Sehemu ya 97&98

SHAMIRA Sehemu ya 97&98

228
NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45

NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45

172

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.79K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.51K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.85K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.34K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.94K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.77K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.74K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.68K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.61K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
LETICIA 1 MPAKA 6 Post Mpya
LETICIA 1 MPAKA 6
@majario LIVE

๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’๐Ÿ’ LETICIA Sehemu ya 01 Mwandishi; LISSA Kwa majina naitwa leticia sabasi, wengi wanapenda kuniita leti,kwenye familia yetu ya mzee sabasi tumezaliwa mabinti wa wawili ,mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa anaanza dada...

SHAMIRA 105 na 106 Post Mpya
SHAMIRA 105 na 106
@majario LIVE

Sehemu ya 105 Mwandishi; lissa wa huru media Nakuuliza wewe hivi shamira una shida gani na uyu mtot eeh kwanini unampiga piga. Mimi mwenyewe sijawahi kumgusa ata siku moja uyu...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 69
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Nikasema sawa kama umemfahamu zena sasa, nimemuoa sasa na yeye ni mke wangu pia, jalia akaniangalia sana kisha akasema sawa mimi nimeshajua kuwa umemuoa uyo zena, yeye anajua kuhusu mm,...

SHAMIRA 102 kwa 104 Post Mpya
SHAMIRA 102 kwa 104
@majario LIVE

99. MPK 104 (NARUDIA KUSEMA HURU MEDIA WABABE๐Ÿ˜‚) ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ ๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ SHAMIRA Sehemu ya 102 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi walivyomaliza kula love hakuniuliza kitu ata...

JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI 9 na 10
@majario LIVE

๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“๐Ÿ“ sehemu ya 9 Mwandishi:lissa mwalla Alikua ni Ivan, sikuamin mana sura yake haikubadilika japo alikua amekua, tulitizaman huku mm nikiwa sijui nimsalimie au nimshangililie lkn huyu anajua siri yangu mm nikichofanyiwa kipindi...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 8
@majario LIVE

Mwandishi:lissa mwalla Babaaa! Niliita kwa mstuko, baba akasema tayla wee taaaay... Kabla hajamaliza niligeuka nyuma na kuanza kuondoka, kumbe DA frida alikua anatembea na babangu siku zote hizi? Baba kampangia anaishi...

BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“   SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ Post Mpya
BILLIONS OF LOVE๐Ÿ’“๐Ÿ’“ SEHEMU YA "7_8"๐Ÿ’“๐Ÿ˜ฝ
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Huyu kashaliwa huyu tena usiku kuchaaaa Mama Samson sasa kwa aibu akanipita bila hata kunisalimia Mara zee mapumba hili hapa linatoka likiwa alinafunga xipi yake vzr loooh ๐Ÿคฎ...

SHAMIRA 99 na 101 Post Mpya
SHAMIRA 99 na 101
@majario LIVE

Sehemu ya 99 Mwandishi; lissa wa huru media Mh shoga yenu nikawa ata sijielewi elewi .mala simu yangu ikaingia sms.nikavuata simu .nakuta sms nimetumiwa imeandikwa .asante kwa penzi tamu shamira siajajutia...

Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, Post Mpya
Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco,
@majario LIVE

Kufuatia uamuzi wa Kamati ya Rufaa ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF) wa kuwavua Senegal ubingwa wa AFCON 2025 na kuwapa Morocco, mshambuliaji wa Senegal, Sadio Manรฉ, ameonyesha kusikitishwa na...

SHAMIRA Sehemu ya 97&98 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 97&98
@majario LIVE

๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€๐Ÿ€ Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikafika ndani kwake akanmbia kaa kitandani. Mie nikakaa uku sielewi nae akakaa kitandani .kisha akaniangali kwa macho makavu mpka nilishangaa nimemfanya nini...

NAKUPENDA BILA MIPAKA  36 - 45 Post Mpya
NAKUPENDA BILA MIPAKA 36 - 45
@majario LIVE

:36 Sijapenda kabisa, binti alisema wanapika kwao, ina maana wewe huli kabisa huko nje kwasababu una uwezo au ni kwasababu gani. Kumbuka na wewe hapa umeajiriwa kwaajili yangu, kwanini haujali hisia...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 68
@majario LIVE

IMETOKAAAAA SEASON YA MWISHOOO SEASON 4 Nikasema ahaa kaka nipo busy sana na nabanwa na kazi, na kuna mda nalala kazini, kka akanmbia au sio unanidanganya na mm mdogo wangu, we...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 66 na 67
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Mwandiishi; LISSA Na kesho yake mapema sana mimi.niliamkia kazini , na nilipofika tu job,nikaongea na uyo afande mnige, ni mshikaji wangu tu uyu baba ,na huwa ananiitaga boss, mana nimempita...

SHAMIRA 94 Hadi 96 Post Mpya
SHAMIRA 94 Hadi 96
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 94 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema hapana mimi sijawah.akasema basi mimi niliwahi kuza mwenzio ila kwa bahati mbaya nilikosa il uchungu niliuona aswaa. Unauma sana shoga...

MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wangu๐Ÿ”ฅ) 17 to 18 final
@majario LIVE

* * MTUNZI: SMILE SHINE EP 17. Mikononi mwake nilikuwa sarama, siku ya ndoa, ilifika na vicram tulimualika na familia yake, kama wao walivyofanya, ila hii ndoa nilijua kupendeza jamani, nilipaka na Hina yangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest