Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*VERY HANDSOME*   *🌸Lover boyπŸ’“πŸ’“ *_________________________________*  *SEHEMU YA 06*
Gonga94 Β· Stories

*VERY HANDSOME* *🌸Lover boyπŸ’“πŸ’“ *_________________________________* *SEHEMU YA 06*

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Enhe kumbe mimi sijui ndio nasikia leo nilimjibu
Ndio hata mimi nina kazi yangu napokea mshahara nimekuja kujiendeleza tu nilisoma mwisho diploma...
Ohoo basi ndio maana una akili sana nilimjibu
Kawaida tu mbona hata wewe unazo mara mvua ikakata nilimuaga Gerson nikawa nafungua mlango ila nikashindwa..
Ngoja nikusaidie kufungua alisogea akapitisha mkono ili afungue mlango tukajikuta tunagusana...
Nilihema kwa kasi hadi mapigo ya moyo πŸ’“ wangu Gerson akasikia.
Alifungua mlango wa gari πŸš— kisha akatabasamu 😁 kuna mtu unampenda? Aliniuliza
Hapana simpendi mtu yoyote kwanini umeniuliza hivyo ?
Kwa sababu macho na moyo πŸ’“ wako vinaongea na ninasikia.... Gerson aliongea
Umejuaje? Niliuliza
Najua tu kwasababu nimesomea na saikolojia kwahiyo naelewa...
πŸ˜‚πŸ˜‚ Upo vizuri hongera sana nilimjibu huku nacheka..
Asante πŸ™ ila ni vizuri ukamwambia huyo unayempenda ukweli kabla hajaambiwa na wengine....
Nilishusha pumzi kisha nikamuangalia usoni Gerson....
Unadhani ni rahisi kumwambia mtu nakupenda Gerson πŸ€” ....
Yah chelewachelewa utakuta mwana sio wako.
Sawa nashukuru kwa kunileta nyumbani.
Usijali ila usimwambie mtu kama nina gari au nimekuleta nyumbani.
Sawa....
Nilishuka kwenye gari nilimuangalia anavyogeuza hadi gari likapotea ndipo na mimi nikaingia ndani..
Nilienda chumbani nikajitupa kitandani akili yangu ikawa inamuwaza sana Gerson nikajikuta nampenda sana kiasi kwamba akisimama na mtu au kuongea moyo πŸ’“ wangu unaenda kasi kisha nachukia sana..
Moyo wangu tulia naomba usipende tafadhali huyu kaka atakuja anitese kwa kweli...
Moyo koma hivi vitu vina wenyewe nilipitiwa na usingizi hadi wenzangu waliporudi nyumbani..

We nawe hebu amka unalala kwani unaumwa mbona umeondoka chuo mapema vipi unaumwa? Penina aliniuliza.
Ndio nilibanwa na tumbo la kuhara we nikaona cha kufia nini ngoja nitimkee
Pole haya pumzika maana tumeshangaa ghafla tu umeondoka kwenye discussion ...
Asante πŸ™ niliwadanganya nikaendelea kulala kumbe wivu tu unanisumbua tena kwa mtu ambae hata sijawahi wala hajawahi kunitamkia neno nakupenda...
Usiku usingizi ulikata nikaamka nikakaa sebuleni nikawa naangalia tv huku nasoma meseji ikaingia kwenye simu yangu..
Vipi unaendeleaje na tumbo by Gerson maana sikuwa na namba yake..
Naendelea vizuri kidogo nashukuru.
Sawa basi kesho nitakuja nikuone katibu wangu....
😁😁 Usijali hadi kesho nitakuwa sawa nahisi nitakuja chuo..
Sawa nikutakie usiku πŸŒƒ mwema.
Na kwako pia nilifurahi baada ya kuchati na HB wa darasa...


Kesho yake asubuhi niliamka mapema nikaelekea chuoni nikawaacha wenzangu wanajiandaa.
Nilifika mapema nikamkuta Gerson yupo darasani amekaa na laptop πŸ’» yake yupo bize..
Nilimsogelea nikamsalimia sasa hivi nilikua nishamzoea..
Hivi unalalaga hapa hapa chuo au ?. Nilimuuliza kwanini umeniuliza hivyo
Maana nashangaa umewahi ghafla nielekeze basi maswali mliyojadiliana jana...
Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*VERY HANDSOME* *🌸Lover boyπŸ’“πŸ’“ *_________________________________* *SEHEMU YA 06*



Enhe kumbe mimi sijui ndio nasikia leo nilimjibu
Ndio hata mimi nina kazi yangu napokea mshahara nimekuja kujiendeleza tu nilisoma mwisho diploma...
Ohoo basi ndio maana una akili sana nilimjibu
Kawaida tu mbona hata wewe unazo mara mvua ikakata nilimuaga Gerson nikawa nafungua mlango ila nikashindwa..
Ngoja nikusaidie kufungua alisogea akapitisha mkono ili afungue mlango tukajikuta tunagusana...
Nilihema kwa kasi hadi mapigo ya moyo πŸ’“ wangu Gerson akasikia.
Alifungua mlango wa gari πŸš— kisha akatabasamu 😁 kuna mtu unampenda? Aliniuliza
Hapana simpendi mtu yoyote kwanini umeniuliza hivyo ?
Kwa sababu macho na moyo πŸ’“ wako vinaongea na ninasikia.... Gerson aliongea
Umejuaje? Niliuliza
Najua tu...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/very-handsome-lover-boy-_________________________________-sehemu-ya-06

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi very-handsome-lover-boy-_________________________________-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

573
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

490
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

249
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

229
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

223
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

219
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

187
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

127
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

109
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

80

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.04K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.72K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.54K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tatu.  πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tatu. πŸ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...πŸ‘‡

2.43K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.36K
I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

I LOVE YOU DADY πŸ’˜β€οΈπŸ’˜10

2.34K
❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❀❀ MTOTO WA MKE WANGUπŸ˜›πŸ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.28K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya nane.  πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya nane. πŸ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...πŸ‘‡

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, πŸ₯° nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba πŸ₯°πŸ˜† yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah hii feeling wanaijua wale ambao wanatamani kuwa na watoto Basi ndio...

FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜   SEHEMU YA 9 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY πŸ’žπŸ’˜ SEHEMU YA 9
@majario LIVE

Nikamuona D anatoka kwenye geti nikamwambia Boda tuondoke Boda akatimka hata hajui naenda wapi, sikuwa tena hata na mood ya kwenda kazini . Nikanyoosha mpaka kwa Tinner, alishangaa kuniona asubuhi asubuhi...

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*
@majario LIVE

Nilishtuka na moyo wangu uliumia sana Kana kwamba msumari wenye moto uligongewa kifuani mwangu Sikutaka kuleta drama yoyote, nikajikaza na kumuangalia Enzo kwa utulivu sana na kumuuliza. "Lakini ulisema Kuwa Utazungumza na mama...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9  Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 9
@majario LIVE

kipande cha 9 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Nikasema ww kama.nani ebu niache uko we vp. Akanmbia sasa umekuja kufata nni chumbani kwangu au ndo umeniletea hii pesa alokupa mwanaume wako...

SHAMIRA 8   MPK  12 Post Mpya
SHAMIRA 8 MPK 12
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ sehemu ya 8 Mwandishi; lissa wa huru media Sikuwa na habar na kushangaa kwake mm nilikuwa na mkatikia sio powa. watu wanashangalia sio powa nikaona yule kaka kajitoa chapu, kabaki ananishangaaaa yule...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest