Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA,      kipande Cha 13
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA,
kipande Cha 13

Wazazi wa Stefano pamoja na Celina walikaa pale hospital mpaka mama Celina akazinduka ,na alipozinduka alitulia japo alikuwa anaweweseka kulingana na ukichaa wake huku yale mambo yalipita akiyasahau ,wakajua ni kichaa kilimpanda , wakaruhusiwa kumchukua na kurudi nae nyumbani , walimpakia kwenye gar na kurudi nae mpaka pale nyumbani kwa kina Stefano hawakutaka kumrudisha kule majalalani Kwan waliamua kumsaidia mama Celina pamoja na Celina mwenyewe ,
Mama Stefano alijua kama Celina atakuwa hapo nyumban basi kuna uwezekano mkubwa yule Celena akaja sasa akija lazima wakutane hapo ndio atajua ukweli ,

Walifika nakupaki gari ,wakatelemka na kumtelemsha Celina kichaa,yaani mama Celina ,lakini walipomtelemsha tu mama Celina akataka kukimbia wakamdaka na ikawa vurugu ya vuta nikuvute ,
Mala wakafanikiwa kumkamata na kumfunga miguu kwa kutumia kanga ,
Mama Celina akatulia,
Wakamletea chakula akakataa kula kabisa ,yaani nikama kichaa kilirudi upya ,

Aliongea maneno huku akirusharusha mateke,
Celina alimjulia mama yake akasema hiko chakula kiwekeni kwenye mfuko mchafu mchafu halafu kiwekeni nje mi nikija nikichukue,
Mama Stefano alifanya kama alivyoambiwa na kweli Celina akatoka na kukichukua na kumletea mama yake,

"Usimfungue atakimbia ujue ,,"
Mama stefano alimwambia Celina maana Celina alikuwa anamfungua mama yake ile kanga ,

"Hawezi kukimbia mi nikiwa nae,,""
Celina alijibu ,
Na kweli Celina akamfungua mama yake wakaanza kucheza ,na chakula kilipokuja Celina alimtengea mama yake halafu wakaanza kushindana kula ,yaani ilikuwa ni kama mchezo tu ,walishindana kula mtu na mtoto wake na mama mtu akashinda ,Celina akajifanya kununa ,na mama yake akampakata akaanza kum bembeleza ,

Celina akawakonyeza wazazi wa Stefano ,wakajikuta wanacheka tu ,

Shuleni kwa kina Celena , Celena akajikuta anapata hamu ya kumuona Stefano pamoja na wazazi wa Stefano ,alikumbuka siku ile walicheza pamoja na Stefano mpaka akachelewa kwenda kwao akajikuta analala huko huko ,
" Nikitoka tu naenda "
Aliwaza Celena ,
Na kweli kengele ilivyolia tu akachomoka hakusubili hata gari ya kwao kuja kumchukua , akanyoosha na njia kwenda kwa kina Stefano,
Kwa bahati mbaya Baroz baba yake na Celena alikuwa anapita njia hiyo hiyo anaelekea nyumbani akamuona Celena mwanae anakata mitaa , akajiuliza huyu mtoto anaenda wapi tena , na mbona hajapanda gari la shule ,?
"Ngoja leo nisimstue nijue anakoelekea "
Aliwaza Baroz huyo wa serikali,

Wakati Celena anakaribia kwa kina Stefano gafra mama yake Celina yaani yule kichaa akamuona , nae akajua kuwa ni Celina amekuja kutoka shule , akaanza kumchekea chekea huku akimkimbiza , celena nae kutokana na ule woga akakimbia na kujificha ili yule kichaa aondoke ,celena alikuwa hajui Kama mama huyo ndio mama wa Celina ,ikabidi ajifiche kwanza sehemu,
Na wakati huo baba yake na Celena Baroz alisimamisha gari baada ya kumuona mwanae ameingia uchochoron, sasa pale aliposimamisha gari ndipo alipo mama Celina kichaa ,
" Haa huyu si mke wangu huyu ,"
Aliwaza Baroz huku akimkazia macho mama Celena , na mama Celena nae baada ya kuliona lile gari nikama alikumbuka akalisogelea na kulishika akisema " hii gari ya mume wanguu jiiiimmmmh piipiii ,,!
"Celinaaaa nenda kamtoe mama yako kwenye gari ya watuu Mungu wangu akivunja kioo sijui itakuwaje,"
Aliongea baba Stefano na wote wakatoka nje wakawa wanamshangaa mama Celena jinsi alivyokuwa anafanya kwenye ile gar ,
Sasa walipotoka nje tu barozi akashangaa kumuona mwanae Celena yupo katikati ya ile familia halafu kabadilisha nguo kavaa nguo za nyumbani ,
"Haa huyu kabadirisha nguo saa ngapi na si aliingia kwenye kile kichochoro,"
Aliwaza Baroz huku akimkazia macho Celina akizani ni Celena mwanae ,
" Celinaaa njoo uone gari ya baba yakoo ,,ona ilivyonzuriii aaammmmh pipiii ,"
Bado mama Celina alifanya vituko pale kwenye ile gari , bahati nzuri ile gari ilikuwa na tintedi nyeusi yaan mtu wa ndani anamuona wa nje lakini wa nje hamuon mtu wa ndani,
Kwa hiyo Barozi alikuwa anawaona wote lakin yeye hawamuoni,
"Sasa huyu Celena kamjuaje mke wangu na wale ni wakina nani ,"?
Bado alijiuliza Baroz huku bado akiwashangaa wakina mama Stefano pamoja na Celina ,alichokishangaa zaidi ni jinsi yule mama alivyofanana na Celena , yaan Kama mtu na mtoto wake kabisa , Mr Benson au barozi yeye alibaki kushangaa tu huku akimwangalia Celina alizani ni mtoto wake Celena,
Sasa kule alikojificha Celena akachungulia akaliona gari ya baba yake imepaki akaangalia pembeni akawaona mama Stefano,baba Stefano ,Celina na Stefano tena wanamshangaa yule mama kichaa ,
Akaona ngoja ajifiche kwanza maana akitoka tu baba yake anaweza kumgombeza na kumwambia kwanini uko huku unazurura , ikabidi atulie tu huku akichungulia , Nia yake ni kumsubilia baba yake aondoke Kisha aende pale kwa kina Stefano akaonane na Celina ,
Sasa Mr Benson barozi akaamua atelemke kwenye gari ili awasalimie wale watu waliokuwa na mtoto wake Celena yeye alizani ni Celena kumbe ni Celina , Sasa aliposhuka tu , yule kichaa mama yake na Celena akamuona , yaani ikawa Kama muvi wakabaki wameangaliana kwa sekunde chache , gafra tu yule mama kichaa akatamka "MUME WANGU ,"
tena alisema huku machozi yanamtoka ,barozi nae akajibu ," MKE WANGU ,"
Ilikuwa ni Kama dakika tu za kuhesabu kila mtu alishangaa , maana yule kichaa katamka neno ambalo ni sahihi na Mr Benson nae akajibu inamaana Yule mama kichaa amekumbuka kuwa yule aliesimama pale ni mumewe ,
Celena alitaka kwenda kumshika mama mama yake akazuiwa kwanza na mama yake Stefano ili waone kitakachotokea maana walishangazwa na ile kauli ya wote wawili ,
,Sasa Mr Benson akamsogelea yule mama kichaa ili amkumbatie , yule mama kichaa akasogea nyuma Kisha akaokota jiwe ,
" Tokaaa mbele yanguuu ,," aliongea yule mama kichaa huku akimtishia Kama anataka kulirusha lile jiwe ,
" MKE WANGU nisikilize basi kwanza "
Aliongea Mr Benson huku watu wakishangaa maana tayari watu walishaanza kujaa ,
" Hee mbona anasema ni mkewe , "?
Baba Stefano alimuuliza mama Stefano ,
" Yaani jinsi unavyoshangaa na Mimi ndo nashangaa hivyo hivyo ,"
Mama Stefano alimjibu mumewe ,
Sasa Mr Benson akamsogelea tena yule kichaa lakini gafra yule mama kichaa akarusha jiwe na likapasua kioo Cha nyuma chagari , pwaaaaa ,,!!!!
" Nimekwambia ondokaaaa ,,, umeniacha Mimi ukaoa mfanyakazi mshenzi weeeeee ,,, " aliongea yule mama kichaa huku analia , Sasa ili kuepusha usumbufu , Mr Benson akapanda kwenye gari huku anamuita Celina alizani ni mwanawe Celena ,
" Celena twende nyumbani ,"
Celena akawa anamshangaa tu maana hata yeye hamjui , " we celenaaa twennde nyumbani ," alijalibu kuita tena lakini ndio kwanza Celina akamfuata mama yake yule kichaa na kumkumbatia huku alimtoa eneo lile ili asije akarusha jiwe lingine ,
" Huyu mtoto vipi mbona anajifanya hanijui , ? Aliwaza Mr Benson huku akiondoka eneo Hilo ,
Sasa kumbe Celena kule alikojificha alisikia kila kitu na hata gari ya baba yake ilipopasuliwa kioo aliona na akaamua kuondoka upesi eneo Hilo Sasa ile anafika nyumbani tu na baba yake ndio anaingia , kwanza baba yake akasimamisha gari akawa anamshangaa ," huyu mtoto vipi jamani amefikaje hapa na nilimwachia kule ,"
Aliwaza Mr Benson huku bado akimshangaa Celena ,
" Shikamoo baba ,"
Celena alimsalimia baba yake lakin baba yake badala ya kuitikia akawa anamshangaa tu , yaani Celena na Celina hawajapishana kitu ,alimkagua Kama ataona kasoro yoyote lakin hajaona ,
"Mmh haya maajabu ya Dunia ,"
Aliwaza Mr Benson,

KUMBUKA story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu moja tu,0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea
Tangazo - Distro kid Upload your music To day
Distro kid Upload your music To day
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

WATOTO MAPACHA,
kipande Cha 13

Wazazi wa Stefano pamoja na Celina walikaa pale hospital mpaka mama Celina akazinduka ,na alipozinduka alitulia japo alikuwa anaweweseka kulingana na ukichaa wake huku yale mambo yalipita akiyasahau ,wakajua ni kichaa kilimpanda , wakaruhusiwa kumchukua na kurudi nae nyumbani , walimpakia kwenye gar na kurudi nae mpaka pale nyumbani kwa kina Stefano hawakutaka kumrudisha kule majalalani Kwan waliamua kumsaidia mama Celina pamoja na Celina mwenyewe ,
Mama Stefano alijua kama Celina atakuwa hapo nyumban basi kuna uwezekano mkubwa yule Celena akaja sasa akija lazima wakutane hapo ndio atajua ukweli ,

Walifika nakupaki gari ,wakatelemka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-kipande-cha-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-kipande-cha
Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,,    ,,  19
Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19
WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12
WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83

592
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85

494
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘

475
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33

322
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*

226
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5

86
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*

74

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.1K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

6.84K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.67K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.05K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.45K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.41K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.29K
I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

I LOVE YOU DADY 💘❤️💘10

2.29K
❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛  Sehemu ya tisa.  Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa  hawa na hawa kaachama

❤❤ MTOTO WA MKE WANGU😛😛 Sehemu ya tisa. Sasa jamaa akaupitisha ulimi kwenye mdomo wa hawa na hawa kaachama

2.25K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya nane.  👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya nane. 👉 Mimi Nalia ndio tayari bikra imetolewa...👇

2.16K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
REAL LOVE  *SEHEMU YA KUMI NA MOJA* Post Mpya
REAL LOVE *SEHEMU YA KUMI NA MOJA*
@majario LIVE

walipomuona seven ikabidi mzee fahad azungumze nae kuhusu swala la wao kuondoka **"lakini mzee wangu mbona bado hali ya fahima sio nzuri?" alisema seven usijari kwakuwa ametaka mwenyewe basi haina shida kikubwa...

*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34* Post Mpya
*MIMI SIKUACHI🥰* *SEHMU YA 34*
@majario LIVE

*SEASON TWO* LISSA WA HURU MEDIA * Basi uyu demu mimi na yeye ndo tukaachna hapa. Nilimwambia ukweli sikutaka kuwa na michepuko tena. Mke wngu kwanza ananitosha sana. Yani anafit kwa kila kitu....

MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 84 na 85
@majario LIVE

Basi bwana nikaingia ndani ya gari ya mlige . Daaaah uko njiani ni anaona kama hatufiki . Mala kanishika ziwa . Mala kanishika kiuno kabinya mhh yani acha ...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 53...54💘💘
@majario LIVE

Tulivyotoka pale sitting kuelekea chumbani nilianza kumbembeleza nice asinzie kwani anataka sasa😆😆 my wangu si akaanza kulia na kuita daddy daddy I want my daddy ikawa kero😳😳 ilinibidi nimuweke mgongoni...

TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5 Post Mpya
TIPWA TIPWA NA MR MARVEL 1 - - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋🦋 Kila alipokua akipita mtaani kwao utasikia watu wakimuita tipwa tipwa huku wakimtania, lakini yeye hajali hata kidogo. Karidhika na mwili wake, hana mda wa kuhifadhi maneno ya watu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 82 na 83
@majario LIVE

Zayd akanmbia mbona unalia mama. Aseeee mda huu ilikuwa ni kama saa 5 ya usiku. Na mlige anapiga simu . Yani simu yangu sikuwa nimeweka sauti . Yani nimeweka mwanga...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 33
@majario LIVE

Bas baada ya princess kukata simu nikamsogelea mke wangu nikamwambia si umeona kipenzi changu. We niamini tu na kuwa muelewa . Mimi nimekosea ilaa sasa hivi sitaki tena kuwa na...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 31 na 32
@majario LIVE

Fatuma akanmbia kumbe ndo unayonifanyia aya. Unazani nilikuwa sina habri zako . Unazani sijuh najua sana . Kuwa apa chuo una mwanamke mjinga ww. Daah nikamwambia plsss mke wangu...

MY WANGU❤️ sehemu ya 81 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 81
@majario LIVE

Whattsap; 0786796363 Mwandishi; HABIBA MAAMOJA Basi maisha yakawa yanenda hivyo. Na zayd akawa nanaitafuta kila siku. Alivyokuwa kenya. Siku iyo usiku hivi .nipo ndani kwangu . Nilikuwa napanga nguo zangi mana nilikiwa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 79 na 80
@majario LIVE

Zayd akasema ni mimi. Naona unaniangalia sana wala haujanifananisha ndo mm zayd tulisoma wote singida . Na mala ya mwisho tulipewa suspension na mwenzangu ukahama shule. Mh nikasema ahaa...

MY WANGU❤️ sehemu ya 78 Post Mpya
MY WANGU❤️ sehemu ya 78
@majario LIVE

Basi bibi mie nikaanza kujiandaa kwa ajili ya club. Na nguo nnazo kama zote. Kuna mda mlige ananinuliaga mpkaa nguo za ajabu . Ila nivae tu nikiwa na...

AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘  N0 51...52💘💘 Post Mpya
AAAAH IMETOSHA BOSS 💘💘 N0 51...52💘💘
@majario LIVE

Uwe na usiku mwema mke wangu mimi nitakwenda kulala kwenye chumba changu kingine natumaini hili jambo litabakia kuwa la siri kati yetu sisi wawili..... natumaini hautamwambia mtu yeyote yule Acha...

MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30 Post Mpya
MIMI SIKUACHI🥰 Sehemu ya 30
@majario LIVE

Akanmbia mi nitakuazima pesa milion 10 . Uanze nayo. Ununue mashine zote.na ukalipie fremu apa maeneo ya chuo utapata wateja wengi. Mh nikaona uyu demu ana roho nzuri ety anamfikilia...

UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5 Post Mpya
UTAMU WA KULA KUKU NA MAYAI YAKE 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 MWANZO......... Wale wa kuzima Hisia washa akili mje hapa. Mwenzenu huku kawasha vyote kama mjukuu majuto😄😄😄. Hivi wahenga nao wanatuchukuliaje kusema kwamba akili ni nywele 😀😀😀. Asubuhi majira ya saa...

NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5 Post Mpya
NILIVYOOLEWA NA SHEMEJI YANGU 1 - - - - - 5
@majario LIVE

SEHEMU YA 1 ANZA NAYO.... Call me Paaye, oooh Paaye hata sijui hili jina lina maana gani na siijui wazazi wangu walilipatia kwa mkorea yupi maana kwa hili jina saluti kwao Aaah Paaye...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest