Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............04  Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo
Gonga94 · Stories

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......................

ENDELEA ...............
ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao,hawajua ni lini tena watamuona.
"Mtukufu mfalme naomba tuelekee katika jumba la kifalme".
Malikia andwaa aliongea baada ya kuhisi upye ndani yake sababu alimzoea sana mwanae
"Ni wakati mgumu sana unaopitia malikia wangu kwa kutengana na kijana wako".
"Mda mwingine kwenye maisha ni kawaida kupitia jambo usilolitarajia mfalme,ilikuwa ni lazima nitengane na Prince Yao mtukufu mfalme,
Utawaambia nini watu wako utakapofika mda wa kumtambulisha prince????"
"Mimi ni mfalme wa ADELI hakuna wa kupinga kauli yangu tutajua cha kufanya".

Mfalme pamoja na malikia andwaa walirejea katika jumba la kifalme baada ya kumkabizi prince Yao mikononi mwa mtumishi wao Lindiwe aliyefanyikiwa kuondoka na Prince Yao katika jumba la kifalme.

*********************

"Ni miaka mitatu sasa tunaanda jeshi la kuja kupindua huu ufalme general huoni kama ni mda sahihi huu wa sisi kuchukua huu utawala?????".
"Wazari mkuu, upo sawa kwa ulichokiongea idadi ya jeshi letu ni kubwa kuliko jeshi la mfalme,na nikiwa kama General nitaliondoa jeshi analolitegemea mfalme nilipeleke mipakani siku ambayo tutauvamia huu ufalme".
"Lakini wewe ni general kwanini usiwashawishi wanajeshi wote wakawa upande wako????".
"Huwa sipendi mtu mwenye mawazo ya kijinga,siku nyingine nitakukata kichwa sitajali kama wewe ni wazari mkuu na upo katika mipango yangu,
Wewe ni waziri mkuu tumia akili, mfalme anawapelelezi wa siri ivyo itakuwa ni vyepesi tarifa kumfikia na iyo itakuwa hatari kwetu,General aliongea"

Hapo ndipo waziri mkuu alipojua kuwa ameingia kwenye mipango na mtu hatari sana na anatakiwa awe makini mana general alionekana hana utani ata kidogo.

Licha ya general kumkalipia waziri mkuu bado waliendelea na mipango yao ya kupindua ufalme na hawakutaka kupoteza mda tena baada ya kuandaa jeshi lao kwa miaka mitatu,walipanga kuvamia usiku unaofata.

**********************

Ni siku nyingine tena Lindiwe akiwa na prince Yao anafanyikiwa kuvuka mpaka wa falme ya ADELI na anaingia kwenye mipaka ya falme nyingine.

"Mbona tangu jana tupo kwenye farasi kwani tunaenda wapi na wewe ni nani???",
Japo kuwa alikuwa haoni na ni mtoto mdogo prince Yao alijaliwa ufahamu wa hali ya juu
"Usijali mtoto mzuri nakupeleka sehemu nzuri ya wewe kutibiwa uweze kuona"
"Unasema kweli????,"
"Ndio mtoto mzuri"
"basi wewe ni mtu mzuri sana na endesha farasi haraka tuwahi kufika nataka nione sura ya mama inafananaje"

Kwa maneno aliyokuwa anaongea prince yao Lindiwe alijikuta anatoa machozi ni huzuni kwa mtoto kama yule kuwa na tatizo la kutokuona.

"Nisamehe sana Prince sikuwa na kingine cha kuongea zaidi ya kukudanganya natamani uweze kuona ila sina uwezo wa kukufanya uone,yalikuwa ni maneno aliyoongea ndani ya moyo wake mwenyewe".

Wakiwa bado wanaendelea na safari na kuzungumza,gafra walizungukwa na kundi kubwa la vijana wenye mikuki na mishale.
Lindiwe na mtoto Prince Yao walishuka kutoka kwenye farasi wakawa wameingia mikononi mwa vijana wale.

"Nyie ni kina nani??, na mnatokea wapi????,moja ya vijana wale aliuliza"
"Tunatokea katika ufalme wa ADELI na huyu ni mtoto wangu haoni nimekuja nchi za mbali kumtafutia dawa ya kumfanya aweze kuona"
Prince Yao alisikia sauti ya Lindiwe akimtambulisha kama mtoto wake ila hakutaka kutia neno lolote lile.
"wakamateni tuwapeleke kwa mfalme".

Lindiwe hakuweza kufanya chochote mbele ya vijana wale zaidi ya kutii amri ya kukamatwa na kupelekwa kwa mfalme wao.

*********************

Baada ya mihangaiko ya kutwa nzima mfalme kojo akiwa amepumzika na Malikia Andwaa katika kitanda usiku wa siku hiyo, walisikie kelele upande wa nje na kumfanya mfalme amke na kutoka nje kuangalia kunatatizo gani.

"Mfalme!!!mfalme!!!!!!mfalme!!!!! tumevamiwa,zilikuwa ni kelele ambazo zilimfanya Mfalme Kojo atambue kuwa tayali hali imechafuka alirudi katika chumba chake".
"Wewe nenda katika chumba cha siri ukatulie huko acha nikamalizane nae huyu mpuuzi alijua mimi ni mjinga kama yeye"
"inamaana ulikuwa unajua mfalme kama kuna huu mpango wa kuja kuvamiwa usiku wa leo???"
Malikia alimuuliza mfalme baada kuona kama hajashitushwa na kuvamiwa kwao.
"Ndio nilikuwa najua kila kitu ila sio mda sahihi huu wa kuongea wewe nenda"

Mfalme alitoka na kuelekea sehemu ya mapambano na kumuacha malikia akiwa na maswali mengi kichwani.

Shambuliaaaaaaaaa!!!! General alitoa amri kwa wanajeshi wake ambao tayali walikuwa wameingia katika jumba la kifalme kupitia geti kuu.
"Nasema shambulia",
Alitoa amri nyingine tena kwa wanajeshi wake cha ajabu walitulia tu wakimwangalia general wao huyo.
"Ivi mumepatwa na nini nyinyi??,"
Hamsikii amri yangu General Tengeli aliongea baada ya kuona wanajeshi wake hawafanyi chochote kile licha ya kuingia kwa bwebwe zote katika jumba la kifalme.
"Kwa mara ya mwisho nasema shambulieniiiii........."

"Hawawezi kutii amri yako hao ata siku moja general",
ilisikika sauti na kumfanya General kugeuka nyuma kuangalia ni nani huyo aliyeongea kwa kujiamini mbele yake tena mbele ya wanajeshi wake na ukizingatia wanajeshi amewafundisha mwenyewe.............ITAENDELEA.

Ni kwanini wanajeshi wa General hawataki kutii amri ya kiongonzi wao??? na vip kuhusu hatima ya Lindiwe na Prince Yao tukutane sehemu ya 05 inamajibu zaidi

Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............04 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Farasi ilifika Lindiwe pamoja na prince Yao walipanda na safari ikaanza kutoka katika jengo

hilo la kifalme kwa njia ya siri,ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao......................

ENDELEA ...............
ilikuwa ni huzuni kubwa sana kwa malikia pamoja na mfalme kutengana na mtoto wao,hawajua ni lini tena watamuona.
"Mtukufu mfalme naomba tuelekee katika jumba la kifalme".
Malikia andwaa aliongea baada ya kuhisi upye ndani yake sababu alimzoea sana mwanae
"Ni wakati mgumu sana unaopitia malikia wangu kwa kutengana na kijana wako".
"Mda mwingine kwenye maisha ni kawaida kupitia jambo usilolitarajia mfalme,ilikuwa ni lazima nitengane na Prince Yao mtukufu mfalme,
Utawaambia nini watu wako utakapofika mda wa kumtambulisha prince????"
"Mimi ni mfalme wa ADELI...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/story-mfalme-kipofu-sehemi-ya-04-ilipoishia-sehemu-iliyopita-farasi-ilifika-lindiwe-pamoja-na-prince

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi story-mfalme-kipofu-sehemi-ya
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............08   Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............08 Ilipoishia sehemu iliyopita........ "Tarifa gani???" "Inasemekana baada ya siku tatu Prince
Story MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............02   Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story MFALME KIPOFU Sehemi..ya............02 Ilipoishia sehemu iliyopita... "Mbona unazunguka mtabili emu niambie mwanangu niliyemzaa leo anatatizo gani???
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............06     Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............06 Ilipoishia sehemu iliyopita........ Chukua majani mawili ya mti wa ajabu nenda kayanyunyizie maji ya mto ADEYU
Story.....................MFALME KIPOFU  Sehemi..ya............10
Story.....................MFALME KIPOFU Sehemi..ya............10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

531
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

398
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

168
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

43

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest