Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6
Gonga94 · Stories

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
?WE KULA TU BINAMU
?EPISODE 6
?
?"Bibi, bibi mambo gani ..!" Nilisema huku bado nimeshika shavu lililokuwa linawaka moto kama sufuria ya makande.
?
?Muda huo nayumba yaani huwezi amini bakora ililala yeye kwa ule mkofi duuuh mpka sahizi network hazisomi yaani kama sisikii vizuri hivi . Nilisikia mpaka haja kubwa ilinishika ....masikio kuna kale kasauti " NZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII"
?
?Bibi hakutaka hata kusikia, akawa ananiandama na kunisema
?"Wewe! Kijana wa siku hizi huna adabu kabisa! Unaangalia wanawake badala ya kufanya usafi, pumbavu mkubwa!"
?
?Nilibaki nimesimama, nashika kitambaa upande mmoja na shavu upande mwingine.
?Nyuma ya pazia, Asha alikuwa anacheka kimya kimya maana ule mkofi watu wote waliusikia kila mtu aligeuka wengi wao walikuwa wananicheka ... Nikuulize swali ushawahi chekwa na watu wengi wanakuwa kama wanakuzomea
?
?Lakini angejua kuwa fahari ya macho kuona sidhani kama angenipiga ule mubao ..maana nishaibika hapa !
?
?"Leo utasafisha mpaka choo mbwa wewe kazi kuwatumbulia macho mabinamu zako kama sijuwi umeona almasi kwenye shimo la chooo" ! Huna haya, binamu yako Asha anafanya kazi wewe unamkodolea macho kama kasuku aliyeona korosho!" bibi alifoka huku anapepesa mikono.
?
?Nilijua hapa sina pa kujitetea, nikaanza kufuta dirisha kwa kasi kama vile ninafukuzwa na mbwa mwenye kichaa. Lakini sio siri limenishuka sana .....
?.
?Na Asha naye hakunisaidia!
?Alikuwa anajifanya kupiga deki, huku kitenge kikipanda, kushuka, kupanda, kushuka… utafikiri bendera ipo kwenye mlingoti inafuata upepo
?
?"Kijana, nikikuona tena unachezea kazi nitakupiga na hiii fimbo hadi usahau jina lako!" Bibi alinitisha kwa kushika fimbo ya mpera.bibi kageuka mbogo bibi kawa nyambisi hacheki na wowote ....
?
?
?Nilifanya kazi kwa bidii, lakini moyo ulikuwa umejaa tamaa na ndoto tamu.
?Niliapa kimoyomoyo:
?"binamu lazima anionjeshe ule kopo lake la asali kutokana alivyo kwa macho ta nyama mtoto ni mtamu kama chocolate ."
?
?
?Nilingia ndani kisha nikashika meza nikawa nawekea mfano jinsi nitakavyokula kitumbua cha asha nisijuwe kuna mzee kakaa mbele nimefumba macho nachezea kiuno nikisema "yaani akinipa mimi humu tu,humu tu naenjoy "
?
?" kijana unashida gani? Yule mzee alisema huku akinitazama maana utoto wote kauona nilizuga
?" hapana nilikuwa nanyosha kiuno " huku najichekesha chekesha ili kuzuga
?
? saa ngapi bibi asitoke na kuanza kunikimbiza na mfagio huku na kule
? " mjinga wewe nahisi umechanganyikiwa.".
?Tulikuwa tunazungushana tu na bibi
?Watu wanacheka sana yaani nimekuwa kama channel ya vichekesho kijijini na ukichukulia hakuna Tv
?
?Baada ya a bibi kunikimbiza , bado moyo wangu haukuwa na adabu.
?Asha alitumwa mtoni kuchota maji, na mimi bila hata kujifikiria mara mbili, nikaamua kumnyemelea kama fisi anayemvizia mbuzi zizini.
?
?Nilipita vichakani kimya kimya, miguu yangu ikitembea kwa madaha , macho yangu kwa Asha tu, aliekuwa kashika ndoo anatembea kuelekea mtoni bomboclaaat makaliooooooooooo kushoto kulia kulia kusho mimi napiga hatua macho yangu kwake
?kitenge chake kikirindima kama bendera na kufanya niliona boooidi na umbo bamba nane ....
?
?Lakini sikujua mbele yangu kuna mitego ya nyasi wanayochezaga na kuitega watoto wanafunga nyasi za upande wa kushoto na wa kulia( rudi utotoni nadhani umenielewa kama hukucheza ni wewe )
?Katika ile ya kumkodolea macho asha sikuligundua hilo macho si yalikuwa juuu macho, sikuuangalia kabisa chini.
?Kumbe kulikuwa na mafungu hayo nyasi yaliyofungwa Na mbele kuna mteremko
?Saa ngapi nisikie miguu yangu ikinaswa na lile fungu kama ndoano ya samaki!?
?
?Nikajikwaa kwa nguvu
?"Paaaaa!"
?Nikaviringika kama mpira wa ndondo, huku nikishusha makelele ya aibu na maumivu.
?"Yeeeeeeh, mama yangu, mbona hivi jamani!" uwiiii jamani msaada mama weeeeeee
?
?nikaviringika kwa kasi kama pipa la mafuta lililopigwa teke, mpaka nikaenda kutua kwenye mti mkubwa wa mbuyu!
?nilitua kichwa chini, miguu juu kama bata aliyenyeshewa na mvua .
?Nikabaki nimenasa pale, naugulia kwa maumivu huku nahema kama jogoo aliyekula pilipili mbichi.
?
?"Oooooooh, kiuno changu! Mamaaaaa! Mbona dunia inanikatili hivi?"
?????????? lakini nitakapo kipata hiki kitumbua sio siri kwa haya mateso nitasimamia mpaka ukucha wallah!!!!!!!
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

?WE KULA TU BINAMU
?EPISODE 6
?
?"Bibi, bibi mambo gani ..!" Nilisema huku bado nimeshika shavu lililokuwa linawaka moto kama sufuria ya makande.
?
?Muda huo nayumba yaani huwezi amini bakora ililala yeye kwa ule mkofi duuuh mpka sahizi network hazisomi yaani kama sisikii vizuri hivi . Nilisikia mpaka haja kubwa ilinishika ....masikio kuna kale kasauti " NZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII"
?
?Bibi hakutaka hata kusikia, akawa ananiandama na kunisema
?"Wewe! Kijana wa siku hizi huna adabu kabisa! Unaangalia wanawake badala ya kufanya usafi, pumbavu mkubwa!"
?
?Nilibaki nimesimama, nashika kitambaa upande mmoja na shavu upande mwingine.
?Nyuma ya pazia, Asha alikuwa anacheka kimya kimya maana ule mkofi watu wote waliusikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/we-kula-tu-binamu-episode-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi we-kula-tu-binamu-episode
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 11
WE KULA TU BINAMU EPISODE 11
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 10
WE KULA TU BINAMU EPISODE 10
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 9
WE KULA TU BINAMU EPISODE 9
WE KULA TU BINAMU EPISODE 3
WE KULA TU BINAMU EPISODE 3
WE KULA TU BINAMU EPISODE 2
WE KULA TU BINAMU EPISODE 2
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 5
WE KULA TU BINAMU EPISODE 5
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 4
WE KULA TU BINAMU EPISODE 4
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

679
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

412
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37

289
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘

289
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87

243
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

135
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38

135
REAL LOVE  Chapter 12

REAL LOVE Chapter 12

51
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)

20

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.85K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.06K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5  ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI) Post Mpya
🔞 Aaaaaaah..imezama🔞1-5 ( NILIVYOMF🤫LA MUHINDI)
@majario LIVE

SEHEMU YA KWANZA 😭😭 Acha nilie alafu ninyamaze duku duku langu nilimalize maana najiuliza maswali magumu sana ivi serekali inajua hawa wahindi wanatufanyisha kazi za ndani raia wa nchi hii...

REAL LOVE  Chapter 12 Post Mpya
REAL LOVE Chapter 12
@majario LIVE

kitendo cha fahima kushikwa na seven. kiliwakera sana walikasirika ghafla tu lakini fatuma hakusahau dhamira yake akatoka haraka mpaka kwa fahima na kumsaidia kumshika mkono mwingine lakini mzee fahad akamkemea kabisa "wewe...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 38
@majario LIVE

Basi mimi nilikaa home siku 3. Nikapigiwa simu ya kwenda kusaini mkataba katika iyo bank. Na kweli nilienda nikasaini mkataba wa miaka 2. Na mshahara ulikuwa ni mrefu sana ....

MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 86 na 87
@majario LIVE

Daaah yani sikuwa naelewa nifurahi pale . Ama ninune. Yani nilikuwa katika hali ambayo ata siielew. Basi zayd akanishika mpaka karibu na ile gari kabisa. Akafungua milango na nikaona...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 55...56💘💘
@majario LIVE

Nilitoka kule ndani kwa Tristan bila hata kuwaaga🙈🙈 wenyewe walikuwa wako busy kubebishana😆 nilichukua usafiri nikaenda hadi maeneo ya kule nyumbani kwa Hemed ilikuwa ni mida kama saa tano sita...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 36 na 37
@majario LIVE

Basi bwana kuanzia apo rasmi mi nikavunja mkataba na princess kabisa. Nikawa busy na maisha yangu kabisaa. Lemi aliniulizaga we ndo unahusika na mimba ya princess nikasema hapana siusiki kivyovyote...

REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest