Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo
Gonga94 · Stories
11 Nov 2025
48 views
VYOTE NDANI GONGA94
Tarehe 11 November kama leo lakini hii ilikua ni mwaka 1988 filamu hii iliachiwa rasmi kwenye majumba ya sinema. TEZAAB
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
(Asidi/Tindikali) : Ni filamu yenye mchanganyiko wa mapenzi, vitendo na drama (romantic action drama) ambayo imewashirikisha Anil Kapoor na Madhuri Dixit kama waigizaji wakuu (Staa).
Filamu hii ndiyo iliyompa Madhuri Dixit umaarufu mkubwa kwa mara ya kwanza na kumfanya awe nyota mkubwa. Kabla ya filamu hii Madhuri alikua ameshaigiza filamu 8. Vile vile filamu hii ilithibitisha tena nafasi ya Anil Kapoor kama nyota mkubwa, hasa baada ya mafanikio ya filamu yake Mr. India ambayo ilitoka kabla ya hii (1987).
Filamu hii iliandikwa na kutayarishwa na N. Chandra wakati Muziki ulitayarishwa na wanamuziki mashuhuri Laxmikant-Pyarelal.
Katika Tuzo za 34 za Filmfare filamu Tezaab ilipata uteuzi wa tuzo 12, ikiwa ni idadi kubwa zaidi kwa mwaka huo na ilishinda Tuzo 4 ambazo ni...
▪️Muigizaji Bora wa Kiume (Best Actor) – Anil Kapoor
▪️Mwimbaji Bora wa Kike Alka Yagnik - wimbo Ek Do Teen.
▪️Best Choreography Saroj Khan - wimbo “Ek, Do, Teen”.
▪️Muigizaji Bora wa kike Madhuri Dixit
Note : Anil Kapoor na Madhuri Dixit walipata ushindi wao wa kwanza wakiwa kama waigizaji bora katika Tuzo za Filmfare.
KAMA UMEBAHATIKA KUITAZAMA HII FILAMU HEBU ANDIKA CHOCHOTE.
Je wajua filamu ya Deadly Prey ya mwaka 1987 ilitayarishwa na David Trior ambaye alimpa nafasi ndugu yake Ted Prior kucheza uhusika mkuu(main character)
filamu iliyotengenezwa kwa bajeti ya chini sanaa kiasi mwanzo mwisho wa filamu jamaa alikuwa na kipensi tuu vibanda umiz...
Bila ya msimamo ule leo watu wangeshasahau kama Afcon ilichezwa Morocco, bila ya huyu Mwanaume muda huu Morocco wangekuwa wanashangilia Kombe la dhulma.
Bila ya jamaa kutoa vijana wake leo Mutsepe angekiri kuwa Senegal walionewa lakini isingesaidia kitu tayari Morocco Bin...
Tarehe 11 November kama leo lakini hii ilikua ni mwaka 1988 filamu hii iliachiwa rasmi kwenye majumba ya sinema. TEZAAB
(Asidi/Tindikali) : Ni filamu yenye mchanganyiko wa mapenzi, vitendo na drama (romantic action drama) ambayo imewashirikisha Anil Kapoor na Madhuri Dixit kama waigizaji wakuu (Staa).
Filamu hii ndiyo iliyompa Madhuri Dixit umaarufu mkubwa kwa mara ya kwanza na kumfanya awe nyota mkubwa. Kabla ya filamu hii Madhuri alikua ameshaigiza filamu 8. Vile vile filamu hii ilithibitisha tena nafasi ya Anil Kapoor kama nyota mkubwa, hasa baada ya mafanikio ya filamu yake Mr. India ambayo ilitoka kabla ya hii (1987).
Filamu hii iliandikwa na kutayarishwa na N. Chandra wakati Muziki ulitayarishwa na wanamuziki mashuhuri Laxmikant-Pyarelal.
Katika Tuzo za 34 za Filmfare filamu Tezaab...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/tarehe-11-november-kama-leo-lakini-hii-ilikua-ni-mwaka-1988-filamu-hii-iliachiwa-rasmi-kwenye-majumb
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi tarehe
Chombezo : Huruma Ya Dudu Sehemu Ya : Kwanza (1) Nakumbuka ilikuwa mwaka jana tarehe 8 mwezi wa 8, siku ambayo niliamua
Franco ambaye alizaliwa Tarehe 6 Julai, 1938, katika Kijiji cha Sona Bata Magharibi ya Kongo, atakumbukwa na watanzania wakati alipofanya onyesho kweye Uwanja wa Taifa
Pambano la "Rumble in the Jungle" lililofanyika tarehe 30 Oktoba 1974 mjini Kinshasa, Zaire (sasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo),
NAISHIWA PAWA 🫂 SEHEMU YA "6"💘 💘 Tarehe ya Birthday ya Jordan na ya Hance zinafanana..... kwa Hance
Thomas sankara alizaliwa tarehe 21/12/1949 huko Yaakov French upper volta (Jina la zamani la Nchi ya Burkinafaso)
(TFF) inatangaza Uchaguzi Mkuu wa TFF utakaofanyika tarehe 16/08/2025 jijini Tanga
Bappi Lahiri jina lake halisi ni Alokesh Aparesh Lahiri ambaye amezaliwa tarehe 27 Novemba mnamo mwaka 1952.
Maoni