Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

PENZI LA GANGSTAR 😘🥰(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha )    *SEHEMU YA PILI
Gonga94 · Stories

PENZI LA GANGSTAR 😘🥰(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha ) *SEHEMU YA PILI

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
PENZI LA GANGSTAR 😘🥰(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha )


*SEHEMU YA PILI*

Unatoa macho ya nini, ila usijali mke wangu kipenzi utanipenda taratibu tu usijali, nikawa namuangalia kama simsikii vile, maana ukweli ni kuwa sikuwa naelewa jambo lolote lile ambalo alikuwa analizungumza huyu mwamba, yaan anajimwamba fai kabisa kuwa mimi ni mwanamke wake na wakati hata hajawah kunitongoza hata kwa bahati mbaya…..

“ haya sasa jiandae twende kazin, si umesema unataka kazi, embu nambie unataka nikulipe bei gani, na kila baadfa ya muda gani, yaan unambie kama unataka nikulipe kwa siku, wiku au mwezi, maana siunajua nimechagua kuishi chini ya amri zako mrembo wangu…

Hilo swala sijui la mrembo wangu au mke wangu halikuwa linanisumbua kabisa yaan, maana nilishasikia swala kazi, na namna ambavyo nilikuwa nina ukame wa hela na nimetafuta sana kazi na sijapata, na sitaman kurudi kwa Yule mama wa kambo mwenye mdomo kama chuchunge, nikaona nitulie tukubaliane na malipo, nilijiapiza kuwa kazi yoyote ile naifanya kikubwa iwe inanipa kipato tu, angalau na mimi niwe naweza kujitegemea kama watu wengine…

“yaan mimi sina shida kabisa boss, hata ukinilipa elfu kumi kwa siku itakuwa ni sawa tu kwangu, hapo najipigia mahesabu kuwa nimesema hela kubwa kinyama, nikashangaa mwamba anaanza kucheka kisha akasema “ sasa hio elfu kumi utaenda kununulia nini mrembo wangu, au ndio utaenda kula miguu ya kuku kama kawaida yenu nyie waswahili wakati ambapo una hamu ya kuku? Akauliza…

“ amna wewe haujui tu, yaan hio elfu kumi nitaichanga nitaichanga, ikifika mwisho wa mwezi nitaenda kupanga zangu chumba cha elfu 20, alafu nitanunua godoro langu la nche nne, na baada ya hapo nanunua na jiko la gesi maisha yangu yanaendelea, si unajua kukaa kwa watu sana ni mzigo sasa sitaki kuona shoga yangu nay eye kanichoka, nataman nijitegemee mapema tu, nikasema na wakati wote Yule mwanaume alikuwa ananiangalia midomo yangu, nikawa nawaza kuwa ananiangalia namna ninavyoongea kumbe li mwanaume hovyo hili, alikuwa anawaza namna ambavyo atanikiss, sasa ile nimeweka kituo tu nikashangaa navutwa kisha mzee baba anaanza zoezi lake la kunyonya mate, nyie ni kama alipania kunikausha koo, maana mwamba ni kama alikuwa hatosheki, kila ambapo nilikuwa najaribu kumtoa kwangu hakuwa anataka kabisa mpaka aliporidhika, na alipo maliza akasema “ sikunyingine usiongee sana ukanitamanisha kisha akanishika mkono na kusema “ nitakulipa laki mbili kwa siku ila hakikisha unaifanya kazi yako vizur, na utendaji wako wa kazi ukiongezeka na malipo nayo yataongezeka tu usijali…………..

Basi nikakubali haraka haraka bila kujua naenda kufanya kazi gani, basi akaenda kunipandisha kwenye gari, wale ambao alikuja nao wakawa wanamshangaa boss wao, maana kuanzia wamemjua hajifunguliagi hata gari pekee yake, ila alikuja akanifungulia mlango wa gari kisha akawaangalia wale alikuja nao nikashangaa wanarudi nyuma kisha akaanza kuendesha gari pekee yake, mimi sina ninachojua nikawa naona ni kawaida tu….

Tukaenda mpaka kwenye ile kampuni ambayo ndio nilituma maombi ila nikachelewa kwenye usaili, nikashangaa amenishika mkono kisha akawa anaingia na mimi ndani, watu wote wakawa wanatushangaa mpaka na mimi nikawa nashangaa kwanini watu wanatushangaa kiasi kile, tukafika mpaka kwenye ofisi moja kubwa ambayo ilikuwa imepambwa na maru maru ya kila aina, yaan ukiingia kwenye hio ofisi ndio utagundua kuwa kuna watu duniani wanaishi pazuri alafu kuna kina sisi ambao tunaishilia, maana kwanza kulikuwa na kichwa cha mbuzi cha dhahabu, na kila ambacho kilikuwa pale kilikuwa na thamani kubwa sana, nikawa navuta picha kama ofisin ndio kupo hivi huko nyumban kwake si ndio balaa kabisa yaan………………..

JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAAAA SIMULIZI HI IMEKAMILIKA MPK MWISHO KABISA OFA YAKE NI 1000 TU
WAHI WHATSAPP 0755090082
Tangazo - Hostinger 2026 on fire
Hostinger 2026 on fire
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

PENZI LA GANGSTAR 😘🥰(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha ) *SEHEMU YA PILI

PENZI LA GANGSTAR 😘🥰(sio lazima unipende nikikupenda mimi inatosha )


*SEHEMU YA PILI*

Unatoa macho ya nini, ila usijali mke wangu kipenzi utanipenda taratibu tu usijali, nikawa namuangalia kama simsikii vile, maana ukweli ni kuwa sikuwa naelewa jambo lolote lile ambalo alikuwa analizungumza huyu mwamba, yaan anajimwamba fai kabisa kuwa mimi ni mwanamke wake na wakati hata hajawah kunitongoza hata kwa bahati mbaya…..

“ haya sasa jiandae twende kazin, si umesema unataka kazi, embu nambie unataka nikulipe bei gani, na kila baadfa ya muda gani, yaan unambie kama unataka nikulipe kwa siku, wiku au mwezi, maana siunajua nimechagua kuishi chini ya amri...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/penzi-la-gangstar-sio-lazima-unipende-nikikupenda-mimi-inatosha-sehemu-ya-pili

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi penzi-la-gangstar-sio-lazima-unipende-nikikupenda-mimi-inatosha-sehemu-ya-pili
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

10.14K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.48K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

2.57K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.31K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.12K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.11K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.04K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

1.96K
Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest