Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA BESTMAN 14
Gonga94 · Stories

MIMBA YA BESTMAN 14

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


Aliuliza Yasini huku akiwa kamkazoa macho Mulky ilimaanisha Mulky aongee ameota ndoto gani ambayo inamnyima amani mpaka muda ule.

Mulky alijing'atang'ata huku akiwa anatafakari adanganye kaota ndoto gani mara akasikia Yasini akisema.
" Kheeee yule si ni Sameer?
Mulky alishituka na kugeukia kule alikokuwa anaangalia kweli alimuona Sameer akiwa anaelekea walipokuwa wamekaa.
Mulky alihisi ganzi mwili mzima kijasho chembamba lilimtokea ghafla.
Sameer alisogea mpaka kwenye meza waliyokuwa wamekaa huku akiwa na tabasamu usoni kwake na kwa uchangamfu mkubwa alisalimia.
" Vipi mko poa wapendanao?
" Kama unavyotuona . Alijibu Yasini.
" Safi sana inapendeza .
" Mbona uko hapa? Yasini aliuliza wakati huo Sameer alivuta kiti cha pembeni na kukaa alafu akajibu.
"Nimekuja hapa kwaajili ya mambo yangu ya kikazi.
Yasini alicheka alafu akasema
" Dr mambo gani ya kikazi yake kuleta huku ? Au unekuja na shemeji ?
" Shemeji wapi acha mambo yako kuna shuhuri imenileta na usitake sana kujua kwa undani bro. Aliongea Sameer huku akicheka cheka na kuchukulia kama utani wakati huo Mulki alikuwa anamuangalia bila kuongea jambo lolote. Lakini moyoni kwake lile swala la Sameer kuwepo pale ilimchukua na kumtia hofu alijua Sameer kaenda kule kwaajili yake na nia yake waonane.
" Huyu mjinga kanifuata huku kweli ? Sijui nifanye nini kuepukana nae yani hakuna kosa kubwa nililowahi kufanya kama hili na sijui nitatokaje kwenye huu mtego wake.
Akiwa kwenye mawazo Sameer alimshika begani huku akisema
" Vipi shem , naona mnakula maisha na mzee na ukaondoka bila kuniaga best yangu.
Mulky alimuangalia bila kujibu chochote na hakuwa mchangamfu kama alivyokuwa akimchangamkia siku za nyuma.
" Vipi kuna tatizo, Yasini umemfanya nini shemeji yangu mbona yupo tofauti na siku zote?
Yasini alimuangalia Mulky alafu akasema
" Hayupo sawa. Baby nyanyuka turudi hotelini tukapumzike.
Mulky alinyanyuka haraka na kutangulia akamuacha Yasini aliagana na Sameer. Mulky alipofika mbele alisimama akawa anamsubiri Yasini, baada ya sekunde chache Yasini alimfuata wakashikana mikono na kupiga hatua kutoka nje , mulky aligeuka tena kumuangalia Sameer huku akiwa kakunja uso wake , Sameer aliachia tabasamu na kumfungia mkono. Mulky aligeuka haraka wakaendelea kutembea , wakapanga gari na kuelekea hotelini .

Walipofika kwenye chumba chako cha hotel Mulky alijizuia kitandani, Yasini aliweka vizuri mifuko iliyokuwa na vitu walivyonunua kisha akaenda kukaa pembeni ya kitanda.
Alishika kichwa cha Mulk huku akiwa anakata nywele zake kwa kwenda nyuma .
" Unajua sikuelewi kabisa hivi ndoto ndio sababu ya wewe kuwa hivi mke wangu au kuna jambo lingine linalokutafuna?
" Sio ndoto nzuri mume wangu ....
" Hata kama sio ndoto nzuri niambie mimi si ndio mume wako na mtu wako wa karibu sasa kama ukinificha mimi utamwambia nani?
" Nimeota tumeachana bila sababu hiyo ndoto imevuruga sana akili yangu.
Mulky alijikuta karopoka bila kufikiria.
Yasini alimuangalia kisha akajikuta anacheka , Mulky alikuwa anamuangalia kama vile anashangaa anacheka nini.
Yasini alicheka mpaka akalala mapajani kwa Mulky. Baada ya kumaliza kucheka akasema.
" Hiyo ndoto ndio inakufanya ukose furaha mke wangu?
" Unafikiri hilo ni dogo? Sitamani hata mara moja kupoteza Yasini .
"Hilo hakitatokea hata mimi namuomba sana Mungu asimamie ndoa yetu na hiyo ndoto ya kishetani tu kwetu hakitatokea hilo swala maana ndoa yetu ina baraka tangia siku tulipofunga ndoa yetu na nakuahidi tena na tena siwezi kukuacha wewe ni wangu milele kitakacho tutenganisha hapa duniani ni kifo tu na namuomba sana Mungu atujalie pepo na wewe ndio uwe hurulain wangu.
" Ameeen.
" Kuwa na amani mke wangu ,sahau kabisa hiyo ndoto ya kipuuzi.
" Sawa.

Baada ya mulky kusikia maneno matamu yakuliwaza kutoka kwa mume wake moyo wake ulikuwa na amani na kutoa tabasamu lililofanya uso wake uwe na nuru.
Hakutaka tena furaha yake iharibiwe na Sameer alivuta simu yake akazima na kuiweka ndani ya pochi yake alafu akamwambia Yasini.
" Tumezunguka sana utakuwa umechoka naomba twende tukaoge ili tupumzike.
" Sawa mama usemacho wewe nitafanya .
Mulky alimsogelea Yasini na kuanza kumvua tisheti yake , alimvua nguo zote kisha Yasini alifanya hivyo.
Yasini alionekana kuhitaji kitu kutoka kwa Mulky alisogeza Mulki na kutaka kumuangusha kitandani.
" Hapana Yasini twende tukaoge kwanza.
" Kidogo tu....
" Sitaki. Alijibu mulky huku akiwa anamkwepa na kukimbilia bafuni Yasini alimfuata alipoingia tu Mulky alimmwagia maji wakaanza kumwagiana huku wakicheza na kuotesha Mulky alikuwa na furaha .
" Napenda kukuona ukiwa hivi , ukiwa mnyonge huwa unaninyima amani kwenye moyo wangu.

Full 1000
Whatsp 0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Ajnabi Mujhko Itna Bata - Pyaar To Hona Hi Tha
Enzi zetu
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA BESTMAN 14



Aliuliza Yasini huku akiwa kamkazoa macho Mulky ilimaanisha Mulky aongee ameota ndoto gani ambayo inamnyima amani mpaka muda ule.

Mulky alijing'atang'ata huku akiwa anatafakari adanganye kaota ndoto gani mara akasikia Yasini akisema.
" Kheeee yule si ni Sameer?
Mulky alishituka na kugeukia kule alikokuwa anaangalia kweli alimuona Sameer akiwa anaelekea walipokuwa wamekaa.
Mulky alihisi ganzi mwili mzima kijasho chembamba lilimtokea ghafla.
Sameer alisogea mpaka kwenye meza waliyokuwa wamekaa huku akiwa na tabasamu usoni kwake na kwa uchangamfu mkubwa alisalimia.
" Vipi mko poa wapendanao?
" Kama unavyotuona . Alijibu Yasini.
" Safi sana inapendeza .
" Mbona uko hapa? Yasini aliuliza wakati huo Sameer alivuta kiti cha pembeni na...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-14

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 7
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 10
MIMBA YA BESTMAN 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

481
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

434
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

413
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

302
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

207
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

181
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

139
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

89

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest