*UDHAIFU WA MR CEO (dawa ya nini wakati kwako napona)* 1 na 2
____________________________________
*SEHEMU YA KWANZA*
Maisha ni fumbo kubwa sana, kuna watu tunaweza kuhisi kama wapo sawa kabisa kumbe wanamatatizo meng sana ambayo yanawakabili, kuwa na pesa, muonekano mzuri na jina kubwa hakumfanyi mtu kuwa na furaha, kuna muda tunatamani kuwa matajiri ila kuna wakati ukijua namna ambavyo utajiri na umaarufu unavyotesa basi utataman kuishi maisha ambayo unaishi leo....
Naitwa Shimena. nimesomea business administration katika chuo kikuu cha sauti mkoani mwanza, ila nikapangiwa nikafanye field kwenye moja ya kampuni maarufu sana jijini dar es salam, ilikuwa ni ndoto zangu kumuona ceo wa hio kampuni maana sifa zake zilikuwa zinaenea kila mahali, kutokana na uchapakazi wake, na namna ambavyo alivyo kuwa na pesa nyingi, ila imekuwa ni ngumu sana kumuona au kukutana nae, amekuwa hapendi kukutana na watu, hata kwenye mikutano ambayo itamtaka. akutane na watu wengi amekuwa akituma wawakilishi nasio kwenda yeye mwenyew...
Nilipofika kwenye ile kampuni nilikuwa navizia sana kumuona ila haikuwa rahisi kabisa kumuona, siku moja kulikuwa na kuna tafrija fupi ya kutambulisha bidhaa mpya ambayo ilikuwa ni nguo, ambazo zilikuwa zimebuniwa na hio kampuni, na walisema kuwa ceo atakuja ila atakaa dakika tano tu na sio zaidi ya hapo, kila mtu alikuwa na shauku ya kumuona, hata mimi nilikuwa mmoja wapo...
Kweli tafrija ikaanza na kuna muda ceo alikuwa anatakiwa kutia sahihi kwenye mkataba ambao ulikuwa unahusisha wawekezaji mbali mbali wa kampuni ambazo zilitaka kuweka ubia na kampuni ambayo tulikuwa tunafanya nayo kazi... Alipotokeza kila mtu akaanza kushangilia, nikashangaa amesalimiana na wawekezaji haraka haraka kisha akasimama na kwenda kuweka sahihi baada ya hapo akachukua glass ya mvinyo akanywa haraka haraka haraka na kuanza kuondoka upesi kana kwamba alikuwa anawahi sehemu, waandishi wa habari walitaka. kumpiga picha ila waliobahatika ni wale. waliompiga wakati anaingia ila wengine wote hawakupata bahati hio basi msemaji wake akasema kuwa alikuwa busy ana mkutano mwingine anatakiwa kwenda, na tukaelewa
Basi kuna muda nilikuwa nakula, lakin kinywaji kilinimwagikia bahati mbaya, nikanyanyuka na kutaka kwenda kujisafisha, ila kwakuwa nilikuwa mgeni, sikuwa najua hata sehemu ya kujisafishia ni wapi, nikawa natembea tembea, mara nikaanza kusikia sauti inalia kwenye moja ya chumba ambacho kilikuwa kipo eneo lile, nikataka kujua ile sauti ilikuwa inatokea sehemu gani, maana sikuwa naelewa, ndio nikafungua mmoja wa mlango nikamuona Yule ceo wa kampuni yetu akiw amejikunyata analia, na namna kelele zilivyokuwa zinazidi ndio alizidi kupiga kelele, nililielewa hilo, hivyo nikafunga mlango na baada ya hapo nikakaa pemben yake maana alikuwa amekaa chini na kuweka kichwa chake kwenye kifua changu na kuanza kumchezea nywele zake taratibu kwa ishara ya kumtuliza, na kweli alitulia, na ule wasiwasi na uoga ambao alikuwa nao wote ukaondoka, akanigeukia akaniangalia kisha akaniuliza, wewe ni nani?....
"samahan kwa kuja huku, nilikuwa natafuta sehemu pa kujisafisha ndio nikajikuta nimeingia hapa, nikaanza kujitetea kisha nikasimama na kutaka kuondoka, nikashangaa kanishika mkono kisha akaniuliza kuwa nani amekutuma, unataka kupeleka taarifa zangu kwa waandishi wa habari sio....
Nilishangaa kwanini ananiambia vile, maana sikuwa na malengo mabaya yoyote, nikawa naondoka zangu, nikashangaa amenivuta kisha vifua vyetu vikagusana, alikuwa kana kwamba hajakutana na mwanamke muda mrefu maana mnara ulisoma dakika hio hio, na akaanza kushusha pumzi, kisha nikashangaa anaelekeza lips zake kwenye lips zangu....
Nikaona huyu vipi, yaan nimekuja kumsaidia. alafu anataka kunikiss, amechanganyikiwa nini, kiukweli sikuwa tayari na hilo hata kidogo, maana niliona kama ananidhalilisha na mimi sio Malaya, kusema labda najiuza hivyo anaweza kunifanyia jambo lolote lile analolitaka.........
Nikawa najiondoa kwake, nikashangaa ananiuliza unaitwa nani?...
"naomba uniachie nikaanza kulalamika baada ya kuona sekunde sio nyingi busu la bila kutaka linaninyemelea.. " siwez kukuachia kama haujaniambia unaitwa nani, haya niambie unaitwa nani?.. ikabidi nikubali kumuambia jina langu maana
sikutaka kuendeleza ligi "naitwa shimena.
nikajibu nikiwa nimeangalia chini...
*SEHEMU YA PILI*
"Najua unasiri yangu ambao watu wengi hawaifahamu, naomba nisaidie na nina kuhakidi nitakulipa kiasi chochote kile unachokitaka, akanambia,. Sikumuelewa kabisa yaan, maana kama anataka nimsaidie, sasa anataka nimsaidie nini, na wakati mimi najua kabisa siwez kulala nae, nikamuangalia na kumuambia kuwa msaada niliokupa ndio msaada pekee ambao naweza kukupa mimi, sina msaada mwingine wowote ule ambao mimi naweza kukupa wewe, naomba uniache niondoke zangu, nikaw anaondoka, nikashangaa ananivuta kisha akaanza kunipapasa, kana kwamba mtu mwenye hisia nyingi sana dhidi yangu, alikuwa na nguvu sana, maana hata nilipokjaribu kufurukuta napo sikufua dafu kabisa yaan, nikajikuta natulia, na akanipapasa na kiss za hapa na pale, mwisho tukajikuta tunazama kule....
Haikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na mwanaume kimwili, ila nilishawah kuingiliwa nikiwa mdogo na mmoja wa wajomba zangu, ila kuanzia kipindi kile sikuwah kushiriki tena tendo na mwanaume mwingine yoyote Yule, hivyo ni kama alikuwa ndio mwanaume wangu kwa kwanza kuanzia nilipokuwa....
Sikuwa bikra ila nilikuwa nahisi maumivu makali sana, sijui ni kwa sababu sikuwa nimefanya muda mrefu au nivipi, nikaanza kumsukuma ili aniachie ila badala yake hata hakuwa ananielewa akawa anaendelea kupump huki akisema shimena mamaaa ahhh shimena, babyyyyy huwezi kunisukuma ahhhh vumilia, vumilia mamaaa, nitakupa unachotaka nitakupa mama angu, akawa analalamika ila mwamba hamalizi, yaan kana kwamba alikuwa amenipania kupita kiasi, akawa anapambana sana kuniachia ila sijui ndio alishindwa kuachia utamu...
Kiukweli sikuwa najua alipiga pasi ngapi, maana sikuwa najua kama anamaliza au laa, maana sikuwa naelewa kitu chochote kile, alifanya mpaka nikazima, sijui hata nilizima saa ngapi, nimekuja kushtuka akiwa amenikumbatia kwa nguvu kisha akanambia kwa mara ya kwanza katika maisha yangu nimelala bila kumeza dawa, nahisi kama wewe ndio tiba yangu....
Aliposema neno dawa kiukweli sikuwa nimemuelewa kabisa, maana sikuelewa ni dawa gani, na kwanini hakunywa dawa kwa sababu yangu, nilikuwa nina hasira zangu za kuingiliwa bila ridhaa yangu, nilikuwa nataman kumkata kata vipande vipande ila ndio hivyo sikuwa na cha kufanya zaidi ya kuongea tu, nikaanza kulalamika na kulaani...
"yaan nahisi matajiri mali zao ni za madawa, haiwezekani nimekuja kukusaidia badala yake ukaniingilia kabisa, nimekukosea nini mimi mpaka unifanyie ukatili kama huu, embu nambie kosa langu kubwa kwako ni lipi mpaka unilipe malipo uliyonipa, kama kufanya field kwenye kampuni yako ndio kosa, basi bora niache kabisa kufanya field acha nifeli, ila siwez kukaa na mwanaume baradhuli na mshenzi kama
Wakati wote alikuwa kimya ananiangalia tu, mara simu yake ikaanza kuita, akaipokea na kuweka loudspeaker, nikasikia mmoja wa wafanya kazi wake anasema " mkufunzi anakuja kumsaili kesho huyo mwanachuo ambae amekuja kufanya field kwenye kampuni yetu, utataka kukutana na yoyote kati yao, au niende mimi....
" nitakutana nao mwenyewe, na hakikisha binti anakuwepo kwenye zoezi atakalo fanya na mkufunzi wake, akasema kisha akakata simu... Akanigeukia na kuniangalia kisha akasema wewe ndio kiumbe wa kwanza niliekuzingatia, sasa sifanyagi kitu bure, nakuacha uende, na kesho nitakuwepo pamoja na wewe, kama hautataka nitampa sifa mbaya mkufunzi wako kuhusu wewe, na najua unajua mimi ni nani vizuri sana, nawez kuharibu maisha yako kwa dakika chache tu, sasa kama unataka amani, unatakiwa kunikiss kabla haujaondoka...
Nilijikuta nanywea bila kutegemea, nikaona isiwe kesi, nikamsogelea na kumpa lile busu la mbali mbali, nikashangaa ananivuta na kuanza kujinywea glass ya juice ya bure ambayo nimepewa na mungu....
JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU
0784468229
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa + Endelea kugundua zaidi

Maoni