Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA GANGSTAR 😘πŸ₯°(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha )    *SEHEMU YA PILI
Gonga94 Β· Stories

PENZI LA GANGSTAR 😘πŸ₯°(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha ) *SEHEMU YA PILI

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA GANGSTAR 😘πŸ₯°(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha )


*SEHEMU YA PILI*

Unatoa macho ya nini, ila usijali mke wangu kipenzi utanipenda taratibu tu usijali, nikawa namuangalia kama simsikii vile, maana ukweli ni kuwa sikuwa naelewa jambo lolote lile ambalo alikuwa analizungumza huyu mwamba, yaan anajimwamba fai kabisa kuwa mimi ni mwanamke wake na wakati hata hajawah kunitongoza hata kwa bahati mbaya…..

β€œ haya sasa jiandae twende kazin, si umesema unataka kazi, embu nambie unataka nikulipe bei gani, na kila baadfa ya muda gani, yaan unambie kama unataka nikulipe kwa siku, wiku au mwezi, maana siunajua nimechagua kuishi chini ya amri zako mrembo wangu…

Hilo swala sijui la mrembo wangu au mke wangu halikuwa linanisumbua kabisa yaan, maana nilishasikia swala kazi, na namna ambavyo nilikuwa nina ukame wa hela na nimetafuta sana kazi na sijapata, na sitaman kurudi kwa Yule mama wa kambo mwenye mdomo kama chuchunge, nikaona nitulie tukubaliane na malipo, nilijiapiza kuwa kazi yoyote ile naifanya kikubwa iwe inanipa kipato tu, angalau na mimi niwe naweza kujitegemea kama watu wengine…

β€œyaan mimi sina shida kabisa boss, hata ukinilipa elfu kumi kwa siku itakuwa ni sawa tu kwangu, hapo najipigia mahesabu kuwa nimesema hela kubwa kinyama, nikashangaa mwamba anaanza kucheka kisha akasema β€œ sasa hio elfu kumi utaenda kununulia nini mrembo wangu, au ndio utaenda kula miguu ya kuku kama kawaida yenu nyie waswahili wakati ambapo una hamu ya kuku? Akauliza…

β€œ amna wewe haujui tu, yaan hio elfu kumi nitaichanga nitaichanga, ikifika mwisho wa mwezi nitaenda kupanga zangu chumba cha elfu 20, alafu nitanunua godoro langu la nche nne, na baada ya hapo nanunua na jiko la gesi maisha yangu yanaendelea, si unajua kukaa kwa watu sana ni mzigo sasa sitaki kuona shoga yangu nay eye kanichoka, nataman nijitegemee mapema tu, nikasema na wakati wote Yule mwanaume alikuwa ananiangalia midomo yangu, nikawa nawaza kuwa ananiangalia namna ninavyoongea kumbe li mwanaume hovyo hili, alikuwa anawaza namna ambavyo atanikiss, sasa ile nimeweka kituo tu nikashangaa navutwa kisha mzee baba anaanza zoezi lake la kunyonya mate, nyie ni kama alipania kunikausha koo, maana mwamba ni kama alikuwa hatosheki, kila ambapo nilikuwa najaribu kumtoa kwangu hakuwa anataka kabisa mpaka aliporidhika, na alipo maliza akasema β€œ sikunyingine usiongee sana ukanitamanisha kisha akanishika mkono na kusema β€œ nitakulipa laki mbili kwa siku ila hakikisha unaifanya kazi yako vizur, na utendaji wako wa kazi ukiongezeka na malipo nayo yataongezeka tu usijali…………..

Basi nikakubali haraka haraka bila kujua naenda kufanya kazi gani, basi akaenda kunipandisha kwenye gari, wale ambao alikuja nao wakawa wanamshangaa boss wao, maana kuanzia wamemjua hajifunguliagi hata gari pekee yake, ila alikuja akanifungulia mlango wa gari kisha akawaangalia wale alikuja nao nikashangaa wanarudi nyuma kisha akaanza kuendesha gari pekee yake, mimi sina ninachojua nikawa naona ni kawaida tu….

Tukaenda mpaka kwenye ile kampuni ambayo ndio nilituma maombi ila nikachelewa kwenye usaili, nikashangaa amenishika mkono kisha akawa anaingia na mimi ndani, watu wote wakawa wanatushangaa mpaka na mimi nikawa nashangaa kwanini watu wanatushangaa kiasi kile, tukafika mpaka kwenye ofisi moja kubwa ambayo ilikuwa imepambwa na maru maru ya kila aina, yaan ukiingia kwenye hio ofisi ndio utagundua kuwa kuna watu duniani wanaishi pazuri alafu kuna kina sisi ambao tunaishilia, maana kwanza kulikuwa na kichwa cha mbuzi cha dhahabu, na kila ambacho kilikuwa pale kilikuwa na thamani kubwa sana, nikawa navuta picha kama ofisin ndio kupo hivi huko nyumban kwake si ndio balaa kabisa yaan………………..

JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAAAA SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK MWISHO KABISA OFA YAKE NI 1000 TU
WAHI WHATSAPP 0755090082

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
MY Wangu season one, season two, season 3, season 4 and season 5 final
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA GANGSTAR 😘πŸ₯°(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha ) *SEHEMU YA PILI

PENZI LA GANGSTAR 😘πŸ₯°(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha )


*SEHEMU YA PILI*

Unatoa macho ya nini, ila usijali mke wangu kipenzi utanipenda taratibu tu usijali, nikawa namuangalia kama simsikii vile, maana ukweli ni kuwa sikuwa naelewa jambo lolote lile ambalo alikuwa analizungumza huyu mwamba, yaan anajimwamba fai kabisa kuwa mimi ni mwanamke wake na wakati hata hajawah kunitongoza hata kwa bahati mbaya…..

β€œ haya sasa jiandae twende kazin, si umesema unataka kazi, embu nambie unataka nikulipe bei gani, na kila baadfa ya muda gani, yaan unambie kama unataka nikulipe kwa siku, wiku au mwezi, maana siunajua nimechagua kuishi chini ya amri...

πŸ‘‰ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-gangstar-sio-lazima-unipende-nikikupenda-mimi-inatosha-sehemu-ya-pili

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-gangstar-sio-lazima-unipende-nikikupenda-mimi-inatosha-sehemu-ya-pili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*

765
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59

646
*AFANDE MILLAN😎* *57&58

*AFANDE MILLAN😎* *57&58

505
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.

362
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.

261
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.

221
SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.

211
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41  na 42.

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 41 na 42.

188
SHAMIRA 52 to 53

SHAMIRA 52 to 53

187
SHAMIRA 49 to 50

SHAMIRA 49 to 50

136

ZIMESOMWA ZAIDI

β€ŽTUNDA LA  DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

β€ŽTUNDA LA DADA β€Ž β€ŽSEHEMU YA KWANZA

11.73K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.45K
πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯  sehemu ya tisa.  πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

πŸ™„ NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWAπŸ”₯ sehemu ya tisa. πŸ‘‰ Akaanza kunipamp sasa...πŸ‘‡

3.82K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya sita.  πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡  Shemeji inauma utanichana.

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya sita. πŸ‘‰ Aaaaaaaaa chomoa...πŸ‘‡ Shemeji inauma utanichana.

3.33K
MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❀️ sehemu ya 119 na 120.

2.92K
MY WANGU❀️ sehemu ya 108

MY WANGU❀️ sehemu ya 108

2.87K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 20.  πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 20. πŸ‘‰ Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...πŸ‘‡

2.71K
MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

MY WANGU❀️ sehemu ya 116 na 117

2.7K
MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❀️ sehemu ya 106 na 107

2.64K
πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯  Sehemu ya 16.  πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

πŸ”₯ UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoaπŸ”₯ Sehemu ya 16. πŸ‘‰ nakupenda pia...πŸ‘‡

2.58K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 59
@majario LIVE

Kaka akasema jalia apa ni kwako, na ndo kwa mumeo feel good kuwa apa , jisikie upo kwako kabisaa, na apa ndo kwa mumeo, asikutoe apa kukupeleka kokote, na...

*AFANDE MILLAN😎* *57&58 Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *57&58
@majario LIVE

Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 7 kwa 8 Post Mpya
*MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 7 kwa 8
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 7. Kucheki vizuri alie nikaba kumbe ni vicram, alivyoona nimetulia akaniingiza Kuna chumba jilani, sijui ata alikiandaa saa ngap, kwani we kaka unashida Gani na Mimi? Vicram alitabasam...

 SHAMIRA Sehemu ya 54&55 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 54&55
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Mwandishi; 0742443214 Mwanangu alifika mwaka ila ata kutembea alikuwa hawezi husna akanambia wewe uyu mtoto anaumwa ebu tumpeleke zakiemu hospitali kubwa. Mh nikasema sawa. Mtoto wangu ni karembo jamani yani...

Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF Post Mpya
Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani FIFA & Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF
@majario LIVE

wametoa kibali rasmi cha kuthibitisha kuwa uwanja Wa Hoima City uliopo Uganda, unakidhi viwango vya kimataifa vya kuandaa mechi kubwa za soka. Uwanja huo wa kisasa uliopo katika mji wa...

*AFANDE MILLAN😎* *season 3*  *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA* Post Mpya
*AFANDE MILLAN😎* *season 3* *SEHEMU YA HAMSINI NA SITA*
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Daaah basi mwanangu ibraaa ndo akanipanga hivyo kwamba, nitafuta mama yoyote uku pemba , awe anaongea na zena ,akijifanya ni mama yangu ili impe amani zena , nikaona sio suala...

SHAMIRA 52 to 53 Post Mpya
SHAMIRA 52 to 53
@majario LIVE

πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€ Sehemu ya 52 Mwandishi; lissa wa huru media Basi bwana kesho yake asubuh husna na aisha wkaniletea uji na viazi vya rosti nilikula vizuri mana mwanangu kana nyonya mno. Basi nilipomaliza...

MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 6 Post Mpya
MY HOT PILOT* (rubani wanguπŸ”₯) 6
@majario LIVE

MTUNZI: SMILE SHINE EP 6. Kumbe alikuwa ni Kingslay, jamani kanichungulia,niliona aibu nyie dah!, upande wa Kingslay aliingia Moja Kwa Moja chumbani kwake,alijikuta hisia zimempanda Ile Ile, "uyu binti jamani ni mremboπŸ˜‹,...

MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5 Post Mpya
MY HOT PILOT ZYRO ( Rubani Wangu ) 1 to 5
@majario LIVE

(Kitabu Chote) MY HOT PILOT ZYRO ( rubani wangu πŸ”₯) MTUNZI; SMILE SHINE EP 1. Ikiwa ni majira ya saa tatu usiku, nikiwa jijini dar, maeneo ya tabata bima, Kwa Jina naitwa milembe mzaliwa wa...

SHAMIRA Sehemu ya 51 Post Mpya
SHAMIRA Sehemu ya 51
@majario LIVE

Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Basi na aisha hakuchelewa sna akaleta vifaa vyangu na kadi langi la clinic pale.mimi sielewi nikawa nasema jamani nipelekeni nikazae naumwa sana. Manurse...

SHAMIRA 49 to 50 Post Mpya
SHAMIRA 49 to 50
@majario LIVE

Sehemu ya 49 Wassap; 0742443214 Mwandishi; lissa wa huru media Aisha alinishauri nitafute mwanaume mmoja nimpe mimba. Nimasema wala sina mda uo. Kwanini nikamuongopee mtu kuhusu mtoto Uyu mtotot akizaliwa .mimi...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 48.
@majario LIVE

48 MWISHOOO 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Kesho yake mapema sana . Posa ya baraka ililetwa kwetu. Baba akaipokea nimksema mahari. Apo sasa ilibidi nimpigie adrian kua mimi naolewa.akanmbia aha sawa...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46  na 47. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 46 na 47.
@majario LIVE

46 MPAKA 47 🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Yani nilibaki kimya namuangalia tu ata la kusema sina na wazazi wanatuangalia. Akanmbia shakira. Tusijitese mama angu. Tuanglie mioyo yetu.mimi naelewa shakira unanipenda...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya  45. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 45.
@majario LIVE

🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼🌼 Mwandishi; lissa wa huru media Na baada ya mda sasa ndo baraka akaingia. Kapoa kweli kweli na tangia zamani ana sura ya upole ndo akazidi nakwambia. Nna hasira nae...

SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43  na 44. Post Mpya
SASA NAKUPENDA Sehemu ya 43 na 44.
@majario LIVE

Mwandishi; lissa wa huru media Aseeee kwanza apa kwenye paji nilishonwa nyuzi 6.ni ngumi iyo .yani mkono wa mwanaume tu. Msenge alijua kuniweka alama. Basi nasehemu zengine nilipata mikwaruzo. Nilivimba...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest