Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

*BOSS UNATAKA NA MIMBA HII*     Sehemu ya 01 & 2 *___________________________________*  Nilikuwa zangu nimekaa, nawaza apo nina kimimba cha miezi 3 natakiwa kuanza clinic, sina wakunipeleka mimba yenyewe aliyenipa kamuona binam yangu, ilihali alishanilipi
Gonga94 · Stories

*BOSS UNATAKA NA MIMBA HII* Sehemu ya 01 & 2 *___________________________________* Nilikuwa zangu nimekaa, nawaza apo nina kimimba cha miezi 3 natakiwa kuanza clinic, sina wakunipeleka mimba yenyewe aliyenipa kamuona binam yangu, ilihali alishanilipi

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
, anakuja kunikataa siku ya sendoff, niliumia sana mtu niliemuamini kupita maelezo, kaungana na binam yangu na anty yangu kuniharibia maisha yangu, leo ni single mother mtarajiwa, sina baba sina mama, walifariki nikiwa kidato cha 4 wakiwa wanatoka kwenye mahafari yangu ya kidato cha 4, nina mdogo wangu wa kiume, alishakimbia kwa sababu ya mateso ya anty yetu hata sijui mdogo wangu yuko wapi, nafanya kazi salon ya mtaani tu, nilianga kwenda Clinic, nilikuwa na hofu sana lakini nikajikaza, nilienda mpaka Clinic, nilifika nikajieleza wakauliza mwenzangu yuko wapi, nikakaa kwanza kimya, walianza kunishambulia mpaka nikajuta, "hatukuhudumii bila barua ya mwenyekiti, mnajilegeza tu kwa waume za watu kuja kuvunja ndoa za watu, walinisema wale manes sitosahau...

Lakini nikiwa natoa machozi alipita kaka mmoja kavaa kishua tu, aliingilia ile mada, kisha akawagombeza, alinishika mkono na kuniomba nikahudumiwe hosptal nyingine, atasimamia kila kitu, kwa ile aibu, sikuwa na pingamizi nilikubali akanichukua nakunipakia kwenye gari, alinipeleka hosptal nyingine ya private, nilipewa huduma nzuri mno, tena yeye ndie alikuwa Doctor mkuu wa pale, alinihudumia vizuri, nilipata amani, wakati naondoka, aliomba anisindikize, asante Doctor nashukuru sana kwa msaada wako, lakini pia usijal nitafika, wewe hudumia wa gonjwa, "Diana usihofu mimi leo niko off, nilikuja tu kwa ajili yako hapa, hivyo kama hutojari, naomba unipe kampan kwa leo...

Nilisita make apo natakiwa kazini nikizidi kuchelewa boss wangu namjua nitakuta kashafura kwa hasira nipewe mvua ya maneno, na mwezi huu natakiwa kulipa kodi, sina hata nusu ya hio kodi, na bado wiki tu, niliona bora tu nikatae ombi lake, samahani kaka angu, naomba unielewe natakiwa kazini nikizidi kuchelewa huenda nikakosa kazi, naomba kwa leo unisamehe sana...

"Dia nitakulipa kwa muda wako, nakuomba tafadhali, Doctor tatizo sio kunilipa tatizo ni nidham ya kazi naweza kukosa kazi milele kwa pesa ya siku moja Doctor, naomba unielewe, " ok unajishughulisha na nini? Ususi na mecup, "ok basi naaomba nikuwahishe kazini tafadhali hili pia usikatae, na kingine naitwa Alexander, nilikubali akanipatia lift adi jirani na salon ya pale mtaani kwetu, nilishuka kwenye gari, wakati na shuka, Doctor akaniomba no nikawa nimempa alidai kwa ajili ya afya yangu, nilishuka kwenye gari, nikasogea mpaka salon, kabla ata sijaingia, da Suz mwenye salon aliniporomoshea mvua ya matusi, nilikaa kimya nakuomba samahani, muda huo kumbe Suzi hakujua ata kama nimeletwa na gari nilijua tu hio itazua makubwa zaid, "kumbe ndio maana umetiwa mimba nakutelekezwa kwa mambo kama haya unaonekana kabisa hujatulla, Suzi alinifukuza kazini, nilijitahidi kumuomba lakini hakunisikiliza hata kidogo nililia nakupiga magoti lakini wapi, alianza kunipiga niondoke kazini kwake nisijekumtia nuksi, ilinibidi tu niondoke kuepuka mengi, wakati naondoka uku nafuta machozi na machozi yenyewe hayataki kukatika, nikashangaa ghafra tu nakumbatiwa...

Itaendelea.

Chapter 2

Niiikumbuka hii harufu nzuri, nimeisikia kwa Doctor Alex, nilijikaza nakumutoa kwenye kumbato, alinitizama kwa huruma nakuniomba, "Dia naomba usiongee chochote, nisikilize mimi tu, sikujibu chochote nilianza tu kwa kumsikiliza alinichukua nakuniingiza tena kwenye gari, yake kumbe hakuwa ameondoka alitaka ajue. mazingira yangu ya kazi, alihakikisha nimekaa vizuri, nikawa nahangaika kufunga mkanga, akaamua kunisogelea, kaka ananukia vizuri huyu adi pumzi yake kuna namna dah, nilijikuta naanza kuona aibu, make aliganda kunitizama uku mkono wake uko unatafuta mkanda ila macho yananitizama sana na pumzi zake zilikuwa kama zinakimbizwa, alivyoona nimeanza kuona aibu alinifungia akakaa kwanza. kwa muda akafunika macho kisha akatoa pumzi kwa nguvu, ndipo akafungua macho nakuanza kuendesha, aliendesha adi maeneo ya beach lakini hii beach, Ilionekana yakishua sana, alipack akanitolea mkanda, nakushuka akaja kunifungulia...

Alinishika mkono, akanipeleka eneo limetulia sana, aliniomba tuketi, tuliketi chini kabisa kwenye mchanga, bahati nzuri nilitembea na kitenge, nilitandika tukakaa, alisema haikuwa na haja apa huwa kuna jamvi, kweli zililetwa,tuliulizwa tunatumia nini, "Dia naomba uchague kinywaji na chakula, niliagiza soda na ugari samaki, ilikuwa mchana tayari, lakini Alex alizuia na kusema, "Dia samahani, kwa ajili ya afya bora yako na mtoto naomba usinywe soda, napendekeza utumie juice, naomba kwenye menyu yako pia ongeza matunda na chai au supu upashe tumbo kwanza naimani hujaonja chochote toka kumekucha...

Nilianza kuona masharti yanakuwa mengi, nikawaza kwanza ata pesa yakulipa apa mbona sina, ivi ninaakili kweli, nikiagiza afu asepe itakuwaje, nilijikuta naomba tu juice, ila Alex alilazimisha, chakula kilikuja nilikuwa nakiogopa, alihisi hofu yangu, akafanya kunitumia muamala kwenye simu yangu, ili mimi ndie nilipie, "Dia nimekutumia pesa apo utanisaidia kulipia bill kupitia simu yako, kucheki muamala ni ml 1, nilishtuka nikahisi huenda kuna mchezo, nilimuita mhudum....

Kulikuwa na no za wahudum, pale pale kwenye mkeka na vifaa vyao vyote waliweka по, mhudum alikuja nikamuomba no ya kulipia, alinipatia na bill ilikuwa ni 130k, nililipia kisha pesa ilivyobaki, niliirudisha kwa Alex, muamala ulivyomfikia akashangaa, naikataa akanirudishia tena ml1, Doctor kwa nini unafanya hivi, mimi hii pesa yako siihitaji, mda huo nanuka shida kwanza, nikitizama kila mtu apo tulowapita apo beach, niliona kabisa ni wakishua mno, mimi ndo nilikuwa wa kawaida...

Alijitahidi kunishawishi, ikabidi nimuulize kwa nini ananipa pesa yote hio? "Dia sikupi kwa nia mbaya, ila nimehisi kuna wakati unapitia hauko sawa, kibinadam tu nimeona nikupe angalau hicho kiasi kikusogeze, siwezi jua kesho nani atanisaidia, hii kwangu naichukulia kama sadaka, aliongea mengi, lakini kwa hekima mpaka nikamuelewa na kumshukuru, alinichangamsha mpaka nikaanza kufurahi, alivunja ukinya akaomba kujua historia yangu...

Nikimtizama nakuomba hio nimpe siku nyingine, alielewa, akaanza kuniimbia, nyie Doctor anasauti nzuri, kiume haswaa, kama hisia zako ni maharage ya mbea, maji mara moja, huwezi kutoboa, sauti yake inatetemesha hisia, unajikuta unaloa tu...

JE NINI

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Tume toka mbali na nyumbani kuja kwenye miji ya watu kutafuta maisha
Mwanangu Mungu ndio anae jua
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

*BOSS UNATAKA NA MIMBA HII* Sehemu ya 01 & 2 *___________________________________* Nilikuwa zangu nimekaa, nawaza apo nina kimimba cha miezi 3 natakiwa kuanza clinic, sina wakunipeleka mimba yenyewe aliyenipa kamuona binam yangu, ilihali alishanilipi

, anakuja kunikataa siku ya sendoff, niliumia sana mtu niliemuamini kupita maelezo, kaungana na binam yangu na anty yangu kuniharibia maisha yangu, leo ni single mother mtarajiwa, sina baba sina mama, walifariki nikiwa kidato cha 4 wakiwa wanatoka kwenye mahafari yangu ya kidato cha 4, nina mdogo wangu wa kiume, alishakimbia kwa sababu ya mateso ya anty yetu hata sijui mdogo wangu yuko wapi, nafanya kazi salon ya mtaani tu, nilianga kwenda Clinic, nilikuwa na hofu sana lakini nikajikaza, nilienda mpaka Clinic, nilifika nikajieleza wakauliza mwenzangu yuko wapi, nikakaa kwanza kimya, walianza kunishambulia mpaka nikajuta, "hatukuhudumii bila barua ya mwenyekiti,...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/boss-unataka-na-mimba-hii-sehemu-ya-01-2-___________________________________-nilikuwa-zangu-nimekaa-

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi boss-unataka-na-mimba-hii-sehemu-ya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

499
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

227
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

220
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

136
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest