Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......................

ENDELEA ...............
ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao,hawajua ni lini tena watamuona.
"Mtukufu mfalme naomba tuelekee katika jumba la kifalme".
Malikia andwaa aliongea baada ya kuhisi upye ndani yake sababu alimzoea sana mwanae
"Ni wakati mgumu sana unaopitia malikia wangu kwa kutengana na kijana wako".
"Mda mwingine kwenye maisha ni kawaida kupitia jambo usilolitarajia mfalme,ilikuwa ni lazima nitengane na Prince Yao mtukufu mfalme,
Utawaambia nini watu wako utakapofika mda wa kumtambulisha prince????"
"Mimi ni mfalme wa ADELI hakuna wa kupinga kauli yangu tutajua cha kufanya".

Mfalme pamoja na malikia andwaa walirejea katika jumba la kifalme baada ya kumkabizi prince Yao mikononi mwa mtumishi wao Lindiwe aliyefanyikiwa kuondoka na Prince Yao katika jumba la kifalme.

*********************

"Ni miaka mitatu sasa tunaanda jeshi la kuja kupindua huu ufalme general huoni kama ni mda sahihi huu wa sisi kuchukua huu utawala?????".
"Wazari mkuu, upo sawa kwa ulichokiongea idadi ya jeshi letu ni kubwa kuliko jeshi la mfalme,na nikiwa kama General nitaliondoa jeshi analolitegemea mfalme nilipeleke mipakani siku ambayo tutauvamia huu ufalme".
"Lakini wewe ni general kwanini usiwashawishi wanajeshi wote wakawa upande wako????".
"Huwa sipendi mtu mwenye mawazo ya kijinga,siku nyingine nitakukata kichwa sitajali kama wewe ni wazari mkuu na upo katika mipango yangu,
Wewe ni waziri mkuu tumia akili, mfalme anawapelelezi wa siri ivyo itakuwa ni vyepesi tarifa kumfikia na iyo itakuwa hatari kwetu,General aliongea"

Hapo ndipo waziri mkuu alipojua kuwa ameingia kwenye mipango na mtu hatari sana na anatakiwa awe makini mana general alionekana hana utani ata kidogo.

Licha ya general kumkalipia waziri mkuu bado waliendelea na mipango yao ya kupindua ufalme na hawakutaka kupoteza mda tena baada ya kuandaa jeshi lao kwa miaka mitatu,walipanga kuvamia usiku unaofata.

**********************

Ni siku nyingine tena Lindiwe akiwa na prince Yao anafanyikiwa kuvuka mpaka wa falme ya ADELI na anaingia kwenye mipaka ya falme nyingine.

"Mbona tangu jana tupo kwenye farasi kwani tunaenda wapi na wewe ni nani???",
Japo kuwa alikuwa haoni na ni mtoto mdogo prince Yao alijaliwa ufahamu wa hali ya juu
"Usijali mtoto mzuri nakupeleka sehemu nzuri ya wewe kutibiwa uweze kuona"
"Unasema kweli????,"
"Ndio mtoto mzuri"
"basi wewe ni mtu mzuri sana na endesha farasi haraka tuwahi kufika nataka nione sura ya mama inafananaje"

Kwa maneno aliyokuwa anaongea prince yao Lindiwe alijikuta anatoa machozi ni huzuni kwa mtoto kama yule kuwa na tatizo la kutokuona.

"Nisamehe sana Prince sikuwa na kingine cha kuongea zaidi ya kukudanganya natamani uweze kuona ila sina uwezo wa kukufanya uone,yalikuwa ni maneno aliyoongea ndani ya moyo wake mwenyewe".

Wakiwa bado wanaendelea na safari na kuzungumza,gafra walizungukwa na kundi kubwa la vijana wenye mikuki na mishale.
Lindiwe na mtoto Prince Yao walishuka kutoka kwenye farasi wakawa wameingia mikononi mwa vijana wale.

"Nyie ni kina nani??, na mnatokea wapi????,moja ya vijana wale aliuliza"
"Tunatokea katika ufalme wa ADELI na huyu ni mtoto wangu haoni nimekuja nchi za mbali kumtafutia dawa ya kumfanya aweze kuona"
Prince Yao alisikia sauti ya Lindiwe akimtambulisha kama mtoto wake ila hakutaka kutia neno lolote lile.
"wakamateni tuwapeleke kwa mfalme".

Lindiwe hakuweza kufanya chochote mbele ya vijana wale zaidi ya kutii amri ya kukamatwa na kupelekwa kwa mfalme wao.

*********************

Baada ya mihangaiko ya kutwa nzima mfalme kojo akiwa amepumzika na Malikia Andwaa katika kitanda usiku wa siku hiyo, walisikie kelele upande wa nje na kumfanya mfalme amke na kutoka nje kuangalia kunatatizo gani.

"Mfalme!!!mfalme!!!!!!mfalme!!!!! tumevamiwa,zilikuwa ni kelele ambazo zilimfanya Mfalme Kojo atambue kuwa tayali hali imechafuka alirudi katika chumba chake".
"Wewe nenda katika chumba cha siri ukatulie huko acha nikamalizane nae huyu mpuuzi alijua mimi ni mjinga kama yeye"
"inamaana ulikuwa unajua mfalme kama kuna huu mpango wa kuja kuvamiwa usiku wa leo???"
Malikia alimuuliza mfalme baada kuona kama hajashitushwa na kuvamiwa kwao.
"Ndio nilikuwa najua kila kitu ila sio mda sahihi huu wa kuongea wewe nenda"

Mfalme alitoka na kuelekea sehemu ya mapambano na kumuacha malikia akiwa na maswali mengi kichwani.

Shambuliaaaaaaaaa!!!! General alitoa amri kwa wanajeshi wake ambao tayali walikuwa wameingia katika jumba la kifalme kupitia geti kuu.
"Nasema shambulia",
Alitoa amri nyingine tena kwa wanajeshi wake cha ajabu walitulia tu wakimwangalia general wao huyo.
"Ivi mumepatwa na nini nyinyi??,"
Hamsikii amri yangu General Tengeli aliongea baada ya kuona wanajeshi wake hawafanyi chochote kile licha ya kuingia kwa bwebwe zote katika jumba la kifalme.
"Kwa mara ya mwisho nasema shambulieniiiii........."

"Hawawezi kutii amri yako hao ata siku moja general",
ilisikika sauti na kumfanya General kugeuka nyuma kuangalia ni nani huyo aliyeongea kwa kujiamini mbele yake tena mbele ya wanajeshi wake na ukizingatia wanajeshi amewafundisha mwenyewe.............ITAENDELEA.

Ni kwanini wanajeshi wa General hawataki kutii amri ya kiongonzi wao??? na vip kuhusu hatima ya Lindiwe na Prince Yao tukutane sehemu ya 05 inamajibu zaidi

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Mimi sikuachi fully stories
Mimi sikuachi fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo

hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......................

ENDELEA ...............
ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao,hawajua ni lini tena watamuona.
"Mtukufu mfalme naomba tuelekee katika jumba la kifalme".
Malikia andwaa aliongea baada ya kuhisi upye ndani yake sababu alimzoea sana mwanae
"Ni wakati mgumu sana unaopitia malikia wangu kwa kutengana na kijana wako".
"Mda mwingine kwenye maisha ni kawaida kupitia jambo usilolitarajia mfalme,ilikuwa ni lazima nitengane na Prince Yao mtukufu mfalme,
Utawaambia nini watu wako utakapofika mda wa kumtambulisha prince????"
"Mimi ni mfalme wa ADELI...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-04-ilipoishia-sehemu-iliyopita-farasi-ilifika-lindiwe-pamoja-na-prince

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle #BeautyBattle #AfricaVsWorld #Tanzania #Kenya #Congo #Rwanda #Burundi #SouthAfrica #USA #VoteNow #DebateTime #Trending <br>

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 73

1.21K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75

1.16K
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76

741
SHAMIRA 114 mwisho ni 115

SHAMIRA 114 mwisho ni 115

715
SHAMIRA 112 na 113

SHAMIRA 112 na 113

630
LETICIA 7-----------14

LETICIA 7-----------14

246
BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "9_10"💓😽

BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "9_10"💓😽

195
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11

170
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*

80
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?

65

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.85K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.86K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.36K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.97K
MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❤️ sehemu ya 116 na 117

2.8K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.75K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.68K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.64K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 76
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Basi mm nikaingia ndani ya gari yangu, nikiona tabasamu la mke wangu,na akanifungulia geti, uku akiwa ana tabasamu pana tu mke wangu, basi mi apo niktoa gari na ndo nikaanza...

JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11 Post Mpya
JOGOO WA KIENYEJI sehemu ya 11
@majario LIVE

🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓🐓 Mwandishi:lissa mwalla Sikumsukuma wala,na sikujiskia ile vibaya wala,nikasema tu jmn Keanu si uniachie watu watatuona,akaniangalia akasema okay kweli watu watatuona,akasema nakutakia usikumwema,nikacheka aniaksema sawa asante nawe pia.akasemaingia ndani mm ndio nitaondoka,nikasema...

Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) Post Mpya
Novatus Dismas Miroshi kutua Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL)
@majario LIVE

Nyota wa kimataifa wa Tanzania Novatus Dismas Miroshi anayekipigia katika klabu ya Göztepe S.K anahusishwa na kujiunga na klabu ya Nottingham Forest inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza (EPL) huku kocha wa...

*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5* Post Mpya
*IN LOVE WITH YOU ZURI❣️❣️* *1-5*
@majario LIVE

*_________________________________________* *SEHEMU YA : 01* ANZA NAYO.... Ni katika jiji la Dar es salaam katika familia moja ya kitajiri sana, tunamuona binti mrembo, mrembo sana ambaye alikuwa na macho kama gololi na umbo...

◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM  Liverpool 4-0 Galatasaray  ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️ Post Mpya
◾️FULL TIME AT ANFIELD STADIUM Liverpool 4-0 Galatasaray ( 4-1 Agg ) Szoboszlai ⚽️ Ekitike ⚽️ Gravenberch ⚽️ Mo Salah ⚽️
@majario LIVE

Liverpool inatinga hatua ya robo fainali kwa ushindi wa kishindo kabisa nyumbani, ushindi ambao wali stahili kuanzia dakika ya kwanza ya mchezo mpaka mwamuzi anapuliza kipyenga cha mwisho , Liverpool...

SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa? Post Mpya
SWALI: Je, vipi Idi ikiaangukia kuwa ni siku moja na Ijumaa ? Inapasa Waislamu wasali sala zote mbili jamaa?
@majario LIVE

JIBU: Hili ni swala lenye khitilafu baina ya ‘Ulamaa. Wako walioona kwamba Muislamu aswali Swalaah zote mbili; ‘Iyd na Ijumaa kwa Jamaa’ah, na wako walioona kuwa akiswali Swalaah moja baina...

Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF, Post Mpya
Shirikisho la Soka la Senegal (FSF) linasema kombe na medali za AFCON 2025 'hazitaondoka nchini' na linapanga kupinga uamuzi wa CAF,
@majario LIVE

- Viongozi wamesisitiza kuwa pambano hilo halijaisha, huku baadhi ya wachezaji wakituma ujumbe mzito mtandaoni na kauli za 'njoeni mpige picha na kombe', Senegal inaita uamuzi huo kuwa si wa haki...

STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO. Post Mpya
STATEMENT ON THE DECISION BY THE CONFEDERATION OF AFRICAN FOOTBALL (CAF) TO WITHDRAW THE AFCON 2025 CHAMPIONSHIP FROM SENEGAL AND AWARD TO MOROCCO.
@majario LIVE

March 18, 2026 In football, the Laws of the Game are clear: the referee on the pitch is the final authority on decisions made during the match. Once play is allowed...

MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI Post Mpya
MATUKIO YA TIMU KUSUSIA MCHEZO NA KUTOKA UWANJANI
@majario LIVE

Mwaka 2007 , Wachezaji wa Lille walitoka uwanjani baada ya Gigs kufunga goli kwa mpira faulo [ Alipiga haraka ] muda ambao Lille walikuwa ndio wanaweka ukuta 2013, Kelvin Prince...

SHAMIRA 114 mwisho ni 115 Post Mpya
SHAMIRA 114 mwisho ni 115
@majario LIVE

( MWISHOOO ) 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀🏀 SHAMIRA Sehemu ya 114 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aseèe nilikuwa sinanngibu kabisa nikasiki malngo unavunjwa apk mimi jilikuwa napata maumivu makari mno ya tumbo yani sama...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 74 na 75
@majario LIVE

Daaah apo na mm nilishachanganikiwa ,nikabaki nimemshika mkono zena sasa, nimemshika tu mke wangu kumtuliza, ila.wapi zena ana hasira ana lia tu, ananambia anataka twende viwege, akahakikishe uko kuna nani,...

LETICIA 7-----------14 Post Mpya
LETICIA 7-----------14
@majario LIVE

💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍💍 LETICIA Sehemu ya 7 na 8 Mwandishi; LISSA Basi hata hatukukaa sana wazazi wakarudi saa 3 ,na wakawa wanalalamika wamechoka walipitiliza kuoga na kulala ata chakula hawakula ,mama alisema wamekula uko walikotoka.​ Mimi...

wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. Post Mpya
wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya.
@majario LIVE

Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya. K sal ft ferooz Mwana mkiwa Hii ngoma ilivuma sana miaka ya 2000, baadaye K sal akatoa ngoma ingine aliofanya na Mandojo...

BILLIONS OF LOVE💓💓   SEHEMU YA "9_10"💓😽 Post Mpya
BILLIONS OF LOVE💓💓 SEHEMU YA "9_10"💓😽
@majario LIVE

"BY BABIE LOVE" Chap yule jamaa akashuka kwenye gari na mzigo wake wa mboga , akashika sijui ni kisimu akakibonyeza chwaaaaaa chapuuuuuuu geti waaaaa likafunguka akaingia ndani bahati nzuri ...

SHAMIRA 112 na 113 Post Mpya
SHAMIRA 112 na 113
@majario LIVE

SHAMIRA Sehemu ya 112 Mwandishi; HURU MEDIA HAIPINGWI NI CHAGUO LA WASOMAJI ) Basi mnazni jilillala sikuweza kulala ata kidogo. Nikashika vhini ya ile lodge kulikuwa na bar .aseee ndo jimaahiza pombe...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest