Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA 11&12
Gonga94 · Stories

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 11&12

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 11&12

Nilinyanyua shoka nikataka kumpiga nalo yule jamaa , yule jamaa akalidaka lile shoka na kunipokonya halafu akanisukuma nikaanguka pembeni, mke wangu akawa anacheka tu na kusema mtu mwenyewe huna nguvu halafu unataka kupigana hahahaaa, nilikasirika nikanyanyua jiwe yule jamaa akaniwahi na kunizaba makofi akanipokonya jiwe na kulitupa ,niliumia sana kwani nilikuwa nanyanyasika mbele ya mke wangu halafu mke wangu anacheka tu,
Nikaingia ndani huku nimejiinamia tu maana ingekuwa mchana watu wangeniona sijui ingekuwaje , lakini sikufika ndani nikajiona mjinga kuingia na kumuacha mke wangu nje tena akiwa na mwanaume mwingine , nikatoka tena nje nakumwambia mke wangu plz nakuomba usinifanyie hivyo plz , mke wangu akajibu kwani mi nimekufanyaje ,? Mi nawewe tulishaachana na talaka umeandika sasa mbona tunafuatana ,? Kwanza wewe si unamalaya zako wenye magari si uwafuate ,mke wangu bado aliniuliza huku akinikejeli akamkumbatia yule jamaa yake na kupeana mabusu mbele yangu ,
Nilihisi moyo unapasuka ikabidi nijiegemeze kwenye ukuta , nilimuona mke wangu mkatili sana maana mbele yangu ananyonywa mate na mwanaume mwingine , nikaingia ndani tena chumbani kwangu nikajifunika shuka nikalia sana nilimlaumu mungu kwa kumwambia kwanini unaruhusu niumie ,nililia sana na Nakumbuka siku hiyo usiku sijui saa ngapi nilihisi miguno ya mapenzi chumbani anakolala mke wangu yaani kwamala nyingine mke wangu aliingiza yule mwanaume ndani na wanafanya mapenzi , nikasikiliza kwa makini nikamsikia mke wangu anamsifu yule jamaa kwa kumpa penzi tamu kuliko mimi , nilitoka chumbani nikaenda kugonga mlango kwa nguvu huku nikimwambia mke wangu, nilikudanganya tu kuwa nimefukuzwa kazi ili nione uvumilivu wako ,lakini umenilipa maumivu makali sana , basi nakuomba usiendelee kuniumiza , nilimwambia mke wangu huku nikigonga mlango , ni kama mke wangu alifanya kusudi ili niumie maana hakujali nnavyosema ndo kwanza alizidisha kelele za mapenzi huku akimsifu jamaa ,
Nilirudi chumbani kwangu na nikaweka manguo kichwani nisisikie kelele zao , nilijiuliza huyu mwanamke nimempendea nini au alikuwa hanipendi alikuwa anaishi namimi ilimradi tu,
Walimaliza kufanya yao nikashangaa mke wangu anakuja chumbani kwangu nakuanza kuniambia ,sitaki usumbufu ninapokuwa kwenye starehe zangu sawa ,? Naona unachanganyikiwa kila siku maneno ni hayo hayo tu eti umenidanganya eti hujafukuzwa kazi wakati mwezi wa pili huu unaenda watatu umekalisha makende yako tu ndani ,tena sipendi kabisa unifatefate subilia siku zako za kuishi hapa ziishe uondoke zako usinichoshe kabisa ,aliongea mke wangu na hakunipa hata nafasi ya kujibu akaondoka zake ,
Asubuhi niliamka nikamuona mke wangu anamuandaa mtoto kwa ajili ya shule huku akipika maziwa na chapat , nikajisemea ngoja leo Nile chakula cha mke wangu nikamimina maziwa kwenye kikombe na kuchukua chapati kama mbili, mke wangu alikuja mbio akanipokonya na kuniambia we huoni aibu yaani mwanaume mwenzako atoe pesa apikiwe we uje ule hebu achiaaa , aliongea mke wangu huku akinipokonya yale maziwa na chapati , nikamuuliza inamaana huyo mwanaume yupo ndani ,? Akanijibu ndio , tena alinijibu kwa dharau huku anaondoka , nilikaa nimejiinamia tu nisijue la kufanya , wakati wanaendelea kunywa maziwa yao na machapati nikasikia kelele huko nje nilipotoka nikashangaa kuona wafanyakazi wenzangu tena wakiwa na bosi wangu , wakishangilia huku wananiita jina langu , nilishangaa sana bosi wangu alishuka nakuniambia aisee tumekustukiza lakini ndio sapraiz yenyewe huu ufunguo wa gari yako hiyo hapo na utaitumia kuja nayo kazini tumekuletea mapema ili uizoee , daah aisee ilikuwa ni V8 New model ile ya wabunge , sikuamini nilifurahi sana sasa wakati naikagua ile gari mke wangu si akatoka nje wafanyakazi wote wakashangilia na kuimba sheeemu shemu ,,, shemuuuuu ,,! Shemu huyo shemuuu shemu huyo shemuuu shemu huyo shemuuu shemu wetu wee ,,!
Nikamuona mke wangu anashangaa tu huku akiwa haamini anachokiona , kumbuka mwanaume wake yupo ndani ,

Hayaaaa nomanomaa nomaaa ,,!!!????????

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 12

Nikamuona mke wangu anashangaa tu huku akiwa haamini anachokiona, kumbuka mwanaume wake yupo ndani,
Yule bosi wangu akamfuata nakumpa hongera eti kwa kunitunza na kuniamsha asubuhi niwahi kazini , haya mafanikio ni wewe ndo umesababisha hongera sana shemeji na ofisi imekuzawadia shilingi milion 1 lakini hii milioni moja hatukupi sisi ,bali atapewa mumeo nae atakupa yeye kwa mikono yake, muda wote huo mke wangu alikuwa ananiangalia tu huku akiwa kama mtu mwenye maswali mengi yasiyo na majibu , weee shemejiiiii ,, yule bosi akamstua mke wangu baada ya kumuona yupo kwenye dimbwi la mawazo , mke wangu akastuka na kusema Asante jamani nilikuwa kwenye mawazo sana unajua siamini kama mume wangu amepata gari kama hili , bosi akamwambia basi ndo uwamini sasa ,
Wafanyakazi walinipa hongera huku hawajui kinachoendelea mimi na mke wangu waliona tupo sawa tu yaani tunafuraha tele kumbe moyoni moto unawaka ,
Zawadi ya wafanyakazi ikaletwa ubavu wa mbuzi akakabidhiwa mke wangu huku wafanyakazi wakisema mtengenezee shemeji ale ashibe , tulifirahi sana na tukawashukuru , na wakaaga wakaondoka nikabaki na li V8 langu nikiwa siamini kabisa kama ni lakwangu, mke wangu alisimama tu pale mlangoni akiniangalia ,niliingia kwenye gari hilo na kuwasha mziki nikaanza kucheza mwenyewe, yaani ilikuwa ni furaha Sana ,
Niliingia ndani nikachukua mkaa na kuwasha jiko la nyama kisha nikatoa ule ubavu wa mbuzi nikauchoma huku mziki unapiga kwenye gari ,mke wangu alijikaza akaniuliza vp nije nikusaidie kuchoma nyama ,? Nikamjibu hapana nenda kamuhudumie mumeo huko chumbani , jibu hilo likamchoma mke wangu nikamuona amekaa kimya tu ananiangalia nnchokifanya ,
Nilichoma nyama nikawa nakata pande moja nakuja nalo mpaka pale kwenye V8 langu nikawa nalitafuna huku napiga yope maana nilifungulia mziki nyimbo ya diamond, yaani ungebahatika kuniona ungecheka maana nilikuwa kama chizi , niliingia ndani kuchukua sahani nilipotoka nikamuona mke wangu amechukua kisu eti anakata kipande cha nyama , nikajikuta namwambia ,eeeeh ebu toka hapo na uwache unachokifanya ,yaani nyama yangu unataka kumpelekea bwana ako ,,? Mke wangu alihuzunika sana maana aliona kama namkejeli, alikuwa amekata kakipande kadogo tu yaani kama ka kuonja nikampokonya nikakitumbukiza mdomoni nikakitafuna , nikamwambia atoke hapa karibu yangu bwana ake asije akaniona akanivunja sehemu, nilimuona nikama machozi yanamlenga lenga na mimi sikujali nikaendelea zangu kuchoma nyama huku nacheza zangu mziki , usoni nilimchukia Sana ila moyoni nikama upendo bado ulikuwepo maana kuna muda nilikuwa namuonea huruma,
Mke wangu aliingia mule chumbani alikokuwa yule bwana ake , nikasikia kama wanagombana maana walikuwa kama wanafokeana , sikuwajali mi nikaingia zangu ndani nikajiandaa nikaweka ile nyama nyuma ya buti ya gari maana nilikula nyama ikanishinda nikaona kuliko nimuachie mke wangu si bora nikawape wale mafundi wangu, nikawasha gari huyooo mpaka kule kwenye nyumba yangu nikawakuta mafundi wanapiga kazi si mchezo kweli ukiwa napesa kila kitu kinakwenda fasta tu,
Niliwapa ule upande wa mbuzi na mchana wakapiga bonge la ugali tukala pamoja ,
Nyumba ilikuwa wanaiezeka mabati ya msauz na ndani walikuwa wanaendelea na prasta pamoja na nyiru ,
Ilifika muda kama wa jion nikawaaga mafundi na kuwaachia posho kidogo, nikaenda kupanda kwenye V8 langu lakini wakati nafunga mlango nikashangaa mtu amefungua mlango wa kushoto akaingia ,alikuwa ni mke wangu, sikusubiri hata aongee nikamwambia SHUKA CHINI,,! akajifanya anajibalaguza na kuongea eti mi nnamaongez nawewe,,, nikamwambia SHUUUKA CHINIII ,,,!!



Kumekuchaaa
Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 11&12

NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3

SEHEMU YA 11&12

Nilinyanyua shoka nikataka kumpiga nalo yule jamaa , yule jamaa akalidaka lile shoka na kunipokonya halafu akanisukuma nikaanguka pembeni, mke wangu akawa anacheka tu na kusema mtu mwenyewe huna nguvu halafu unataka kupigana hahahaaa, nilikasirika nikanyanyua jiwe yule jamaa akaniwahi na kunizaba makofi akanipokonya jiwe na kulitupa ,niliumia sana kwani nilikuwa nanyanyasika mbele ya mke wangu halafu mke wangu anacheka tu,
Nikaingia ndani huku nimejiinamia tu maana ingekuwa mchana watu wangeniona sijui ingekuwaje , lakini sikufika ndani nikajiona mjinga kuingia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nilimdanganya-mke-wangu-nimefukuzwa-kazi-kumbe-nnalikizo-miezi-3-sehemu-ya-11-12

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nilimdanganya-mke-wangu-nimefukuzwa-kazi-kumbe-nnalikizo-miezi
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3  SEHEMU YA    15
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 15
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3          SEHEMU YA  17
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 17
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3            SEHEMU YA  18      ...
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 18 ...
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3     SEHEMU YA   16
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 16
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       Sehemu ya 03
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 03
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3  Sehemu ya  04&05
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 Sehemu ya 04&05
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA 06
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 06
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3                SEHEMU YA   07&08
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 07&08
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA   10
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 10
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI,     KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI, KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3,
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3      SEHEMU YA   09
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 09
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3       SEHEMU  YA 13
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 13
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3        SEHEMU YA   14
NILIMDANGANYA MKE WANGU NIMEFUKUZWA KAZI KUMBE NNALIKIZO MIEZI 3 SEHEMU YA 14
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

676
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

288
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

287
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

230
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

130
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

43
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

18

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest