Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME )  Sehemu......ya.......01  ANZA NAYO........ Ni vita kubwa iliyokuwa ikiendelea kati ya falme mbili, ufalme wa AZENI na ufalme wa PADALA.
Gonga94 · Stories

THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME ) Sehemu......ya.......01 ANZA NAYO........ Ni vita kubwa iliyokuwa ikiendelea kati ya falme mbili, ufalme wa AZENI na ufalme wa PADALA.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
wanajeshi wa ufalme wa AZENI wakiongozwa na Mfalme wao walivamia kwenye ufalme huo wa PADALA hali iliyopelekea wanajeshi wengi wa ufalme wa PADALA wapoteze maisha. Mfalme wa PADALA aliamua kumchukua mke wake aliyekuwa amebeba mtoto mdogo ili waweze kutoroka na kuukimbia ufalme wao baada ya kuzidiwa na kupoteza wanajeshi wengi.

Walianza kukimbia ila kabra hawajafika mbali walizungukwa na maadui zao.
"Mfalme nilikwambia huna uwezo wa kushindana na mimi kwa usalama wako inatakiwa unioneshe ni wapi hazina zilipo"
"Siwezi kukuonesha hazina zilipo ila kama ni ufalme nipo tayari kukuachia. naomba unipe nafasi ya mimi kuondoka na familia yangu twende tukaishi mbali"
"Hiyo haitawezekana, najua lazima utarudi kunisumbua siku moja wewe pamoja na familia yako, kama haupo tayari kunionesha hazina zilipo basi leo lazima upoteze maisha wewe pamoja na familia yako" pale pale alitoa amri kwa vijana wake kuishambulia familia ya Mfalme wa PADALA aliyefahamika kwa jina la Mfalme Gideoni.

Mfalme Gideoni alijaribu kujitetea lakini hakuwa na uwezo huo kwani aliuliwa na kupoteza maisha pale pale. Mkewe aliyefahamika kwa jina la Malikia Maria naye alipoteza maisha kwa kuuliwa huku mtoto mdogo akiwa kwenye mikono yake.

Mwanajeshi mmoja aliweza kumuona mtoto aliyekuwa ameshikwa na Malikia Maria aliyekuwa amepoteza maisha tayari,
"Mfalme mtoto wao bado yupo hai" asikari yule aliongea na kumpa tarifa Mfalme wake.
"Kwakuwa baba yake kakataa kunionesha hazina zilipo basi hatakiwi kufa huyo mtoto mbebeni tuondoke nae nitamfanya kuwa mtumwa wangu" Mfalme aliyefahamika kwa jina la Mfalme Balaki aliongea na kuwafanya asikari wake wamchukue mtoto nakuondoka nae huku kila mmoja wao akiwa na furaha kwa kupata ushindi japo walishindwa kujua ni wapi hazina zilipo.

Safari yao iliwapeleka kwenye ufalme wao wa AZENI na walipofika kila raia siku hiyo alikuwa na furaha ya kuwapokea mashujaa waliokuja na ushindi kwa kuwashinda maadui zao. Mfalme Balaki alielekea kwenye jumba la kifalme na kupokelewa na Malikia aliyefamika kwa jina la Malikia Rebeka.
Mfalme Balaki alifika kwa Malikia Rebeka na kupokelewa kwa furaha na mkewe,
"Hongera sana kwa ushindi ulioupata Mfalme"
"Asante ila huu ni ushindi wa AZENI sio wangu peke yangu na ata hivyo nimekuja na mtoto wa Mfalme Gideoni kwenye ufalme wangu huu" Mfalme Balaki aliongea lakini maneno yake yalimfanya Malikia Rebeka ashangae.
"Mfalme...!?, huoni kama akikua atatuletea matatizo hapo baadae hasa akija kugundua kuwa tuliangamiza familia yake...!?" Malikia Rebeka aliongea akiwa na hofu ya hali ya juu.
"Hawezi kugundua pia nafanya ivi kwakuwa Mfalme Gideoni alikataa kunionesha hazina zilipo, na yoyote atakayefungua mdomo wake kumwambia basi kifo kitakuwa halali yake" Mfalme Balaki aliongea ila licha ya yeye kuongea bado Malikia Rebeka hakufurahishwa na kitendo cha Mfalme kumuacha hai mtoto wa Mfalme Gideoni.

Miaka ilisogea na kila kitu kilikuwa kimebadilika ndani ya ufalme huo wa AZENI kwani Mfalme Balaki alipata watoto wawili, Prince Yoramu na Princess Miriamu.
Mtoto wa Mfalme Gideoni aliyeuliwa na Mfalme Balaki alikuwa ameshakuwa mkubwa na alifahamika kwa jina la Yoashi na aliishi kama mtumwa ndani ya ufalme huo. maisha ya Yoashi ndani ya ufalme wa AZENI yalikuwa niya kitumwa kama watumwa wengine walivyokuwa wakiishi ndani ya ufalme huo.

Malikia Rebeka alimwita Prince Yoramu na kumweleza ukweli wote unaomhusu Yoashi huku akimwambia awe makini nae asije kugundua kama familia yake iliuliwa na Mfalme Balaki kwenye vita vilivyopigwana hapo nyuma, Prince Yoramu alimwahidi mama yake atamfanya Yoashi awe mtumwa wake na hata gundua chochote kile.

Prince Yoramu siku hiyo alijiandaa kwa ajili ya kwenda mawindoni. Yoashi aliitwa na Prince Yoramu na alifika mda huo huo baada ya kusikia akiitwa na mwana wa Mfalme,
Alifika na kuinama karibu na Farasi na kumfanya Prince Yoramu apate sehemu ya kukanyaga. Alikanyaga mgongoni mwa Yoashi na kupanda kwenye Farasi,
"Inuka na uongoze njia mpaka mawindoni" Prince Yoramu aliongea na kumfanya Yoashi atii maagizo yake.

Alinyenyuka nakuanza kutembea kuwaongoza njia kuelekea polini kwenye mawindo. wenzake walikuwa wamepanda kwenye Farasi ila yeye peke yake alikuwa akikimbia kwa miguu na maisha yale alikuwa ameshayazoea.

Prince Yoramu aliona kama Yoashi anawachelewesha,
"Ongeza mwendo wa kukimbia wewe unatuchelewesha" Prince Yoramu aliongea na kumfanya Yoashi aongeze kasi ya kukimbia mpaka pale walipofanikiwa kufika.

Prince Yoramu alishuka kwenye Farasi wake na kuanza kuzunguka kwenye poli hilo akiwa na walinzi wake huku Yoashi akiwa ni muongoza njia, walitembea na walipofika mbele Prince Yoramu alimuona swala nakuandaa upinde wake ukiwa na mshale kwa ajili ya kumpiga swala ila badae aliamua kuacha na kumtazama Yoashi aliyekuwa amesimama kwa utulivu,
"Mkimbize huyo swala na uje nae hapa akiwa mzima" Prince Yoramu aliongea akimwambia Yoashi.
"Prince...!!,atawezaje kukimbizana na swala..!!?, mimi naona sio vizuri kumpa iyo kazi ya kumkimbiza swala" Mlinzi wake aliongea huku akionesha kumuonea huruma Yoashi kwa kazi aliyoambiwa afanye.

Prince Yoramu alimtazama kwa hasira Mlinzi aliyeongea na kumtetea Yoashi,
"Natengua kauli yangu niliyosema hapo mwanzo, basi na wewe utaungana naye, wote mnatakiwa mfanye hiyo kazi na ole wenu swala awakimbie mtanieleza vizuri" Prince Yoramu aliongea na kumfanya Mlinzi aliyejaribu kumtetea Yoashi ajute.

Yoashi na Mlinzi wa Prince waliungana kumkimbiza swala walioambiwa wamfatilie ila bahati mbaya ilikuwa kwao kwani hawakufanikiwa kumpata na walirudi wakiwa mikono mitupu mbele ya Prince Yoramu.

Prince Yoramu alikasirika baada ya kuwaona wakiwa mikono mitupu bira kuwa na swala,
"Niliwaambiaje..!?"
"Tusamehe Prince, ametukimbia" Yoashi aliongea kwa unyenyekevu.
"Twendeni kwenye jumba la kifalme mkapate adhabu yenu" Prince Yoramu aliongea na Yoashi alijua nini kitakachoenda kutokea mana hayo maisha alikuwa ameshayazoea toka akiwa mdogo ndani ya ufalme huo.

Walipofika kwenye jumba la kifalme Prince Yoramu alitekeleza kile alichowaambia kule polini kwani alifanya miili ya wenzao kuwa sehemu ya yeye kufanyia mazoezi, Yoashi pamoja na Mlinzi walikuwa wametuliza miili yao huku Prince Yoramu akiwapiga lakini pale pale aliweza kufika Princess Miriamu,
"Kaka utaacha lini kumpiga Yoashi..!?" Princess Miriamu aliongea.
"Kaa pembeni haya kuhusu haya" Prince Yoramu alimjibu huku akiendelea na kile alichokuwa akikifanya na hakutaka kusikiliza maneno ya dada yake.

Princess Miriamu aliamua kwenda na kumpa tarifa zile Mfalme Balaki aliyekuja mda huo huo,
"Nilishakwambia mwanangu haina haja ya wewe kuwapiga watumwa ovyo, emu acha unachokifanya" Mfalme Balaki aliongea na kumfanya Yoramu asitishe kile alichokuwa akikifanya na kuondoka pasipo kuongea neno lolote kwa baba yake mzazi.

Mfalme Balaki alimwangalia Yoashi na alikili kuwa mtoto huo alifanana na Mfalme Gideoni karibu kila kitu aliyemuua miaka kadhaa iliyopita nae aliondoka akiwa na Princess Miriamu nakuwaacha Yoashi na Mlinzi wakiugulia maumivu.

**********************************

Ndani ya ufalme wa PADALA, ufalme uliopoteza mvuto tangu Mfalme Gideoni alipofariki hakukuwa na watu waliokuwa wakiishi kwenye ufalme huo, nyumba zilikuwa zimechakaa na mazingira yake yalikuwa niyakutisha kutokana na mifupa ya binadamu iliyokuwa imeenea karibu kila sehemu kwenye ufalme huo.

Ndani ya jumba la kifalme, alionekana bibi aliyechokeana, na maisha yale alikuwa ameshayazoea ya kuishi kwenye ufalme huo bira kuogopa mafuvu na mifupa mbalimbali ya binadamu iliyokuwa imezagaa. Alinyenyuka na kushika jembe lake nakuondoka. alifika sehemu nakuanza kuchimba kwa tabu na alipomaliza alienda kuchukua baadhi ya mifupa ya binadamu na kuja kuifukia mahali alipokuwa amechimba,
"Licha ya umri wangu kwenda nimeifanya hii kazi kwa miaka mingi ya kuzika ndugu zangu...ee mwenyezi MUNGU ikumbuke PADALA na utuletee mtu wakuja kuurudisha ufalme huu uwe kama mwanzo ulivyokuwa" yalikuwa ni maneno ya bibi aliyeongea kwa uchungu huku akiendelea kuzika mifupa ya ndugu zake.

**********************************

Prince Yoramu alimfata Mfalme Balaki nakumkumbusha kuwa siku mbili zijazo ni siku yake ya kuzaliwa hivyo angetamani kuwe na sherehe siku hiyo. Mfalme Balaki alimsifu kwa kumkumbusha na alimkubalia kijana wake mana ndiye mtoto wake mkubwa na anayetegemea kwa badae aje awe mlithi wake, kila mfanyakazi ndani ya jumba hilo alipatiwa tarifa za sherehe hiyo na maandalizi yalianza kufanyika siku hiyo hiyo.

Prince Yoramu alimfata Princess Miriamu nakunza kumuongelesha,
"Huwa unapenda kumtetea sana Yoashi ngoja tuone utawezaje kumtetea siku ya sherehe yangu" Prince Yoramu aliongea na kuondoka.

Princess Miriamu baada ya kuachwa peke yake alifikilia maneno ya kaka yake na alihisi huenda kuna kitu kibaya alichopanga kumfanyia Yoashi alitoka na kwenda kumtafuta Yoashi lakini hakufanikiwa kumpata kwa wakati huo,
"Mmmh...!! kaka kapanga kufanya nini tena, mana ana roho mbaya isiyo ya kawaida" Princess Miriamu aliongea nakuendelea kumtafuta Yoashi aone kama atafanikiwa kumpata.
Siku ilipita bira Princess Miriamu kumpata Yoashi kwani siku hiyo Yoashi hakuwa ndani ya jumba hilo la kifalme.

Siku iliyofata maandalizi yalikuwa yakiendelea kama kawaida, Princess Miriamu alibahatika kumpata Yoashi asubuhi hiyo,
"Yoashi inakupaswa uondoke na uende mbali nje ya huu ufalme"
"Kwanini Princess..!?"
"Kwa sababu kuna jambo Yoramu alilopanga kukufanyia hivyo nakuonea huruma huenda ukaja kuingia kwenye matatizo zaidi" Princess Miriamu alimaliza kuongea na kumsikiliza Yoashi aone atajibu kitu gani.

Yoashi alifikilia nae pia alikuwa ameshachoka maisha ya kunyanyaswa na Prince Yoramu aliamua kukubali ushauri aliopewa na Princess Miriamu.

Haraka alianza kufanya maandalizi kwa ajili ya kutoroka wakisaidizana na Princess Miriamu na baada ya kila kitu kuwa tayari alitoka ndani ya ngome ya kifalme ili atoroke.
Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu akiwa kasimama mbele yake tena akiwa na walinzi wakutosha.....ITAENDELEA.

Prince Yoramu alijuaje kama Yoashi anataka kutoroka?. na amepanga kumfanyia nini Yoashi siku ya sherehe yake?. Tukutane sehemu ya pili

Maoni

You're not logged in


Tangazo - SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
SHUKRANI – Emidee ft. Mbacho Wizzy (Official Lyrics Video) ? Produced by: Gift Record ? Released: 20
Wimbo wenye ubunifu imechanga kiarabu kiswahili na amapiano wimbo wa kushukuru kwa maisha na upendo Sasa sikiliza na ku download hapa gonga94.com
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME ) Sehemu......ya.......01 ANZA NAYO........ Ni vita kubwa iliyokuwa ikiendelea kati ya falme mbili, ufalme wa AZENI na ufalme wa PADALA.

wanajeshi wa ufalme wa AZENI wakiongozwa na Mfalme wao walivamia kwenye ufalme huo wa PADALA hali iliyopelekea wanajeshi wengi wa ufalme wa PADALA wapoteze maisha. Mfalme wa PADALA aliamua kumchukua mke wake aliyekuwa amebeba mtoto mdogo ili waweze kutoroka na kuukimbia ufalme wao baada ya kuzidiwa na kupoteza wanajeshi wengi.

Walianza kukimbia ila kabra hawajafika mbali walizungukwa na maadui zao.
"Mfalme nilikwambia huna uwezo wa kushindana na mimi kwa usalama wako inatakiwa unioneshe ni wapi hazina zilipo"
"Siwezi kukuonesha hazina zilipo ila kama ni ufalme nipo tayari kukuachia. naomba unipe nafasi ya mimi kuondoka na familia yangu twende tukaishi mbali"
"Hiyo haitawezekana, najua lazima...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya-01-anza-nayo-ni-vita-kubwa-iliyokuwa-ikiendelea-kati-ya-falm

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi the-kings-son-mtoto-wa-mfalme-sehemu-ya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......03 "Kwanini umemuua baba yangu..!!?"
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME)  Sehemu......ya.......02  ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME) Sehemu......ya.......02 ILIPOISHIA........ Bahati mbaya ilikuwa kwake kwani alishangaa kumuona Prince Yoramu
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME).  Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Story.......................THE KING'S SON (MTOTO WA MFALME). Sehemu......ya.......04 Watu wa kila aina walikuja na kufanya kama wenzao walivyokuwa wakifanya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

897
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

479
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

298
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

200
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

85

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest