Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

UDHAIFU WA MR CEO (dawa ya nini wakati kwako napona)*_____________________________________*  *SSEHEMUYA  3  na   4
Gonga94 · Stories

UDHAIFU WA MR CEO (dawa ya nini wakati kwako napona)*_____________________________________* *SSEHEMUYA 3 na 4

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.


mwamba kama anaanza Nikashangaa kunogewa vile, maana akawa ananikiss huku anahema juu juu kama mtu ambae amepoteza muelekeo, nikaona huyu anaelekea kutaka zaidi ya busu, nikajitoa mwilini kwake, akaniachia ila mnara ulishasoma zamani sana, akaniangalia kisha akatabasamu na kusema unaweza. kwenda sasa..

Nilikurupuka na kuondoka, sikutaka kupoteza muda kuendelea kukaa pale, asije kunibadilishia mada bila kutegemea, nikaondoka zangu..

Basi nimeyoka pale na mawazo ya kutosha, nikawa nawaza imekuwaje, mpaka kwanza akawa anaogopa kelele kiasi kile, na kwanini amelala na mimi na hali ya kuwa hata hanijui, nilikuwa nataman kumlaan, nataman kumtukana ila sikuwa najua hata naanzia wapi, maana kwanza nilikuwa namtegemea kwenye field yangu, nikaenda nyumban ninapo kaa, nilikuwa nimefikia kwa shoga yangu, hata niliporudi asubuh hakunihoji sana maana anajua mimi ni mtu mzima, nikaanza kujiandaa na mara baada ya kumaliza kujiandaa tu nikaanza kwenda zangu kazini, nafika kazin nashangaa kila mtu. ananishangaa na sio kawaida...

"kuna nini, ikabidi niulize mara baada ya kuona kama sielewi yanayoendelea..

" una mahusiano gani na boss? Yule niliemuuliza nay eye akaniuliza...

" hamna sina mahusiano nae yoyote yale, kwani

kuna kitu gani kimetokea?...

"yaan kama tunavyojua boss wetu huwa sio mtu wa watu, hata kama sisi ni wafanyakazi wake ila kumuona ni ngumu sana, sasa leo amekuja anakuulizia wewe, ndio maana kila mtu anashangaa maana sio kawaida yake. kumuulizia mtu, au ameshaanza kukupenda hautuambii, maana kwanza amesema ukifika tu uende ukamuone ofisini kwake, na si unajua mtu pekee ambae huwa anaruhusiwa kuingia ofisini kwake ni Yule msaidizi wake, hivyo inashangaza na wewe leo uende ofisini kwake, akanambia huyo aliekuwa ananiuliza....

Sikutaka kuhoji sana, nikaanza kwenda kwenye ofisi ya boss, alikuwa amesimama mlangoni kwake akiwa anazunguka zunguka kana. kwamba kuna kitu alikuwa anakisubiri, aliponiona hata hakuvunga akanisogelea na kunikumbatia kwa nguvu kisha akasema mbona umechelewa hivi kazini, unajua nilikuwa nimekuja mapema sana nakuulizia wew..

Nikashangaa ananiulizia mimi kwa minajili ipi, maana kwanza mimi sio chochote kwake, "kwanini ulikuwa unamuulizia mfanyakazi ambae hana cheo chgochote kile kwenye kampuni yako, ambae hana maana kwenye maisha yako, embu nambie ulikuwa unaniulizia kwa sababu gani?.. Akaniangalia kwa sekunde kadhaa kisha akajikoholesha na kusema "wewe upo hapa kwa ajili ya kupimwa ila nashangaa unachelewa, unafikiri nitakutafuta kwa sababu gani zaidi ya kukuonea huruma tu, mkufunzi wako akafika alafu wewe haupo...

Nikaona sababu zake hazina mashiko yoyote, nikamuangalia na mimi kwa sekunde kadhaa. kisha nikasema " naomba nikaendelee na majukum yangu, ukinihitaji kwa kazi yoyote unaruhusiwa kuja kuniita, kisha nikawa. naondoka zangu, ila ni kama hakuwa anataka niondoke kabisa, ila hakuwa anajua anaweza vipi kunizuia, nikashangaa anaanza kujikohoza kana kwamba amepaliwa, na kwakuwa nilikuwa mimi pekee yangu pale ofisini, nikaanza kumtafutia maji, kisha nikampelekea, ila nilipofika aliponikampa glass ila hakuishika na badala yake glass ikaanguka na akaanza kunikiss kwa fujo, ikabidi nijitoe mwilini mwake, Ila akawa anivuta kana kwamba alikuwa amenipania sana, ila nikamskuma kumuweka kibao, kisha nikaanza kumuambia "wewe sijui ni mwanaume wa aina gani, yaan kila nikikusaidia kwa lolote unataka kunilipa kwa kunifanyia ubaya, una shida gani na mimi, au ni kitu gani nimekukosea mpaka unataka kunikwaza, ila hata hakunijibu kabisa akawa zake kimya na mimi nikaondoka zangu.....

Basi mkufunzi akaja na nikaassesiwa na baada ya hapo nikashangaa mkufunzi ananipongeza na kunambia hongera hakika una bahati sana. kisha akaondoka zake...

Basi baada tu ya kufanyiwa usalli baada ya kama siku tano nikawa natakiwa kurudi chuo nashangaa ceo hataki, alikuwa anaitwa Edward marco, mfanya biashara maarufu sana kwenye jiji la dar es salam, yaan hauwez kutaja biashara bila kutaja jina lake kama ambavyo alivyo bwana vunja bei kwa zama hizi....

*SEHEMU YA NNE*

"Naweza kukuajiri moja kw amoja naomba usirudi chuoni, nikaona sasa huyu kachanganyikiwa,naweza vipi kubaki kwenye kampuni yake na wakati sikuwa nimemaliza mtihani wa mwisho, nikakataa akaanza kuniweka vipingamizi vya hapa na pale ila havikufua dafu maana hakuna mtu ambae angemuelewa maana yale ni maslaha yangu, ingawa kishingo upande ila alikubali nikarudi chuo, sasa kule chuoni kuna kijana ambae tulikuwa kwneye hatua za mwanzo zq mahusiano hayakuwa mahusiano rasmi, nikaona nimkubali, kumbe mwamba alikuwa ananifuatilia bila mimi kujua, siku moja niko zangu chuo sijui hili wala lile mara nikatumiwa location ya moja ya mgahawa maarufu snaa kwneye mkoa ambao nipo, nikaambiwa nifike haraka sana kuna jambo la msingi natakiwa kuliona, sikutaka kupuuza, nikaenda mpaka eneo husika nikamkuta mwanaume wangu alikuwa analishana kimahaba na mwanamke mwingine....

Roho iliniuma sana kwa maana nilikuwa nimeshaanza kumpenda alafu anakuja kufanya mambo ya ajabu kiasi kile, nikaona sio fungu langu, nikataka nikalete vurugu ila nikaona kama sistahili kufanya hivyo, ila nafsi yangu ikagoma kutulia, nikawa naenda wanione hata kama sitafanya jambo lolote lile, kweli nikaw anaenda ila kabla sijafika nikashangaa nashikwa mkono na mtu kisha akanambia" wewe ni bint mrembo sana na mwanaume yoyote Yule ambae ana akill timamu hawez kukuacha mwanamke mrembo kama wewe, sasa kwanini unamlilia mwanaume...

Nikageuza macho nikashangaa nakutana na Edward, nilishangaa sana, maana katoka dar mpaka nilipo kwa sababu gani, ila kwakuwa alikuwa ni mfanya biashara mkubwa nikaamin kuwa alikuwa amekuja kwa ajili ya kikazi, kumbe mwamba moja haishiki mbili haikamati anataka kunipata, kwa kuwa nilimuangalia kwa mshangao akajua na kunambia usifikri nimekufata, wewe mwenyewe unajua mimi ni mfanya biashara hivyo nimekuja kwenye maswala yangu ya biashara ila kwa bahati nikakuona ndio maana nikaja hapa, ila kama hautajali unaweza kunitumia kwa ajili ya kumuumiza huyo boyfriend wako mpumbavu...

Sikutaka kumjibu maana nilikuwa nina hasira sana, mara nashangaa namuona boyfriend wangu na huyo mwanamke wake wanatoka, na walikuwa hawajui kama nilikuwa pale, boyfriend wangu aliponiona akashtuka sana kisha akaniita kwa sauti ya mshangao" shimena....

Nikamgeukia kwa hasiram nilikuwa nataman kumtafuna, na Edward alijua hilo, akanigeuza kisha akasema kwa sauti kidogo maana nilijua dhahiri kuwa alikuwa anataka kusikika kuwa kila nikiziona lips zako sijui kwanini nataman kuzikiss, kisha akanivuta na kunipa kiss moja la moto balaa...

Kiukweli sikutyegemea kabisa kupewa busu na kupelekea mimi mwenyewe kubaki kwenye mshangao, Yule mwanaume wangu akasema mbona kama unasaliti maana unaonekana kama haujiamini, sasa Yule mwanamke wake akauliza "mbona kama unafuatilia mambo yasiyo kuhusu kabisa, kwani unamjua huyu mwanamke...

ndio anamjua vizuri sana, rafiki yake aliwaaminisha kuwa alikuwa ni mchumba wa huyu binti kumbe sio kweli alikuwa anamtaka tu, na shimena mimi ndio mwanaume wake na tuna miaka miwili sasa, akasema Edward na Yule mwanaume akashusha pumzi kisha akamshika mwanamke wake mkono na wakawa wanaondoka ila ni dhahiri walikuwa wana hasira sana...
JE NINI KITAENDELEAAA!! "
OFAAAA KUPATA YOTE NI 1000 TU

Namba ya malipo 0755090082 mpesa jina la usajili zainabu sungita

UKISHALIPIA NJO INBOX
WHATSAP 0755090082

Maoni

You're not logged in


Tangazo - MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
MTAKATIFU GEMMA UTUOMBEE SHIRIKA LA MASISTA WA MT GEMMA WA DODOMA
Tunao Wapenda ndio wanao tuua baba
Sikiliza Wimbo Kamili
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

UDHAIFU WA MR CEO (dawa ya nini wakati kwako napona)*_____________________________________* *SSEHEMUYA 3 na 4



mwamba kama anaanza Nikashangaa kunogewa vile, maana akawa ananikiss huku anahema juu juu kama mtu ambae amepoteza muelekeo, nikaona huyu anaelekea kutaka zaidi ya busu, nikajitoa mwilini kwake, akaniachia ila mnara ulishasoma zamani sana, akaniangalia kisha akatabasamu na kusema unaweza. kwenda sasa..

Nilikurupuka na kuondoka, sikutaka kupoteza muda kuendelea kukaa pale, asije kunibadilishia mada bila kutegemea, nikaondoka zangu..

Basi nimeyoka pale na mawazo ya kutosha, nikawa nawaza imekuwaje, mpaka kwanza akawa anaogopa kelele kiasi kile, na kwanini amelala na mimi na hali ya kuwa hata hanijui, nilikuwa nataman kumlaan, nataman kumtukana ila sikuwa najua hata naanzia wapi, maana kwanza nilikuwa namtegemea kwenye...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/udhaifu-wa-mr-ceo-dawa-ya-nini-wakati-kwako-napona-_____________________________________-ssehemuya-3

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi udhaifu-wa-mr-ceo-dawa-ya-nini-wakati-kwako-napona-_____________________________________-ssehemuya
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*

791
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*

780
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

494
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20*

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*

405
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

367
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18

362
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6

157
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

98
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

54
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.52K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.23K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.71K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.62K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.61K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.55K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.46K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

BLACK BUTTERFLY 🦋 5 Post Mpya
BLACK BUTTERFLY 🦋 5
@majario LIVE

By Babie Love Tsap 0742133100 ENDELEAAA “ Brayton..” Camilla alijikuta akimuita bila kutarajiaa Brayton alimsogeleaa na kumuonyeshaa zile picha vizur tu kwenye simu yakee huku akimuulizaa “ Unawezaa kuniambia hiki nini?!?” Camilla alishangaa kwa...

Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example Post Mpya
Some Bollywood families just have that star vibe, and Dimple Kapadia and her daughters are a perfect example
@majario LIVE

. Dimple became a sensation with Bobby, and the same year she married superstar Rajesh Khanna. She was only 16 when she got married and became a mom at 17...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 18
@majario LIVE

Yani ummy Alishangilia na kwambia aliimba nyimbo zote mpaka mama yake ndo alimnyamazisha, basi nikamwambia ummy aya mama yangu mzuri nimekuletea tv sasa uwe na amani sawa, akasema ndio...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest