BODY๐COUNT๐. part 9.
Oh god,, hapo ndo nilikumbuka nilikuwa nimepewa barua na Essie ๐ญ๐ญ. Tangu niifiche kwa nguo zangu ndo niisome usiku na nikasahau๐ญ. Kwani Essie alikuwa ameandika nini???. Adi mm mwenyewe nilishtuka kuliko shillah.
ME: Calm down please,, hatutaelewana kama utaendelea kushout ivi๐๐ผ. Hata mm sijaisoma hiyo barua๐๐พโโ๏ธ. Let me see...
HER: see what? Sky hujawahi nidanganya๐ช. What's going on between you and Essie??
For the first time nilijuwa Shee was a short tempered girl.. she neither allowed me to read the letter nor listened to me..
"Hey Shee it seems umejam sana,, go relax tutaongea baadae, koz wewe unataka nikwambie ukweli na nikianza kuongea unanikatiza tena๐๐พโโ๏ธ๐๐พโโ๏ธ" I calmly requested.
Alienda akakaa kwake for 1hr ndo nikaamua kwenda huko๐. For real I didn't know what Essie had written. Pia Nilikuwa na haja sana ya kujua..
ME: Hey Shee,, can I come in please..
HER: Wait kwanza am naked ๐ฑ. Okay ingia sasa๐ช.
ME: You mean it's a crime to see your fruitful body......
HER: Sky usianze zako tena.. niambie.
Shee hakuwa na viti pia,, so I asked her if neza kaa hapo kwa bed ๐๐ผ. Hata kama alikubali, niliona bado alikuwa amenijamia๐๐พโโ๏ธ.
HER: Unaonanga mm nikikuuliza ruhusa ndo nikae kwa bed yako?? Keti hapo tu...
ME: Please Bess,, you are being too harsh to me ak, sijui hiyo barua inasema nini, nilipewa jana nikasema ningeisoma jana usiku but nikasahau, can I see it๐๐ผ๐๐ผ.
Tulikaa na Shee masaa matatu bila kusuluhisha mambo,, for me that was a red flag, huwezi date na mtu hataki mzungumze wakati Kuna misunderstanding ๐๐ช.
HER: Why are you silent sky,, ongea nisikie.
ME: Am going to my house.. if you feel like I also have go through the letter,, utaniletea sawa.. it seems mm kukaa kwako imekuwa budden๐. Lkn juwa tu mm sijui chochote kuhusu hiyo barua umekatalia๐๐ช.
"So ivo ndo umeenda?? Haukunywi chai??" Shee aliniuliza nikiwa natoka mlangoni..
ME: Chai haina faida kama hatuko in good moods.. hata wewe unajuwa hilo lakn hutaki kuelewa๐โโ๏ธ. Hivi ndo wewe hubehave mkikosana na mtu???
HER: what do you mean??
Nilitoka nikaingia kwangu only to find Essie sitting on my bed๐ช. Sasa hizi ni gani tena, sikumuongelesha I just took my phone nikaamua kuingia base ya pool๐ช.
Nikiwa base text iliingia kutoka kwa Shillah.. "so haukuingia kwako sky, tena unaacha mlango ivo sasa ni watu kuingia tu na kutoka๐ช๐ช,?? "
I replied, "who has entered my house again?".
HER: Who else can enter your house kama sio huyo Girlfriend wako๐ช!
ME: Oyah shillah,, hadi sahi mm sijajua nia yenu kwangu๐๐พโโ๏ธ. Kama bado ako huko, enda muongee muambiane ukweli, nikirudi utaniambia๐ช.
Nilipoona text ingine ikabidi niilenge,, sikuwa kwa mood ya kuchat. Kidogo ingine ikaingia๐ฑ
"Eti tuongee,, niongee na nani,, naenda kumtoa huko akitaka aambie mamake anifukuze kwa hii plot,, Sky nyumba yako sio ya kila mtu๐ช๐ช" bado sikurply..
Nilikaa base mpaka saa tano ikielekea saa sita mchana,, in my mind nilijuwa Shee ataacha kunipikia so nilienda kujipikiaโ๏ธโ๏ธ. Kufika nilipata ameweka kufuli kwa mlango yangu๐ค๐ค. Sikutaka niende kwake tena but ikanibidi..
Ngo ngo ngo
HER: Nani huyo,, wacha nikuje... Akh nilikwambia hapa usikongange mlango,, ingia tu, wewe ni tofauti na wengine ๐ค.
ME: Pole basi,, uliniwekea ufunguo??
SHEE: Ingia ukae kwanza,, nataka tuongee kidogo๐. Nimeona there's no need ya kunyamaziana๐๐. Sisi ni watu wakubwa.
ME: I have to cook please.. wewe kam kwangu kama unataka tuongee๐ช.
Her: Haya basi nenda ukafungue na kijiti๐ช. Sina ufunguo, ju inaonekana wewe pia umependa huu mchezo wa kunyamaziana sindio??
Hapa kila mtu alikuwa na mahasira zake,, hakuna aliyetaka kupembeleza mwengine,, ningejuwa shee kumbe kalikuwa kamepika nyama that day๐โโ๏ธ. Sijui kwann nilikuwa nahastate kukaa๐. Mtoto alinipakulia lunch nikajipata nimeanza kusmile kimoyomoyo๐.
ME: You mean all this is for me and myself alone??
SHEE: We kula sky๐ช.
Kuuma ugali mara ya tatu, shee aliamka na kuanza kunipangia nguo zangu kwa bag yake๐ฑ. "Hey nguo zangu zinado nini kwako? What are you doing?" I asked.
Shillah: Sky utakula ama utashinda hapa ukiongea๐ค. Ebu leta hii ugali uongee umalize kwanza ndo ukule๐ช.
I don't know why she was acting so serious like that,, hiyo iliniforce nipush na ugali hadi ukaishaโ๏ธโ๏ธ. "Nijibu sasa,, Ngร i hadi ulibeba gas na sufuria zangu๐ฑ?" Nilishangaa.
Sasa sikuwa nimeobserve kila mahali๐โโ๏ธ. Shillah had moved everything to her house; mattress, sheets and pasia yangu๐ฑ. "What is going on??? Mbna umehamisha vitu zangu??"
HER: From today,, tutakuwa tunakaa hapa na wewe๐ช. Kama mtu anaweza jifanya hapa et ju yeye hukuwachia rent...... Sky si ulisema hujui chenye huwa anataka kwako? Good, tumgonjee humu humu ndo tujue chenye huwa anataka๐ฑ๐ฑ.
ME: Shilla Shilla Shilla.. sasa tutalala aje wawili kwa bed moja๐๐พโโ๏ธ๐๐พโโ๏ธ. You know very well that weren't dating........
Her: Ngoja ifike usiku nitakuonyesha venye tunafaa kulala,, barua ndo hiyo๐ช๐ช.
,๐๐โโ๏ธ. Don't forget to LIKE ๐ญ,, mlisema sina nyota ya mapenzi, hii ni nini๐๐.
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi








Maoni