VYOTE NDANI GONGA94
🌹 USHAURI WANGU KWAKO🌹 ♥️Maisha ni safari isiyo na likizo, mapenzi ni
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
🌹 USHAURI WANGU KWAKO🌹
♥️Maisha ni safari isiyo na likizo, mapenzi ni sayari isiyofungamana na sayari zingine duniani.🌹
🌹 Imebeba machache mazuri na Ina mengi mabaya.🌹
🌹Nakwambia mpenzi wangu,🌹 "unaposafiri ktk sayari hii lazima ukubaliane na sarakasi zote za mapenzi ziijazayo maumivu sayari hii!🌹
🌹Mpenzi wangu sipo hapa kukutisha Wala kukukatisha tamaa.... Niko hapa kukujuza baadhi ya pages za mapenzi zilizomo ktk sayari hii!💋
🌹 Mapenzi yanaua, yanaumiza, yanakera, yanapotosha, yanalemaza, yanatesa na hata kuvunja moyo!🌹🌹
🌹Ushauri wangu kwako dear; "tafakari sana kabla hujaingia ktk sayari ya mapenzi kuepuka majuto!."🌹
🌹Mwisho; "makinika sana pindi uwapo ktk mahusiano vinginevyo, utajuta kupenda!"🌹
Good luck 💋💋
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitaj...
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua ...
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 21
SONGA NAYO........ Hatimae mke wangu alijifungua baby boy, 🥰 nyieeh hivi mnajua nilikuwa na furaha kiasi gani eeh yani ...
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 19
SONGA NAYO...... Muda ulienda na sikupata wasaa wa kuzungumza na mama maana alikuwa hataki kusikia chochote kutoka kwan...
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 18
Kwa mahesabu yangu ya haraka haraka mwezi August aweza kuitwa baba 🥰😆 yaaah hakuna kitu kitamu kama kuitwa baba walah h...
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 17
SONGA NAYO.......... Baada ya mimi kupoteza fahamu, haraka Jose alikimbia na kwenda kumuita doctor na matibabu yalianza...
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 15
SONGA NAYO......... Baada ya yule dada kuondoka akaiingia sir Joseph huyu ni mshkaji wangu sana yani huyu kaka nilivyo ...
WEWE NI WANGU SEHEMU YA 14
"Hapana sir, lakini mbona sielewi chochote..." "Utaelewa tu shika viatu.." Nilisema huku nikichukua fimbo, basi kijana ...
WEWE NI WANGU 12 na 13
SEHEMU YA 12 Hii wanaelewa wanaume wenzangu jamani😂 sio mpaka niwaeleweshe akina dada mtaniua bure, basi baada ya kumal...
Tangazo - Elton John - Sacrifice
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA
🌹 USHAURI WANGU KWAKO🌹 ♥️Maisha ni safari isiyo na likizo, mapenzi ni
🌹 USHAURI WANGU KWAKO🌹
♥️Maisha ni safari isiyo na likizo, mapenzi ni sayari isiyofungamana na sayari zingine duniani.🌹
🌹 Imebeba machache mazuri na Ina mengi mabaya.🌹
🌹Nakwambia mpenzi wangu,🌹 "unaposafiri ktk sayari hii lazima ukubaliane na sarakasi zote za mapenzi ziijazayo maumivu sayari hii!🌹
🌹Mpenzi wangu sipo hapa kukutisha Wala kukukatisha tamaa.... Niko hapa kukujuza baadhi ya pages za mapenzi zilizomo ktk sayari hii!💋
🌹 Mapenzi yanaua, yanaumiza, yanakera, yanapotosha, yanalemaza, yanatesa na hata kuvunja moyo!🌹🌹
🌹Ushauri wangu kwako dear; "tafakari sana kabla hujaingia ktk sayari ya mapenzi kuepuka majuto!."🌹
...
👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/ushauri-wangu-kwako-maisha-ni-safari-isiyo-na-likizo-mapenzi-ni
#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle
Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi ushauri-wangu-kwako-maisha-ni-safari-isiyo-na-likizo-mapenzi-ni
Maoni