Menu






Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya – Gonga94 Semajambo

WATOTO MAPACHA,      kipande Cha 13
Gonga94 · Stories

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
WATOTO MAPACHA,
kipande Cha 13

Wazazi wa Stefano pamoja na Celina walikaa pale hospital mpaka mama Celina akazinduka ,na alipozinduka alitulia japo alikuwa anaweweseka kulingana na ukichaa wake huku yale mambo yalipita akiyasahau ,wakajua ni kichaa kilimpanda , wakaruhusiwa kumchukua na kurudi nae nyumbani , walimpakia kwenye gar na kurudi nae mpaka pale nyumbani kwa kina Stefano hawakutaka kumrudisha kule majalalani Kwan waliamua kumsaidia mama Celina pamoja na Celina mwenyewe ,
Mama Stefano alijua kama Celina atakuwa hapo nyumban basi kuna uwezekano mkubwa yule Celena akaja sasa akija lazima wakutane hapo ndio atajua ukweli ,

Walifika nakupaki gari ,wakatelemka na kumtelemsha Celina kichaa,yaani mama Celina ,lakini walipomtelemsha tu mama Celina akataka kukimbia wakamdaka na ikawa vurugu ya vuta nikuvute ,
Mala wakafanikiwa kumkamata na kumfunga miguu kwa kutumia kanga ,
Mama Celina akatulia,
Wakamletea chakula akakataa kula kabisa ,yaani nikama kichaa kilirudi upya ,

Aliongea maneno huku akirusharusha mateke,
Celina alimjulia mama yake akasema hiko chakula kiwekeni kwenye mfuko mchafu mchafu halafu kiwekeni nje mi nikija nikichukue,
Mama Stefano alifanya kama alivyoambiwa na kweli Celina akatoka na kukichukua na kumletea mama yake,

"Usimfungue atakimbia ujue ,,"
Mama stefano alimwambia Celina maana Celina alikuwa anamfungua mama yake ile kanga ,

"Hawezi kukimbia mi nikiwa nae,,""
Celina alijibu ,
Na kweli Celina akamfungua mama yake wakaanza kucheza ,na chakula kilipokuja Celina alimtengea mama yake halafu wakaanza kushindana kula ,yaani ilikuwa ni kama mchezo tu ,walishindana kula mtu na mtoto wake na mama mtu akashinda ,Celina akajifanya kununa ,na mama yake akampakata akaanza kum bembeleza ,

Celina akawakonyeza wazazi wa Stefano ,wakajikuta wanacheka tu ,

Shuleni kwa kina Celena , Celena akajikuta anapata hamu ya kumuona Stefano pamoja na wazazi wa Stefano ,alikumbuka siku ile walicheza pamoja na Stefano mpaka akachelewa kwenda kwao akajikuta analala huko huko ,
" Nikitoka tu naenda "
Aliwaza Celena ,
Na kweli kengele ilivyolia tu akachomoka hakusubili hata gari ya kwao kuja kumchukua , akanyoosha na njia kwenda kwa kina Stefano,
Kwa bahati mbaya Baroz baba yake na Celena alikuwa anapita njia hiyo hiyo anaelekea nyumbani akamuona Celena mwanae anakata mitaa , akajiuliza huyu mtoto anaenda wapi tena , na mbona hajapanda gari la shule ,?
"Ngoja leo nisimstue nijue anakoelekea "
Aliwaza Baroz huyo wa serikali,

Wakati Celena anakaribia kwa kina Stefano gafra mama yake Celina yaani yule kichaa akamuona , nae akajua kuwa ni Celina amekuja kutoka shule , akaanza kumchekea chekea huku akimkimbiza , celena nae kutokana na ule woga akakimbia na kujificha ili yule kichaa aondoke ,celena alikuwa hajui Kama mama huyo ndio mama wa Celina ,ikabidi ajifiche kwanza sehemu,
Na wakati huo baba yake na Celena Baroz alisimamisha gari baada ya kumuona mwanae ameingia uchochoron, sasa pale aliposimamisha gari ndipo alipo mama Celina kichaa ,
" Haa huyu si mke wangu huyu ,"
Aliwaza Baroz huku akimkazia macho mama Celena , na mama Celena nae baada ya kuliona lile gari nikama alikumbuka akalisogelea na kulishika akisema " hii gari ya mume wanguu jiiiimmmmh piipiii ,,!
"Celinaaaa nenda kamtoe mama yako kwenye gari ya watuu Mungu wangu akivunja kioo sijui itakuwaje,"
Aliongea baba Stefano na wote wakatoka nje wakawa wanamshangaa mama Celena jinsi alivyokuwa anafanya kwenye ile gar ,
Sasa walipotoka nje tu barozi akashangaa kumuona mwanae Celena yupo katikati ya ile familia halafu kabadilisha nguo kavaa nguo za nyumbani ,
"Haa huyu kabadirisha nguo saa ngapi na si aliingia kwenye kile kichochoro,"
Aliwaza Baroz huku akimkazia macho Celina akizani ni Celena mwanae ,
" Celinaaa njoo uone gari ya baba yakoo ,,ona ilivyonzuriii aaammmmh pipiii ,"
Bado mama Celina alifanya vituko pale kwenye ile gari , bahati nzuri ile gari ilikuwa na tintedi nyeusi yaan mtu wa ndani anamuona wa nje lakini wa nje hamuon mtu wa ndani,
Kwa hiyo Barozi alikuwa anawaona wote lakin yeye hawamuoni,
"Sasa huyu Celena kamjuaje mke wangu na wale ni wakina nani ,"?
Bado alijiuliza Baroz huku bado akiwashangaa wakina mama Stefano pamoja na Celina ,alichokishangaa zaidi ni jinsi yule mama alivyofanana na Celena , yaan Kama mtu na mtoto wake kabisa , Mr Benson au barozi yeye alibaki kushangaa tu huku akimwangalia Celina alizani ni mtoto wake Celena,
Sasa kule alikojificha Celena akachungulia akaliona gari ya baba yake imepaki akaangalia pembeni akawaona mama Stefano,baba Stefano ,Celina na Stefano tena wanamshangaa yule mama kichaa ,
Akaona ngoja ajifiche kwanza maana akitoka tu baba yake anaweza kumgombeza na kumwambia kwanini uko huku unazurura , ikabidi atulie tu huku akichungulia , Nia yake ni kumsubilia baba yake aondoke Kisha aende pale kwa kina Stefano akaonane na Celina ,
Sasa Mr Benson barozi akaamua atelemke kwenye gari ili awasalimie wale watu waliokuwa na mtoto wake Celena yeye alizani ni Celena kumbe ni Celina , Sasa aliposhuka tu , yule kichaa mama yake na Celena akamuona , yaani ikawa Kama muvi wakabaki wameangaliana kwa sekunde chache , gafra tu yule mama kichaa akatamka "MUME WANGU ,"
tena alisema huku machozi yanamtoka ,barozi nae akajibu ," MKE WANGU ,"
Ilikuwa ni Kama dakika tu za kuhesabu kila mtu alishangaa , maana yule kichaa katamka neno ambalo ni sahihi na Mr Benson nae akajibu inamaana Yule mama kichaa amekumbuka kuwa yule aliesimama pale ni mumewe ,
Celena alitaka kwenda kumshika mama mama yake akazuiwa kwanza na mama yake Stefano ili waone kitakachotokea maana walishangazwa na ile kauli ya wote wawili ,
,Sasa Mr Benson akamsogelea yule mama kichaa ili amkumbatie , yule mama kichaa akasogea nyuma Kisha akaokota jiwe ,
" Tokaaa mbele yanguuu ,," aliongea yule mama kichaa huku akimtishia Kama anataka kulirusha lile jiwe ,
" MKE WANGU nisikilize basi kwanza "
Aliongea Mr Benson huku watu wakishangaa maana tayari watu walishaanza kujaa ,
" Hee mbona anasema ni mkewe , "?
Baba Stefano alimuuliza mama Stefano ,
" Yaani jinsi unavyoshangaa na Mimi ndo nashangaa hivyo hivyo ,"
Mama Stefano alimjibu mumewe ,
Sasa Mr Benson akamsogelea tena yule kichaa lakini gafra yule mama kichaa akarusha jiwe na likapasua kioo Cha nyuma chagari , pwaaaaa ,,!!!!
" Nimekwambia ondokaaaa ,,, umeniacha Mimi ukaoa mfanyakazi mshenzi weeeeee ,,, " aliongea yule mama kichaa huku analia , Sasa ili kuepusha usumbufu , Mr Benson akapanda kwenye gari huku anamuita Celina alizani ni mwanawe Celena ,
" Celena twende nyumbani ,"
Celena akawa anamshangaa tu maana hata yeye hamjui , " we celenaaa twennde nyumbani ," alijalibu kuita tena lakini ndio kwanza Celina akamfuata mama yake yule kichaa na kumkumbatia huku alimtoa eneo lile ili asije akarusha jiwe lingine ,
" Huyu mtoto vipi mbona anajifanya hanijui , ? Aliwaza Mr Benson huku akiondoka eneo Hilo ,
Sasa kumbe Celena kule alikojificha alisikia kila kitu na hata gari ya baba yake ilipopasuliwa kioo aliona na akaamua kuondoka upesi eneo Hilo Sasa ile anafika nyumbani tu na baba yake ndio anaingia , kwanza baba yake akasimamisha gari akawa anamshangaa ," huyu mtoto vipi jamani amefikaje hapa na nilimwachia kule ,"
Aliwaza Mr Benson huku bado akimshangaa Celena ,
" Shikamoo baba ,"
Celena alimsalimia baba yake lakin baba yake badala ya kuitikia akawa anamshangaa tu , yaani Celena na Celina hawajapishana kitu ,alimkagua Kama ataona kasoro yoyote lakin hajaona ,
"Mmh haya maajabu ya Dunia ,"
Aliwaza Mr Benson,

KUMBUKA story hii utaipata yote mwanzo mwisho kwa elfu moja tu,0655772653 njoo whtsap,

Itaendelea

Maoni

You're not logged in


Tangazo - CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
CEO usinivue mi nimchumba wa mtu mwanzo wa simulizi Hadi Mwisho wa simulizi
   
X
SHARE TO SOCIAL MEDIA

WATOTO MAPACHA, kipande Cha 13

WATOTO MAPACHA,
kipande Cha 13

Wazazi wa Stefano pamoja na Celina walikaa pale hospital mpaka mama Celina akazinduka ,na alipozinduka alitulia japo alikuwa anaweweseka kulingana na ukichaa wake huku yale mambo yalipita akiyasahau ,wakajua ni kichaa kilimpanda , wakaruhusiwa kumchukua na kurudi nae nyumbani , walimpakia kwenye gar na kurudi nae mpaka pale nyumbani kwa kina Stefano hawakutaka kumrudisha kule majalalani Kwan waliamua kumsaidia mama Celina pamoja na Celina mwenyewe ,
Mama Stefano alijua kama Celina atakuwa hapo nyumban basi kuna uwezekano mkubwa yule Celena akaja sasa akija lazima wakutane hapo ndio atajua ukweli ,

Walifika nakupaki gari ,wakatelemka...

👉 Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/watoto-mapacha-kipande-cha-13

#Nk #gonga94 #trending #simulizi #hadithi #viral #fictionwriter
#ShortDrama #fblifestyle

Share on Facebook
Share on Twitter
Share on LinkedIn
Share on Pinterest
 
Umesoma kwa utulivu · dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi watoto-mapacha-kipande-cha
Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,,    ,,  19
Story,: watoto MAPACHA Kipande cha ,, ,, 19
WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12
WATOTO MAPACHA, Kipande cha ,,,, 12
Tafuta Simulizi,Hadithi,Michezo
Andika unacho taka.

Top 10 Kali za Leo

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*

865
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22

728
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23

505
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7

175
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania

102
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*

68
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25

53
KWAKO RUSHINE DE REUCK.

KWAKO RUSHINE DE REUCK.

6

ZIMESOMWA ZAIDI

‎TUNDA LA  DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

‎TUNDA LA DADA ‎ ‎SEHEMU YA KWANZA

11.54K
RUNGU LA KIPOFU 22.

RUNGU LA KIPOFU 22.

7.27K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tisa.  👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tisa. 👉 Akaanza kunipamp sasa...👇

3.77K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya sita.  👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇  Shemeji inauma utanichana.

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..6..10 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya sita. 👉 Aaaaaaaaa chomoa...👇 Shemeji inauma utanichana.

3.24K
MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

MY WANGU❤️ sehemu ya 119 na 120.

2.74K
MY WANGU❤️ sehemu ya 108

MY WANGU❤️ sehemu ya 108

2.63K
 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 20.  👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 20. 👉 Nikatanua mwenyewe miguu manuu..kazi kwake tu...👇

2.63K
MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

MY WANGU❤️ sehemu ya 106 na 107

2.56K
🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20  KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥  Sehemu ya 16.  👉 nakupenda pia...👇

🔥 UTANI WA SHEMEJI KAICHOMEKA..16..20 KWELI...Aaaaaaaaa chomoa🔥 Sehemu ya 16. 👉 nakupenda pia...👇

2.48K
🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥  sehemu ya tatu.  👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

🙄 NILIONA MWENYEWE DADA YANGU ANAGEUZWA🔥 sehemu ya tatu. 👉 Sitaki sitaki mimi mdogo niache sitaki...👇

2.47K

RATIBA ZA MAKALA ZETU

Hakuna Ratiba kwa sasa

Machapisho Mapya
Vijipost vilivyotangazwa karibuni (yamekatwa hadi maneno 30)
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 24 na 25
@majario LIVE

Nikafunga gari ,kisha nikashika mkono akawa bado hayupo sawa kakasilika sana, ila niliona kidogo hasira yake imepungua pale ambapo ibra alipiga simu na kusikia maongezi ya ibraa, basi bwana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 23
@majario LIVE

Nikasema mama.nisikilize, unasikia mke wangu, haipo kama unavyowaza wewe. ,mi yule.sio mwanamke wangu, yule.ni shemeji yangu, ni mwanamke wa ibraa, na tulikuwa tunakutana wote jioni hiiii, mi uyu demu nimekutana...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 7
@majario LIVE

SONGA NAYO..... Hatimae ule mda wa kuwasili huyo mkaka wa kuitwa Anfrey ulifika walimpokea kwa furaha sana wazazi kama wazazi walimzawadia kijana wao gari ya milioni 80 Mimi nilikuwa kwa mbali natazama...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *19&20*
@majario LIVE

Huo Ndio ukawa mwanzo Mpya wa upendo kati yangu Mimi na madam groly, Yaani mimba tu na kukaa nae Ndani ya miezi miwili tu tayali madam groly aliona utofauti wangu. Kwa...

KWAKO RUSHINE DE REUCK. Post Mpya
KWAKO RUSHINE DE REUCK.
@majario LIVE

Nikiwa kama mpenzi na shabiki mwanachama wa Simba niliyenyooka ninajikuta nina wajibu wa kusema ukweli pale panapohitajika ili kama kuna hatua za kuchukuliwa zichukuliwe mapema na mhusika kabla jambo...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 21 na 22
@majario LIVE

🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈🦈 Mwandiishi; LISSA Basi bwana rasmi tukaanza aya mahusiano bubu sasa, ambayo mimi binafsi sikuwa nimeyaafik kabisaaa, na wala sikuwa nayafurahia ata kidogo ,ila mchumba si kaamua basi powa, nikaona ngoja...

Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania Post Mpya
Jinsi ya kutuma pesa kutoka Safaricom Kenya kwenda Vodacom Tanzania
@majario LIVE

Kutokana na ongezeko la watumiaji wa Safaricom M-Pesa wanaohitaji kutuma pesa kwenda Vodacom M-Pesa Tanzania, nimeamua kuandika makala hii ili kuwasaidia wale ambao hawafahamu jinsi ya kufanya muamala huo. Tuma...

UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16* Post Mpya
UTANIITA SHEMEJI.* *SEHEMU YA 16*
@majario LIVE

SONGA NAYO............. Zilipita dakika kadhaa nikatoka na kumfuata sebleni , akataka kuendeleza story zake nikamwambia aaah 🤚nioneshe kazi za kufanya kwanza ,kama ni maongezi baadae. Hakuwa na shida akaanza kunionesha mazingira yote...

MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6 Post Mpya
MIRANDA (Binti Yangu) SEHEMU YA 6
@officialgonga LIVE

SONGA NAYO..... nilipokaribia kumfikia nilimsikia akizungumaza "Sawa baba basi wacha sie tufanye maandalizi kidogo..." Niliweza kumsikia madam akiongea hivyo, kwakuwa mimi huyu mama namuona boya sikutaka kumjali nilimpita nikaelekea chumbani lakini nikiwa katika...

Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary Post Mpya
Rajshree (born October 8, 1944) is one of those 60s actresses people still remember with a smile. She’s the daughter of legendary
@majario LIVE

filmmaker V. Shantaram and actress Jayshree, so films were always a part of her world. She started as a child artist in Subah Ka Tara and was later introduced as...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* *  *16-20* Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * *16-20*
@majario LIVE

*_______________________________________* .Chapter 19&20 Tuliondoka na mume wangu kuelekea kwake. Aseee ni bonge la nyumbaa ile aliyonipa ikaanzeee kwenye parking kuna magari kam yotee, bustani kumbwa muda huo mimi nachungulia tu kwenye gari...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA NANE*
@majario LIVE

Siku ziliendelea kwenda uku mimi na Enzo tukiendelea kukaa kwa madam groly, Yaani madam groly hakutaka kabisa nikae mbali na alikuwa akichukua uangalizi mzuri sana juu yangu Siku moja nikiwa chumbani...

AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA* Post Mpya
AAAAAASH BOSS ENZO* *season two* *SEHEMU YA KUMI NA SABA*
@majario LIVE

Enzo akanyanyuka kwenye kochi alipokuwa amekaa na kuja kuniwal na kwa shauku akaniuliza. "Ishani wewe ni mjamzito" Nikabaki nikiwashangaa tu Maana sielewi ata hiyo mimba ukibeba unajisikiaje Mimi Nipo Nipo Kama fala...

CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18 Post Mpya
CEO USINIVUE MI MCHUMBA WA MTU* * Chapter 18
@majario LIVE

Tulifanya kama tulivyoagizwa na mpenzi wangu, ila sasa kuna kitu kilibadilika jaman, yaaani haikuwa tena wiki moja alikaaa kule zaidi ya miezi miwilii tena bila mawasiliano hili lilitupa mawazo sana...

AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20 Post Mpya
AFANDE MILLAN😎 Sehemu ya 19.na 20
@majario LIVE

Nikasema zena kweli ,na wew unafeel kama vile ambavyo mm nafeel acha masihara basi, akanambia lakini millan ,mi wewe sikujuhi vizur, ndo mana nilikuwa nataka mda kwanza wa kukufahamu ,nisije...

Home Login Signup
Top 20 Privacy Policy Contact us
Terms & Conditions About us Latest