Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12  "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
Gonga94 ยท Stories

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
na tunaruhusiwa mimi na wew kuoana coz hata huo cousin ni wa hiari tu wa familia ndugu ni wao na sio sisi sawa cousin?" Nilikuwa namtizama kwa hasira sijui kwanini nilijikuta nachukia kiasi hiki nikainuka tu ghafla yaani nikatoka chooni nikaelekeaa bath room sikujuaa shida ni nini ila nilijikuta nina kitu kimenikaa hapa rohoni afu anavyoongea yule mkosa haya na mimi ukiangalia the way nikikumbua zile happy moment za mimi ba boss nachukiaa hajuii tu yaani anavyonikeraa, yaaani ananiboaa hajuii tu huyu mjinga

Niliondoka nyumbani bila kutoaa taarifa officine kwamba nimeondoka au vipi watu walinishangaa mimi mwenyewe nilijishangaa sana,

Hii hali iliendeleaa kuniathiri mana kunamuda anakuja anamkumbatiaa tu huyu mdada nyie hamna haya afu anafanya ujinga mbele yangu nilikiw natamani siku boss amfukuze kazi yaani, hii siku nilirudi nyumbani huku naliaa sana yaani naliaa hasaa mpaka baba akawa ananishangaa kwanini nalia vile mana nilimpita bila hata salamu yaani nilitoka kwa hasira officine ni nisijue ni nini kinaendeleaa katika moyo wangu yaan kama nampenda sijuii mimi kabisa sielewi jamani hata robo baba alinifuata akawa ananimbembelezaa baaada ya hlo tukaanza kuongeaa sasa

"Binti yangu nini kinasumbua akili yako mpaka unashindwa kula kunywa, kulala mmni nakuona ni kama wiki sasa haupo sawa bado ni yule mwanamke anakusumbua?" Aliniuliza baba niliongeza kuliaa yaani baba akaamua kunikumbatiaa "baba naumiaa ila sijuii kwanini naumiaa yaani naumiaa sana ila sijuii kila nikimuona yule mdada na boss wangu roho inanipasuka yaani sielewi baba nisaidie" nilisem nikimwambia baba yangu maana nilikuwa nalia vibaya mnoo "mwanangu umependa?" Nilimtizama baba nikafuta machozi "sijui baba ila nahisi ni hivyoo baba yangu nimependa nahisi ni hivyoo baba sielewi"

Nilimuhadithia baba kila kitu ninachohisi kuhusu boss wangu, akiwa na Suzy ila sikumwambia mambo yaliyotokea Dubai kwakweli ni aibu siwezi kusema mbele ya baba "mwanangu ukisikia kupenda ndio hukoo mapenzi ni kitu kizuri sana kama ukikijua kama ni kizuri ila nikibaya sana kam ukiumizwa saaa mwanangu yasiqe mengi sana kwa jinsi ulivyonielezea huyoo msichana ndio anampenda huyoo boss wako ila boss wako hamapendi amini hiloo binti yangu" niliktizama baba kwa muda nikijaribu kuweka umakini wangu wote kwake baba yangu kipenzi

"Sasa baba mimi nitafanyaje sasa baba" "Usijali ujuee watu wengine hasa wanawake huwa ni wagumu kuleza hisia zao kwa mwanaume ila wanaume ni rahisi hivyoo kamuelezea ukweli wivu ni dalili kubwa kuonyesha kuwa unampenda tafadhari kuwa karibu naee kwenye hili umuelezee ukweli sawa binti yangu?, mimi naamini kupitia wewe siwezi kukufokeaa huu ni muda wako wakufanya mambo wewe ni mtu mzima tayari" nilimkumbatia baba kwa ushauri wake hakika baba yangu ni zungu na nusu yaani ni mtu poa sana sikuamini kama angenipa ushauri bomba kiasi hiki kuna wababa duniani afu kuna huyu wangu jamni, nililala nikiwa nasema kesho iwe mvua iwe jua ukweli utasemwa tu

Itaendelea.......
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda

na tunaruhusiwa mimi na wew kuoana coz hata huo cousin ni wa hiari tu wa familia ndugu ni wao na sio sisi sawa cousin?" Nilikuwa namtizama kwa hasira sijui kwanini nilijikuta nachukia kiasi hiki nikainuka tu ghafla yaani nikatoka chooni nikaelekeaa bath room sikujuaa shida ni nini ila nilijikuta nina kitu kimenikaa hapa rohoni afu anavyoongea yule mkosa haya na mimi ukiangalia the way nikikumbua zile happy moment za mimi ba boss nachukiaa hajuii tu yaani anavyonikeraa, yaaani ananiboaa hajuii tu huyu mjinga

Niliondoka nyumbani bila kutoaa taarifa officine kwamba nimeondoka au vipi watu walinishangaa mimi mwenyewe nilijishangaa sana,

Hii hali...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-12-no-cousin-you-know-mwenzioo-mimi-hapa-nakupenda

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
 *NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   *Chapter 14&15*  "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17  Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*    Chapter 18  Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
 *NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 18&20  Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*    Chapter 9  Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10  "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8  Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7  Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*  Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.56K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.11K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest