Simulizi za Maisha,Mafunzo,Mapenzi ,Chombezo Habari za Michezo na Burudani vyote kwa Kiswahili ndani ya โ Gonga94 Semajambo
Gonga94 ยท Stories
30 Nov -0001
23 views
VYOTE NDANI GONGA94
Baada ya Wadau kumvaa MR PIMBI kuwa aeleze ukweli je Kilichomkuta Mwanamuziki Ibraah kuambiwa Aingie
Usimulizi huu ni wa watu wazima. Chukua muda wako, tulia, kisha usome kwa utulivu kama machapisho yetu yanayoendelea moja kwa moja.
Baada ya Wadau kumvaa MR PIMBI kuwa aeleze ukweli je Kilichomkuta Mwanamuziki Ibraah kuambiwa Aingie Chumbani kwa Harmonize ili kumfanyia Michezo michafu yeye kimemkuta ama vipi kwa Sababu Naye pia Huwa yupo karibu na Harmonize.
PIMBI amefichua kuwa Kila anapomtembelea Harmonize yeye Hajawahi Kuingia Ndani hata Siku Moja kwenye Nyumba ya Harmonize hivyo yupo Salama ?
Mr Pimbi Amesisitiza Kila anapokwenda Nyumbani kwa Boss huyo wa Kondegang huwaga anaishia Nje Wala Haingii Ndani .. kupitia ukurasa Wake wa Instagram ameweka Uthibitisho wa Picha mbali mbali akiwa kwa Harmonize kisha Kuandika ujumbe Huu
"HUWA NAISHIA NJEE NDANI SIINGIAGI,,,,NADHANI MNAONA HUWA NAISHIA NJEE SIJAWAHI KUINGIA NDANI ????????" Ameandika Mr Pimbi
#halisinewsflash #halisimediatz
Maoni
You're not logged in
X
Login
X
signup
Makala nyingine zinazocheza na ladha yako
Mapendekezo haya yanatokana na kile unachosoma sasa
+ Endelea kugundua zaidi
*KISASI CHA SINDELE BAADA YA KUAMBUKIZWA UKIMWI KWA MAKUSUDI*๐ญ๐ญ๐ญ. *1-4*
*_________________________________________* *Sehemu Ya 1* Ndani Ya hospital Moja kubwa wanaonekana Vijana wawili Wakiwa...
Baada ya Wadau kumvaa MR PIMBI kuwa aeleze ukweli je Kilichomkuta Mwanamuziki Ibraah kuambiwa Aingie
Baada ya Wadau kumvaa MR PIMBI kuwa aeleze ukweli je Kilichomkuta Mwanamuziki Ibraah kuambiwa Aingie Chumbani kwa Harmonize ili kumfanyia Michezo michafu yeye kimemkuta ama vipi kwa Sababu Naye pia Huwa yupo karibu na Harmonize.
PIMBI amefichua kuwa Kila anapomtembelea Harmonize yeye Hajawahi Kuingia Ndani hata Siku Moja kwenye Nyumba ya Harmonize hivyo yupo Salama ?
Mr Pimbi Amesisitiza Kila anapokwenda Nyumbani kwa Boss huyo wa Kondegang huwaga anaishia Nje Wala Haingii Ndani .. kupitia ukurasa Wake wa Instagram ameweka Uthibitisho wa Picha mbali mbali akiwa kwa Harmonize kisha Kuandika ujumbe Huu
"HUWA NAISHIA NJEE NDANI SIINGIAGI,,,,NADHANI MNAONA HUWA NAISHIA NJEE SIJAWAHI...
๐ Soma zaidi hapa: https://www.gonga94.com/semajambo/baada-ya-wadau-kumvaa-mr-pimbi-kuwa-aeleze-ukweli-je-kilichomkuta-mwanamuziki-ibraah-kuambiwa-aingie
Maoni