Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MUNGU NISAMEHE NIMEMT*OA MIMBA BINTI YANGU!  Mwaka 2008 ndiyo niliachana na mama wa mtoto wangu
Gonga94 · Stories

MUNGU NISAMEHE NIMEMT*OA MIMBA BINTI YANGU! Mwaka 2008 ndiyo niliachana na mama wa mtoto wangu

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
. Hatukugombana, lakini wakati ananiambia kuwa ana mimba yangu tayari nilikuwa kwenye mahusiano mengine, hivyo kwa hasira nilimwambia kuwa huyo si mtoto wangu, katafute mwanaume mwingine wa kumpa. Nilimwambia kwa hasira nikiamini kuwa kama nikimkataa mtoto basi atatoa hiyo mimba. Sikuweza kuwasiliana naye tena, wala sikuwahi kufikiria kama ile mimba aliibeba kweli.

Nilikaa kwa miaka kama 5 hivi. Kuna siku nikamkumbuka, nikaamua kumtafuta kwenye simu nikampigia, lakini simu yake ilikuwa haipatikani, hivyo nilijua labda amebadilisha namba na kama angekua na mtoto kweli ni lazima tu angenitafuta, sikuhangaika tena kumtafuta, nikaendelea na maisha yangu. Niliendelea na maisha, nikaoa na nina mtoto mwingine sasa.

Kuna siku rafiki yangu mmoja alinipigia simu, akaniambia kuwa kuna changamoto anapitia yeye na mke wake. Nilimsikiliza, akaniambia kuna binti wa kazi aliyekuja hapo kwake na kampa ujauzito, hivyo hajui ni kitu gani cha kufanya.

Aliniomba, kwa kuwa mimi ni daktari, nimsaidie ni vidonge gani ni rahisi kumt*olea huyo binti mimba kwani ni binti mdogo ana miaka 1*6, na anatoka kijiji kimoja na mke wake, hivyo kama asipomtoa mimba itakuwa aibu kwa familia yake. Basi nilimwambia kuwa hakuna shida, nikamuelekeza vidonge vya kunywa pamoja na utaratibu wa kila kitu. Kweli alifanya hivyo, nikamwambia asubiri ili aone kama mimba itatoka asimuondoe kwanza.

Kweli alisubiri na kama nilivyotabiri mimba haikutoka, hivyo tukaanza kuangaika lakini ikagoma. Baada ya kushindikana kutoa kwa njia ya vidonge, alimleta kwangu ili mimi nimtoe kama vile anajifungua, kwani ujauzito ulishafikisha miezi mitano na mke wake alishahisi kitu. Kilichokuwa kikimsaidia ni umbo la huyo binti, hivyo mimba ilionekana kama vile kanenepa na si mimba.

Alikuja kweli, nikafanikiwa kumtoa, lakini baada ya kukamilisha kila kitu, yule binti aliumwa sana mpaka ikalazimika kushirikisha familia yaani mke wake jamaa akakiri na kweli mke akawa hana namna akamhudumia yule binti. Nilikua naenda pale nyumbani kumhudumia yule binti, lakini wakati namhudumia ndipo nilianza kumuona tofauti. Alikuwa anafanana sana na ex wangu — yule mwanamke ambaye nilimuacha na ujauzito.

Katika kuongea na shemeji, akataja jina kamili la huyo binti. Jina ni la mama yangu, lakini jina la ukoo ni la yuleyule mwanamke ambaye nilimuacha na mimba. Nikawa na wasiwasi. Nilipoendelea kuongea na shemeji yangu, akaniambia kuwa huyo binti mama yake alishafariki muda mrefu na alikuwa analelewa na bibi yake! Mama yake alifariki wakati wa kujifungua, alijifungua salama lakini baada ya wiki akapata changamoto kurudishwa hospitalini hakupona tena.

Niliomba kuelekezwa ile familia nilifikia mpaka kule kijinini nikakutana na Bibi yake, nilipomuona hata sikuuliza mara mbili kwani niliwahi kumuona siku ya graduation na nina mpaka picha zake kwani ingawa hakunitambulisha kama mwanuame wake lakini tulipiga picha nyingi na yeye. Bibi hakua ananikumbuka, nilijisikia vibaya sana lakini niakwa sina namna ikabidi kujitambulisha na kulazimika kudanganya kwamba wakati naachana na binti yake sikujua kama ana mimba.

Niliomba kumchukua mtoto wangu na kuomba nimsomeshe kwani nina haki, bibi alikubali lakini mtoto alikataa, alinijibu tu kama wewe ndiyo Baba yangu mzazi ni bora nibaki tu hapa kijijini. Nilimbembeleza sana lakini aligoma, basi niakamua nimuache angalau afikirie vizuri, nilimuomba msamaha kwa kila kitu, lakini hakutaka kunisikiliza, nikaondoka na nakusema nimpe muda ila nakumbuka aliniambia wewe si mtu mzuri, ungekua mtu mzuri mama yangu angenipa jina lako, kampaka kadi ya kiliniki haina jina lako inamaana mama yangu alijua wewe si mtu mzuri.

Nilijisikia vibaya kwani kwa namna alivyokua anaongea ni kama alikua anajua kilichotokea mimi na Mama yake, hivyo kwa aibu nililazimika kusema ukweli, nilikiri mbele ya Bibi yake nikaenda kulia kwenye kab*uri la Mama yake, lakini nilipotaka kuondoka naye nimekusamehe lakini nimeridhika nitabaki na bibi. Sikua na namna Zaidi ya kuondoka, najua bado ana hasira ila naomba Mungu sana ili aniruhusu niwe sehemu ya maisha yake, bado mdogo sana na kapitia mengi kwakua sikuwahi kuwa baba yake.

NB: Asubuhi hii tunamalizia OFA ya kitabu cha “HAKUNA KUACHWA ACHWA” kama umechoka mahusiano ya kulia lia basi usiikose hii!


MWISHO

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MUNGU NISAMEHE NIMEMT*OA MIMBA BINTI YANGU! Mwaka 2008 ndiyo niliachana na mama wa mtoto wangu

. Hatukugombana, lakini wakati ananiambia kuwa ana mimba yangu tayari nilikuwa kwenye mahusiano mengine, hivyo kwa hasira nilimwambia kuwa huyo si mtoto wangu, katafute mwanaume mwingine wa kumpa. Nilimwambia kwa hasira nikiamini kuwa kama nikimkataa mtoto basi atatoa hiyo mimba. Sikuweza kuwasiliana naye tena, wala sikuwahi kufikiria kama ile mimba aliibeba kweli.

Nilikaa kwa miaka kama 5 hivi. Kuna siku nikamkumbuka, nikaamua kumtafuta kwenye simu nikampigia, lakini simu yake ilikuwa haipatikani, hivyo nilijua labda amebadilisha namba na kama angekua na mtoto kweli ni lazima tu angenitafuta, sikuhangaika tena kumtafuta, nikaendelea na maisha yangu. Niliendelea na maisha, nikaoa na nina mtoto mwingine...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mungu-nisamehe-nimemt-oa-mimba-binti-yangu-mwaka-2008-ndiyo-niliachana-na-mama-wa-mtoto-wangu

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mungu-nisamehe-nimemt-oa-mimba-binti-yangu-mwaka
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

AAAAASH BOSS ENZO* *16&17*

576
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMI NANE*

499
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17

251
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18

231
WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19

WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19

227
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*

224
AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*

220
REALLY LOVE* *29&30*

REALLY LOVE* *29&30*

136
SHAMIRA 1 mpk 7.

SHAMIRA 1 mpk 7.

112
SASA. NAKUPENDA One to sex

SASA. NAKUPENDA One to sex

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.3K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.05K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.72K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.14K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.55K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.36K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.35K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.29K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.2K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 11
@majario LIVE

“hivi una shida gani wewe, kwanin I hutaki kuniona na mm ninafuraha, kwann hutaki mimi niwe na mahusiano lakin shureymu, nikaanza kulalamika… “ mm sijakuzuia kuwa na mahusiano ila Yule...

PENZI LA OMBA OMBA 10 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA 10
@majario LIVE

“ zamu yako kufanya nini, maana siku hizi umekuja na tabia sizielewi kabisa, nikasema, akaniangalia kisha akacheka na kusema “ najua wewe huelewag ila usijal mdogo mdogo utaelewa...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 09
@majario LIVE

KIUKWELI nilishangaa sana, kwa maana sikujua ni kitu gani kilikuwa kimempa hasira shureymu kiasi chote kile, kuna muda nikawa nahisi labda simtendei anayoyataka vizuri, sijui hata nilikuwa na wasiwasi...

PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08 Post Mpya
PENZI LA OMBA OMBA😍❤️😍❤️😍❤️ Sehemu ya 08
@majario LIVE

Nilishangaa sana anashida gani, kwa maana alishasema mara kadhaa kuwa hawez kuwa na mahusiano na mimi na kila dakika ni warda, warda, sasa mbona yuko kama ananionea wivu hivi…. Bsikutaka kuendelea...

*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7* Post Mpya
*PENZI LA OMBA OMBA* *1&7*
@majario LIVE

*__________________________________* *SEHEMU YA KWANZA* Sio kila unaemkuta anaomba amependa, na sio kila omba omba ni mvivu na hataki kufanya kazi, muda mwingine huwa tunakosa namna ya kufanya ndio maana tunaomba, ni...

SHAMIRA sehemu ya 13&14 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 13&14
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Kiukweli uyu baba alikuwa anajua kunipemdezesha mana pesa alikuwa ananipa mno. Na Nilipendeza sana nikawa navaa vitu vya bei nawaka mda wote sina shida ndogo...

Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka... Post Mpya
Robert Carmona ndiye mwanasoka mkongwe zaidi anayecheza soka...
@majario LIVE

Ana umri wa miaka 63 na anacheza safu ya ulinzi, alianza kucheza mpira mnamo mwaka 1976 na amechezea zaidi ya vilabu 30 Kwa sasa anachezea Klabu ya Liffa ya Uruguay inayoshiriki...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 10 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 10
@majario LIVE

Veda huyu akatokeza nilikwepa macho fastaaa nikaangalia mbinguu, Tinner akanambia kwa sauti ya chiniii "Kumbe shem sio haba nilikuwa sijamzingatia tu bonge la mwanaume jamani "Nikashindwa kuvumilia ila nikajikaza kuchekaa sikujibu kitu...

WEWE NI WANGU   SEHEMU YA 21 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
@majario LIVE

SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani iku hii mwanaume nilifanya kaazi mpaka ambazo nilikuwa sifanyi. Kwanza niliingia jikoni nikapika...

AAAAASH BOSS ENZO*    *SEHEMU YA KUMU NA TISA* Post Mpya
AAAAASH BOSS ENZO* *SEHEMU YA KUMU NA TISA*
@majario LIVE

Ishani Mimi nililia sana, lakini safari hii nililia tu kimya kimya sikutaka kusumbua watu wengine kwaajili ya matatizo yangu binafsi ambayo kwa Namna Moja au nyingine nilijitakia Mimi Mwenyewe Baba ya...

REALLY LOVE* *29&30* Post Mpya
REALLY LOVE* *29&30*
@majario LIVE

*mbona hupokei simu nani huyo anayepiga aliuliza fahima baad ya kuona seven anaingalia. tu simu bila kupokea sevan si nakuuliza nani huyo alisema fahima ni cathe na sijui anataka nini tena kwangu"...

REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE* Post Mpya
REALLY LOVE* *SEHEMU YA ISHIRINI NA NANE*
@majario LIVE

cathe alisogea mpaka walipo hapo alishindwa hata kusalimia kiukweli alichanganyikiwa sana hakujua nini hatma ya maisha yake, ""kaa hapo" alisema baba cathe, nae cathe akaketi kwenye kiti ""baba yako amekuja kukuchukua cathe...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 10.
@majario LIVE

Kipande cha 10 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Basi jioni sana taratibu nikaludi zangu home.. mnazani iyo simu niliiiacha kwa adrian wala sio kweli mimi simu wala sikuiacha. Nikaludi nayo...

NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2 Post Mpya
NILILETEWA MFANYAKAZI KUTOKA KIJIJINI 1--2
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO SASA....... Ndugu zangu, dada zangu mama zangu na watu wangu kwa ujumla kwanza kabisa nianze na funzo hasa hasa kwa hawa wanawake wanaopenda sana wadada wa kazi Jamni...

WEWE NI WANGU    SEHEMU YA 19 Post Mpya
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
@majario LIVE

SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwangu, so niliona nimsubiri dada yeye ndie anaweza kuwa msaaada wangu Hatiame muda wa dada...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest