Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME )  Sehemu......ya.......01  ANZA NAYO........ Ni vita kubwa iliyokuwa ikiendelea kati ya falme mbili, ufalme wa AZENI na ufalme wa PADALA.
Gonga94 · Stories

THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME ) Sehemu......ya.......01 ANZA NAYO........ Ni vita kubwa iliyokuwa ikiendelea kati ya falme mbili, ufalme wa AZENI na ufalme wa PADALA.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
wanajeshi wa ufalme wa AZENI wakiongozwa na Mfalme wao walivamia kwenye ufalme huo wa PADALA hali iliyopelekea wanajeshi wengi wa ufalme wa PADALA wapoteze maisha. Mfalme wa PADALA aliamua kumchukua mke wake aliyekuwa amebeba mtoto mdogo ili waweze kutoroka na kuukimbia ufalme wao baada ya kuzidiwa na kupoteza wanajeshi wengi.

Walianza kukimbia ila kabra hawajafika mbali walizungukwa na maadui zao.
"Mfalme nilikwambia huna uwezo wa kushindana na mimi kwa usalama wako inatakiwa unioneshe ni wapi hazina zilipo"
"Siwezi kukuonesha hazina zilipo ila kama ni ufalme nipo tayari kukuachia. naomba unipe nafasi ya mimi kuondoka na familia yangu twende tukaishi mbali"
"Hiyo haitawezekana, najua lazima utarudi kunisumbua siku moja wewe pamoja na familia yako, kama haupo tayari kunionesha hazina zilipo basi leo lazima upoteze maisha wewe pamoja na familia yako" pale pale alitoa amri kwa vijana wake kuishambulia familia ya Mfalme wa PADALA aliyefahamika kwa jina la Mfalme Gideoni.

Mfalme Gideoni alijaribu kujitetea lakini hakuwa na uwezo huo kwani aliuliwa na kupoteza maisha pale pale. Mkewe aliyefahamika kwa jina la Malikia Maria naye alipoteza maisha kwa kuuliwa huku mtoto mdogo akiwa kwenye mikono yake.

Mwanajeshi mmoja aliweza kumuona mtoto aliyekuwa ameshikwa na Malikia Maria aliyekuwa amepoteza maisha tayari,
"Mfalme mtoto wao bado yupo hai" asikari yule aliongea na kumpa tarifa Mfalme wake.
"Kwakuwa baba yake kakataa kunionesha hazina zilipo basi hatakiwi kufa huyo mtoto mbebeni tuondoke nae nitamfanya kuwa mtumwa wangu" Mfalme aliyefahamika kwa jina la Mfalme Balaki aliongea na kuwafanya asikari wake wamchukue mtoto nakuondoka nae huku kila mmoja wao akiwa na furaha kwa kupata ushindi japo walishindwa kujua ni wapi hazina zilipo.

Safari yao iliwapeleka kwenye ufalme wao wa AZENI na walipofika kila raia siku hiyo alikuwa na furaha ya kuwapokea mashujaa waliokuja na ushindi kwa kuwashinda maadui zao. Mfalme Balaki alielekea kwenye jumba la kifalme na kupokelewa na Malikia aliyefamika kwa jina la Malikia Rebeka.
Mfalme Balaki alifika kwa Malikia Rebeka na kupokelewa kwa furaha na mkewe,
"Hongera sana kwa ushindi ulioupata Mfalme"
"Asante ila huu ni ushindi wa AZENI sio wangu peke yangu na ata hivyo nimekuja na mtoto wa Mfalme Gideoni kwenye ufalme wangu huu" Mfalme Balaki aliongea lakini maneno yake yalimfanya Malikia Rebeka ashangae.
"Mfalme...!?, huoni kama akikua atatuletea matatizo hapo baadae hasa akija kugundua kuwa tuliangamiza familia yake...!?" Malikia Rebeka aliongea akiwa na hofu ya hali ya juu.
"Hawezi kugundua pia nafanya ivi kwakuwa Mfalme Gideoni alikataa kunionesha hazina zilipo, na yoyote atakayefungua mdomo wake kumwambia basi kifo kitakuwa halali yake" Mfalme Balaki aliongea ila licha ya yeye kuongea bado Malikia Rebeka hakufurahishwa na kitendo cha Mfalme kumuacha hai mtoto wa Mfalme Gideoni.

Miaka ilisogea na kila kitu kilikuwa kimebadilika ndani ya ufalme huo wa AZENI kwani Mfalme Balaki alipata watoto wawili, Prince Yoramu na Princess Miriamu.
Mtoto wa Mfalme Gideoni aliyeuliwa na Mfalme Balaki alikuwa ameshakuwa mkubwa na alifahamika kwa jina la Yoashi na aliishi kama mtumwa ndani ya ufalme huo. maisha ya Yoashi ndani ya ufalme wa AZENI yalikuwa niya kitumwa kama watumwa wengine walivyokuwa wakiishi ndani ya ufalme huo.

Malikia Rebeka alimwita Prince Yoramu na kumweleza ukweli wote unaomhusu Yoashi huku akimwambia awe makini nae asije kugundua kama familia yake iliuliwa na Mfalme Balaki kwenye vita vilivyopigwana hapo nyuma, Prince Yoramu alimwahidi mama yake atamfanya Yoashi awe mtumwa wake na hata gundua chochote kile.

Prince Yoramu siku hiyo alijiandaa kwa ajili ya kwenda mawindoni. Yoashi aliitwa na Prince Yoramu na alifika mda huo huo baada ya kusikia akiitwa na mwana wa Mfalme,
Alifika na kuinama karibu na Farasi na kumfanya Prince Yoramu apate sehemu ya kukanyaga. Alikanyaga mgongoni mwa Yoashi na kupanda kwenye Farasi,
"Inuka na uongoze njia mpaka mawindoni" Prince Yoramu aliongea na kumfanya Yoashi atii maagizo yake.

Alinyenyuka nakuanza kutembea kuwaongoza njia kuelekea polini kwenye mawindo. wenzake walikuwa wamepanda kwenye Farasi ila yeye peke yake alikuwa akikimbia kwa miguu na maisha yale alikuwa ameshayazoea.

Prince Yoramu aliona kama Yoashi anawachelewesha,
"Ongeza mwendo wa kukimbia wewe unatuchelewesha" Prince Yoramu aliongea na kumfanya Yoashi aongeze kasi ya kukimbia mpaka pale walipofanikiwa kufika.

Prince Yoramu alishuka kwenye Farasi wake na kuanza kuzunguka kwenye poli hilo akiwa na walinzi wake huku Yoashi akiwa ni muongoza njia, walitembea na walipofika mbele Prince Yoramu alimuona swala nakuandaa upinde wake ukiwa na mshale kwa ajili ya kumpiga swala ila badae aliamua kuacha na kumtazama Yoashi aliyekuwa amesimama kwa utulivu,
"Mkimbize huyo swala na uje nae hapa akiwa mzima" Prince Yoramu aliongea akimwambia Yoashi.
"Prince...!!,atawezaje kukimbizana na swala..!!?, mimi naona sio vizuri kumpa iyo kazi ya kumkimbiza swala" Mlinzi wake aliongea huku akionesha kumuonea huruma Yoashi kwa kazi aliyoambiwa afanye.

Prince Yoramu alimtazama kwa hasira Mlinzi aliyeongea na kumtetea Yoashi,
"Natengua kauli yangu niliyosema hapo mwanzo, basi na wewe utaungana naye, wote mnatakiwa mfanye hiyo kazi na ole wenu swala awakimbie mtanieleza vizuri" Prince Yoramu aliongea na kumfanya Mlinzi aliyejaribu kumtetea Yoashi ajute.

Yoashi na Mlinzi wa Prince waliungana kumkimbiza swala walioambiwa wamfatilie ila bahati mbaya ilikuwa kwao kwani hawakufanikiwa kumpata na walirudi wakiwa mikono mitupu mbele ya Prince Yoramu.

Prince Yoramu alikasirika baada ya kuwaona wakiwa mikono mitupu bira kuwa na swala,
"Niliwaambiaje..!?"
"Tusamehe Prince, ametukimbia" Yoashi aliongea kwa unyenyekevu.
"Twendeni kwenye jumba la kifalme mkapate adhabu yenu" Prince Yoramu aliongea na Yoashi alijua nini kitakachoenda kutokea mana hayo maisha alikuwa ameshayazoea toka akiwa mdogo ndani ya ufalme huo.

Walipofika kwenye jumba la kifalme Prince Yoramu alitekeleza kile alichowaambia kule polini kwani alifanya miili ya wenzao kuwa sehemu ya yeye kufanyia mazoezi, Yoashi pamoja na Mlinzi walikuwa wametuliza miili yao huku Prince Yoramu akiwapiga lakini pale pale aliweza kufika Princess Miriamu,
"Kaka utaacha lini kumpiga Yoashi..!?" Princess Miriamu aliongea.
"Kaa pembeni haya kuhusu haya" Prince Yoramu alimjibu huku akiendelea na kile alichokuwa akikifanya na hakutaka kusikiliza maneno ya dada yake.

Princess Miriamu aliamua kwenda na kumpa tarifa zile Mfalme Balaki aliyekuja mda huo huo,
"Nilishakwambia mwanangu haina haja ya wewe kuwapiga watumwa ovyo, emu acha unachokifanya" Mfalme Balaki aliongea na kumfanya Yoramu asitishe kile alichokuwa akikifanya na kuondoka pasipo kuongea neno lolote kwa baba yake mzazi.

Mfalme Balaki alimwangalia Yoashi na alikili kuwa mtoto huo alifanana na Mfalme Gideoni karibu kila kitu aliyemuua miaka kadhaa iliyopita nae aliondoka akiwa na Princess Miriamu nakuwaacha Yoashi na Mlinzi wakiugulia maumivu.

**********************************

Ndani ya ufalme wa PADALA, ufalme uliopoteza mvuto tangu Mfalme Gideoni alipofariki hakukuwa na watu waliokuwa wakiishi kwenye ufalme huo, nyumba zilikuwa zimechakaa na mazingira yake yalikuwa niyakutisha kutokana na mifupa ya binadamu iliyokuwa imeenea karibu kila sehemu kwenye ufalme huo.

Ndani ya jumba la kifalme, alionekana bibi aliyechokeana, na maisha yale alikuwa ameshayazoea ya kuishi kwenye ufalme huo bira kuogopa mafuvu na mifupa mbalimbali ya binadamu iliyokuwa imezagaa. Alinyenyuka na kushika jembe lake nakuondoka. alifika sehemu nakuanza kuchimba kwa tabu na alipomaliza alienda kuchukua baadhi ya mifupa ya binadamu na kuja kuifukia mahali alipokuwa amechimba,
"Licha ya umri wangu kwenda nimeifanya hii kazi kwa miaka mingi ya kuzika ndugu zangu...ee mwenyezi MUNGU ikumbuke PADALA na utuletee mtu wakuja kuurudisha ufalme huu uwe kama mwanzo ulivyokuwa" yalikuwa ni maneno ya bibi aliyeongea kwa uchungu huku akiendelea kuzika mifupa ya ndugu zake.

**********************************

Prince Yoramu alimfata Mfalme Balaki nakumkumbusha kuwa siku mbili zijazo ni siku yake ya kuzaliwa hivyo angetamani kuwe na sherehe siku hiyo. Mfalme Balaki alimsifu kwa kumkumbusha na alimkubalia kijana wake mana ndiye mtoto wake mkubwa na anayetegemea kwa badae aje awe mlithi wake, kila mfanyakazi ndani ya jumba hilo alipatiwa tarifa za sherehe hiyo na maandalizi yalianza kufanyika siku hiyo hiyo.

Prince Yoramu alimfata Princess Miriamu nakunza kumuongelesha,
"Huwa unapenda kumtetea sana Yoashi ngoja tuone utawezaje kumtetea siku ya sherehe yangu" Prince Yoramu aliongea na kuondoka.

Princess Miriamu baada ya kuachwa peke yake alifikilia maneno ya kaka yake na alihisi huenda kuna kitu kibaya alichopanga kumfanyia Yoashi alitoka na kwenda kumtafuta Yoashi lakini hakufanikiwa kumpata kwa wakati huo,
"Mmmh...!! kaka kapanga kufanya nini tena, mana ana roho mbaya isiyo ya kawaida" Princess Miriamu aliongea nakuendelea kumtafuta Yoashi aone kama atafanikiwa kumpata.
Siku ilipita bira Princess Miriamu kumpata Yoashi kwani siku hiyo Yoashi hakuwa ndani ya jumba hilo la kifalme.

Siku iliyofata maandalizi yalikuwa yakiendelea kama kawaida, Princess Miriamu alibahatika kumpata Yoashi asubuhi hiyo,
"Yoashi inakupaswa uondoke na uende mbali nje ya huu ufalme"
"Kwanini Princess..!?"
"Kwa sababu kuna jambo Yoramu alilopanga kukufanyia hivyo nakuonea huruma huenda ukaja kuingia kwenye matatizo zaidi" Princess Miriamu alimaliza kuongea na kumsikiliza Yoashi aone atajibu kitu gani.

Yoashi alifikilia nae pia alikuwa ameshachoka maisha ya kunyanyaswa na Prince Yoramu aliamua kukubali ushauri aliopewa na Princess Miriamu.

Haraka alianza kufanya maandalizi kwa ajili ya kutoroka wakisaidizana na Princess Miriamu na baada ya kila kitu kuwa tayari alitoka ndani ya ngome ya kifalme ili atoroke.
Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu akiwa kasimama mbele yake tena akiwa na walinzi wakutosha.....ITAENDELEA.

Prince Yoramu alijuaje kama Yoashi anataka kutoroka?. na amepanga kumfanyia nini Yoashi siku ya sherehe yake?. Tukutane sehemu ya pili

Tangazo - Monday To Sunday
Monday To Sunday
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME ) Sehemu......ya.......01 ANZA NAYO........ Ni vita kubwa iliyokuwa ikiendelea kati ya falme mbili, ufalme wa AZENI na ufalme wa PADALA.

wanajeshi wa ufalme wa AZENI wakiongozwa na Mfalme wao walivamia kwenye ufalme huo wa PADALA hali iliyopelekea wanajeshi wengi wa ufalme wa PADALA wapoteze maisha. Mfalme wa PADALA aliamua kumchukua mke wake aliyekuwa amebeba mtoto mdogo ili waweze kutoroka na kuukimbia ufalme wao baada ya kuzidiwa na kupoteza wanajeshi wengi.

Walianza kukimbia ila kabra hawajafika mbali walizungukwa na maadui zao.
"Mfalme nilikwambia huna uwezo wa kushindana na mimi kwa usalama wako inatakiwa unioneshe ni wapi hazina zilipo"
"Siwezi kukuonesha hazina zilipo ila kama ni ufalme nipo tayari kukuachia. naomba unipe nafasi ya mimi kuondoka na familia yangu twende tukaishi mbali"
"Hiyo haitawezekana, najua lazima...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya-01-anza-nayo-ni-vita-kubwa-iliyokuwa-ikiendelea-kati-ya-falm

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......02  ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME).  Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME). Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80

565
MY WANGU❤️ sehemu ya 81

MY WANGU❤️ sehemu ya 81

533
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

404
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32

335
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

239
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

182
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

47

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.09K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.28K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA...... Kuna ule msemo kuwa mpende yule anaekupenda na mthamini yule anaekuthamini,yes naweza kusema kuwa mimi nilibahatika kupendwa na kuthaminiwa bwana 😊 Yaani binti yenu kwenye kupendwa sijui...

REAL LOVE*  Chapter 10 Post Mpya
REAL LOVE* Chapter 10
@majario LIVE

yani sekunde kadhaa tu mtu ashachezea john hakuwa anapenda ujinga hata kidogo yani, alikuja kuzuiliwa na seven lakini john bado alitaka ampige devi kutokana na ujinga alioufanya, niachieeee seven uyu shetani sana...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 50💘💘
@majario LIVE

0742133100 Babie Love ""🎶🎶from the day that I met you girl"" ""I knew that your love would be "" ""Everything that I ever wanted in my life🎶🎶"" ""🎶🎶from the moment you spoke my...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest