Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Siri Ya Mvuvi Na Bahari   Lakini kabla ya kunijibu akaniuliza umesema unanipenda je una malengo gani na mimi...  Inaendelea... Sehemu Ya 05
Gonga94 Β· Stories

Siri Ya Mvuvi Na Bahari Lakini kabla ya kunijibu akaniuliza umesema unanipenda je una malengo gani na mimi... Inaendelea... Sehemu Ya 05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Nilimjibu kirahisi tu nitakuoa, mrembo Salha akawa amenikubali tukaendelea na maongezi, badae mambo yakawa mazuri nikatafuta nyumba ya kulala wageni, nikalala na Salha usiku ule mpaka asubuh, kwa mara ya kwanza nikajikuta nimemsaliti Latifa, lakini asubuh palipokucha niliamka na kujikuta nikiwa peke yangu, na mlango umefungwa kwa ndani, Mh! nilianza kujiuliza au niliamka na kufunga mlango baada ya Salha kuondoka!? nikawa sielewi ilikuwaje hadi Salha hayupo harafu mlango umefungwa! tena kwa ndani!? nilijiuliza maswali mengi lakini nikaamua kuachana nayo, badae nilikutana na Latifa lakini nilikuwa nikimtazama usini najihisi kumkosea sana,

Zile siku tatu za kuanza kazi zikawa zimefika lakini kabla hatujaenda kazini tukapata taarifa kwamba yule jamaa ambaye ni mmiliki wa ule mtumbwi, inasemekana kwamba amepotea sababu toka achukuwe ule mtumbwi hakufika hata nyumbani kwake,hivyo alipotelea njiani. watu waliingia baharini kujaribu kumtafuta labda watapata hata mwili wake lakini hakupatikana, na kwenye zoezi la utafutaji tulikuwepo na sisi, lakini hatukusema kama mara ya mwisho aliijia mtumbwi kwetu.

Baada ya kuwa amekosekama sisi tukaamua kurudi kwenye eneo letu la kazi, lakini ule mtumbwi tukaukuta upo pale tunapofanyiaga kazi Riziki alikuwa mtu wa kwanza kushangaa, lakini mimi na Goma tulikuwa tunaelewa kuhusu ule mtumbwi, tukamwambia Goma leo hali ya hewa ya bahari sio nzuri inabidi tukae angalau siku moja ndio tuanze kazi, Goma akasema hapana hali ya hewa ya leo ndio nzuri kuliko siku zote sababu bahari ikimeza mtu ndio samaki wanakuwa wengi, ikabidi tujiandae kuingia baharini, tukasogeza mtumbwi wetu ndani ya maji pamoja na vifaa vya uvuvi, lakini hali ya hewa ilikuwa ni mbaya sana sababu mawimbi yalikuwa ni makubwa sana,

Tuliingia baharini na kuanza kuyakata mawimbi tukiwa na mtumbwi wetu, lakini tunavyozidi kwenda ule mtumbwi ukaanza tena kuongeza kasi kuelekea katika kina kirefu cha maji, mtumbwi ulianza kuongeza mwendo, Goma akatuambia shikilieni msiachie, mimi kwakuwa haikuwa mara yangu ya kwanza hivyo nilichukulia ni kawaida tu, lakini mtumbwi uliongeza kasi Riziki alianza kupiga kelele akiogopa jinsi mtumbwi unavyoenda kwa kasi, mtumbwi ulikuwa unakimbia kama unataka kupaa, Riziki aliogopa sababu sio kwa kelele zile, ule mtumbwi ulipokaribiria sehemu yenye kina kirefu cha maji ukaanza kupunguza mwendo hadi ukasimama wenyewe,

Mtumbwi uliposimama hali ya hewa ikawa tuliva pakawa hakuna mawimbi hata kidogo yaani maji yakatulia tuliii, (kimya kikatawala) Goma alichukua kamba na kujifunga kiunoni kisha akatuambia tutulie wala tusiogope akamsistiza Riziki atulie sababu yeye ndiye alionekana kuogopa zaidi, Goma baada ya kufunga ile kamba kiunoni akaniambia niishikilie ile kamba na nisijaribu kuiachia kwa hali yeyote ile yaani chochote kitakachotokea nisiiachie ile kamba, Riziki akaambiwa yeye akae kwenye mtumbwi na asijaribu hata kidogo kujitupa ndani ya maji, Riziki akauliza kwani leo tunavuaje samaki maana sielewi, akaambiwa fuata kama nilivyokuelekeza,

Goma alitoka ndani ya mtumbwi na kuanza kutembea juu ya maji huku akinena maneno ambayo sisi hatuyaelewi, ilikuwa tayari ni usiku wa manane, mimi na Riziki tulianza kuhisi labda ni ndoto sababu sio kwa maajabu yale, Goma alitembea hatua chache kisha alisimama juu ya maji (na maji yametulia kama kwenye mtungi) Goma alianza kuzama polepole wakati huo mimi nimeshikilia ile kamba, Goma alizama mpaka akaacha kuonekana (hadi wakati huo sisi hatuelewi Goma anafanya nini) baada ya kuwa amezama ndani ya maji, sisi huku kwenye mtumbwi tukaanza kuvutwa, mtumbwi ukaanza kuyumba ghafla hali ya hewa ikabadirika bahari ikachafukwa yakaanza kuja mawimbi makubwa ule mtumbwi wetu ulianza kuwa kama vile unapaa, mtumbwi ukaanza kuvutwa kama vile tunaingizwa ndani ya maji, mtumbwi ulikuwa unaingizwa ndani ya maji na kupandishwa juu, Riziki alianza kuwa na wasiwasi, mwisho akajitupa ndani ya maji, alipojitupa ndani ya maji alianza kuzama, mimi wakati nataka kumuokoa Riziki, ile kama iliniponyoka na kudumbukia ndani ya maji, Goma akazama na ile kamba Riziki na yeye akazama, kutokana na hali ya hewa alishindwa hata kuogelea akajikuta amezama, mimi nikabaki peke yangu,

Nikawa nimebaki mwenyewe, nikawa kama nimechanganyikiwa sababu sijui cha kufanya, hali ya hewa ilianza kubadirika na kuwa ya kawaida, lakini wenzangu wote wamezama ndani ya maji, nilianza kuwatafita lakini sikuwapata, nilitafuta hadi nikaona panakaribia kupambazuka, ikabidi nigeuze mtumbwi na kuanza kurudi lakini huku nikiwa na hofu,kwamba nitasema nini kwa watu hadi wanielewe kwamba wenzangu wamepotea baharini,

Nilipoanza kurudi ule mtumbwi niliuendesha kidogo nikajikuta nimetokezea pale kwenye sehemu yetu ambayo huwa tunapaki mitumbwi, ule mtumbwi nikaufunga pale kisha nikaenda nyumbani lakini kichwa hakipo sawa sababu wenzangu wote niliokuwanao wamezama ndani ya maji tena kwenye mazingira ambayo sio ya kawaida, nilifika nyumbani na kujifungia ndani huku nikiwa na mawazo mengi. Nilikaa ndani hadi mida ya jioni, ilipofika mida ya jioni nikatoka na kwenda kutembea kule pembezoni mwa bahari huku nikiangalia kama naweza nikawaona wenzangu, hadi wakati huo hakuna mtu mwingine ambaye alikuwa anajuwa kama wenzangu wamepotelea baharini,

Lakini wakati naendelea kutembea huku nawatafuta wenzangu nikawa nimekutana na Salha, Salha akaniuliza umepoteza nini mbona kama vile kuna kitu unatafuta, kabla sijamjibu chochote, nikamuuliza ile siku tumelala wote ilikuwaje mbona uliondoka na kuniacha mlango ukiwa umefungwa kwa ndani" Salha akasema inaonekana ulikuwa na usingizi sana mbona nilikuamsha na ukainuka na kufunga mlango harafu mimi tayari nilikuwa nje" Dah, nikaona Salha ananichanganya, ikabidi niachane nae, lakini wakati naondoka Salha akaniambia ukikosa kile unachokitafuta jaribu kunitafuta na mimi ili nikupe msaada" siku,mjibu chochote, sababu kwanza naona kila kitu kimeharibika, nikamuacha Salha,nikaendelea kuwatafuta wenzangu,

Niliwatafuta mule pembezoni mwa bahari lakini sikuwaona mwisho giza likaanza kuingia, ikabidi nirudi kwanza nyumbani lakini wakati narudi nyumbani nikakutana na ndugu yake na Riziki, yule ndugu yake na Riziki akaniambia mama yake na Riziki anaumwa, kwahiyo wanamtafuta Riziki ili awapatie pesa ya kwenda hospitali, nikaona huu ni mtihani mwingine, ikabidi nitoe kiasi kidogo cha pesa na kumpatia, lakini yule ndugu yake na Riziki akaniambia kwamba ukimuona Riziki mwambie awahi hospitali kuja kumuona mama yake...

Itaendelea...✍🏻

~Daudi~

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Siri Ya Mvuvi Na Bahari Lakini kabla ya kunijibu akaniuliza umesema unanipenda je una malengo gani na mimi... Inaendelea... Sehemu Ya 05



Nilimjibu kirahisi tu nitakuoa, mrembo Salha akawa amenikubali tukaendelea na maongezi, badae mambo yakawa mazuri nikatafuta nyumba ya kulala wageni, nikalala na Salha usiku ule mpaka asubuh, kwa mara ya kwanza nikajikuta nimemsaliti Latifa, lakini asubuh palipokucha niliamka na kujikuta nikiwa peke yangu, na mlango umefungwa kwa ndani, Mh! nilianza kujiuliza au niliamka na kufunga mlango baada ya Salha kuondoka!? nikawa sielewi ilikuwaje hadi Salha hayupo harafu mlango umefungwa! tena kwa ndani!? nilijiuliza maswali mengi lakini nikaamua kuachana nayo, badae nilikutana na Latifa lakini nilikuwa nikimtazama usini najihisi kumkosea sana,

Zile siku tatu za kuanza kazi zikawa zimefika lakini...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/siri-ya-mvuvi-na-bahari-lakini-kabla-ya-kunijibu-akaniuliza-umesema-unanipenda-je-una-malengo-gani-n

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi siri-ya-mvuvi-na-bahari-lakini-kabla-ya-kunijibu-akaniuliza-umesema-unanipenda-je-una-malengo-gani-n
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

1.22K
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*

743
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40

251
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

100
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!

32
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.

13
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

5
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.41K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.84K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.69K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.68K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikase​ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 50
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

SHAMIRA Sehemu ya 47 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 47
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi shost alivyotoka kuoga akanmbia shamira shoga yangu nisamehe kwa yale maneno nilokwambia basi. Nikasema yapi? Akasem si yale ya kukwambia ukatoe mimba...

SHAMIRA Sehemu ya 46 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 46
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; lissa wa huru media Nikaona aisha kakasirika akanambia sawa kama unataka kulea iyo mimba na kuzaa. Ile kulea mtoto ni gharama umae ukielewa hilo suala mapema . Mana sio...

*AFANDE MILLAN😎* *46&47* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *46&47*
@majario LIVE

Nakumbuka kuna kipindi ,nilisafiri na ibraa kikazi kwenda moro , apo nilishamuaga zena kuwa mm nasafari naenda moro kikazi, ntakaa siku 2, akanmbia hakuna shida, basi mm nikawa...

SHAMIRA 44 kwa 45 Post Mpya
SHAMIRA 44 kwa 45
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 44 Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee tulichoka mno na shoga yangu asa mimi jamani.nafanya nini na hili tumbo na mwanaume hanitaki. Na ameshakana kuwa hii mimba sio yake...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest