Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6
Gonga94 · Stories

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
?WE KULA TU BINAMU
?EPISODE 6
?
?"Bibi, bibi mambo gani ..!" Nilisema huku bado nimeshika shavu lililokuwa linawaka moto kama sufuria ya makande.
?
?Muda huo nayumba yaani huwezi amini bakora ililala yeye kwa ule mkofi duuuh mpka sahizi network hazisomi yaani kama sisikii vizuri hivi . Nilisikia mpaka haja kubwa ilinishika ....masikio kuna kale kasauti " NZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII"
?
?Bibi hakutaka hata kusikia, akawa ananiandama na kunisema
?"Wewe! Kijana wa siku hizi huna adabu kabisa! Unaangalia wanawake badala ya kufanya usafi, pumbavu mkubwa!"
?
?Nilibaki nimesimama, nashika kitambaa upande mmoja na shavu upande mwingine.
?Nyuma ya pazia, Asha alikuwa anacheka kimya kimya maana ule mkofi watu wote waliusikia kila mtu aligeuka wengi wao walikuwa wananicheka ... Nikuulize swali ushawahi chekwa na watu wengi wanakuwa kama wanakuzomea
?
?Lakini angejua kuwa fahari ya macho kuona sidhani kama angenipiga ule mubao ..maana nishaibika hapa !
?
?"Leo utasafisha mpaka choo mbwa wewe kazi kuwatumbulia macho mabinamu zako kama sijuwi umeona almasi kwenye shimo la chooo" ! Huna haya, binamu yako Asha anafanya kazi wewe unamkodolea macho kama kasuku aliyeona korosho!" bibi alifoka huku anapepesa mikono.
?
?Nilijua hapa sina pa kujitetea, nikaanza kufuta dirisha kwa kasi kama vile ninafukuzwa na mbwa mwenye kichaa. Lakini sio siri limenishuka sana .....
?.
?Na Asha naye hakunisaidia!
?Alikuwa anajifanya kupiga deki, huku kitenge kikipanda, kushuka, kupanda, kushuka… utafikiri bendera ipo kwenye mlingoti inafuata upepo
?
?"Kijana, nikikuona tena unachezea kazi nitakupiga na hiii fimbo hadi usahau jina lako!" Bibi alinitisha kwa kushika fimbo ya mpera.bibi kageuka mbogo bibi kawa nyambisi hacheki na wowote ....
?
?
?Nilifanya kazi kwa bidii, lakini moyo ulikuwa umejaa tamaa na ndoto tamu.
?Niliapa kimoyomoyo:
?"binamu lazima anionjeshe ule kopo lake la asali kutokana alivyo kwa macho ta nyama mtoto ni mtamu kama chocolate ."
?
?
?Nilingia ndani kisha nikashika meza nikawa nawekea mfano jinsi nitakavyokula kitumbua cha asha nisijuwe kuna mzee kakaa mbele nimefumba macho nachezea kiuno nikisema "yaani akinipa mimi humu tu,humu tu naenjoy "
?
?" kijana unashida gani? Yule mzee alisema huku akinitazama maana utoto wote kauona nilizuga
?" hapana nilikuwa nanyosha kiuno " huku najichekesha chekesha ili kuzuga
?
? saa ngapi bibi asitoke na kuanza kunikimbiza na mfagio huku na kule
? " mjinga wewe nahisi umechanganyikiwa.".
?Tulikuwa tunazungushana tu na bibi
?Watu wanacheka sana yaani nimekuwa kama channel ya vichekesho kijijini na ukichukulia hakuna Tv
?
?Baada ya a bibi kunikimbiza , bado moyo wangu haukuwa na adabu.
?Asha alitumwa mtoni kuchota maji, na mimi bila hata kujifikiria mara mbili, nikaamua kumnyemelea kama fisi anayemvizia mbuzi zizini.
?
?Nilipita vichakani kimya kimya, miguu yangu ikitembea kwa madaha , macho yangu kwa Asha tu, aliekuwa kashika ndoo anatembea kuelekea mtoni bomboclaaat makaliooooooooooo kushoto kulia kulia kusho mimi napiga hatua macho yangu kwake
?kitenge chake kikirindima kama bendera na kufanya niliona boooidi na umbo bamba nane ....
?
?Lakini sikujua mbele yangu kuna mitego ya nyasi wanayochezaga na kuitega watoto wanafunga nyasi za upande wa kushoto na wa kulia( rudi utotoni nadhani umenielewa kama hukucheza ni wewe )
?Katika ile ya kumkodolea macho asha sikuligundua hilo macho si yalikuwa juuu macho, sikuuangalia kabisa chini.
?Kumbe kulikuwa na mafungu hayo nyasi yaliyofungwa Na mbele kuna mteremko
?Saa ngapi nisikie miguu yangu ikinaswa na lile fungu kama ndoano ya samaki!?
?
?Nikajikwaa kwa nguvu
?"Paaaaa!"
?Nikaviringika kama mpira wa ndondo, huku nikishusha makelele ya aibu na maumivu.
?"Yeeeeeeh, mama yangu, mbona hivi jamani!" uwiiii jamani msaada mama weeeeeee
?
?nikaviringika kwa kasi kama pipa la mafuta lililopigwa teke, mpaka nikaenda kutua kwenye mti mkubwa wa mbuyu!
?nilitua kichwa chini, miguu juu kama bata aliyenyeshewa na mvua .
?Nikabaki nimenasa pale, naugulia kwa maumivu huku nahema kama jogoo aliyekula pilipili mbichi.
?
?"Oooooooh, kiuno changu! Mamaaaaa! Mbona dunia inanikatili hivi?"
?????????? lakini nitakapo kipata hiki kitumbua sio siri kwa haya mateso nitasimamia mpaka ukucha wallah!!!!!!!

Maoni

You're not logged in


Tangazo - My true love mwanzo Hadi Mwisho
My true love mwanzo Hadi Mwisho
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 6

?WE KULA TU BINAMU
?EPISODE 6
?
?"Bibi, bibi mambo gani ..!" Nilisema huku bado nimeshika shavu lililokuwa linawaka moto kama sufuria ya makande.
?
?Muda huo nayumba yaani huwezi amini bakora ililala yeye kwa ule mkofi duuuh mpka sahizi network hazisomi yaani kama sisikii vizuri hivi . Nilisikia mpaka haja kubwa ilinishika ....masikio kuna kale kasauti " NZIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII"
?
?Bibi hakutaka hata kusikia, akawa ananiandama na kunisema
?"Wewe! Kijana wa siku hizi huna adabu kabisa! Unaangalia wanawake badala ya kufanya usafi, pumbavu mkubwa!"
?
?Nilibaki nimesimama, nashika kitambaa upande mmoja na shavu upande mwingine.
?Nyuma ya pazia, Asha alikuwa anacheka kimya kimya maana ule mkofi watu wote waliusikia...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/we-kula-tu-binamu-episode-6

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi we-kula-tu-binamu-episode
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 7
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?
?WE KULA TU BINAMU ?EPISODE 8 ?
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 11
WE KULA TU BINAMU EPISODE 11
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 10
WE KULA TU BINAMU EPISODE 10
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 9
WE KULA TU BINAMU EPISODE 9
WE KULA TU BINAMU EPISODE 3
WE KULA TU BINAMU EPISODE 3
WE KULA TU BINAMU EPISODE 2
WE KULA TU BINAMU EPISODE 2
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 5
WE KULA TU BINAMU EPISODE 5
WE KULA TU BINAMU  EPISODE 4
WE KULA TU BINAMU EPISODE 4
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*

960
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*

808
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20

638
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21

631
 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*

326
SHAMIRA sehemu ya 36&37

SHAMIRA sehemu ya 36&37

155
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17

152
BLACK BUTTERFLY 🦋 4

BLACK BUTTERFLY 🦋 4

89
Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas

Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas

9

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.48K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.76K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.22K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.51K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.5K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.45K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 16 na 17
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nilifika home nna hasira sana, nimechukia mnoo, yote sababu nilikuwa nimemmaind sana yule demu, yani nilimuona ana linga kinoma, nikasema bwana mi namkaushia kama.vp mana wanawake...

 *AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*   *15&16* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *15&16*
@majario LIVE

Nikatulia kwanza na kumuangalia madam groly kisha nikamuuliza. "Unamaanisha nini unavyosema hauna Furaha na hii siku 7 Sijakuelewa kwakweli nakumbuka ulikuwa ukitsubilia hi siku kwa hamu sana" Madam groly akacheka sana kisha akasogea...

SHAMIRA sehemu ya 36&37 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 36&37
@majario LIVE

Wassap:0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi mwanaume akaondoka zake na mimi ndo nikashika simu sasa .nikampigia aisha kumpa mchapo.nikasema shoga nusu niachwe mwenzio.nimeomba msamaha kama chizi.aisha akasema mh tatizo hamadi...

BLACK BUTTERFLY 🦋 4 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 4
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Brayton akiwa kwenye gari alijaribuu kupiga simu Hospitali ili maandilizi mapema kwaajili ya mgonjwa anae kuja nae muda huu. Hospitali nayo hakufanya makosa tayari waliandaa kitanda...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 21
@majario LIVE

Nikamuuliza "we umejuana vipi na D??" "Yule D ni mdogo wake na Boss wangu, ni binamu yake kitu kama hicho, mie sijawahi hata kuwa na mazoea nae kabisaaa ila kuna issue...

Honestly, these two are such a vibe together !  Priyanka Chopra and Nick Jonas Post Mpya
Honestly, these two are such a vibe together ! Priyanka Chopra and Nick Jonas
@majario LIVE

really make you believe in modern-day love stories. Different countries, different cultures, totally different careers — but somehow it all just fits perfectly. What started with a simple conversation...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO*    *SEHEMU YA KUMI NA NNE* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *SEHEMU YA KUMI NA NNE*
@majario LIVE

Muda huo Mwenyewe nilikua Nacheza kwa Furaha zote, lakini kitendo cha kumuona madam groly killharibu kila kitu, niliona kabisa birthday yangu inaenda kuharibika Maana huyu mama hana jema ata kidogo. "NAKUJA Alizungumza...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *SEASON TWO* *12&13*
@majario LIVE

SONGA NAYO Nikageuka na kumuangalia ma Mdogo "Ishani umeolewa Mwanangu?" Nikamuangalia na kumwambia. "Mind your business bi mkubwa Kisha Mimi na Enzo tukaondoka kwani tayall tulishabolt Bajaji na ilikuwa ikitusubilla. Msijiulize Kwanini tunatuma Bajaji wakati Enzo...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 20
@majario LIVE

Lile joto la midomo yake ilipo gusana niliisi ulimwengu wote umenyamaza nikafumba macho Kulikuwa na joto la ajabu sijawahi kulipata Mkono wake alikuwa anaupitisha taratibu kama anahesabu kila pigo la moyo wangu,...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 19
@majario LIVE

Basi mpaka sa moja inaenda na Nusu Veda hajaja, Moyo juu juu itakuwa tu kaenda huko kwenye ma club, moyo lipu lipu muda wote kama nimemezaa kaa la moto hajabu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 14 na 15
@majario LIVE

Basi nilipomaliza kuongea na ibraaa nikakata simu, nikaendelea kudrive kuelekea nyumbani kwangu sasa, na nilipofika nikampigia j kawa na furaha sana , anafurahia kwenda shule kesho, nikasema muache afurahi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘   SEHEMU YA 18 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 18
@majario LIVE

Mama akanambia kuwa Veda alikuwa na huyo mke wake walifunga ndoa kabisaa kanisani, wakati huo Veda alikuwa anafanya kazi kwenye kampuni ya mturuki alikuwa kama dereva anamuendesha ile kampuni ilifirisiwa...

BLACK BUTTERFLY 🦋 3 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 3
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 Endelea Asubuh Hiyo Mariana aliwahi kazini kama kawaida yakee na kuanza kusikia kile kilichotokea jana maana kila mmoja alizungumzia lakee “ Mariana unaitwa na madam Camilla...

Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia Post Mpya
Such a lovely throwback ! This pic of Raj Kapoor, Randhir Kapoor and Rishi Kapoor celebrating Holi together is pure nostalgia
@majario LIVE

. You can literally feel the fun and madness of a proper Bollywood Holi. All three covered in colours, smiling, enjoying the moment like one big happy family. Raj Kapoor, the...

Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja Post Mpya
Hongera umepata kazi ya kulinda bwawa la samaki usiku huko mkoani Iringa karibu na bonde la mlima Kitonga. Mshahara ni shilingi milioni moja kwa usiku mmoja
@majario LIVE

. Kazi inaanza saa 4 kamili usiku hadi saa 12 alfajiri. Hakuna muda wa majaribio. Ukifika kazini unaanza kazi. Hivyo sikiliza masharti haya kwa makini ili uweze kufika asubuhi. Sharti...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest