Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ€“ Gonga94 Semajambo

SABABU 3 KWANINI MUME WA MTU ATATAKUTAKA KINYUME NA MAUMBILE.
Gonga94 ยท Stories

SABABU 3 KWANINI MUME WA MTU ATATAKUTAKA KINYUME NA MAUMBILE.

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
SABABU 3 KWANINI MUME WA MTU ATATAKUTAKA KINYUME NA MAUMBILE.

Umekutana na mwanaume, anakuambia kabisa kuwa ameoa, au mwanzo hakukuambia lakini baadaye ukaja kugundua kuwa ameoa. Katika mahusiano yenu anakuambia kuwa anapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anakusifia sana kuwa wewe ni mzuri, labda anakuambia hawezi kufanya na mke wake kwakua ni mshamba.

Mwingine anakuambia kuwa anataka kumuacha mke wake kwakua hawezi kuishi na mwanamke ambaye hapendi kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Anakufanya ujisikie spesho kiasi kwamba unahisi anakupenda ndiyo maana anataka kufanya nawewe, basi jua mume wa mtu akikutaka kinyume na maumbile kuna sababu 3 tu!

1_ Anamheshimu sana mke wake hawezi kufanya naye huo upuuzi. Wanaume wengi wanajua kuwa, kama ukifanya hivi kwa muda mrefu basi mwanamke huharibika, hivyo wanaona aibu kufanya na mwanamke wanayemheshimu, Mama wa watoto wao na mara nyingi huona ni bora kufanya na Malaya ambaye kesho unamuacha unarudi kwa familia yako, hivyo ukiona kaja kwako basi inawezekana wewe kashakuona malaya!

2 _Ameshamharibu mke wake na kashamchoka anataka kumuacha. Kuna wale walishakua mateja, labda alimdanganya mke wake kuwa hawezi kufurahia tendo la ndoa kabisa, mwingine walianza tu pamoja kwa wote kupenda, lakini baada ya miaka miwili mitatu ya ndoa mke huharibika, ladha hupotea hivyo kulazimika kutafuta mchepuko nao akiuharibu anahamia kwingine.

3_ Mke wake kashamkatalia na hataki kusikia hayo mambo. Hawa nao wanakua mateja, anafikia hatua aibu inaondoka anamuambia mke wake, lakini kwakua mwanamke ana akili anamkatalia hivyo kulazimika kuchepuka kwaajili hiyo. Mara nyingi wanakua na ahadi nyingi na kujifanya kuwa watachana na wake zoa ila wanajua kuwa utaharibika muda si mrefu hivyo watakuacha hawatataka mambo ya ndoa hawa!

DADA MAUSIA YANGU YACHUKU UTASAIDIKA.

Kufanya Mapenzi Kinyume na Maumbile; Asilimia tisini ya wanaume wanaofanya mapenzi kinyume na maumbile ukiwauliza unaweza kufanya na mkeo wanakuambia hapana,๐Ÿฅฒ
wanakuambia kabisa hawawezi kuoa mwanamke ambaye anafanya hivyo. Wanaume wengi wanaopenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile hufanya kwa malaya wanaojiuza, michepuko au kama hawajaoa basi mademu zao ambao wanajua napiga na kuacha! Hii ni kwasababu wanajua madhara yake lakini wanaona kama ni umalaya kufanya hivyo.

Wanaume hawa huona kua mwanamke anayefanyiwa hivyo hapaswi kuwa Mama hivyo wanaona ni bora kufanya na michepuko. Ukiona boyfriend wako anakuambia mfanye hivyo basi jua kua wewe ni demu wake tu ambaye anajua kua atakuacha, anao wengi wa namna hiyo. Lakini kama ni mume wako basi jua ashakua addicted kiasi kwamba hawezi kujizuia, kwamba hasisimkwi tena akifanya mapenzi kwa njia ya kawaida na tuseme ni mgonjwa. Hivyo unapokubali kubalia kama demu lakini si mke mtarajiwa.

Binafsi hata mimi mtu akiniomba ushauri namuambia acha kuoa mwanamke kama huyo atakusumbua. Lakini kufanya ni jambo moja, jambo gumu zaidi ni kwa mwanaume kuoa mwanamke ambaye ashafanyiwa hivyo na wanaume wengine, aisee kwa mwanaume ambaye hajawahi fanya ni ngumu sana kuoa, mbali na kumuona mwanamke kama Malaya aliyekubuhu lakini wanaume huona kama hata kama akisema kaacha basi atakua anadanganya kwani hawezi kujizuia.

Kwahiyo Dada yangu kamwe usijekumuambia mume wako kua ulishawahi kufanya mapenzi kinyume na maumbile hata kama ni kwa utani. Hata kama mwanaume anakuambia yeye anapenda na kazoea, ndugu yangu labda kama nawewe una enjoy ushakua mgonjwa, lakini kama ni ili kumridhisha na kuoneysha kua wewe mjanja basi atakuacha. Hata kama yeye anafanya huko nnje, hawezi kufurahia kujua kua mkewe naye alikua nafanyiwa huo ufirauni na mtu mwingine, kufa na dhambi yako si ujanja kufanyiwa hivyo!

NB: Kwa wale ambao mnajishaua โ€œMimi nampa kila kituโ€ poleni mimi sipo nimefundisha atakae sikia na asikie๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™๐Ÿ™Nawapenda sana wanafunzi wangu natamani mfanikiwe zaidi katika ndoa zenu na maisha yako ya kila siku ukawe na heri bila kua namajuto kwa maamuzi yako.

Kumbuka kua hakuna kitu kinachoweza kumaliza tamaa za mwanaume au kinachoweza kumfanya mwanaume atulie kwako nakua muaminifu zaidi ya MUNGU TU.

KARIBU TUJIFUNZE MENGI ZAIDI KULEEE WASP

0769228130

Maoni

You're not logged in


Tangazo - boss Enzo fully stories
boss Enzo fully stories
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

SABABU 3 KWANINI MUME WA MTU ATATAKUTAKA KINYUME NA MAUMBILE.

SABABU 3 KWANINI MUME WA MTU ATATAKUTAKA KINYUME NA MAUMBILE.

Umekutana na mwanaume, anakuambia kabisa kuwa ameoa, au mwanzo hakukuambia lakini baadaye ukaja kugundua kuwa ameoa. Katika mahusiano yenu anakuambia kuwa anapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile, anakusifia sana kuwa wewe ni mzuri, labda anakuambia hawezi kufanya na mke wake kwakua ni mshamba.

Mwingine anakuambia kuwa anataka kumuacha mke wake kwakua hawezi kuishi na mwanamke ambaye hapendi kufanya mapenzi kinyume na maumbile. Anakufanya ujisikie spesho kiasi kwamba unahisi anakupenda ndiyo maana anataka kufanya nawewe, basi jua mume wa mtu akikutaka kinyume na maumbile kuna sababu 3 tu!

1_ Anamheshimu sana...

๐Ÿ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/sababu-3-kwanini-mume-wa-mtu-atatakutaka-kinyume-na-maumbile

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu ยท dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi sababu
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 15  Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 15 Baada ya Bishop kuondoka, nililala kwa sababu nilikuwa nimechoka sana na mwili wote
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 14  Kwa sababu Tobias alijua mimi na Lily
*NIMEKOMA MIMI ๐Ÿ™Œ* Chapter 14 Kwa sababu Tobias alijua mimi na Lily
Sababu za tovuti yako kuondolewa kutoka kwa matokeo ya utafutaji wa Google
Sababu za tovuti yako kuondolewa kutoka kwa matokeo ya utafutaji wa Google
Story.....................MFALME KIPOFU  Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa  mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
Story.....................MFALME KIPOFU Ilipoishia sehemu iliyopita.. General Tengeli anataman kuwa mfalme na ndio sababu ilimfanya atengeneza jeshi
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 4   basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
CHUMBANI KWETU ๐Ÿ’š 4 basi watu wanaanza kumuonea wivu betty๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ ila nyie jamani nilimpa sababu alikuwa zaidi ya rafiki kwangu kanisaidia mengi,
DADA NDIO SABABU   EPISODE 1
DADA NDIO SABABU EPISODE 1
โœ๏ธSABABU ZA KUTOSHIKA MIMBA KWA MWANAMKE
โœ๏ธSABABU ZA KUTOSHIKA MIMBA KWA MWANAMKE
Ripota: Haunizingatii au kunitazama labda kwa sababu ya mavazi yangu hayakufurahishi!?
Ripota: Haunizingatii au kunitazama labda kwa sababu ya mavazi yangu hayakufurahishi!?
MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
MAMBO YA KUFANYA PALE AMBAPO MWENZA WAKO ANAPOKUNUNIA /MWENZA WAKO ANAPOKAA KIMYA TU BILA SABABU ZOZOTE ZA MSINGI
Isak anataka kuondoka kwa sababu ya uchungu wa kudanganywa na Newcastle.
Isak anataka kuondoka kwa sababu ya uchungu wa kudanganywa na Newcastle.
Fernando Sucre aliingia Gerezani kwa sababu ya Mwanamke akavumilia mateso lakini pale tu kifungo chake kilipokaribia kuisha akapata mchongo wa
Fernando Sucre aliingia Gerezani kwa sababu ya Mwanamke akavumilia mateso lakini pale tu kifungo chake kilipokaribia kuisha akapata mchongo wa
SABABU KUU ZINAZOFANYA BEI YA MAGARI KUWA NAFUU ULAYA LAKINI YAKIFIKA TANZANIA KUWA GHALI SANA: Na Mfilinge
SABABU KUU ZINAZOFANYA BEI YA MAGARI KUWA NAFUU ULAYA LAKINI YAKIFIKA TANZANIA KUWA GHALI SANA: Na Mfilinge
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
AFISA Habari wa Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB), Karim Boimanda ametoa sababu za mchezo wa Dabi ya Kariakoo
DADA NDIO SABABU  NUMBER ..................EPISODE 3
DADA NDIO SABABU NUMBER ..................EPISODE 3
DADA NDIO SABABU NUMBER: .................. EPISODE 4
DADA NDIO SABABU NUMBER: .................. EPISODE 4
Jana ilikuwa mechi ya mwisho ya Ligi Kuu Misri kwa Ali Maaloul kama mchezaji wa Al Ahly kwa sababu
Jana ilikuwa mechi ya mwisho ya Ligi Kuu Misri kwa Ali Maaloul kama mchezaji wa Al Ahly kwa sababu
SABABU ZENYE KUFANYA MWENZA WAKO ANAKUTAFUTA AKIWA NA MATATIZO TU KISHA ANAKUACHA GHAFLA BAADA YA KUMSAIDIA
SABABU ZENYE KUFANYA MWENZA WAKO ANAKUTAFUTA AKIWA NA MATATIZO TU KISHA ANAKUACHA GHAFLA BAADA YA KUMSAIDIA
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*

1.08K
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53

859
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55

486
SHAMIRA Sehemu ya 48

SHAMIRA Sehemu ya 48

164
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

81
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

71
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda

7

ZIMESOMWA ZAIDI

โ€ŽTUNDA LA  DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

โ€ŽTUNDA LA DADA โ€Ž โ€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.69K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.43K
๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ  sehemu ya tisa.  ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA๐Ÿ”ฅ sehemu ya tisa. ๐Ÿ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...๐Ÿ‘‡

3.82K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya sita.  ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya sita. ๐Ÿ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...๐Ÿ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.31K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 119 na 120.

2.91K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 108

2.85K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 20.  ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 20. ๐Ÿ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...๐Ÿ‘‡

2.7K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 116 na 117

2.69K
MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

MY WANGUโค๏ธ sehemu ya 106 na 107

2.64K
๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ  Sehemu ya 16.  ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

๐Ÿ”ฅ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa๐Ÿ”ฅ Sehemu ya 16. ๐Ÿ‘‰ nakupenda pia...๐Ÿ‘‡

2.57K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.
@majario LIVE

41 MPAKA 42 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi sasa kuanzia apo. Ndo ukawa mchezo wa baraka kuja kunichukua kinguvu. Yani akinitaka hana maelezo wala ombi. Asubuh nikiamka tu namkuta getini...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 54 na 55
@majario LIVE

Daah yani asubuh ile sa 10 ndo nikamwambia basi mke wangu pumzika na mtoto.sasa, zena akanambia sawa mpenzi, na wewe upumzike sasa, nikasema sawa nakupenda sana zena , wewe...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 53
@majario LIVE

Basi mtoto akiwa anaendelea kunishika shika, daah simu inaitaa, alafu nacheki zena ndo anagonga call ,ahaa nikanyanyuka chapu, nikavuta simu, nikamwambia jalia samahani naomba kuongea na simu, ni simu...

#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda Post Mpya
#TBT 2014 nilijiunga na SAHARA MEDIA GROUP LTD. January niliripoti ofisi za Adda
@majario LIVE

Estaste, Kinondoni baada ya HR Mkuu Mzee Shilatu na msimamizi Steven Diallo kuning'oa kutoka Ebony FM, Iringa. Nikapokelewa na Tom Chilala, Wiltrudies Mutembei @wiltrudiesmutembei kisha wakanikabidhi kwa "Semaji"...

*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52* Post Mpya
*AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž* *Sehemu ya 51 na 52*
@majario LIVE

Daaaah nilishangaaaa sana kwamba aya mambo yamekujaje kujaje, na mbona sielewi, nikasema mama sijaelewa yani kwamba umesema? , mama akanmbia nilishaongea sana na wewe millan, juu ya suala la wewe...

SHAMIRA Sehemu ya 48 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 48
@majario LIVE

Wassap;0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Akasema mimi pia nimekula njoga nikaoge basi chapi chapu. nikaseโ€‹ma sawa. Kweli mwanaume akaenda kuoga nikabaki nimetulia tu na baada ya mda akatoka akanifata...

Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station. Post Mpya
Enzi zetu Radio Free Africa ilikuwa ndiyo bonge moja la station yani unapata full vibe hakuna kubadilisha station.
@majario LIVE

Binafsi nilikuwa napenda sana vipindi vitatu pale RFA , 1 - Sindano 3 za moto, asubuhi na Fredwaa...!! 2 - Sitosahau na Sky Woker 3 - Showtime bongo moja ya show za...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39  na 40 Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 39 na 40
@majario LIVE

39 MPAKA 40 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Nilitukana kweli kweli kwemye gari umo. Ila barka hakunijibu alikuwa busy na kuendesha gari. Akawa ananipeleka mlandizi ukoo. Nikasema wewe mjinga unaenfa...

BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha! Post Mpya
BARUA ZA KAKA YANGU; Nikikupenda Mimi Inatosha!
@majario LIVE

Nikikupenda mimi inatosha, acha kuwa na presha, acha kuhangaika na ndugu zangu, kama wakikupenda ni ziada tu lakini haibadilishi chochote! Nani alikudanganya kuwa wanapaswa kukupenda! Mimi mwenyewe sina uhakika kama...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 50
@majario LIVE

๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ๐Ÿฆˆ Basi bwana penzi likanoga mpaka mwezi ukakata, apo zena alikuwa na wasi wasi kuwa ntamuacha ,ila mi wala sikuwa na ayo mawazo kichwani kwangu ata kidogo, kila siku namuona...

AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49 Post Mpya
AFANDE MILLAN๐Ÿ˜Ž Sehemu ya 48 na 49
@majario LIVE

Daaah mchumba ndo kashanikatia simu mi nafanyaje sasa ,basi nikaweka simu pembeni tu, kisha nikapanda kitandani, nikavuta shuka , nikapumzika na asubih sana nikaamkia kazin na mwanangu lbraa,ibra akaniuliza...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38  na 39. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 38 na 39.
@majario LIVE

kipande cha 38 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Basi ndo hivyo . Nikaikosa ndoa na bwana barka.na nikawa busy na maisha yangu . Na mambo yangu. Na nikazidisha mapenzi tu kwa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 36 na 37 namba zilikosewa endelea kusoma.
@majario LIVE

36 MPAKA 37 ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ๐ŸŒผ Mwandishi; lissa wa huru media Maua akasema khaaa yani unanitukana mimi. Kwaiyo mimi naweza kuolewa na kaka yangu. Nikasema yaa unaweza sasa kisebengo cha nini. Nakuona sana tangu...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest