VYOTE NDANI GONGA94
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??
NO: 16
Tulipomaliza walikuwa wameshiba tuliwabeulisha baada ya hapo tuliwabembeleza wakalala
Tuliwalaza kisha mama Chris alikuwa anataka kujua uliwezaje kuja nao toka kwenu
Nilimwambia nilipanda tax kisha alinipeleka hadi stend niliomba msaada wa kupokewa mabegi na dereva wa tax hadi kwenye bas
Kisha nikamfuata nyuma nikiwa nimewabeba mwenyewe
Nilikuwa sitaki mtu anisaidie watoto nilikuwa naogopa kuibiwa nibora waniinie mabegi ila sio watoto
Hadi wenye kiti nawanangu niliposhuka mbezi pia niliwaomba makonda wanishushie nikachukua tax waliniwekea kwenye tax
Hadi naingia hapa kwanza nilianzia mahali tulipokuwa tunakaa sikumkuta na dereva wangu wa tax hakuniacha
Hadi chuoni nilipoambiwa Chris yupo ndio nikamruhusu anishushe
Chris pia alinipokea mabegi tu watoto hakuweza kuwagusa
Nilipofika hapa ndipo nikawaluhusu kwakuwa nilijua hapa ni nyumbani kwao
Mama Chris alifurahi sana na kunisifu kwa kuniambia wewe ndio mama bora unaweza kuwalinda wanao
Nilifurahi kusikia kisha Chris akaniambia twende chuoni kwenu tufuatilie
Nikamwambia sawa tulimuaga mama na kwenda chuo
Alihakikisha naludishwa chuo tena
Nayeye alikuwa fild tulikuwa tunapendana sana
Asubuhi ananipeleka chuo kwanza mimi kisha anaenda zake fild yeye
Na mamaake aliajili wadada wakuwatizama kina carita
Na ilikuwa na amani sana niliwasiliana na mama na kumuambia kuwa watoto wamepokelewa na mimi nimeludi chuo tena
Mamaangu alifurahia sana na nilimwambia wamepewa majiba kulwa anaitwa carena na doto carita
Mamaangu alifurahia sana na kuniambia mtakuwa na maisha bora sasa nashukulu mungu kwa hilo
Nikamwambia pia nimevishwa na pete ya uchumba
Mama aliniambia funga na ndoa ya kanisani ukija huku uje ukiwa umwfunga ndoa ila sio kwa sasa
Nikamuuliza kuwa ulisha mwambia kuwa hawa watoto sio wahuyo mbaba
Mama akanijibu hajui bado na sitaki ajue sasa
Nilifurahi nikamwambia ukinihitaji nipigie hii namba au kama unashida yeyote niambie
Mamaangu alifurahi sana na kuniambia naradhi nawewe mwanangu kuwa na maisha mazuri
Nilifurahi sana niliendelea na chuo na Chris alipomaliza fild
Endelea kufuatilia....................
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
NAWACHUKIA MASHANGAZI, SHANGAZI YANGU ALISHIRIKI KUNIUMIZA KIHISIA NA KWA KUNIVUA UTU NA THAMANI YANGU
Nilikuwa nakaa kwa SHANGAZI YANGU baada ya mama angu kufariki na baba angu kuondoka kwenda machimboni. Shangazi yangu h...
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *19&20* Aisee ngoja niwaambie ukweli.. sijawahi kufurahia mapenzi kama jinsi ninavyo yafutaia ya Bishop Bishop
ananipenda kwell, anantreat vizuri, ananipa kila kitu ninachotaka. Kila akiwa free, ananipeleka out, tunajirusha kama h...
*NIMEKOMA MIMI 🙌* *1-5* *________________________________________* *SEHEMU YA : 01* Mapenzi ni kitu cha kijinga sana. Yaani yanaweza kukufanya ufanye ujinga ambao hata wewe hukuwahi kufikiria
unaweza kufanya. Na mimi ni mfano halisi wa ujinga huo. Ukiniuliza, nitakupa jibu simple kuwa maisha yangu ya mapenzi ...
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA 😊😫😫* 17 -- 18 Chapter 17 Mapenzi yangu na Elton yalikuwa mazuri kupita maelezo. Nilifurahia kila dakika niliyoitumia naye. Kila kukicha tulikuwa tunazidi kuwa karibu zaidi
. Elton alianza kunifundisha mambo mengi hasa. mapishi. Akanifundisha kupika wali, pilau, ndizi pamoja na mchuzi wa nyam...
FATE TO LOVE YOU 💓 16 MTUNZI UHURU MEDIA Siku hiyo ilikuwa siku ya Jerry na Lina kuelezana juu ya hisia zao.
Walienda kukaa bustani na kuongea mambo mengi sana. Hali ya hewa ilianza kuwa ya kiubaridi lakini hakuna alietamani kwe...
MY HEART BEAT 🥰 1-----5 SEHEMU..1 🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀🥀 ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️ Safari yamaisha inamengi utayo yapitia mazuri au mabaya lakini mapenzi nayo ujumuika kwayale utayoyapitia ili kukamilisha ubinadamu.
Ungana nami kwenye stor yangu utaburudika nakughadhabika najua yote ndio tumeumbiwa wanadamu sisi. Nilikua nikiota ndot...
BETWEEN SISTERS AND SECRET ____________________________________* *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* "Okay, kaendelee na kazi, badae tutaongea vizuri." Mira alimkumbatia Gael kwa mapenzi yote lakini wa nyuma alimzomea
. Jioni Mira hakutaka kutoka na Gael, alisema anamgeni hivyo atawahi kurudi nyumbani. Gael aliamua kwenda dukani kwa mam...
BETWEEN SISTERS AND SECRET _____________________________________*6--7 *SEHEMU YA SITA* "Looh, msichana ana balaa yule! Kwahiyo anaona bora mapenzi kuliko undugu, na Mr. Gael wa watu alivyo mtaratibu na mu-handsome
vile. Ilikuwaje akaenda kuanguka kwa Mira? Mbona kazi anayo! Bora hata angempenda mrembo wangu Mia," Furaha alimtania M...
**Simulizi: Stuck With You (Mfungwa wa Mapenzi)** Amina alikuwa msichana mrembo, mwenye ndoto nyingi na moyo wa upendo.
Alikuwa amezoea maisha ya kawaida katika jiji la Dar es Salaam, akifanya kazi kwenye duka la maua la familia yao. Lakin...
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Skip Ad
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
share
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ?? NO: 16
MAPENZI NI HISIA TAAM SANA ??
NO: 16
Tulipomaliza walikuwa wameshiba tuliwabeulisha baada ya hapo tuliwabembeleza wakalala
Tuliwalaza kisha mama Chris alikuwa anataka kujua uliwezaje kuja nao toka kwenu
Nilimwambia nilipanda tax kisha alinipeleka hadi stend niliomba msaada wa kupokewa mabegi na dereva wa tax hadi kwenye bas
Kisha nikamfuata nyuma nikiwa nimewabeba mwenyewe
Nilikuwa sitaki mtu anisaidie watoto nilikuwa naogopa kuibiwa nibora waniinie mabegi ila sio watoto
Hadi wenye kiti nawanangu niliposhuka mbezi pia niliwaomba makonda wanishushie nikachukua tax waliniwekea kwenye tax
Hadi naingia hapa kwanza nilianzia mahali tulipokuwa tunakaa sikumkuta na dereva wangu wa tax hakuniacha
Hadi chuoni nilipoambiwa Chris yupo ndio nikamruhusu anishushe
Chris pia alinipokea...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no-16
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle
Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn Share on Pinterest
 
Show Text
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mapenzi-ni-hisia-taam-sana-no
Maoni