KICHAA NA MIMBA YA BOSS❤ *SEHEMU YA ISHIRINI* Swala la Shania iutokumkumbuka Shahid ilikuwa kinamumiza sana shahidi lakini hakukukata tamaa aliendelea kumuhudumia Shania
tu
Siku moja jioni Shania na shangazi yake pamoja na Shahid ambae alikuwa amempakata binti yake walikuwa wamekaa nje Shania akasema. Shangazi nimepata mchumba Mama Farida alishituka na Shahid alimkazia.
macho
Unasemaje wewe?
Kuna kaka nimeonana nae kwa hil wiki yote ameserna anataka kumchumbia tufunge ndoa haraka sana. anataka Shahidi alimeza mate huku akijaribu kuzula
hasira
Ni nani huyo mwanaume mjingu ambae ana kutaka ukiwa na mtoto mdogo hivi? Aliongea mama Farida kwa ukali.
Lakini shangazi amesema atamlea huyu mtoto Shahidi alinyanyuka na kumpa Shania mtoto wake na kutaka kuondoka bila kuaga
Baba unaenda wap?
Shangazi acha niondoke.
Hebu ngoja Mama Farida alisimama kisha wakatoka pamoja na Shahid. Punguza hasira mwanangu huyu bado hajui kitu na mimi sitaruhusu huyo mwanaume aje
hapa nyumbani sisi tunakutambua wewe. Shangazi hii lotu haincingli akilini hata kidogo naomba huyo mwanaume aje nataka kumjus.
Sawa ila kuwa na amani.
Sawa shangazi.
Shahidi aliondoka na mama Farida alirudi ndani. Shanta huyo mwanaume kama anataka ndoa na wewe basi naomba uniambie kesho aje hapa.
Sawa shangazi Shahidi aliondoka huku akiwa na mipango yake
kichwani Lazima nifanye kitu siwezi kumpoteza shania kizembe, siwezi kushindwa dakika za mwisho
Baada ya siku mbili yule mwanaume alifika nyumbani kwa mama Farida na kujitambulisha Unaitwa nani na unatokea wapi?
Naitwa Zubery tokea makao mapya
"Nia yako ni ipo kwa huyu binti yangu?
"Ni kutaka kumuowa
Vipi kama nilikwambia ni mke wa mtu?
Kaniambia hana mume
Karma nakwambia hivyo mimi nakwambia hivi, huyu ni mike mtu hivyo acha kumfuatilia Siamini hilo mbona yeye kaserna hana mume?
"Nilichokwambia mimi ndio ukweli
Wakati wariaongea hivyo Shania alikuwa ndani
anambadilisha nguo mtoto wake na Shahid ndio
alikuwa anafika akamkuta Zubery
Wewe ndio mwanaume unataka kumuowa
Shania?
"Ndio
"Naomba tutoke hapa tukaongee.
Wewe ni nani na kwanini unataka kunitoa
hapa?
Kabla Shahid hajajibu mama Farida alijibu. Huyu ndio mwenye majukumu ya kukupa mka. Kivipi?
Kwani kwenye familia ni nani mwenye jukumu
la kutoa ridhaa mtu aclewe
Ni kaka au baba
Basi mfuate.
Zubery aliongozana na Shahid wanapanda kwenye gari na kuanza kuondoka, wakielekea sehemu ambayo Zubery hakujua
Huku ni wapi?
Shahidi hakujibu aliendelea kuendesha garn.
Oya simamisha gari Shahidi alisimamisha
gari kisha akamuangalia huku akiwa kakunja sura yake ni kwamba hakuwa anataka utani. Umetumiwa na nani kufanya hivi?
"Kutumwa kivipi?
Nani kakutumia uje kumuowa Shania?
Hahahaha kwani kutaka kuowa lazima mtu
atumwe? Hayo ni mapenzi yangu kwake.
Imelipwa shilingi ngapi?
Acha kuzingua wewe Alisema Zubery huku
akiwa anataka kufungua mlango ashuku Shahidi alishika bastola akamnyooshea. Broo unataka kufanya nini?
Utasema au nikumalize na kujitupia kichakani?
"Bro hicho kitu ni hatari.
Najua ni hatari..
Utaniambia au nichukue maamuzi yangu.
Usifanye hivyo kaka nasema.
Ongea haraka
Nimetumwa kaka, mes zahir amenituma nije
kumuowa huyu mwanamke ili kutenganisha na
mwanaume wake. Huyo mwanaume wake
unamjua?
Hapana.
Mimi ndio huyo mume wa Shania kaa mbali na mke wangu la sivyo nitakumaliza, nitakuwa bila
huruma hujui nimetoka wapi na yule mwanamke
Nisamehe sirudii tena, haki ya Mungu sirudi
Shuka kwenye gari.
"Sawa Zubery alishuka huku akitetemeka. Ukimuona yule mwanamke kaa nae mbali fits mia moja.
Sawa Sawa
Shahidi aliwasha gari akaondoka.
Siku moja Shahid alimchukua Shania na mtoto
wake wakaenda matembezi. Walifika maeneo ambayo walikutana siku ya kwanza. wakasimama kwenye ule mti ambako Shania.
alikuwa amekaa analia
Mbona tupo hapa.
Huwa napenda kuja hapa sababu ni historia
Shahidi alianza macho akamuona mzee mmoja. akiwa kajikunyata pia alionekana kuwa dhoofu.
Nisubiri hapa nakuja. Shahidi alienda kununua soda na mkate akampelekea yule mzee Shania alianza kuhisi karna lile tukio aliwahi
kuliona lakini hakukumbuka ni wapi.
Kadni siku zilivyokuwa zinaenda ndipo Shahid alizidi kufanya matukio ya kumfanya Shania
akumbuke mambo ya nyuma
Siku moja usiku wa manane Shania aliamka
akawa kajiinamia alijaribu kukumbuka jambo
Mara alitoka chumbani na kumfuata shangazi
yoke na kumuamaha
Shangazi, shangazi amika
Mama Farida aliamka akakaa.
Shania kuna nini?
Nataka kukuuliza kitu
Uliza
Yule mwanaume shahidi ni nani?
Mama Farida alimuangalia kisha akaamua
kusema ukwell
Ni mwanaume ukiezaa nae yule mtoto,
mwanaume ulikuwa unaishi nae
Niambie kila kitu tafadhall.
Mama Farida alianza kumsimulia kila kitu
kuhusu Shahid.
Ni mwanaume ambae anakupenda sana
ametengwa na familia yake kwasababu ya
kung'ang'ania wewe Shania. Shahidi anakuhitaj
sana
Shania alijikuta analia na kumuonea huruma
Shahid
Shangazi nataka kwenda kwa Shahid.
Sasa hivi ni usiku sasa subiri kukuche, wewe
nenda Kalale
"Sawa
Shania alirudi chumbani kwake lakini hakuweza
kulala alitamani kukuche aondoke
Ilipofika magra ya saa kumi na moja alimfuata
shangazi yake
Shangazi tupeleke.
Mapema yote hi
Kwangu nimechekewa sana shangazi nataka
kuwa karibu na Shahid nataka kumfanya awe na furaha, liham anamuhitaji baba yake Mama Farida alijiandaa wakatoka barabarani na
kuchukua bajaji na kwenda mpaka nyumbani
kwa shahidi
Muda waliofika walimkuta shahidi bado Kalala la Tessy aliwapikea kwa furaha alimchukua
Ilham
Shahidi yuko wapi?
Chumbani kwake. Hapo juu mlango wa pili
Shania alipanda mpaka juu na kufungua taratibu
miango wa chumba cha shahid kisha akaingia ndani. Shahidi alikuwa bado Kalala, alikaa
pembeni yake akawa anamuangalia usonjinsi
alivyokuwa Kalala kwa amani.
Nisamehe Shahid nimerudi, nipo hapa kwaaji
yako
Shahidi alishituka kutoka usingizini alishangaa
kumuona Shania pembeni yake
Shania
Shahidi nisamehe, nakupenda.
Shahidi alijikuta anacheka kama chizi kisha
akamkumbatia Shania kwa furaha.
Nakupenda Shania, nakupenda sana
Nimekuja tumlee Ilham wetu nataka tumalizie pale tulipoishia, nipokee kwenye maisha yako. Karibu sana mpenzi wangu
Mtoto wangu yuko wapi?
Yupo sebleni
Nataka kumuona.
Walishuka seblent Shahid allmchukua mtoto
wake siku hiyo ilikuwa ni siku ya furaha mno
Kuanzia hapo Shahid alivuka mshindi alifurahia sana maisha yake na familia yake mpya. Wazazi wa Shahid waliposikia Shania kapona
kabisa walifunga safari wakaenda kwa shahidi
tena siku ambayo Shahid hakuwepo lakini
Shania aliwapokea vizuri sana tena kwa
heshima akawa pazia mjukuu wao wampakate
Muonekania na mapokezi ya Shania yaliwavutia.
sana wazazi wa Shahid
Mke wangu tulikuwa tunahukumu tusichokijua
huyu ndio mke sasa kwa shahidi
"Nimeona mume wangu yani mpaka naona albu
tumekosa sana
Ndin heyo lakoni mzazi hakisei kwa mtoto hatuwezi kuomba msamaha. Walikaa kwa shahidi mpaka aliporudi walikaa na
kumkubalia kumuoiwa Shania tena wakitaka
ndoa ya haraka
Shahidi alifurahi na kuwashukuru wazazi wake.
Tumeenda Shania tunamkaribisha kwenye
familia
Asante mama. Shahidi akimkumbatia mama
yake. Wakati wamekumbatiana mama Shahid
alimnongoneza
Nisamehe mwanangu najua unajua kila kitu
nilichokuwa nimepanga
Nilishasamehe mama acha maisha mengine
yoendelee.
Baada ya miezi miwili Shania
Shahid
walifungwa ndoa na kuishi kama mume na mke
rasmi na kuendeleza maisha ya upendo na
furaha huku wazazi Shahid walimchukua
Shania kama mtoto wao wa kumzaa
walimshirikisha kwenye kila jambo la familla
MWISHO
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi
Maoni