Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*    Chapter 9  Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto
Gonga94 ยท Stories

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
ila yale maji ya moto yalikuwa yananipa uafadhali kwenye mwili wangu ilinifanya nipate nguvu kidogoo lakini

Asubuhii yake boss aliaamka tu baada ya kujiandaa akaja chumbani kwangu kuongeaa na mimi "Sorry father's gal ninaenda kumaliziaa safari iliyonileta huku samahani ila naomba niendee kwenye safari iliyoniletaa huku pole kwa kuumwa hakikisha unakula lakini sawa kipenzi?, nikirudi tutaongeaa kila kitu sawa malaika auu kuna shida?" Nilimtizama tu nikatisika kichwa kuwa hakuna alinikiss kwenye paji la usoo ila nilikuwa nahisi moyo wangu haujafunguka kwake kabisa yaani, nilikuwa nahisi sijampenda na sijui kupenda coz sijawahi mtu pekee ambae najuaa nampenda ni baba yangu pekee ndio mtu pekee ninaehisia nampenda na sio nje ya hapo nisiongope licha ya kwamba ni mzuri ila sijahisi kama nampenda bado

Aliondoka nilibaki hotelini mwenyew nilikuwa sina jinsi zaidi ya kukaa tu kwa kutuliaa niangalie katuni nilikaa mpkaa nikalala leo nilikula na nilikuw nina nguvu pia sikutaka mengine zaidi ya hapo

Alikuja boss wangu sasa ilikuwa ni mida ya jioni alinileteaa tena chakula akanisaidia kuniliza baada ya hapo alinambiaa anataka kuongea na mimi nilikubali tu kuongeaa nae, sikuwa na jinsi ya kujikwamuaa zaidi ya kuongeaa nae kabisa nilikubali kumsikiliza

"Okay nataka niwe muwazi kwako na muadilifu najua nimekukoseaa sana Angel pengine mtazamo wetu ulikuwa tofauti ila kabla ya kueleza mitazamo yetu ambayo ilitofautiana kihisia nataka kukulezeaa ukweli wa maisha yangu pia, mimi kwetu tupo wawili tu yaani mimi na marehemu mdogo wangu na baba yangu hayupo tena RIP dad" nilimpa pole kwa kifiwa na baba yake "kwetu mimi ni wa pekee na ndio jicho la mama kama wewe ulivyojicho kwa baba yako, ila tofauti yawezekana ikawa ni wadhifa tu kwamba kwetu wanapesa na wanamali pia ila ni watu poaa na yule executive manager Suzy ni mtoto wa uncle wangu ndio maan anacheo kikubwa sana na anajishauaa msimuone vile pengine ni kwasababu mimi ndugu yakee usijali kuhusu hiloo ndivyo alvyo kwa watoto wa kike kwakweli sio mtu wa kupoa kabisa kwa wanawake sijui ni kwanini yaani ila ndio yupo hivyoo hapendi wadada wanizoeee"

"Kwanini ile siku Airport uliniongopea sasa kwa maan ulisema baba yako na mama yako wapo" niliuliza "Sorry nilikudanganya ila saa tuje kwenye point Angel mimi nakupenda sana yaani kama kuna mtu anakupenda basi ni mimi nakupenda mnoo Angel, ujue ulinivutia siku ya kwanza kabisa nilivyokusikiaa afu wewe ni mremboo hujuii tu napenda wanawake wasiojiwekea make up usoni nawapenda sana yaani ndio maana nikajikuta nakupenda kwa muda mfupi inaweza kuwa haraka ila mwanamke sahihi hapatikani kwa muda mrefu ni siku moja tu unaelewa kuwa huyu ni my type wewe ni my type nakupenda sana Malaika wewe ni wa kipekee sana nakupenda hisia ambazo ninazo kwako zinanikumbusha mbali nikuwa nahisi muda mrefu kwa mdada alipoteza maisha kwenye ajali, nilikaa single muda mrefu sana ila sasa nilivyokuona na kukusikia nimeeelewa tulizo la moyo wangu lipo wapi sasa niamini nakupenda sana Angel, nijibu tafadhari nikae na
Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 9 Nililala kichwa kikiwa kinawaka moto

ila yale maji ya moto yalikuwa yananipa uafadhali kwenye mwili wangu ilinifanya nipate nguvu kidogoo lakini

Asubuhii yake boss aliaamka tu baada ya kujiandaa akaja chumbani kwangu kuongeaa na mimi "Sorry father's gal ninaenda kumaliziaa safari iliyonileta huku samahani ila naomba niendee kwenye safari iliyoniletaa huku pole kwa kuumwa hakikisha unakula lakini sawa kipenzi?, nikirudi tutaongeaa kila kitu sawa malaika auu kuna shida?" Nilimtizama tu nikatisika kichwa kuwa hakuna alinikiss kwenye paji la usoo ila nilikuwa nahisi moyo wangu haujafunguka kwake kabisa yaani, nilikuwa nahisi sijampenda na sijui kupenda coz sijawahi mtu pekee ambae najuaa nampenda ni baba yangu pekee...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter-9-nililala-kichwa-kikiwa-kinawaka-moto

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi nitakusemea-kwa-baba-unaniumiza-chapter
 *NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   *Chapter 14&15*  "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* *Chapter 14&15* "Mbona unanitizama kama hivyoo nimekukoseaa sana madam?, kuna kitu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12  "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 12 "No cousin you know mwenzioo mimi hapa nakupenda
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17  Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 17 Siku zilipita na mipango ya ndoaa ilitimia niliolewa maan ndoa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*    Chapter 18  Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18 Aliendeleea kunipa juice jamani aliweza huyu mkaka kwa juice
 *NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 18&20  Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 18&20 Nilikata simu ile nakata tu sijakaa hata dakika tano
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10  "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 10 "Nijibu tafadhari jibu lako ndio amani ya moyo wangu tafadharii malaika wangu"
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8  Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* .Chapter 8 Ilikuwa ni kama majira ya saa 12 hivi jioni nilikiwa sijakula wala sijanywa chochote kile na nilikuwa sijihisi hivyoo yaani aliingia
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7  Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 7 Nilikuwa nina maumivu makali sana nilikuwa naumiaa
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*  Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA*   Chapter 13  Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu
*NITAKUSEMEA KWA BABA UNANIUMIZA* Chapter 13 Niliamka nikamsalimia baba yangu kwa furaha tele ma'an nilikua nina furaha moyoni mwangu
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

10.11K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.25K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.48K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

2.56K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tatu.  ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tatu. ๐Ÿ‘‰ Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...๐Ÿ‘‡

2.3K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.11K
I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

I LOVE YOU DADY ๐Ÿ’˜โค๏ธ๐Ÿ’˜10

2.11K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.04K
โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜›  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

โคโค MTOTO WA MKE WANGU๐Ÿ˜›๐Ÿ˜› Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

1.99K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya nane.  ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya nane. ๐Ÿ‘‰ Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...๐Ÿ‘‡

1.95K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest