Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya β Gonga94 Semajambo
Gonga94 Β· Stories
22 Oct 2025
671 views
VYOTE NDANI GONGA94
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto na kitaulo. Alianza kunikanda taratibu kichwani na mwisho akan
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Wakati huo Elijah alikuwa amelala, hakuwa na wazo lolote kwamba nilikuwa mgonjwa. Alieniuguza na kunihudumia usiku huo alikuwa Elton.
Nilishangaa jinsi alivyokuwa akinajali, kama vile sio yeye mwenye kisirani. Alinijali hadi pale joto langu liliporudi kawaida, kisha akapanda kitandani, akakilaza kichwa changu kwenye kifua chake, akizichezea nywele zangu taratibu
Mnajua nilifurahia kiasi gani kulalia kifua chake? Nilifurahia sana, nikapata na usingizi ukiingia kwa sababu nilipenda namna alivyokuwa anacheza na nywele zangu. Tukajikuta Tunalala pale mpaka asubuhi.
Palipokucha tuliamka kwa kushtushwa na sauti ya mlango kugongwa. Elijah ndie alikuwa akigonga mlango. Elton kwa utulivu akaweka kichwa changu kwenye mto, kisha akainuka kwenda kufungua mlango. Akakutana na Elijah.
"Ginah simuoni! Nimeenda jikoni, sijamkuta. Mpaka storeroom pia hayupo! Atakua wapi?" Elijah alionekana kupaniki
"Gina alikuwa mgonjwa, ndio maana amelala chumbani kwangu"
"Nini?"
Elton alisogea kidogo ili Elijah aone ndani. Na kweli Elijah akaniona nikiwa kitandani, akahisi wivu kidogo. Ikawa wazi kuwa, Elijah naye alinitaka pia
Elijah kwa upole aliuliza "Anaendelea sasa ivi?" "Yuko sawa"
"Ok! basi nitaenda chumbani kwangu"
Elijah aliondoka ndipo Elton akafunga mlango na kurudi kitandani. Hakulala tena bali alinitazama usoni. Alipenda tu jinsi nilivyokuwa na sura nzuri, iliyomfanya asichoke kunitazama.
Niligundua ilo kwakua sikua nimelala. Nilihisi aibu kiasi cha kunyanyuka haraka.
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 12 Baada ya kunipeleka chumbani kwake, Elton alinilaza kitandani, akafunika na blanketi kisha akatoka nje. Dakika zile zile alirudi na bakuli la maji moto na kitaulo. Alianza kunikanda taratibu kichwani na mwisho akan
Wakati huo Elijah alikuwa amelala, hakuwa na wazo lolote kwamba nilikuwa mgonjwa. Alieniuguza na kunihudumia usiku huo alikuwa Elton.
Nilishangaa jinsi alivyokuwa akinajali, kama vile sio yeye mwenye kisirani. Alinijali hadi pale joto langu liliporudi kawaida, kisha akapanda kitandani, akakilaza kichwa changu kwenye kifua chake, akizichezea nywele zangu taratibu
Mnajua nilifurahia kiasi gani kulalia kifua chake? Nilifurahia sana, nikapata na usingizi ukiingia kwa sababu nilipenda namna alivyokuwa anacheza na nywele zangu. Tukajikuta Tunalala pale mpaka asubuhi.
Palipokucha tuliamka kwa kushtushwa na sauti ya mlango kugongwa. Elijah ndie alikuwa akigonga mlango. Elton kwa utulivu akaweka kichwa changu kwenye mto, kisha akainuka kwenda kufungua mlango....
π Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/afande-nilegezee-kamba-chapter-12-baada-ya-kunipeleka-chumbani-kwake-elton-alinilaza-kitandani-akafu
Umesoma kwa utulivu Β· dakika chache tu Asante Endelea kusoma chagua hapo chini
Umependezwa ?? Asante Soma Zaidi afande-nilegezee-kamba-chapter
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 13 Ile busu lilifanya tujihisi tupo kwenye dunia nyingine kwa dakika tano hivi hatukuwa sisi nikajiuliza, "mbona naenjoy hii kitu?"
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 9 Elton alikuja jikoni pale nilipokuwa nimekaa, Akanikamata mkono wangu kwa nguvu, akaniambia kwa hasira
*AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 8 Nilikumbuka jinsi chai inavyopikwa, nikadhani labda kahawa nayo ni hivyohivyo
_* *AFANDE NILEGEZEE KAMBA ππ«π«* Chapter 7 Siku hiyo ilikuwa ngumu sana, yani hata sijui nilikuwa nafanya nini. Nilisimama tu pale kwa dakika tano nikiwaza "Sasa hii...