Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA BESTMAN 05
Gonga94 · Stories

MIMBA YA BESTMAN 05

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MIMBA YA BESTMAN 05

Mulky alikuwa anaumia sana na hakuweza kumueleza yoyote kile anachokiita ndani ya ndoa yake.

Kuanzia hapo Yasini aliamua kutumia ukali kama siraha alitaka kumfanya mulky amuogope ili aache kumsumbua kudai haki yake ya ndoa.
Njia yake ilifanikiwa mulky hakuwa alimuongelesha tena kuhusu swala la unyumba aliamua kuishi kama pambo ndani ya nyumba na kuonekana mke mwenye furaha ndani ya ndoa yake mpaka ikafikia baadhi ya ndugu na marafiki kumuonea wivu na kumsifia kuwa kapata mume bora ambae anamjali na kumpatia kila anachotaka , Mulky alitamani kusema kitu lakini alipokumbuka kauli ya Yasini ya kuwa endapo atasikia popote atakiacha nae aliamini swala la mwanamke kuachwa talaka tatu ni jambo la aibu na hakuanini kama akisema kuna ambae atamuamini kuwa anapitia hayo.

Mulky aliendelea kuvumilia kwenye ndoa yake huku akiwa anatamani kuomba ushauri hata kwa rafiki lakini akaogopa kutoa siri za ndani ya ndoa yake.
" Itakuwaje kama nikasema nje na taarifa zikisambaa si nitaonekana mimi ni mwanamke wa ajabu nimeshindwa kustiri aibu ya mume wangu.
Wakati Mulky anawaza hayo alikuwa jikoni anaandaa chakula.
Hatimae alizama kwenye dimbwi la mawazo akajisahau kabisa kama anapika Alikuja kushituka baada ya Yasini kufika pale jikoni na kuzima jiko.
" Yani upo hapa na bado unaunguza chakula?
Aliuliza Yasini huku akiwa anamuangalia usoni na Mulky alikuwa kaduwaa anamuangalia tu
" Naongea na wewe una matatizo gani?
" Nilipitiwa . Alijibu mulky huku akishika sufuria iliyobandikwa jikoni kwa mkono , mara aliachia ile sufuria baada ya kuungua.
" Una matatizo gani wewe kwahi hujui kuwa hiyo sufulia niya moto unashika bila chochote.
Mulky alinyamaza kimnya akawa anaangalia mkono wake ulipungua huku akipuliza.
Yasini alimuangalia mulky akahisi kumuonea huruma alitambua kile anachofanya ndicho kinachomfanya awe kwenye ile hali.
" Inawezekana haya yote anayopitia yanatokana na mimi? Sasa nitafanya nini sijui ni mpe talaka ili awe na amani mmmmh hicho kitu haliwezekani nampenda sana mke wangu naamini ipo siku mulky wangu atakuja kuwa na furaha , uwanaume wangu utarudi nitahangaika na kutafuta tiba mpaka hali yangu itakapokuwa sawa .

Yasini alisogea karibu zaidi alafu alinyoosha mkono wake na kuushika mkono wa Mulky iliokuwa umeungua, aliangalia sehemu aliyofungua ilikuwa nyekundu.
" Pole.
" Asante
" Twende nikakupake dawa.
" Haina haja nitakuwa sawa.
" Acha ubishi umeungua sana.
Mulky alikubali kwenda kupakwa dawa alipomaliza alinyanyuka na kurudi jikoni, alichukua sufuria nyingine akaweka jikoni ili apikee chakula kingine maana kile cha mwanzo liliungua kikawa hakifai.

Yasini alimfuata jikoni akazima jiko alafu wote wakawa wanaangaliana.
" Haina haja ya kupika chakula kingine nenda ndani kajiandae tutoke.
Mulky hakuongea neno alitoka jikoni akaenda chumbani akajiandaa kavalia nguo yake nzuri akapendeza .
Ni kawaida sana kwa Mulky kupendeza kutokana na uzuri wake kila nguo aliyovaa ilimtoa bomba pia umbo lake zuri ilichangia nguo
kumkaa vizuri.

Yasini alimuangalia mke wake alivyokuwa alimfuata kwa mwendo wa Madaha akajikuta anaachia tabasamu kwa mbali lakini alipokumbuka kuwa ndoa yao haina amani tena kwa sababu yake lile tabasamu lilifutika. Alienda kufungulia mlango wa gari , mulky alipanda nae akaenda kupanda na kuwasha gari.
" Unapenda twende wapi tukapata chakula cha usiku? Aliuliza Yasini.
" Popote kwangu ni sawa.
Aliongea Mulky huku akiangalia mbele bila kumuangalia Yasini.
" vipi maumivu ya ulipopata jeraha?
" Yamepungua.
Baada ya hapo kimnya ilitawala walifika hotelini wakaagiza vyakula wakawa wanakula kila mmoja akiwa kimnya.
Yasini aliamua kuvunja ukimya.
" Mke wangu najua na kunyima raha na unaniona kama mtu mwenye roho mbaya sana kwako.
Yasini aliweka kituo akitegemea mulky ataongeza chochote lakini haikuwa kama alivyotegemea mulky alikuwa kimnya.
Yasini alinyoosha mkono wake na kuushika kiganja cha Mulki ambacho kilikuwa juu ya meza.
" Naomba izidi kunivumilia ipo siku itasahau haya yote tunayopitia kwa sasa.
" Nashindwa kukuelewa huniqwki wazi kama kuna tatizo ungeniambia ili tuhangaike pamoja.
" Aaaaaah usijali mke wangu muhimu kinacho hitajika niusiri na uvumilivu wako.

Kwa mara nyingine tena mulky alimuelewa mume wake alidhia kuwa na Subra mpaka mume wake atakapokuwa sawa japokuwa hakujua nini kinamsibu mpaka inashindwa kuwa kama wanaume wenzake wanaosimamia ndoa zao vyema .

Siku moja Mulky alienda saloon akiwa na gari mpya , wenzake walivyomuona walianza kumsifia.
" Mulky wewe sio mwenzetu maisha imeyapata hongera shoga yangu.
" Mmeanza maneno yenu kwanza msije kunipiga kijicho.
" Kwa kweli hapa hakuna mwenye kijicho tunakutana tangia miaka na hakuna aliemuwekea mwenzie kijicho.
" Nilikuwa na tabia mashoga zangu. Tayana hebu nitangenezee nywele zangu.
Alisema mulky huku akiwa anakaa kwenye kiti tayari kwaajili ya kupata huduma.

Story ziliendelea huku mulky na wenzake wakiendelea kupata huduma .
" Hamida mbona umekaa huko huishi nywele zako?
Mulky walimuuliza mmoja wa mashoga zake.
" Sina hela shoga yangu nimekuja kutengeneza kucha tu.
" Nywele zipo rafu sana hizo hebu tuongee huruma.
" Sasa sina hela nafanyaje?
" Nitalipa.
" Huo upendeleo mulky hata mimi utanilipia.
Alisema mwajuma.
" Hakuna shida .

Mwajuma na Hamida walifurahia ofa waliyopewa na kumuombea dua kedekede.
" Mwenyezi Mungu akujaalie kizazi chema.
" Uzao wako uwe mapacha.
" Na ndoa yake iwe yenye baraka na upate kila anachokitaka kutoka kwa mume wako.
Badala ya kufurahia dua alijikuta ananyongonyea alikuwa kashajikatoa tamaa kama ipo siku atamzalia mume wake na kupata furaha ya ndoa kama wengine.

Itaendeleaaaaa

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA BESTMAN 05

MIMBA YA BESTMAN 05

Mulky alikuwa anaumia sana na hakuweza kumueleza yoyote kile anachokiita ndani ya ndoa yake.

Kuanzia hapo Yasini aliamua kutumia ukali kama siraha alitaka kumfanya mulky amuogope ili aache kumsumbua kudai haki yake ya ndoa.
Njia yake ilifanikiwa mulky hakuwa alimuongelesha tena kuhusu swala la unyumba aliamua kuishi kama pambo ndani ya nyumba na kuonekana mke mwenye furaha ndani ya ndoa yake mpaka ikafikia baadhi ya ndugu na marafiki kumuonea wivu na kumsifia kuwa kapata mume bora ambae anamjali na kumpatia kila anachotaka , Mulky alitamani kusema kitu lakini alipokumbuka kauli ya Yasini ya kuwa...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-05

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 10
MIMBA YA BESTMAN 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

301
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

206
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

87

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest