Menu






Sema Jambo 2025

Unsplashb
750+ Trending Pictures | Download Free Images on gonga94
Tangazo - TAKE NOW
TAKE NOW

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 03

30th Nov, -0001 Views 153

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????

NO: 03

Nilienda bwenini kwetu nilijilaza kidogo baada ya muda alikuja Chris na kuniambia Irene sitochoka kuku fuata ila jua nimekupenda sana

Nikamjibu ondoka nitakupia kelele kuwa umeingia bweni la wanawake

Akajibu kuwa sawa naondoka ila tambua mimi nakupenda sana naomba utambue unanitesa sijawahi kuhisi hivi ninavyo jihisi tagu nawajua wasichana nikweli

Nikamjibu hebu ondoka hapa unajua nini kuhusu kupenda wewe

Huna hata moyo wa huruma umewaumiza watoto wawatu

Unavyodhani mimi sikujui nakujua sana Chris mimi sio hao wasichana mimi nimwengine

Nimekuja kusomatuu sijafuata mengineyo niache basi istoshe laiti ungejua hii nafasi ya kuwa hapa darasani nimepewa kwa mashart na nimeombewa sana

Siko tayari kumuangusha alieniombea hivyo niweke mbali nawewe tafuta wasichana wa aina hiyo unayotaka ila sio mimi

Tafadhari nielewe nitaumia sana nikiipoteza nafasi hii ya kuwa hapa shule kwa ajili ya maisha yangu ya baadae

Chris akajibu hutoikosa nafasi ya kuwa shule hata maramoja kwakuwa nipo hai nakuakikishia

Nikamuambia wewe hujui Chris naomba ondoka bwana

Chris akasema kuwa siondoki hapa mpaka kieleweke ukubali

Mwisho niliongea kwa hasira kuwa nimeililia hii nafasi mpaka nimedhaminiwa na mamaangu nikifanya kosa mishe ilikuwa niolewe sina faida

Nimeambiwa nikikosea naenda kuolewa tuu nitake nisitake sasa wewe ndio unataka nikaharibu maisha yangu sio ninandoto zangu namimi

Chris aliona huluma na kuja kunikumbatia kwa nguvu

Huku akiniambia basi basi ila amini sipo kwaajili ya kuharibu maisha yako nakupenda kwa dhati kabisa Irene nielewe basi mwenzio

Nilichukia nikawa naliatuu yaani Chris hutaki kunielewa wewe nimbinafsi sana

Chris akajibu kuwa siko hivyo basi nifanye nini ujue kuwa sina niambaya naww

Nakupenda kwadhati kipenzi changu sijawahi kuwa hivi nilikuwa nawadharau sana wanawake Irene ndio wakwanza kukupenda

Na wewe hunipendi sijui ndio adhabu gani hii mungu ananipa

Chris alikuwa anatokwa machozi kabisa na kusema niambie chochote nini nikufanyie labda utaniamini

Nitakufanyia chochote sema Irene nakupenda huku akinishika usoni nitizame machoni napitia adhabu gani hii

Kwani kupenda ni dhambi niambie eeh Irene

Nilimjibu haya basi sawa niache nifikilie kisha nitakujibu

Haya nenda sasa watu wasikukute maana sitaki kufukuzwa shule mimi au kuambiwa nimuite mzazi

Aliitikia basi sawa nimekuelewa ila usinisahau nifikilie mpenz

Akaondoka Chris na kuniacha nikiwa namawazo sana sijui huyu Chris nini nia yake je kweli ananipenda mmmh

Endelea kufuatilia...............
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA

MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 03  >>> https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no-03



#Nk #gonga94 #trending #instagood #explore #viral #challenge #simulizi #hadithi #war

#love #photooftheday #fashion #beautiful #happy #tbt #followme #picoftheday #art #nature #travel #fitness #motivation #life #fun #instagram #friends #smile #food


 

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
MWENDELEZO SOMA HAPA

Maoni

You're not logged in


Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??  NO: 04
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 04
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA   NO: 15
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA NO: 15
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ????  NO: 18
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ???? NO: 18
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??  NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA  NO: 17
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA NO: 17
SIMULIZI NA SAUTI ZETU
You're not logged in


Tangazo - EARN MONEY TO DAY
EARN MONEY TO DAY

RATIBA YA SIMULI ZETU

Hakuna ratiba iliyopangwa kwa sasa.


Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest