Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

MIMBA YA BESTMAN 7
Gonga94 · Stories

MIMBA YA BESTMAN 7

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
MIMBA YA BESTMAN 7

Mulky alikuwa kajiinamia anaangalia chini , Yasini alimshika begani huku akimuita jina lake.
" Mulky....
Mulky alinyanyua kichwa akamuangalia
" Mulky mke wangu hakuna mtu yoyote wa kuingilia maisha yetu naomba upuuzie kile ulicho tokea .
" Nawezaje kupuuzia wakati kilichoongelewa kina ukweli ? Familia yako inatamani kuona unaitwa baba wanatamani kuona watoto waliruka ruka ndani ya hili jumba hata mama yako nahisi anatamani sana ila hajawa na ujasiri wa kuniambia.
" Hata kama hawawezi kuingilia maisha yetu. Na kuhusu mama yangu hana Uswahili huo anaamini Mungu ndio mpangaji na mtoaji kwa yule ambae amepanga kumpa .Mulky mke wangu kuwa na amani baada ya muda fulani mambo yatakuwa sawa hata hiyo mtoto atapatikana.
" Kila siku umekuwa ikiniambia hivyo kwani hiyo siku haifiki mume wangu?
" Ipo siku itafika tunakotoka ni mbali na tunakoelekea ni karibu mke wangu kipenzi endelea kuwa na subira.
Safari hii mulky hakujibu alimuangalia tu .baada ya hapo alinyanyuka akaenda kuungana na wageni.

Wageni walipokuwa wanaondoka mama yake Yasini alisogea pembeni na mulky .
" Mwanangu msameje shangazi yako huwa anapenda kuongea sana.
" Usijali mama mimi nipo sawa.
" Sawa Mwenyezi Mungu atakujalia upate familia iliyo bora na kizazi chema.
" Ameeen mama.
Baada ya kuongea aliwasindikiza mpaka getini kisha akarudi ndani.

Siku zilienda huku mulky akiwa anavumilia alishindwa kuchukua maamuzi magumu sababu alikuwa anampenda sana mume wake .
Siku moja Yasini alimuaga mke wake alikuwa anaenda safari nchini Dubai kwaajili ya biashara zake.
Siku ya safari mulky akimsindikiza mume wake uwanja wa ndege.
" Nakutakiwa safari njema.
" Asante mke wangu na wewe ubaki salama pia kuwa muangalifu kuangaliwa sana.
" Usijali
" Sawa ubaki salama.
" Sawa.
Walimaliza kuagana Yasini aliingia ndani kusubiri kusubiri muda wa ndege kuondoka ili waanze safari na Mulki alielekea kwa rafiki yake Hamida.

Siku hiyo mulky aliamua kumueleza kila kitu Hamida.
" Hamida naomba nishauri nifanye nini sina amani kwenye ndoa yangu.
" Wewe unataka kuniambia Yasini anakutesa au anakunyanyasa?
" Hapana hajawahi kunifanyia hivyo ila.......
Alipofika hapo alitulia kwanza.
" Ana nini niambie basi.
Mulky aliendelea kukaa kimnya na Hamida alionekana kuwa na shauku kubwa ya kujua.
" Usiniambie Yasini ana mchepuo.
" Hapana hana mchepuo.
" Sasa nini?
" Tangia nimefunga ndoa sijawahi kukutana kimwili na mume wangu.
Hamida alishangaa
" Kheeeee wewe unaishijevsasa kwenye ndoa ya aina hiyo na kwanini anakufanyia hivyo?
" Nahisi kuna tatizo lakini haniambii tatizo lake .
" Sasa umeamuaje?
" kwa sasa sijaamua chochote ila mbaya zaidi shangazi yake alikuja anataka mtoto.
" Mmmmh ndugu wa mume wameanza mbona kama watakusumbua sana?
" Ni huyo tu lakini mama mkwe wangu hana shida kabisa.
" Kuna kitu nataka kukishauri kama utaweza basi kutachukua ushauri wangu.
" Nipe ushauri.
" Kuishi hivyo bila yake mambo yetu ya kikubwa ni uongo unaonaje kama utapata jamaa wa pembeni ukamaliza shida zako kwa siri?
Mulky alishituka
" Unamaanisha nimsaliti mume wangu? Vipi akijua?
" Kwani utamwambia?
" Hapana nishauri kingine hicho siwezi.
" Kama hutaki basi lakini tambua utakuwa kwenye ndoa iliyojaa maneno mengi na itakushinda.
Mulky aliona kama Hamida anazidi kumchanganya hakupata nafuu ambayo alihisi atapata baada ya kumwambia.
" Acha niende nitakuja wakati mwingine.
" Kwahiyo ndio ningekufukuza au?
" Hapana
Mulky alinyanyuka akaondoka.

Alifika nyumbani kwake akiwa hayupo sawa kabisa alijitupakwenye kochi akawa anafikiria ushauri wa Hamida.
" Sijawahi kuchepuka na wala sitamani hilo litokee.
Akiwa bado yupo kwenye mawazo mlango uligongwa .
" Karibu fungua mlango uko wazi.
Mlango ulifunguliwa Sameer akaingia huku akiwa Kawambwa na tabasamu mwanana usoni mwake na Mulki alimpokea kwa tabasamu.
" Karibu Sameer
" Asante shem, uko poa?
" Niko poa.
" Mbona kama umepooza hivi au sababu jamaa kaondoka?
" Inawezekana ikawa hivyo si unajua wawili ni wawili tu.
" Ni kweli lakini usijali nipo hapa nitakuliwaza japo kuwa sitamfikia jamaa.
Mulky alitabasamu tu
" Unaonaje tukicheza game kidogo
" Sawa.
Walicheza game kidogo mulky alichangamka na kusahau maneno ya Hamida.
Muda ulienda Sameer aliaga .
" Shem muda umeenda acha niondoke sasa
" Sitamani hata uondoke .
" Hahahaha nitakuja siku nyingine.
" Naomba iwe kesho tafadhali.
" Sawa nikitoka kazini nitapita.
" Nitafurahi sana kukuona doctor Sameer.

Siku zilizidi kwenda Mulk y na Sameer walikuwa wanaona kila siku na walikuwa kama marafiki na kila mmoja alijali mipaka yake.
Siku moja Sameer akiwa nyumbani kwa Mulky mvua kubwa sana ilinyesha na huko nje kulikuwa na ukungu sana kila Sameer alipotaka kuondoka Mulki alimzuia.
" Hali ya hewa ni mbaya sana bora ubaki tu .
" Nitabaki vipi nyumbani kwa mke wa mtu ikiwa mwenyewe hayupo?
" Mmmh unaanza kukuza mambo kwani tunalala chumba kimoja ? Vyumba vipo vingi sana hapa.
Mulky alimsihi sana mpaka Sameer akakubali kubaki.
Mulky alienda kuandaa chumba kwaajili ya Sameer kulala alipomaliza alienda kumuita na kumuonyesha.
" Shukran sana shemeji acha mimi nipumzike.
" Sawa uwe na usiku mwema
" Na kwako pia.
Mulky alitoka pale chumbani na kufunga mlango kisha akaenda chumbani kwake.

Baada ya nusu saa mulky alikumbuka hazina taa za jikoni ilimbidi atoke akiwa kavaa night dress yake fupi hakuwa na wasiwasi alijua Sameer hataweza kutoka . Alienda akiwa jioni kainama ghafla Sameer alifika akawa kasimama na kumuangalia Mulki kwa mshangao mkubwa , Mulky nae alipogeuka alimuona Sameer akiwa kasimama anamuangalia kifua kukiwa wazi na chini alivaa bukta fupi.

Full 1000
0784468229

Maoni

You're not logged in


Tangazo - For this week only
For this week only
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

MIMBA YA BESTMAN 7

MIMBA YA BESTMAN 7

Mulky alikuwa kajiinamia anaangalia chini , Yasini alimshika begani huku akimuita jina lake.
" Mulky....
Mulky alinyanyua kichwa akamuangalia
" Mulky mke wangu hakuna mtu yoyote wa kuingilia maisha yetu naomba upuuzie kile ulicho tokea .
" Nawezaje kupuuzia wakati kilichoongelewa kina ukweli ? Familia yako inatamani kuona unaitwa baba wanatamani kuona watoto waliruka ruka ndani ya hili jumba hata mama yako nahisi anatamani sana ila hajawa na ujasiri wa kuniambia.
" Hata kama hawawezi kuingilia maisha yetu. Na kuhusu mama yangu hana Uswahili huo anaamini Mungu ndio mpangaji na mtoaji kwa yule ambae amepanga kumpa .Mulky...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/mimba-ya-bestman-7

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi mimba-ya-bestman
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 13
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 15
MIMBA YA BESTMAN 14
MIMBA YA BESTMAN 14
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
*MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 11~12
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN 05
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN❤️* *SEHEMU YA 06
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 9
MIMBA YA BESTMAN 10
MIMBA YA BESTMAN 10
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU*

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*

898
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10

480
FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16

433
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8

412
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17

301
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10

209
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12

206
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.

180
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.

138
SHAMIRA sehemu ya 34&35

SHAMIRA sehemu ya 34&35

87

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.43K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.74K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.2K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.6K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.44K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.44K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.43K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.38K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.36K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla Post Mpya
This pic from Ishq is pure 90s madness and I love it ! You’ve got Ajay Devgn with his serious, intense vibe… Kajol looking all fiery and expressive… Juhi Chawla
@majario LIVE

with that cute bubbly energy… and Aamir Khan being his mischievous, romantic self. What a combo yaar! Ishq was not just a love story, it was full on drama, comedy,...

 Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani Post Mpya
Ili kombora la Iran lifike Israel, linatakiwa kuvuka vikwazo vifuatavyo njiani
@majario LIVE

* Meli za kijeshi za Marekani zilizopo Ghuba ya Uajemi * Rada za Israel zilizopo Azerbaijan * Rada za Israel zilizopo Turkmenistan * Mifumo ya ulinzi wa anga ya vituo vya Marekani nchini...

SHAMIRA sehemu ya 34&35 Post Mpya
SHAMIRA sehemu ya 34&35
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi nikajiiinua taratibu tukaingia bafuni. Mwanaume akanikumbatia uku tunaoga. Aseee uyu baba ananipenda ila hataki upumbavu ata kidogo na mkono wake mwepesi kupiga .na yote sababu...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 11 na 12
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi nikaona zena kamnyanyua yule mtoto kisha akambeba ,ni amefanana nae sana ,nikajua ni wa kwake tu yani ni lazima utu mtoto atakuwa ni mwanae, kisha akanigeukia...

FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 17
@majario LIVE

Ikabidi nikae tu kwenye piki piki maana sura alivyokuwa kaikaza mmh asije kunipiga, Kimyaa kikatawala sasa mie nilijua tunaenda kwa Tinner na moyoni nilikuwa nimempangia hayo maneno Tinner eeh mbona...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL   SEHEMU YA 10 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 10
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Maeneo ya pale pale chuoni, Salmon alikuwa amepanga nyumba kubwa ya peke yake. Wakati akiwa chuo ndo alikua anaishi hapo, ila siku za weekends kama hana mambo mengi ndo anaenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23  na 25. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 23 na 25.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Basi kuanzia apo nikawa sasa kidogo naelewana na baraka. Tena mimi ndo napenda sana kuongea nae. Yani sanaaa. Napenda kucheka nae sana. Na kun jinsi...

FROM BANGI TO BABY 💞💘  SEHEMU YA 16 Post Mpya
FROM BANGI TO BABY 💞💘 SEHEMU YA 16
@majario LIVE

Usiku wangu ulikuwa mzito sana, maneno ya D kusema kuwa Veda anatembea na wanawake wengi, niliyaamini kabisaaa Bila shakaa kwa maana Yeye tu hana mwonekano mzuri ametuna tuna hovyo anakuwa...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 9 na 10
@majario LIVE

Daaah nikaona mtoto kachomoa leo mana sio powa , ana vipengele sana uyu demu , ila unyama, hatachomoa kila siku, ni suala la muda tu, mana sijawahi kumtaka mwanamke ,...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21  na 22. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 21 na 22.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media BASI nikapanda kitandani kwangu. Nikijutia sana nilichokifanya mana mh . Nilikuwa nasababisha ugomvi mkubwa wa wazazi mungu wangu. Yani mama yangu alikuwa anaachwa leo...

SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.??? Post Mpya
SARE YA SIMBA YA JANA INA THAMANI KULIKO INGESHINDA.???
@majario LIVE

Hatimae jana tambo za Dabi zilipata majibu kwa timu za Simba na Yanga kutoka suluhu ya bila kufungana(0-0). Kwa maana hiyo timu zote ziliambulia pointi moja moja. Mchezo wa jana pamoja...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 8
@majario LIVE

Zena akasema kwaiyo manager unataka kuniuza ama ni vp, yule manager aksema , naomba uelewe kuwa ukifanya kazi katika hii bar, mteja kukushika sehemu yoyote ya mwili wako ni kawaida,...

*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two*    *SEHEMU YA KUMU* Post Mpya
*AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMU*
@majario LIVE

Jambo likawa lelelele, Yaani ni patashika nguo kuchanika, Kwa upande wangu Walahi nilikuwa nikifurahi tu, na amina alikuwa akilia tu nakuomba msamaha. Enzo wa watu mwaya akachukua muda wake na kumuelezea...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL SEHEMU YA 9
@majario LIVE

🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Mbali na ivyo zile zawadi alizo tumiwa Noela zilimuuma vile vile. Alihisi Noela hastahili vitu vizuri wala maisha ya kifahari. Alitaka kila kitu kiwe chake, wanaume wote wawe wake. Hata...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 6 na 7
@majario LIVE

Mwandiishi; LISSA Basi bwana , mwanaume wala sikuwa na shaka, kazi zote ambazo nilibakiwa nazo pale ofisini, nikamuachia ibraaa, na ukiacha ushikaji, mi bafo ibra ni mkubwa wake wa kazi,...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest