Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA BESTMAN 10
Gonga94 · Stories

MIMBA YA BESTMAN 10

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MIMBA YA BESTMAN 10

Mulky aliendelea kumuangalia moja kwa moja na Yasini alimkazia macho kisha akamuita
" Mulky naongea na wewe.
"Mume wangu Unajua nashangaa sana, umenishangaza mno siku zote huwa unasafiri unarudi na kila kitu kinakuwa sawa, haujawahi nauliza maswali kama hayo sasa leo hii umenijia na mapya. Mume wangu sijawahi kufanya ushenzi najitambua , najiheshimu mimi ni mke wa mtu hata kama kuna mambo hunitimiziii lakini najali sana heshima yangu na yako mume wangu.
Yasini alimuangalia jinsi alivyokuwa anakueleza kisha akaachia tabasamu alafu akasema
" Nilikuwa na kupima tu mke wangu najua huwezi kufanya hivyo.
Mulky alishusha pumzi
" Unajua umenifanya nijisikie vibaya sana ....
" Pole mke wangu nilikuwa nakujaribu tu .
" Nikajua ndio umeshaanza kusikiliza uzushi wa watu.
" Hapana tuendelee kula mke wangu baada ya kumaliza kula kuna jambo zuri nitakuinyesha.
" Na nilivyokuwa nina hamu na hizo zawadi.
" Unawaza hizo tu.
" Sasa unafikiri nitawaza nini zaidi ya hizo zawadi.
" Mmmh basi leo ni zaidi ya zawadi.
" Mbona kama unajiweka roho juu natamani bilionea hicho kitu sasa hivi.
" Kula kwanza ushibe baadaye utakiona tu.

Waliendelea kula walipomaliza kula mulky alifanya usafi pale mezani akaelekea jikoni akiweka vitu sawa mara Yasini alifika jikoni na kusimama nyuma ya mke wake akamkumba tia huku mikono yake ikiwa imezunguka vizuri kwenye kiuno cha mke wake.

Safari hii Yasini alionekana kuwa na mihemko flani tofauti na hapo mwanzo Mulky hajawahi kumuona akiwa hivyo.
" Yasini unanini?
" Nakuhitaji mke wangu.
Maneno ya Yasini yalizidi kumshangaza Mulky ilikuwa ni mara ya kwanza kulisikia hilo neno kutoka kinywani kwa Yasini.
Mulky alijitahidi kumgeuka na kumuangalia usoni macho ya Yasini yalikuwa yana maanisha kile alichokiongea.
" Umesemaje mume wangu?
Mulky aliuliza tena , safari hii Yasini hakujibu
alisogeza uso wake na kutaka kumbusu
"Hebu subiri kwanza unajua bado sijakuelewa kabisa.
Yasini aliachia tabasamu alafu akasema .
" Haujanielewa nini wife?
" Matendo yako...
" Twende ndani utanielewa tu.
Yasini alimshika mkono Mulky wakaelekea chumbani kwao. Yasini alimkalisha Mulky kitandani alafu akavua vest na kulitupia pembeni , alimlaza Mulky kitandani na vidole vyake vilianza kutembea mwilini kwa Mulky na kufanya kuamsha msisimko mkubwa sana.
Yasini alionekana kuwa fundi sana kwani hakumpa nafasi aliongoza jahazi na safari ilienda vizuri sana mpaka walipofika salama na meli ikatoa nanga Yasini alijipata pembeni na mulky nae alikuwa kajilaza upande wa pili alimuangalia sana Yasini bila kummaliza maana alikuwa na maswali mengi kichwani kwake.
" Hiki nilichokiona ni kweli au naota kwanini haya hakunionyesha tangia mwanzo? Mulky akiwa bado anatafakari Yasini , Yasini aligeuka kumuangalia alafu akasogea karibu yake zaidi na kumkumbatia akambusu kwenye paji la uso.
" Nakupenda sana mke wangu pia nashukuru sana kwa kunivumilia kipindi chote nilichokuwa na changamoto ya kushindwa kushiriki tendo na wewe.
Mulky alimuangalia alafu akauliza
" Ulikuwa na tatizo gani?
Yasini alitulia kwa muda wa dakika kama tatu alafu akaanza kumsimulia tatizo lilipoanzia.
" Mmmh miaka mitatu iliyopita hili tatizo la kushindwa kushiriki tendo lililojitokeza ghafla ile hali ilinikosesha sana amani nilihangaika sana kutibiwa , nilikumnywa dawa za kila aina, nilikutana na washauri wengi sana lakini ilikuwa bado .lakini sasa nimepona nina imani tutafurahia ndoa yetu mke wangu .
" Hii kwangu ni zaidi ya furaha kwanza siamini kama leo nime enjoy kiasi hiki.
Nashukuru sana kwa hiki ulichonionyesha.
" Asante pia mke wangu
Ilikuwa ni furaha kwa wote wawili yani ilikuwa kama ndio wamefunga ndoa siku hiyo.

Siku zilienda mulky na Yasini waliendelea kufurahia ndoa yao Sameer nae alikuwa akitoa lawama kwa Mulky kuwa anasahau sana yupo Bize na mume wake .
Siku moja ilikuwa siku ya jumamosi mulky aliamka asubuhi akiwa na furaha , sura iliyochangamka alinyanyuka kitandani akamuacha Yasini akiwa bado kapumzika akaingia bafuni akaoga baada ya hapo alienda jikoni akapanda kifungua kinywa safi na kuandaa mezani , akiwa anamalizia kuandaa mpango uligongwa.
" Ni nani tena asubuhi asubuhi ?
Aliongea huku akiwa anaelekea mlangoni kufungua .
Alipofungua mlango alikutana na sura ya Sameer. Mulky alishituka akageuka nyuma kuangalia kama mume wake anatoka chumbani.
" Wewe mbona asubuhi?
" Unajua unakusumbua sana akili yangu wewe mwanamke.....
" Eeeeeee..... Sameer kwani hujui mimi ni mke wa mtu?
" Kwani tulipoanza hukujia kuwa wewe ni mke wa mtu? Na makubaliano yetu yalikuwa ni yepi?
" Mume wangu anajibana siwezi kuhudumia wanaume wawili kwa wakati mmoja.
Sameer alicheka alafu akasema.
" Unafikiri sijui mume wako ana shida?
" Ilikuwa zamani baba lakini sasa yupo vizuri sana uwanjani anapiga mashuti kama yote na hodari wa kufunga Magori.
" Ahaaaa sasa nasema hivi ulichokianzisha utakiendeleza huwezi kunilambisha asali alafu unaniacha nameza mate.
" Hayo mambo sitaki tuachane.
" Hakuna cha kuachana hapa .
Wakizozana pale mlangoni mpaka waliposikia Yasini anashuka ngazi waliacha"
" baby unafanya nini hapo mlangoni?
" Kuna mgeni wako.
" Sasa mbona kumkaribisha ndani.
Sameer aliingia ndani wakasalimiana na Yasini .
" Umekuja wakati muafaka karibu huku.
Yasini alimkaribisha dinning wapate kifungua kinywa pamoja.
Mulky aliungana nao mezani wakawa wanakula pamoja huku Yasini na Sameer wakiongea mambo yao lakini Sameer hakuacha kumtupia Mulky jicho la kuibia.
" Vipi mke wangu mbona upo kimnya tunaongea sisi tu?
Aliuliza Yasini na Sameer akasalia
" Nashangaa na sio kawaida yake au kuna kitu umeuudhi?
" Sidhani au kuna kitu mama watoto?
" Hapana nipo sawa hayo maongezi yenu siyajui hivyo siwezi kuingilia nyie endeleeni kuongea tu.
Waliendelea kunywa chai walipomaliza Mulky akisafisha mezani akaenda jikoni kufanya majukumu yake mengine huku akiwaacha Sameer na Yasini wakiwa wamekaa sebleni.
Sameer alijikuta anakosa kabisa utulivu alitamani kumfuata Mulky alitafuta sababu ya kumpeleka jikoni.
" Aaaaah acha nikachukua maji ya kunywa.
" Sawa mwambie Mulky akupe korosho.
" Poa.
Sameer alinyanyuka haraka akaenda mpaka kwenye mlango wa jikoni alisimama kidogo akawa anamuangalia mulky ambae alikuwa kasimama anatosha viombo.
Sameer alinyata na kwenda kumkumbatia kwa nyuma huku alimbusu shingoni , mulky aliachia tabasamu akijua ni mume wake badae alishituka alipogundua marashi yanayoinukia sio ya mume wake alimsukuma Sameer na kumuangalia kwa hasira.
" Hivi unataka nini kwangu ? Unataka niharibikiwe ndio ufurahie , hujui kama mume wangu yupo karibu unafanya ujinga wako? Aliongea Mulky kwa ukali huku akiwa kakunja uso

Itaendeleaaaaa

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA BESTMAN 10

MIMBA YA BESTMAN 10

Mulky aliendelea kumuangalia moja kwa moja na Yasini alimkazia macho kisha akamuita
" Mulky naongea na wewe.
"Mume wangu Unajua nashangaa sana, umenishangaza mno siku zote huwa unasafiri unarudi na kila kitu kinakuwa sawa, haujawahi nauliza maswali kama hayo sasa leo hii umenijia na mapya. Mume wangu sijawahi kufanya ushenzi najitambua , najiheshimu mimi ni mke wa mtu hata kama kuna mambo hunitimiziii lakini najali sana heshima yangu na yako mume wangu.
Yasini alimuangalia jinsi alivyokuwa anakueleza kisha akaachia tabasamu alafu akasema
" Nilikuwa na kupima tu mke wangu najua huwezi kufanya hivyo.
Mulky alishusha pumzi
" Unajua umenifanya nijisikie...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-10

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 9
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

895
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

475
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

432
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

410
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

290
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

206
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

192
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

82

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.42K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.59K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest